ALICHOKIFANYA MC ELIUD KWENYE WAISA (DOUBLE IMPACT PART 1)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ม.ค. 2024
  • #Waisacomedy #comedy
  • ตลก

ความคิดเห็น • 384

  • @user-vz7qe8im6d
    @user-vz7qe8im6d 5 หลายเดือนก่อน +35

    Dah eliudi nakupenda sana anaempenda pia gonga like

  • @jullyhandmadecards
    @jullyhandmadecards 5 หลายเดือนก่อน +107

    Mungu anakushika mkono Eliud...mweeh mweeh mweeh usije ukamuacha huyo Mungu wako......anakupambania

  • @monicakiwia5649
    @monicakiwia5649 5 หลายเดือนก่อน +14

    Eliud anaongea kama masikhara lakini hivyo ndivyo ilivyokua na wazee wetu kila ifikapo skukuu jamani I miss those days sana

  • @MuharamiKaposo-qt9cy
    @MuharamiKaposo-qt9cy 5 หลายเดือนก่อน +6

    Eliud ni mchekeshashaji natural, hatumii nguvu kabisa. Kila neno lake ni kiburudisho😂

  • @KidotiTwiga
    @KidotiTwiga 5 หลายเดือนก่อน +16

    Lamata village mna umoja sana Mungu awabariki❤️

  • @user-dy7cw6yk6h
    @user-dy7cw6yk6h 5 หลายเดือนก่อน +8

    Jua kali mtanivuja mbuvu zangu😂😂😂😂😂

  • @rahelihaule
    @rahelihaule 5 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani Eliudi Mimi Raheli Rechol WA njombe nimekukosea nini jamani 😂😂😂😂

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 5 หลายเดือนก่อน +6

    Naiona tim jua kali ramata frank na wengine😂😂 mbarikiwe

  • @godfreycomedias9181
    @godfreycomedias9181 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mzee Eliud we nihatari baba, bora uzima tu ✌️ mr Godfrey comédy from uganda 🇺🇬🙏

  • @user-bd2re1cj9u
    @user-bd2re1cj9u 29 วันที่ผ่านมา +1

    Eliud unajua sana... Nimekupenda bure Bwana Yesu azidi kuwastawisha.❤🙌

  • @thebios2553
    @thebios2553 5 หลายเดือนก่อน +9

    Kuna kitu ameongea eliud ni comedy ila ni moja ya vita safi sana kwenye familia zetu za zamani Kuna watu tuliishi nao vzr na Wala sio ndugu ila tulikaa nao nyumbani vzr kama ndugu

    • @barakacmwanza
      @barakacmwanza 5 หลายเดือนก่อน +1

      𝙉𝙖𝙠𝙪𝙢𝙗𝙪𝙠𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖

  • @rev.musabalalarogersmusabalala
    @rev.musabalalarogersmusabalala 5 หลายเดือนก่อน +8

    Ninakupenda sana Eliud
    Mungu akutunze

  • @esterstaphord5184
    @esterstaphord5184 5 หลายเดือนก่อน +6

    Juakal team nimewaonaaa ...stay blessed

  • @HonorinaSimba-tw6ke
    @HonorinaSimba-tw6ke 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera sana broo sio Kwa bahat mbaya ndo Nia na madhumuni ya watanzania hatupendag kuwadharau watanzania wenzetu tupo nyuma Yako tembea kifua mbele❤❤

  • @user-vx1cz3rc2u
    @user-vx1cz3rc2u 5 หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂😂 nampenda eliud anavoongea

  • @user-yd8fh6qn5q
    @user-yd8fh6qn5q 5 หลายเดือนก่อน +7

    Nawapenda Sana timu jua Kali ❤❤❤

  • @emmanuelkato2375
    @emmanuelkato2375 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka unajuwa sanaaa Mungu azidi kukuonyesha njia ya kwenda juu zaidi

  • @user-vi4sz4fq9h
    @user-vi4sz4fq9h หลายเดือนก่อน +3

    Namukubali sana Mungu atuweke sote tuzidi frahi

  • @maryojungu8647
    @maryojungu8647 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nampenda Sana uyu mkaka❤❤...Utacheka tu

  • @mosesnassary6720
    @mosesnassary6720 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mwaisaaaa mtu mbaadiiiiii😂😂😂🔥

  • @franktiba1506
    @franktiba1506 5 หลายเดือนก่อน +4

    Wow nmependa nmemuona Kibibi asanteni kwa upendo

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho 3 หลายเดือนก่อน +5

    Eliud wewe sio mzima kijana wangu🤣🤣🤣🤣🤣, nimecheka sana story ya kulamba katoto mkono 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

    • @issasanga8509
      @issasanga8509 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂ako ni noma sana

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 5 หลายเดือนก่อน +4

    😂😂😂atimae wakazi kacheka

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nampenda sana eliudi,😂😂😂😂😂😂😂

  • @frankabdallah5054
    @frankabdallah5054 5 หลายเดือนก่อน +6

    😂😂😂Mungu akubariki sana bro, uko na talent kubwa sana

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo5116 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera boss wangu umefanya pakubwa boss

  • @user-jn7pi4fl5m
    @user-jn7pi4fl5m 5 หลายเดือนก่อน +5

    Nimecheka sana sate mjomba ake diba😂😂😂😂

  • @user-se4gi2or6o
    @user-se4gi2or6o 5 หลายเดือนก่อน +10

    Kibibi axnte Kwa kumsapoart anganile wetu

  • @matronmkenda3510
    @matronmkenda3510 5 หลายเดือนก่อน +9

    Najiuliza wanaoishi na huyu jamaa si watakua na mbavu zimechoka sana

    • @ahz6907
      @ahz6907 5 หลายเดือนก่อน

      Yupo kazini hapo 😂

    • @matronmkenda3510
      @matronmkenda3510 5 หลายเดือนก่อน

      @@ahz6907 😂😂

    • @audaxbizimana8084
      @audaxbizimana8084 29 วันที่ผ่านมา

      Yaani huyu jamaa anafanya vitu vya kipekee

  • @rahelyngogo771
    @rahelyngogo771 5 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂jamani umenikumbusha mama gulooo mweeeee

  • @FatinaKiondo-ke9tq
    @FatinaKiondo-ke9tq 5 หลายเดือนก่อน +4

    Hahahahahah umenimalizia bando🤣🤣🤣🤣

  • @PaschalThomas-dm8by
    @PaschalThomas-dm8by 5 หลายเดือนก่อน +9

    Mimi kama mimi cha nyumbani ni Bora kuliko chochote @eliud unajua mwanangu mpk kero😂😂😂😂

  • @samwelimwaim7136
    @samwelimwaim7136 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali sana ndugu MUNGU AENDELEE KUKULINDA na kukupgania Katka Kaz zako,

  • @scholasticajackson6760
    @scholasticajackson6760 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jaman naona watu wengi had my o level classmate bigup sana

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 4 หลายเดือนก่อน +3

    One of My Best Comedian 😅😅😅😅😅😅😅

  • @BenjaminMetanyau
    @BenjaminMetanyau 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna mda tunakaaga tunalia2😂😂😂 mwanangu umetisha sana nimeipenda hiyo

  • @sherry7339
    @sherry7339 5 หลายเดือนก่อน +3

    Eliud weee ni nyau kabisaa😂😂😂

  • @Jerrymaswaga
    @Jerrymaswaga 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hahahaaaaaaa KAKA UNAJUA SAAAANAAAAAAA.......nitakutafutaaaa

  • @salomenashon5864
    @salomenashon5864 5 หลายเดือนก่อน +2

    Anganile😂 umenichekesha sana😅

  • @asiamsemo6172
    @asiamsemo6172 5 หลายเดือนก่อน +5

    Eliud wew sio mzima wallah😂😂😂

  • @user-oy4hn9rf4l
    @user-oy4hn9rf4l 5 หลายเดือนก่อน +8

    Nimefurahi sana kumuona Jasiri wa PETE

  • @edinamyovela4422
    @edinamyovela4422 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nawapenda sana team Juakali mnanipa rahaa

  • @FREDCHILUMBA-hf5dm
    @FREDCHILUMBA-hf5dm 5 หลายเดือนก่อน +2

    🤣🤣🤣🤣 unajua sana broo

  • @user-wf7bj1so8g
    @user-wf7bj1so8g 5 หลายเดือนก่อน +11

    tunamwona kibibi tujuane

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 2 หลายเดือนก่อน +2

    UNACHEKA MWANZO MPAKA MWISHO NA HUCHOKI UNATAMANI IENDELEE,,TALENTED

  • @user-rf8oq1jd6u
    @user-rf8oq1jd6u 5 หลายเดือนก่อน +2

    Jasiri wa Pete nmekuona 😊😊

  • @hadijajuma9550
    @hadijajuma9550 5 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂unatisha boss

  • @annembijima391
    @annembijima391 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ilikuwa nzuriiii😂😂😂

  • @joiriawanjala8497
    @joiriawanjala8497 5 หลายเดือนก่อน +7

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana eliud yani sura yenyewe n kichekesho kabisa😂😂😂naona kaka frank anavyoisha kwa kicheko....big up to all jua kali family mnaushirikiano sana 🇰🇪🇰🇪

  • @janethmshahara4048
    @janethmshahara4048 5 หลายเดือนก่อน +3

    😅😅😅😅😅😅😅 ety mikikimikiki kama ya Farida

  • @elskimalatukengela1058
    @elskimalatukengela1058 5 หลายเดือนก่อน +5

    Wanyakyusa 🙌🙌

  • @joycesweetbertibambasi9317
    @joycesweetbertibambasi9317 5 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂 eliud wa jua kali

  • @sarahmsambule5235
    @sarahmsambule5235 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nusa si kwetu tayari 😂😂

  • @sayozmediatv6021
    @sayozmediatv6021 5 หลายเดือนก่อน +3

    Pongezi kwako kijana safi sana

  • @Juke995
    @Juke995 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hivi eliud hizi nguo anazitoaga wapi 😂nimemuona wakazi kwa mbali analazimisha furaha 😂😂😂nikirudi bongo lazima niende kusikiliza live

  • @hawagwao8352
    @hawagwao8352 5 หลายเดือนก่อน

    that is gd wasanii kumsprt🥂

  • @elolam7
    @elolam7 5 หลายเดือนก่อน +160

    Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💷💳

    • @felistasiwale7582
      @felistasiwale7582 5 หลายเดือนก่อน +3

      Ameeeeen

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 5 หลายเดือนก่อน +1

      Amiin tajir

    • @bernardaugust4021
      @bernardaugust4021 5 หลายเดือนก่อน +1

      Tupo pamoja matajiri

    • @esterwayesu
      @esterwayesu 4 หลายเดือนก่อน +1

      Amen barikiwa sana mtumishi🎉❤

    • @user-ce3kc7vc2j
      @user-ce3kc7vc2j 4 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😢😢😊😢😢😊😊😮😢😊😊😊😊😊😊😢😊😢😢

  • @user-oo5sj8hb5m
    @user-oo5sj8hb5m 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera Sana eliud upo vizuli

  • @neemamjema1067
    @neemamjema1067 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂 heshima yako 🙌🙌

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 5 หลายเดือนก่อน +2

    Aisee sahivi sitakua namiss comedy zake

  • @bettykarume5619
    @bettykarume5619 5 หลายเดือนก่อน +1

    Eliud Samweli wa Jua kali bango kubwa😂😂😂

  • @user-pi6ye5fb4s
    @user-pi6ye5fb4s 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nakupenda sana unajua

  • @godblexxgyunda6060
    @godblexxgyunda6060 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hujawah kumwacha Mungu😂😂😂

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 5 หลายเดือนก่อน +9

    Eliud anafanana sana na ex wangu jmn wanafanana mpaka kucheka na yy ni mnyakyusa pia sema eliud mfupi ila yule kima alikua mrefu sana

    • @laurnyandwi-sb1gu
      @laurnyandwi-sb1gu 5 หลายเดือนก่อน

      Kima Tena mh🤔

    • @pikanaauntzuu1466
      @pikanaauntzuu1466 5 หลายเดือนก่อน

      @@laurnyandwi-sb1gu ehee ndio mtu ambae unamuonyesha upendo halafu yy anacheza na hisia zako

    • @laurnyandwi-sb1gu
      @laurnyandwi-sb1gu 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@pikanaauntzuu1466 msamehe..,alkuwa sio riziki Yako

    • @laurnyandwi-sb1gu
      @laurnyandwi-sb1gu 5 หลายเดือนก่อน +2

      @@pikanaauntzuu1466 utampata akupendaye Zaid yake mala dufu

    • @aginni94
      @aginni94 5 หลายเดือนก่อน

      Kima Tena alafu mrefu

  • @fredyezekiel252
    @fredyezekiel252 5 หลายเดือนก่อน +4

    Haujamalizia kipande bhanaa😂😂

  • @jacksonwilliam5991137
    @jacksonwilliam5991137 5 หลายเดือนก่อน +1

    Brother eliud ni kweli hujawahi kuwa mweupe kabisaa😅 au Baba aliuza rangi yako wapate hela za kupaulia msauzi 😂

  • @galuyegaluye2813
    @galuyegaluye2813 5 หลายเดือนก่อน

    My broda🎉

  • @user-vg6xe7tj8z
    @user-vg6xe7tj8z 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nimekuelewa sana😂😂😂

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Unajua sana 🔥🔥🔥

  • @_beatusbaraka
    @_beatusbaraka 5 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂😂😂😂 unajua👏👏👏👏👏

  • @user-ho9wt4fo8h
    @user-ho9wt4fo8h 5 หลายเดือนก่อน +1

    Anganile😂😂😂😂 uko vzr jmn

  • @HawaHussein-hq1lj
    @HawaHussein-hq1lj 5 หลายเดือนก่อน

    We eliudi wewe unajua kutufrahisha 😂😂 rech kasema ww nayy ndobac😂😂ety unakashika mdomo mama alikuwepo wataka nakwambia 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @JescaLupenza
    @JescaLupenza 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nakufurahia mno ❤️

  • @rithaferdinand3738
    @rithaferdinand3738 5 หลายเดือนก่อน +1

    Waooooh kaka Fule kafurahi mwenyewe

  • @janekapoya4733
    @janekapoya4733 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuelewa sana Bwana mdogo mc Eliud

  • @janethgeorge5791
    @janethgeorge5791 3 หลายเดือนก่อน +5

    Shangazi hataki kukaaa😁

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 5 หลายเดือนก่อน +5

    Nsekile mpk katile fwituuu😂😂😂😂😂😂😂 mmenye gweliwe

  • @isaackkibona361
    @isaackkibona361 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ila wanyakyusaa 🙌🙌

  • @yuzzoruta9757
    @yuzzoruta9757 5 หลายเดือนก่อน +5

    pure talent😅😂

  • @samwelimadaraka4358
    @samwelimadaraka4358 5 หลายเดือนก่อน +6

    Team jua kali nawaona hapo ❤

    • @richardmhagama5028
      @richardmhagama5028 5 หลายเดือนก่อน

      Team Jua Kali .... Mwali mindu...

  • @AsmaAsma-gd3mv
    @AsmaAsma-gd3mv 5 หลายเดือนก่อน +3

    Nikilia hapa mtasema linadeka😅

  • @mwazaynbntymfaume
    @mwazaynbntymfaume 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂anganile unachekesha

  • @josephatijerome2592
    @josephatijerome2592 5 หลายเดือนก่อน +2

    Respect brother🎉🎉

  • @happinessgeorge
    @happinessgeorge 4 หลายเดือนก่อน +2

    Special comedian aiseeee

  • @coleinvee3181
    @coleinvee3181 5 หลายเดือนก่อน +4

    mbavu zinauma 😂😂

  • @SarahLwila
    @SarahLwila 5 หลายเดือนก่อน +2

    Shetani anakuangalia anasema haujui😂

  • @annamwanyelele9084
    @annamwanyelele9084 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hahahahjaq Mimi nawewe basi

  • @marthalangia
    @marthalangia 5 หลายเดือนก่อน +2

    Eliud hujatufanyia poa mashabiki wa Farida mbona hujatuletea tumuone😂😂au yupo saloon anasokota dred😜

  • @joycemlewa3734
    @joycemlewa3734 5 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅😅😅 halafu humiagi nguvu daaah

  • @user-cg5ly1op4l
    @user-cg5ly1op4l 5 หลายเดือนก่อน +2

    Naiona family ya jua kal😂😂

  • @user-gk7ic7dh8m
    @user-gk7ic7dh8m 5 หลายเดือนก่อน +4

    Rebecca ndio mmi dda yako 😂😂

  • @FabienDeo
    @FabienDeo 5 หลายเดือนก่อน +4

    Je eliud anajua😅

  • @user-xc8gm7vv1x
    @user-xc8gm7vv1x 5 หลายเดือนก่อน +1

    Yaan jaman❤❤❤

  • @laurenciamagera3289
    @laurenciamagera3289 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kajala kofia imechoka hiyooo😂😂😂

  • @PriscaHeguye
    @PriscaHeguye 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mbavu zangu miee 😂😂😂

  • @adolphriwa3534
    @adolphriwa3534 4 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sn Eliudi unajua sn .

  • @rachelabnel6687
    @rachelabnel6687 5 หลายเดือนก่อน +2

    Daaa jamn et rahel

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 5 หลายเดือนก่อน +6

    Juakali Imesababisha Tumenunua Dstv sio Mchezo kabisa 😂

  • @RechoKimaro-jp5zq
    @RechoKimaro-jp5zq หลายเดือนก่อน +3

    Love you so much Eliud ❤

  • @majutoeliasi
    @majutoeliasi 5 หลายเดือนก่อน +6

    Namuona kajala