Mzee aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar (1964) asimulia mambo yalivyokuwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2023
  • Msikie Mzee Bakari Juma aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 asimulia mambo yalivyokuwa na kipi kilipelekea mapinduzi hayo matukufu ya Zanzibar.

ความคิดเห็น • 19

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf หลายเดือนก่อน +1

    Bakora ya mungu iyoo ilokupata

  • @othmanmohamed1975
    @othmanmohamed1975 ปีที่แล้ว

    kazi nzr sana

  • @seifbattawy9455
    @seifbattawy9455 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee kicheko nimekipenda 😂😂😂

  • @moxasaidi3398
    @moxasaidi3398 5 หลายเดือนก่อน +1

    Karume mwenyewe anasema hajui chochote kuhusu mapinduzi 😂mzee vichekesho si angelikaa kimya tuu au angewambia wana mapinduzi wenzake wamtie meno kwanza 😊

  • @jarsjam8894
    @jarsjam8894 11 หลายเดือนก่อน +1

    Moto unakungojeeni

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 ปีที่แล้ว +3

    Muongo mkubwa we mzee, tunajua mapinduzi yalifanywa na mamluki kutoka tanganyika waliosafirishwa kwa majahazi wakitokea tanga na bagamoyo.

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 ปีที่แล้ว +2

    Mzee ameua watu wangapi? Watu wasio na hatia walionewa hasa wasio waswahili.

  • @mubinsumra6257
    @mubinsumra6257 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee Jana tu nimepishana nae anaendesha v8 tena namsalimia akanikaushia

  • @pandungozi1072
    @pandungozi1072 6 หลายเดือนก่อน +2

    wazee kama hawa musiwahoji kitu wala musiwatie kwenye mambo ya siasa hawajijui wala hawajitambui. wapeni zawadi za misala.tasbihi na misahafu watubie na kurudi kwa mola wa mbingu na ardhi. wahojiwe watu wenye akili zao timamu sio wazee kama hao wasiojielewa wala hawajijui wanasema nini. maneno ya kutunga yasioingia akilini yasio kichwa wala miguu hayo yote aloongea maskini🙈🙏

  • @nassorally-xi6zh
    @nassorally-xi6zh 7 หลายเดือนก่อน +1

    Lione hata aibu hana allhal akbaru

  • @ahmedissa7882
    @ahmedissa7882 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa hivyo mzee wangu umewauwa wangapi?

  • @ahmedabry293
    @ahmedabry293 ปีที่แล้ว

    Kila mmoja na malipo yake kutokana na amali yake.. We chekaaa lakini kama umeua basi utaenda kulia

  • @1964AliK
    @1964AliK ปีที่แล้ว +1

    Maneno hayaingii akilini

  • @zainulahmed8206
    @zainulahmed8206 ปีที่แล้ว

    Mh

  • @abdallasheha4173
    @abdallasheha4173 8 หลายเดือนก่อน +1

    Utakwenda jibu kwa mola wako

  • @SuleimanChief
    @SuleimanChief หลายเดือนก่อน

    Kila cku mapinduzi nani hajui kama hili lilitokea

    • @eddynaeem6708
      @eddynaeem6708 17 วันที่ผ่านมา

      subiri mzee wezako bado wanakusubiri yako malipo mumeekewa huko

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n หลายเดือนก่อน +1

    Muongo mkubwa wewe umeuwa wangapi