YANGA INAWEKA KAMBI WAPI?/MSIKIE ALLY KAMWE AKITOA RIPOTI KAMILI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 216

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 13 วันที่ผ่านมา +12

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @ommyhatib7331
    @ommyhatib7331 14 วันที่ผ่านมา +18

    Mwakahuu mungu akipenda kombe mapema xan

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 14 วันที่ผ่านมา +9

    Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr

  • @sumaiyyaelias
    @sumaiyyaelias 14 วันที่ผ่านมา +7

    nikwel chama yupo yanga mbn tutakuwa vzr sana tusichenze tanzania si mabingwa champion jaman yanga❤

  • @user-tr7wf9sj7h
    @user-tr7wf9sj7h 14 วันที่ผ่านมา +6

    Hongera sana kwakweli mnafanya kazi kubwa inayotufurahisha sana wana Yanga

  • @FabiolaSommy
    @FabiolaSommy 13 วันที่ผ่านมา +4

    🎉🎉🎉 Mungu akupe maisha marefu semaji letu

  • @magangamasansa4160
    @magangamasansa4160 13 วันที่ผ่านมา +7

    Mimi Aziz hanipi presha hata asipolizia wa muache aende, alienda mayele lakini tulipambana, kwahiyo Aziz K uwenda amepata Dau kwingine ni Sawa tu

    • @amanikaduma237
      @amanikaduma237 13 วันที่ผ่านมา

      Na ndo maana wakamsajili chama

    • @user-cv4yi5hz9b
      @user-cv4yi5hz9b 13 วันที่ผ่านมา

      Muache ndo anaenda kupotea maxima walahi 🤔 yanga timu kubwa kuliko timu hizo😮😮😮🤪🤪💚🤲🏻🔜🏆🏆🏆🏆💚💚🤲🏻

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 14 วันที่ผ่านมา +13

    Yaan Yanga Bora tena sana

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 13 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenyekiti Wa Wasemaji Barani Africa#Ally Kamwe# Daima Mbele Nyuma Mwiko💚🇹🇿🇹🇿

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 13 วันที่ผ่านมา +5

    Yanga Inabidi Tupate Winga 1 Na Kiungo Mkabaji Mwengne Hapo Aje Yeyotee

  • @kyflavour
    @kyflavour 14 วันที่ผ่านมา +8

    Nakubali Chama langu

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 14 วันที่ผ่านมา +7

    Mwenyekiti wa wasemaji wote safi sana 🎉🎉🎉

  • @dullamuso6955
    @dullamuso6955 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu Ibariki Young African Sports Club, Tupe nguvu na Utimamu zaidi Hakika Tukateteee Ubingwa na Hatimaye Kombe la Africa likaje Tanzania 🇹🇿

  • @kalingavictor7068
    @kalingavictor7068 14 วันที่ผ่านมา +7

    Ally , mwambie injinia apambane tusimpoteze Azizi

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 13 วันที่ผ่านมา

      Aziz yupo Yanga na wiki ijayo anakuja

    • @kalingavictor7068
      @kalingavictor7068 13 วันที่ผ่านมา

      @@muddymuzungu4357 Itakuwa furaha kubwa kwa wanayanga wote

    • @salahtv5591
      @salahtv5591 13 วันที่ผ่านมา +1

      Lipia kadi aziz ki lzm atabaki

    • @kalingavictor7068
      @kalingavictor7068 13 วันที่ผ่านมา

      @@salahtv5591 hiyo tu siyo shida

    • @ZuenaMashauri
      @ZuenaMashauri 12 วันที่ผ่านมา

      Azizi ki yupo yanga jamani

  • @MonicaSimon-py3nx
    @MonicaSimon-py3nx 13 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyezi mungu wabariki wachezaji wetu

  • @roseurio4983
    @roseurio4983 12 วันที่ผ่านมา

    Na hivi eng Aris alishafunguaka mlango wa magoli kuleee moro .Mungu ibariki yanga

  • @mudylipawaga5362
    @mudylipawaga5362 14 วันที่ผ่านมา +3

    Yanga bingwa tena inshaALLAH🙏🏼

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 14 วันที่ผ่านมา +4

    Wajihi wa ally kamwe unamaana sana kuhusu Azz k Sina tumaini

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 14 วันที่ผ่านมา +34

    Safi Sana ila tujiandae kisaikorojia kuhusu Aziz ki maana ata sielewi

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 14 วันที่ผ่านมา +11

      Mchezaji akitaka changamoto sehemu nyengine hafai kuzuiwa

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz 14 วันที่ผ่านมา +9

      Mm Sina hofu na timu km Aziz hajasain bac kocha atajua nn afanye

    • @user-er1dk6zj6u
      @user-er1dk6zj6u 14 วันที่ผ่านมา +5

      Wacha was was wewe ki yupo

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 13 วันที่ผ่านมา +5

      Kuwa na amani kabsaaa

    • @B.M-ix4rz
      @B.M-ix4rz 13 วันที่ผ่านมา

      @@user-er1dk6zj6u mbona mpaka saiv mara hajasain mara tayr Kwakweli hatujui tubakie na lip

  • @careemdulla1629
    @careemdulla1629 13 วันที่ผ่านมา +1

    We Aziz Ki tufanye tuwezavyo tumbakishe Aziz K ni mchezaji muhimu sana na hatari pamoja na Pacome Hawa kwa sasa ndio nembo ya Yanga Africa

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 13 วันที่ผ่านมา +1

    🤗🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇹🇿🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa 2024 adi 30

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 13 วันที่ผ่านมา +1

    Aziz K alishasaini muda mrefu sanaaaaa

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 14 วันที่ผ่านมา +2

    Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 13 วันที่ผ่านมา +2

    Kwani aziz k ndo anaibeba yanga nzima? Akienda aende tu watakuja wengine

  • @AgnesRobert-q1i
    @AgnesRobert-q1i 12 วันที่ผ่านมา

    Mungu ibariki yanga🎉 hatuna muda wapinzan😂😂

  • @kaseja
    @kaseja 14 วันที่ผ่านมา +2

    Alhamdullilah furaha imerudi sasa.

  • @futurecarefamily5454
    @futurecarefamily5454 13 วันที่ผ่านมา

    Friji lipooo 😂😂😂Naijua hiyooo....😅😅😂😂😂kehee....Azizi ki yupo paleee amekaa🤣🤣🤣🙌

  • @khadijabakari9092
    @khadijabakari9092 13 วันที่ผ่านมา +1

    Aziz k tujiandae kisaikolojia au

  • @amanisanatu3889
    @amanisanatu3889 13 วันที่ผ่านมา +1

    Daima mbele nyuma mwiko Big team

  • @Chichamiles
    @Chichamiles 13 วันที่ผ่านมา

    All kiungo mkabaji mwenye ROHO MBAYA 😠 anahitajika coz kuna timu zimeanza kujisahau sana

  • @saidingumbo-is2oe
    @saidingumbo-is2oe 14 วันที่ผ่านมา +3

    Azizi ki vp mbona mnatuweka roho juu

  • @alishaplate6290
    @alishaplate6290 14 วันที่ผ่านมา +2

    Jmn yote Tisa kumi Azz k yupo wp jmn mbn mnatuumiza roho hivi 😢

  • @religiondoctrines7
    @religiondoctrines7 13 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉, I l o v e y o u Y a n g a

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 13 วันที่ผ่านมา +1

    Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.

  • @samclaud
    @samclaud 13 วันที่ผ่านมา

    Keep going champion 🏆🏆🏆🏆

  • @ThomasDonard
    @ThomasDonard 14 วันที่ผ่านมา +5

    Wa kwanz jamani

  • @AbdulAthumni
    @AbdulAthumni 13 วันที่ผ่านมา

    azizi abaki ili ligi yetu izid kunoga na iwe juu zaid

  • @user-iu4rk6no6z
    @user-iu4rk6no6z 12 วันที่ผ่านมา

    Yangu ni kubwa kuliko mchezaji kuondoka kwa mchezaji ni kwamba kapata fursa mahali hivo tusihofu kuondoka kwa mchezaji tuna kikosi kipana

  • @user-nz2rw7sj9i
    @user-nz2rw7sj9i 13 วันที่ผ่านมา

    Kennedy Msonda Bado ni mchezaji mzuri asiachwe please

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 14 วันที่ผ่านมา +3

    ❤❤❤❤kila la kheri

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 14 วันที่ผ่านมา +2

    Aziz k wapi bwana !mnatuchanganya

  • @ibrahimrashid887
    @ibrahimrashid887 13 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wanajitahidi kuhusu azizi kama itashindikana aende atuachie timu yetu asiwachanganye viongozi wetu wana mambo mengi ya kufanya

  • @LavenEliasy
    @LavenEliasy 13 วันที่ผ่านมา +1

    💚💚

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 13 วันที่ผ่านมา +1

    Aziz ki tumchangie wananchi wote hili tumbakishe

  • @ShakiraMasoud-ox5tj
    @ShakiraMasoud-ox5tj 13 วันที่ผ่านมา +1

    Oya mbadala wa aucho mbona hamjamsajil 😢

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 11 วันที่ผ่านมา

    Alwatan ameanza kuzeeka...

  • @Godfrey-j8b
    @Godfrey-j8b 13 วันที่ผ่านมา

    Mungu atusaidie tu maana kila kitu Mungu ndo muweza wa yote

  • @Shadia544
    @Shadia544 13 วันที่ผ่านมา

    Sina raha miee 😢😢😢 azizi ki hayupo yanga 😢😢😢 Jamaniii 😢

  • @farajamfaume7545
    @farajamfaume7545 13 วันที่ผ่านมา

    Kama huyk azizi ki anadengua yupo azizi yule wa dreams ya ghana yupo vizuri pia

  • @pilimohammedy7592
    @pilimohammedy7592 12 วันที่ผ่านมา

    Huyu alyi kamwe hana tisheti nyingine maana aspovaa jezi bs a 1:55 tavaa hiyo tsht

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 13 วันที่ผ่านมา

    Imeenda hiyo hatuna mdaaa🔥🙏🙏

  • @user-ok3bc8of5q
    @user-ok3bc8of5q 14 วันที่ผ่านมา +3

    Nafrai kumuona mpomelelo dube

  • @KhamisKaju
    @KhamisKaju 13 วันที่ผ่านมา

    Aliy bdo tuna muhitaji k Aziz by kaju

  • @user-br3oc1dt1x
    @user-br3oc1dt1x 13 วันที่ผ่านมา

    Jamni mbona kama tunaumia kuusu azz ki mna hatuelewi mra kasaini injinia kasema hajasaini Yani furaha imepotea sana leo

  • @AishaAlly-l1d
    @AishaAlly-l1d 13 วันที่ผ่านมา

    yanga ushindi tu makolo kucheza tu ila makombe aaaaa!

  • @ains1122
    @ains1122 13 วันที่ผ่านมา +1

    Nineina player moya wa yanga princess

  • @SufianeAssumaneAssumane
    @SufianeAssumaneAssumane 13 วันที่ผ่านมา

    Bom dia. Mimi ni shabiki wa yanga. From Palma Moçambique. Jee Aziz ki tinae ama?

  • @blairmangani2341
    @blairmangani2341 13 วันที่ผ่านมา

    Mm nilishajiandaa toka mda,azizi key hatutakuwa nae huo ndo ukweli,ndo maana wamemsajili chama

  • @jimmymungai522
    @jimmymungai522 13 วันที่ผ่านมา

    Nani anaondoka, nani anakuja(tumeona baadhi), wengine wanaobaki wanaingia lini na kambi imeshaanza?
    Namna gani hii???

  • @humphreyjosephat5002
    @humphreyjosephat5002 14 วันที่ผ่านมา +3

    Wa pili leo

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 13 วันที่ผ่านมา

    Kazi Iendelee akhui mapambano bado yaendelea

  • @user-ym7rd4yn4l
    @user-ym7rd4yn4l 13 วันที่ผ่านมา

    Ally Azizi ki vp tuwekeni wazi

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 13 วันที่ผ่านมา

    Mmetisha yanga

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 14 วันที่ผ่านมา +4

    💚💚💛💛💚💚💛💛💛

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu 14 วันที่ผ่านมา +3

    😅😅😅 ila Ali kamwe 😅😅

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 13 วันที่ผ่านมา

    Mashabiki wapambane Azizi abaki

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 14 วันที่ผ่านมา +3

    Makofi tafadhari

  • @FrankMwingira-ip5us
    @FrankMwingira-ip5us 12 วันที่ผ่านมา

    Ni kwel aliyee shuka airport ni ki Aziz jamn

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k 13 วันที่ผ่านมา

    Azizi badoyupo kikubwa mwanayanga kuwanakadi yawanachama utam bakisha kamahuna usiulize na haikuhusu yanga

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 13 วันที่ผ่านมา

    Jaman Aziz atuelewi uku tuweken waz

  • @AgastinMtdJohn
    @AgastinMtdJohn 13 วันที่ผ่านมา

    Hakun taarifa ilioniumiza leo kama taarif ya aziz k
    Kuw hajasain moyo wang utapasuka chama ndio ila aziz kiboko

  • @MtashobyaJosia-wt9jq
    @MtashobyaJosia-wt9jq 13 วันที่ผ่านมา

    mtashobya josia nikiwa Kenya isibania nawapata ongera sana yanga tuko pamoja

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh 13 วันที่ผ่านมา

    Furaha yangu itarudi azizi akisain😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @SalimRamadhan-o7l
    @SalimRamadhan-o7l 13 วันที่ผ่านมา

    Ally wew nibora koliko yule mchenz

  • @farajamfaume7545
    @farajamfaume7545 13 วันที่ผ่านมา

    Kingine huyo azizi andambwile achanani nae tafuteni mtu sahihi wa kumsaidia aucho wasipishane sana na aucho plz

  • @carrenbenson2111
    @carrenbenson2111 14 วันที่ผ่านมา +1

    Wengine wako wapi?

  • @daudlubugwa4696
    @daudlubugwa4696 13 วันที่ผ่านมา

    Azizi ki yupo au mbona hamujasema

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 13 วันที่ผ่านมา

    Azizi k hatumuoni No 10 wetu jamani.

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 13 วันที่ผ่านมา

    Yaani Hapo Kwenye Kuongea kamwe Inazihilishaa Kuwaa azizi Kiki anasepaaa

  • @ShabanRajabu-up6pl
    @ShabanRajabu-up6pl 13 วันที่ผ่านมา

    Piya moyo unaniuma kuhusu azizi k kwann

  • @dicksonmzao8376
    @dicksonmzao8376 13 วันที่ผ่านมา

    Naomba aziz abaki piga ua garagaza

  • @MwinjumaShaban
    @MwinjumaShaban 14 วันที่ผ่านมา +1

    Vp azizi kii yupo au vp

  • @omarmakore6919
    @omarmakore6919 13 วันที่ผ่านมา

    Viongozi tunaomba mutupatiye taarifa ya Azizi key Maneno yamekuwa MENGI zaidi

  • @vincentkatabalo286
    @vincentkatabalo286 13 วันที่ผ่านมา

    Aziz K rumemsajiri Simba. Subirni maumivu

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 12 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo 13 วันที่ผ่านมา

    Safi

  • @CharlesDanielnyanda
    @CharlesDanielnyanda 13 วันที่ผ่านมา

    Napenda yanga damu damu

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d 13 วันที่ผ่านมา

    Naiona YANGA ijayo ni kama Madrid

  • @user-wo9df1wu8i
    @user-wo9df1wu8i 13 วันที่ผ่านมา

    Bado azizi ni muhimu kwa wanayanga

  • @focusmasunga1584
    @focusmasunga1584 13 วันที่ผ่านมา

    Kunamtu Anazimiaga akifungwa bola sisi hatuna watu wa kuzimia

  • @user-qd6yl1ub8v
    @user-qd6yl1ub8v 13 วันที่ผ่านมา

    Msitufiche tuambieni ukweli Aziz kiiiiiiiiiiiiii yupo msimu huu jangwani ama hayupo au mmeshindwa kumpata anachotaka ?

  • @rehemawamwarami3854
    @rehemawamwarami3854 13 วันที่ผ่านมา

    Azizi ki mbona haonekani hazungumzwi wiy!! Jamani.

  • @felixsitta1139
    @felixsitta1139 13 วันที่ผ่านมา

    Jaman Azizi k hatumuoni yukowapi?

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 13 วันที่ผ่านมา

    Yanga sio team mkubwa afrika hizi takwimu mnatoa wp ?

  • @KrispinMhagama
    @KrispinMhagama 13 วันที่ผ่านมา

    Presha sana kuhusu Azizi ki

  • @tamariamisi3540
    @tamariamisi3540 13 วันที่ผ่านมา

    Sijaona aucho Nikiwa uganda

  • @athumaninyituki7011
    @athumaninyituki7011 13 วันที่ผ่านมา

    Yanga rahaaaaaa kabsa

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi9171 13 วันที่ผ่านมา

    Mtambulisheni Azizi Ki jamani 😢

  • @BenjaminiMkapa
    @BenjaminiMkapa 13 วันที่ผ่านมา

    Nakubali

  • @yangaaSC
    @yangaaSC 13 วันที่ผ่านมา

    Mbn kama naona dalili zakumkosa aziz msimu ujao kama mmeanz habar za aziz sijui iyo sijui inatoka wapi..?😢