Msikie Mzee Bakari Juma aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 asimulia mambo yalivyokuwa na kipi kilipelekea mapinduzi hayo matukufu ya Zanzibar.
Karume mwenyewe anasema hajui chochote kuhusu mapinduzi 😂mzee vichekesho si angelikaa kimya tuu au angewambia wana mapinduzi wenzake wamtie meno kwanza 😊
wazee kama hawa musiwahoji kitu wala musiwatie kwenye mambo ya siasa hawajijui wala hawajitambui. wapeni zawadi za misala.tasbihi na misahafu watubie na kurudi kwa mola wa mbingu na ardhi. wahojiwe watu wenye akili zao timamu sio wazee kama hao wasiojielewa wala hawajijui wanasema nini. maneno ya kutunga yasioingia akilini yasio kichwa wala miguu hayo yote aloongea maskini🙈🙏
Bakora ya mungu iyoo ilokupata
kazi nzr sana
Mzee kicheko nimekipenda 😂😂😂
Karume mwenyewe anasema hajui chochote kuhusu mapinduzi 😂mzee vichekesho si angelikaa kimya tuu au angewambia wana mapinduzi wenzake wamtie meno kwanza 😊
Moto unakungojeeni
Muongo mkubwa we mzee, tunajua mapinduzi yalifanywa na mamluki kutoka tanganyika waliosafirishwa kwa majahazi wakitokea tanga na bagamoyo.
Mzee ameua watu wangapi? Watu wasio na hatia walionewa hasa wasio waswahili.
Huyu mzee Jana tu nimepishana nae anaendesha v8 tena namsalimia akanikaushia
wazee kama hawa musiwahoji kitu wala musiwatie kwenye mambo ya siasa hawajijui wala hawajitambui. wapeni zawadi za misala.tasbihi na misahafu watubie na kurudi kwa mola wa mbingu na ardhi. wahojiwe watu wenye akili zao timamu sio wazee kama hao wasiojielewa wala hawajijui wanasema nini. maneno ya kutunga yasioingia akilini yasio kichwa wala miguu hayo yote aloongea maskini🙈🙏
Lione hata aibu hana allhal akbaru
Kwa hivyo mzee wangu umewauwa wangapi?
Kila mmoja na malipo yake kutokana na amali yake.. We chekaaa lakini kama umeua basi utaenda kulia
Maneno hayaingii akilini
Mh
Utakwenda jibu kwa mola wako
Kila cku mapinduzi nani hajui kama hili lilitokea
subiri mzee wezako bado wanakusubiri yako malipo mumeekewa huko
Muongo mkubwa wewe umeuwa wangapi