Uzito wa Dua ya Mwenye Kudhulumiwa - Sheikh Nassor Bachu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • Mawaidha na mafundisho juu ya dua ya mwenye kudhulumiwi yanayo fundishwa na sheikh Nassor Bachu Allah amrahamu.
    #sheikhNassorBachu
    #Elimu
    #Mafundishoyakiislam
    #Duayamwenyekudhulumiwa

ความคิดเห็น • 48

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 3 ปีที่แล้ว +6

    nampenda sana shehe huyu hajuwi kupindisha anajuwa kunyosha uko vizuri sana mungu amlaze mahala pema peponi amin

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 ปีที่แล้ว +2

    Allah kwa uwezo wake na huruma wake akuongoze peponi unanitoa machozi midahi shehe wetu mwalimu wetu unatuelimisha na nashukuru napelewa saana Allhamdulillah 💕❤️Baba yetu Nassor bachu

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 3 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akurehemu shekhe wetu akuweke mahali pema peponi inshaallah shekhe nasoor bachu

  • @masoudkombo2442
    @masoudkombo2442 2 ปีที่แล้ว +2

    Allah akuepusha na hata chembe ndogo ya adhabu ewe kipenzi changu

  • @salmaamin7113
    @salmaamin7113 2 ปีที่แล้ว +5

    Allahumma ghfir lahu warhamhu wa'askinhu fill jannah..... Allahumma Ameen🤲

  • @ayoubmasenza1598
    @ayoubmasenza1598 ปีที่แล้ว +1

    Allah akulipe sheikh kwa daawa kubwa uliyoifanya katika umri wako. Kanda zako mashuhuri nchi ziazotuzunguka Alla akusamehe na kukurehemu.

  • @makenakendi282
    @makenakendi282 3 ปีที่แล้ว +4

    ALLAH akueke pema maalim

    • @saadasalum6033
      @saadasalum6033 3 ปีที่แล้ว

      Allahumma ghfirlahu warhamhu

  • @user-mb3st5wh8g
    @user-mb3st5wh8g 3 หลายเดือนก่อน

    Allahu magfir LLAHU warahamahu

  • @shambaboy41
    @shambaboy41 3 ปีที่แล้ว +3

    Alhamdulillah hii mada ya Sh Bachu ilkuwa naitafta sana lkn ALLAH amenipatia kwa uwezo wake shukran ya Rabbi
    & Shukran Islamic kindnes tv jazakumullah alkhayri

  • @omaribenjamini
    @omaribenjamini 2 หลายเดือนก่อน

    رحمه الله تعالى

  • @salehali1017
    @salehali1017 3 ปีที่แล้ว +3

    Allah amsameh makosa yake na amlipe jannat firdaous

  • @ibrahimabdallakaranja4947
    @ibrahimabdallakaranja4947 3 ปีที่แล้ว +5

    Tumeiona kwako juhud alla akulipe

  • @suleimankhatibjogoo7236
    @suleimankhatibjogoo7236 3 ปีที่แล้ว +3

    Allah amrehemu sheikh wetu sheikh Nassor Bachu

    • @aminaibrahim3656
      @aminaibrahim3656 3 ปีที่แล้ว

      Kwan amekufa

    • @jabirnzukame5720
      @jabirnzukame5720 3 ปีที่แล้ว

      Allah ampe kauli thaabit na alifanye kaburi lake kuwa moja ya viwanja vyacpeponi

  • @user-gw2in5tw1u
    @user-gw2in5tw1u 4 หลายเดือนก่อน

    Alimhamdulillah nimefarijika sana Mwenyezi Mungu akufutue madhambi Yako yote amiin

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @mansurjayali658
    @mansurjayali658 3 ปีที่แล้ว +3

    Amin

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah akurehemu sheikh wetu

  • @user-qw8vo5bm2x
    @user-qw8vo5bm2x 5 หลายเดือนก่อน

    Allah akulaze mahala pema peponi shehe

  • @mwaitahassan7927
    @mwaitahassan7927 3 ปีที่แล้ว +3

    Amin 🙏🙏🙏

  • @saleemsalim3922
    @saleemsalim3922 ปีที่แล้ว +2

    Masha Allah

  • @jamilamohammed2771
    @jamilamohammed2771 3 ปีที่แล้ว +3

    Jazakallah kheir

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed ปีที่แล้ว

    Alhamndullilah rabil aalamiyn inna Lilah waina ilayh rajiun 😭🤲

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y 8 หลายเดือนก่อน

    Maneno magumu mazitooo sana.Allah akurehemu.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah akurehemu sheikh wentu

  • @allykhamis9300
    @allykhamis9300 2 ปีที่แล้ว +1

    Mola amrehemu

  • @khamisathuman1509
    @khamisathuman1509 ปีที่แล้ว

    Allahumma ghfir lah warhamhu wa

  • @ayoubmasenza1598
    @ayoubmasenza1598 ปีที่แล้ว

    Allah Akbar

  • @aminabbyaminabby
    @aminabbyaminabby ปีที่แล้ว

    InshaAlah

  • @salehabdalla7773
    @salehabdalla7773 2 ปีที่แล้ว

    Waislam naomb kuuliza swali hivi kuna makosa gan hpa mwnmme kwenda kumuekesha mtto wa kike miaka 6 kumposa kuwa atamuwa halafu akmpotzea mda wte yye akaenda kuoa mwnmke mwngine hivi hii ni dhulma ama ni nini au je kuna makosa gan hapa kw allah kw mtu aliefanya hivi naomba munijibu

    • @IslamicKindness
      @IslamicKindness  2 ปีที่แล้ว

      Asalam alaikum warahmatullah wabarakatu kwa mujibu wa suala lako kwa ujumla kucheza na hisia za mtu ni makosa makubwa, kumuacha tu pasi na sababu za kisharia ni makosa, pia unaingia katika kosa la kutotimiza ahadi . الله أعلم

    • @binamourtraders4616
      @binamourtraders4616 ปีที่แล้ว

      @@IslamicKindness swali tata, nautoa utata je ameposwa mwanamke mwenye umri wa miaka 6 au mwanamke ameposwa kisha akaekeshwa bila ya kuolewa kwa muda wa miaka 6?

  • @khadhoujjojo338
    @khadhoujjojo338 2 ปีที่แล้ว +2

    Allahumma ghfir lahu warhamhu wa'askinhu fill jannah...Allahumma Aameen 🤲🏾

  • @muneeralharrasi785
    @muneeralharrasi785 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina