Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr
Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan
Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Mwakahuu mungu akipenda kombe mapema xan
Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr
nikwel chama yupo yanga mbn tutakuwa vzr sana tusichenze tanzania si mabingwa champion jaman yanga❤
Hongera sana kwakweli mnafanya kazi kubwa inayotufurahisha sana wana Yanga
🎉🎉🎉 Mungu akupe maisha marefu semaji letu
Mimi Aziz hanipi presha hata asipolizia wa muache aende, alienda mayele lakini tulipambana, kwahiyo Aziz K uwenda amepata Dau kwingine ni Sawa tu
Na ndo maana wakamsajili chama
Muache ndo anaenda kupotea maxima walahi 🤔 yanga timu kubwa kuliko timu hizo😮😮😮🤪🤪💚🤲🏻🔜🏆🏆🏆🏆💚💚🤲🏻
Yaan Yanga Bora tena sana
yanga borta
Mwenyekiti Wa Wasemaji Barani Africa#Ally Kamwe# Daima Mbele Nyuma Mwiko💚🇹🇿🇹🇿
Yanga Inabidi Tupate Winga 1 Na Kiungo Mkabaji Mwengne Hapo Aje Yeyotee
Nakubali Chama langu
Mwenyekiti wa wasemaji wote safi sana 🎉🎉🎉
Mungu Ibariki Young African Sports Club, Tupe nguvu na Utimamu zaidi Hakika Tukateteee Ubingwa na Hatimaye Kombe la Africa likaje Tanzania 🇹🇿
Ally , mwambie injinia apambane tusimpoteze Azizi
Aziz yupo Yanga na wiki ijayo anakuja
@@muddymuzungu4357 Itakuwa furaha kubwa kwa wanayanga wote
Lipia kadi aziz ki lzm atabaki
@@salahtv5591 hiyo tu siyo shida
Azizi ki yupo yanga jamani
Mwenyezi mungu wabariki wachezaji wetu
Na hivi eng Aris alishafunguaka mlango wa magoli kuleee moro .Mungu ibariki yanga
Yanga bingwa tena inshaALLAH🙏🏼
Wajihi wa ally kamwe unamaana sana kuhusu Azz k Sina tumaini
Kweli dogo kapoa sana
Safi Sana ila tujiandae kisaikorojia kuhusu Aziz ki maana ata sielewi
Mchezaji akitaka changamoto sehemu nyengine hafai kuzuiwa
Mm Sina hofu na timu km Aziz hajasain bac kocha atajua nn afanye
Wacha was was wewe ki yupo
Kuwa na amani kabsaaa
@@user-er1dk6zj6u mbona mpaka saiv mara hajasain mara tayr Kwakweli hatujui tubakie na lip
We Aziz Ki tufanye tuwezavyo tumbakishe Aziz K ni mchezaji muhimu sana na hatari pamoja na Pacome Hawa kwa sasa ndio nembo ya Yanga Africa
🤗🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇹🇿🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa 2024 adi 30
Aziz K alishasaini muda mrefu sanaaaaa
Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan
Kwani aziz k ndo anaibeba yanga nzima? Akienda aende tu watakuja wengine
Mungu ibariki yanga🎉 hatuna muda wapinzan😂😂
Alhamdullilah furaha imerudi sasa.
Friji lipooo 😂😂😂Naijua hiyooo....😅😅😂😂😂kehee....Azizi ki yupo paleee amekaa🤣🤣🤣🙌
Aziz k tujiandae kisaikolojia au
Daima mbele nyuma mwiko Big team
All kiungo mkabaji mwenye ROHO MBAYA 😠 anahitajika coz kuna timu zimeanza kujisahau sana
Azizi ki vp mbona mnatuweka roho juu
Jmn yote Tisa kumi Azz k yupo wp jmn mbn mnatuumiza roho hivi 😢
Hongera sana viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉, I l o v e y o u Y a n g a
Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.
Keep going champion 🏆🏆🏆🏆
Wa kwanz jamani
azizi abaki ili ligi yetu izid kunoga na iwe juu zaid
Yangu ni kubwa kuliko mchezaji kuondoka kwa mchezaji ni kwamba kapata fursa mahali hivo tusihofu kuondoka kwa mchezaji tuna kikosi kipana
Kennedy Msonda Bado ni mchezaji mzuri asiachwe please
❤❤❤❤kila la kheri
Aziz k wapi bwana !mnatuchanganya
Viongozi wanajitahidi kuhusu azizi kama itashindikana aende atuachie timu yetu asiwachanganye viongozi wetu wana mambo mengi ya kufanya
💚💚
Aziz ki tumchangie wananchi wote hili tumbakishe
Oya mbadala wa aucho mbona hamjamsajil 😢
Alwatan ameanza kuzeeka...
Mungu atusaidie tu maana kila kitu Mungu ndo muweza wa yote
Sina raha miee 😢😢😢 azizi ki hayupo yanga 😢😢😢 Jamaniii 😢
Kama huyk azizi ki anadengua yupo azizi yule wa dreams ya ghana yupo vizuri pia
Huyu alyi kamwe hana tisheti nyingine maana aspovaa jezi bs a 1:55 tavaa hiyo tsht
Imeenda hiyo hatuna mdaaa🔥🙏🙏
Nafrai kumuona mpomelelo dube
Aliy bdo tuna muhitaji k Aziz by kaju
Jamni mbona kama tunaumia kuusu azz ki mna hatuelewi mra kasaini injinia kasema hajasaini Yani furaha imepotea sana leo
yanga ushindi tu makolo kucheza tu ila makombe aaaaa!
Nineina player moya wa yanga princess
Bom dia. Mimi ni shabiki wa yanga. From Palma Moçambique. Jee Aziz ki tinae ama?
Mm nilishajiandaa toka mda,azizi key hatutakuwa nae huo ndo ukweli,ndo maana wamemsajili chama
Nani anaondoka, nani anakuja(tumeona baadhi), wengine wanaobaki wanaingia lini na kambi imeshaanza?
Namna gani hii???
Wa pili leo
Kazi Iendelee akhui mapambano bado yaendelea
Ally Azizi ki vp tuwekeni wazi
Mmetisha yanga
💚💚💛💛💚💚💛💛💛
😅😅😅 ila Ali kamwe 😅😅
Mashabiki wapambane Azizi abaki
Makofi tafadhari
Ni kwel aliyee shuka airport ni ki Aziz jamn
Azizi badoyupo kikubwa mwanayanga kuwanakadi yawanachama utam bakisha kamahuna usiulize na haikuhusu yanga
Jaman Aziz atuelewi uku tuweken waz
Hakun taarifa ilioniumiza leo kama taarif ya aziz k
Kuw hajasain moyo wang utapasuka chama ndio ila aziz kiboko
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania nawapata ongera sana yanga tuko pamoja
Furaha yangu itarudi azizi akisain😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ally wew nibora koliko yule mchenz
Kingine huyo azizi andambwile achanani nae tafuteni mtu sahihi wa kumsaidia aucho wasipishane sana na aucho plz
Wengine wako wapi?
Azizi ki yupo au mbona hamujasema
Azizi k hatumuoni No 10 wetu jamani.
Yaani Hapo Kwenye Kuongea kamwe Inazihilishaa Kuwaa azizi Kiki anasepaaa
Piya moyo unaniuma kuhusu azizi k kwann
Naomba aziz abaki piga ua garagaza
Vp azizi kii yupo au vp
Viongozi tunaomba mutupatiye taarifa ya Azizi key Maneno yamekuwa MENGI zaidi
Aziz K rumemsajiri Simba. Subirni maumivu
Mashaallah
Safi
Napenda yanga damu damu
Naiona YANGA ijayo ni kama Madrid
Bado azizi ni muhimu kwa wanayanga
Kunamtu Anazimiaga akifungwa bola sisi hatuna watu wa kuzimia
Msitufiche tuambieni ukweli Aziz kiiiiiiiiiiiiii yupo msimu huu jangwani ama hayupo au mmeshindwa kumpata anachotaka ?
Azizi ki mbona haonekani hazungumzwi wiy!! Jamani.
Jaman Azizi k hatumuoni yukowapi?
Yanga sio team mkubwa afrika hizi takwimu mnatoa wp ?
Presha sana kuhusu Azizi ki
Sijaona aucho Nikiwa uganda
Yanga rahaaaaaa kabsa
Mtambulisheni Azizi Ki jamani 😢
Nakubali
Mbn kama naona dalili zakumkosa aziz msimu ujao kama mmeanz habar za aziz sijui iyo sijui inatoka wapi..?😢