Kuna kitu ameongea eliud ni comedy ila ni moja ya vita safi sana kwenye familia zetu za zamani Kuna watu tuliishi nao vzr na Wala sio ndugu ila tulikaa nao nyumbani vzr kama ndugu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana eliud yani sura yenyewe n kichekesho kabisa😂😂😂naona kaka frank anavyoisha kwa kicheko....big up to all jua kali family mnaushirikiano sana 🇰🇪🇰🇪
Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💷💳
Dah eliudi nakupenda sana anaempenda pia gonga like
Mungu anakushika mkono Eliud...mweeh mweeh mweeh usije ukamuacha huyo Mungu wako......anakupambania
Eliud anaongea kama masikhara lakini hivyo ndivyo ilivyokua na wazee wetu kila ifikapo skukuu jamani I miss those days sana
Ni kakako eeeh
Eliud ni mchekeshashaji natural, hatumii nguvu kabisa. Kila neno lake ni kiburudisho😂
Lamata village mna umoja sana Mungu awabariki❤️
Kazi ya Lamataaa
Jua kali mtanivuja mbuvu zangu😂😂😂😂😂
Jamani Eliudi Mimi Raheli Rechol WA njombe nimekukosea nini jamani 😂😂😂😂
Naiona tim jua kali ramata frank na wengine😂😂 mbarikiwe
Mzee Eliud we nihatari baba, bora uzima tu ✌️ mr Godfrey comédy from uganda 🇺🇬🙏
Eliud unajua sana... Nimekupenda bure Bwana Yesu azidi kuwastawisha.❤🙌
Kuna kitu ameongea eliud ni comedy ila ni moja ya vita safi sana kwenye familia zetu za zamani Kuna watu tuliishi nao vzr na Wala sio ndugu ila tulikaa nao nyumbani vzr kama ndugu
𝙉𝙖𝙠𝙪𝙢𝙗𝙪𝙠𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖
Ninakupenda sana Eliud
Mungu akutunze
Juakal team nimewaonaaa ...stay blessed
Hongera sana broo sio Kwa bahat mbaya ndo Nia na madhumuni ya watanzania hatupendag kuwadharau watanzania wenzetu tupo nyuma Yako tembea kifua mbele❤❤
😂😂😂😂 nampenda eliud anavoongea
Nawapenda Sana timu jua Kali ❤❤❤
Kaka unajuwa sanaaa Mungu azidi kukuonyesha njia ya kwenda juu zaidi
Namukubali sana Mungu atuweke sote tuzidi frahi
Nampenda Sana uyu mkaka❤❤...Utacheka tu
Mwaisaaaa mtu mbaadiiiiii😂😂😂🔥
Wow nmependa nmemuona Kibibi asanteni kwa upendo
Eliud wewe sio mzima kijana wangu🤣🤣🤣🤣🤣, nimecheka sana story ya kulamba katoto mkono 😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
😂😂😂😂ako ni noma sana
😂😂😂atimae wakazi kacheka
Nampenda sana eliudi,😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂Mungu akubariki sana bro, uko na talent kubwa sana
Hongera boss wangu umefanya pakubwa boss
Nimecheka sana sate mjomba ake diba😂😂😂😂
Kibibi axnte Kwa kumsapoart anganile wetu
Najiuliza wanaoishi na huyu jamaa si watakua na mbavu zimechoka sana
Yupo kazini hapo 😂
@@ahz6907 😂😂
Yaani huyu jamaa anafanya vitu vya kipekee
😂😂😂jamani umenikumbusha mama gulooo mweeeee
Hahahahahah umenimalizia bando🤣🤣🤣🤣
Mimi kama mimi cha nyumbani ni Bora kuliko chochote @eliud unajua mwanangu mpk kero😂😂😂😂
Nakukubali sana ndugu MUNGU AENDELEE KUKULINDA na kukupgania Katka Kaz zako,
Jaman naona watu wengi had my o level classmate bigup sana
One of My Best Comedian 😅😅😅😅😅😅😅
Kuna mda tunakaaga tunalia2😂😂😂 mwanangu umetisha sana nimeipenda hiyo
Eliud weee ni nyau kabisaa😂😂😂
Hahahaaaaaaa KAKA UNAJUA SAAAANAAAAAAA.......nitakutafutaaaa
Anganile😂 umenichekesha sana😅
Eliud wew sio mzima wallah😂😂😂
Nimefurahi sana kumuona Jasiri wa PETE
Nawapenda sana team Juakali mnanipa rahaa
🤣🤣🤣🤣 unajua sana broo
tunamwona kibibi tujuane
UNACHEKA MWANZO MPAKA MWISHO NA HUCHOKI UNATAMANI IENDELEE,,TALENTED
Jasiri wa Pete nmekuona 😊😊
😂😂😂😂unatisha boss
Ilikuwa nzuriiii😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana eliud yani sura yenyewe n kichekesho kabisa😂😂😂naona kaka frank anavyoisha kwa kicheko....big up to all jua kali family mnaushirikiano sana 🇰🇪🇰🇪
😅😅😅😅😅😅😅 ety mikikimikiki kama ya Farida
Wanyakyusa 🙌🙌
😂😂😂 eliud wa jua kali
Nusa si kwetu tayari 😂😂
Pongezi kwako kijana safi sana
Hivi eliud hizi nguo anazitoaga wapi 😂nimemuona wakazi kwa mbali analazimisha furaha 😂😂😂nikirudi bongo lazima niende kusikiliza live
that is gd wasanii kumsprt🥂
Wale ambao mwaka huu tunaenda kuwa matajiri si kwa ajili yetu ila kwa ajili ya utukufu wa Mungu.. nikuone kwenye comment please!... Sema chochote tajiri mwenzangu❗hii ni kwa matajiri tu❗💰💵💴💷💳
Ameeeeen
Amiin tajir
Tupo pamoja matajiri
Amen barikiwa sana mtumishi🎉❤
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😢😢😊😢😢😊😊😮😢😊😊😊😊😊😊😢😊😢😢
Hongera Sana eliud upo vizuli
😂😂😂😂😂 heshima yako 🙌🙌
Aisee sahivi sitakua namiss comedy zake
Eliud Samweli wa Jua kali bango kubwa😂😂😂
Nakupenda sana unajua
Hujawah kumwacha Mungu😂😂😂
Eliud anafanana sana na ex wangu jmn wanafanana mpaka kucheka na yy ni mnyakyusa pia sema eliud mfupi ila yule kima alikua mrefu sana
Kima Tena mh🤔
@@laurnyandwi-sb1gu ehee ndio mtu ambae unamuonyesha upendo halafu yy anacheza na hisia zako
@@pikanaauntzuu1466 msamehe..,alkuwa sio riziki Yako
@@pikanaauntzuu1466 utampata akupendaye Zaid yake mala dufu
Kima Tena alafu mrefu
Haujamalizia kipande bhanaa😂😂
Brother eliud ni kweli hujawahi kuwa mweupe kabisaa😅 au Baba aliuza rangi yako wapate hela za kupaulia msauzi 😂
My broda🎉
Nimekuelewa sana😂😂😂
Unajua sana 🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂 unajua👏👏👏👏👏
Anganile😂😂😂😂 uko vzr jmn
We eliudi wewe unajua kutufrahisha 😂😂 rech kasema ww nayy ndobac😂😂ety unakashika mdomo mama alikuwepo wataka nakwambia 😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Nakufurahia mno ❤️
Waooooh kaka Fule kafurahi mwenyewe
Nakuelewa sana Bwana mdogo mc Eliud
Shangazi hataki kukaaa😁
Nsekile mpk katile fwituuu😂😂😂😂😂😂😂 mmenye gweliwe
Fyutu fyo fiki
Ila wanyakyusaa 🙌🙌
pure talent😅😂
Team jua kali nawaona hapo ❤
Team Jua Kali .... Mwali mindu...
Nikilia hapa mtasema linadeka😅
😂😂😂😂anganile unachekesha
Respect brother🎉🎉
Special comedian aiseeee
mbavu zinauma 😂😂
Shetani anakuangalia anasema haujui😂
Hahahahjaq Mimi nawewe basi
Eliud hujatufanyia poa mashabiki wa Farida mbona hujatuletea tumuone😂😂au yupo saloon anasokota dred😜
😅😅😅😅😅😅 halafu humiagi nguvu daaah
Naiona family ya jua kal😂😂
Rebecca ndio mmi dda yako 😂😂
Je eliud anajua😅
Yaan jaman❤❤❤
Kajala kofia imechoka hiyooo😂😂😂
Mbavu zangu miee 😂😂😂
Safi sn Eliudi unajua sn .
Daaa jamn et rahel
Juakali Imesababisha Tumenunua Dstv sio Mchezo kabisa 😂
Love you so much Eliud ❤
Namuona kajala