Kuna shida na ufahamu mdogo sana juu ya elimu ya tawhiid kwa ndugu zetu masufi. Tuisome elimu ya tawhiid na tuipende ili tumjue Allah kwa uhakika ili tumuabudu yeye tu peke yake na kuepukana na ushirikina.Allah atuongoze sote kwa uongofu wake.
Maneno yako mazurii sanaa shekhe kassimu.. Sema tupe dalili kuwa ufahamu huo unaotoa ww kuwa walifahamu hivyo maswahaba au kafundisha hivyo mtume.. Maana nyinyi sio wa kwanza kuifahamu hii tawhid bali kuna salafu waliotangulia.. Kwa inswafu nakuomba utoe dalili ya kiwa maswahava wa mtu walifundisha hivyo
Sheikh kassim mafuta mashaallah mungu kakubariki kwa ilmu naomba umfanyie raddi huyu jamaa aitwae sheikh ibrahim wa alhaadiya media313 ambae anachafua maswahaba kama muawiya na mwanae yazid kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwauwa ali radhiallahu anhu na mwanae hussein radhiallahu anhu ambao i katika vizazi vya mtume s.a.w. nakutoa ushahidi kwenye vitabu vikubwa vya ahlu sunnah wal jamaa kama al imam adhahabii al imam al alusi kwenye tafsiri yake ruhul maanii naomba hebu tupe ufafanuzi wa kina jee anayo sema huyu sheikh ibrahim ni kweli ama niporojo
Mpaka namaliza audio inzima sijasikia dalili uliyotoa.. Kinachotakiwa hapo Shekhe kassimu ni kunasibisha uelewa huo kuwa ndivyo walivyoelewa maswahaba wa mtume na taabiina.. Lakini umebakia kwa wanawazuoni wa zama hizi za hivi karibuni.. Lakini maulidi mkiambiwa kuwa wanazuobi wameyaeleza maulidi na kuyakubali, mnataka tadilili kwa maswahaba wa mtume na taabiina Kuwa na inswafu shekhe yoa dalili.. Mm nasubiri dalili
Ilimu hii ya dini wa kwanza kuifundisha ni mtume muhammadu (saw). Je kaifundisha hivyo tawhidi…? Je maswahaba walielewa hivyo..? Je taabiina waliifundisha hivyo..? Lete dalili sio kwamba ni jambo linalofaa sababu ni la elimu ya tawhidi la..! Ilimu ya tawhidi kaifundisha mtume.. Mtume hakuona haja ya kuigawa tawhidi..? Maswahaba hawakujaaliwa ufahamu huo..? Nini kilimzuia mtume kuifundisha hivyo tawhid..? Na je ni nn kumefanya iwe yafaa kuilimisha tawhidi kwa kuigawa hivyo..? Majibu tafadhali Usirukeruke kwa ufasaha wa kuyaremba maneno bali nenda kwenye hoja moja kwa moja
🤣🤣🤣🤣🤣 Sheikh Qaasimu Mafuta Unapaswa kujibu hoja Kwa dalili Acha kelele Sheikh Kiufup Sheikh Samiir SadiiQ ni mwamba na nikielelezo cha ilmu Kwa Tanga na Tanzania Kwa ujumla Na ww bnafs Qaasimu Mafuta Unajua vzr kwamba Samiir SadiiQ ni mwana chuoni wa ni Sheikh anaye tegemewa Kwa ilmu Qaasimu Mafuta 🤣🤣🤣🤣 Rudi Tamta tena ukasome Maana ulikimbia Kwa tamaa ya Dunia 😭😭😭😭😭
Barakallah fik sheikh mpaka wakome!!
Shekhe samir mungu amuhafidh inshallah
Baaraka llaahu fiikum
Amin Wafiyk baarak Allah
Nyundo mpaka sufi wote watoweke,,,,, حفظك الله شيخنا الحبيب عبد الفضيل
آمين بارك الله فيك
ليس عبد الفضل بل أبو الفضل
@@jumabeja956 ماشاءالله، جزاك الله خيرا
Sheikh Qasim hapo umeeleweka vizuri
Baarak Allah fiyk
Huyo hana tofauti mwanamke ambaye kavaa dira aksema amejistili nyayo zinonekana shingo inonekana endelea kuwafundisha hao allah akuhifadhi
Amin Baarak Allah fiyk
Jazaaka llaahu khayran Wahayyaka llaah.
Amin Baarak Allah fiyk
Kuna shida na ufahamu mdogo sana juu ya elimu ya tawhiid kwa ndugu zetu masufi. Tuisome elimu ya tawhiid na tuipende ili tumjue Allah kwa uhakika ili tumuabudu yeye tu peke yake na kuepukana na ushirikina.Allah atuongoze sote kwa uongofu wake.
Sheikh Kassim Mafuta Allah akuhidhi, endelea kutoa elmu wakiikataa wao wanafunzi wao wananufaika.
Baarak Allah fiyk
Maneno yako mazurii sanaa shekhe kassimu..
Sema tupe dalili kuwa ufahamu huo unaotoa ww kuwa walifahamu hivyo maswahaba au kafundisha hivyo mtume..
Maana nyinyi sio wa kwanza kuifahamu hii tawhid bali kuna salafu waliotangulia..
Kwa inswafu nakuomba utoe dalili ya kiwa maswahava wa mtu walifundisha hivyo
Sheikh kassim mafuta mashaallah mungu kakubariki kwa ilmu naomba umfanyie raddi huyu jamaa aitwae sheikh ibrahim wa alhaadiya media313 ambae anachafua maswahaba kama muawiya na mwanae yazid kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwauwa ali radhiallahu anhu na mwanae hussein radhiallahu anhu ambao i katika vizazi vya mtume s.a.w. nakutoa ushahidi kwenye vitabu vikubwa vya ahlu sunnah wal jamaa kama al imam adhahabii al imam al alusi kwenye tafsiri yake ruhul maanii naomba hebu tupe ufafanuzi wa kina jee anayo sema huyu sheikh ibrahim ni kweli ama niporojo
TOA DALILI WW MAVI
HAPO KUNA KUCHANGANYANA TOENI AYA KWENYE QUR'AN HIVYO VITABU KATUNGA FLANI MWATUCHANGANYA JAMANI
Soma dini utaacha kuchanganyikiwa ukiwa na ujinga wa dini yako utachanganywa sana.
Mbona maulidi hutoi aya wewe
Wataka aya ya tawhidi,ilihali umepewa dalili
Weee huna ilmu kumshinda samir mnafiq mkubwa ww
Toa hoja nyau wewe
Mpaka namaliza audio inzima sijasikia dalili uliyotoa..
Kinachotakiwa hapo Shekhe kassimu ni kunasibisha uelewa huo kuwa ndivyo walivyoelewa maswahaba wa mtume na taabiina..
Lakini umebakia kwa wanawazuoni wa zama hizi za hivi karibuni..
Lakini maulidi mkiambiwa kuwa wanazuobi wameyaeleza maulidi na kuyakubali, mnataka tadilili kwa maswahaba wa mtume na taabiina
Kuwa na inswafu shekhe yoa dalili..
Mm nasubiri dalili
Abaa fadhwil anamaa'rifa
Baarak Allah fiyk
Halafu hii ya kusema taqsiim tawhiid ni wanaiga tu kwa kusikia makhurafi wenzao hasa wa kenya
TOA DALILI ZA TAUHID 3 WW KUTOKA KWA MTUME ACHA UJINGA
Acha maneno ya kijinga wee mjinga Acha wasomi waseme unakipi cha kusema
Shida elimu yao ni ya kuiga sio ya kuelewa
TOA BC HADITHI MUONGO MKUBWA TAMAA YAKO DUNIA TU
Suhufy tulieni acheni matusi mnataka kuwakataa hadi wanazuoni wenu wa kisufi
Ilimu hii ya dini wa kwanza kuifundisha ni mtume muhammadu (saw).
Je kaifundisha hivyo tawhidi…?
Je maswahaba walielewa hivyo..?
Je taabiina waliifundisha hivyo..?
Lete dalili sio kwamba ni jambo linalofaa sababu ni la elimu ya tawhidi la..!
Ilimu ya tawhidi kaifundisha mtume..
Mtume hakuona haja ya kuigawa tawhidi..?
Maswahaba hawakujaaliwa ufahamu huo..?
Nini kilimzuia mtume kuifundisha hivyo tawhid..?
Na je ni nn kumefanya iwe yafaa kuilimisha tawhidi kwa kuigawa hivyo..?
Majibu tafadhali
Usirukeruke kwa ufasaha wa kuyaremba maneno bali nenda kwenye hoja moja kwa moja
tunaomba utujibu Kwa vitabu mkuu WA genge la majadida naona unaonge pumba NYINGI 😅😅😅
Wacha upumbav bhn
mpumbavu wewe Una mtukuza kasim😅 kaana ushamba wako WA ujadida@@AbdulhaliimAli
Ipo siku utajua na kisha ipo siku utajua
Nin wasiwas wewe ni kafiri katika makafir wa kikristo so hakuna haja y kujibizana na kafiri mpingaji
unjua kitu poyoyo na wewe
Wew acha mamb meng toa hadith au Aya acha kuropokwa jadida mkubwa
Kasimu mafuta ni ghawaariji
🤣🤣🤣🤣🤣
Sheikh Qaasimu Mafuta
Unapaswa kujibu hoja Kwa dalili
Acha kelele Sheikh
Kiufup Sheikh Samiir SadiiQ ni mwamba na nikielelezo cha ilmu Kwa Tanga na Tanzania Kwa ujumla
Na ww bnafs Qaasimu Mafuta
Unajua vzr kwamba Samiir SadiiQ ni mwana chuoni wa ni Sheikh anaye tegemewa Kwa ilmu
Qaasimu Mafuta 🤣🤣🤣🤣
Rudi Tamta tena ukasome
Maana ulikimbia Kwa tamaa ya Dunia 😭😭😭😭😭
Inaonekana na wewe umemezeshwa sumu, sikia wachambuzi wa ki elimu wenye elimu ya tawheed akhy
Takataka za kiwahabi
Ni taka taka kivipi leta dalili
@@jumannekassimu5410hakki ukiiona ukajifanya hujaiona Allah anajukujua vizuri ila subiri ujinga
Watu hawaelewi sub hana llah kuweni na hofu na mola wenu achen matusi
Kwani mnaruhusu kusoma vitabu vya watu wengine, vipi tutatafiti
We mkuuu wa majadida yanqasimu ttauhid ila thalati aqsami wapi hadithi au aya?
Nguzo za swalah leta hadith au aya
Tupe dalili za tawhidi 3 wacha bla bla bla
anamaarifa ila mademu na pesa hawachiii
Unao ushahidi?! Angalia usijeangamia mbele ya Mola Wako
Zuyina linnasi hubu shahawaati..... , MUNGU ndio ameumba tupende. Muhimu tufanye kwa halali tu
Ikiwa hao mademu wameolewa ndio uwanaume huoo.
Wanahusikaje hapo kwenye hilo!? Dhuluma hio nautakutana na sms yako pindi hukumu ya Allah itakapo kujia