NAMALIZA NA VYANGU,MAOMBI YA WAFANYABIASHARA(WATEJA NA FAIDA KUONGEZEKA)15.10.2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2021
- Bwana Yesu asifiwe,
Tunamshukuru Mungu kwa neema nyingine ambayo ametupa leo kwenye siku ya maombi ya WAFANYABIASHARA..
Leo tutaenda kuomba juu ya wateja kuongezeka na faida kupatikana,
Neno la Mungu linasema;
“BWANA, mkombozi wako, mtakatifu wa Israeli, asema hivi; Mimi ni BWANA, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuata.”
Isa 48:17 SUV
Maana yake Mungu anao uwezo wa kutufundisha na tukapata faida ambayo bila yeye hatuwezi kuwa nayo..
Ana uwezo wa kutuletewa wateja ambao kwa wao faida ikaonekana
Kwa jina la Yesu,
Watu wooote wanaotakiwa kuleta faida kwako utaiona
Watu wote wanaotakiwa kununua kwako watakuja
Watu wote wanaotakiwa kukusaidia kutangaza biashara yako watatangaza
Na kila nguvu za giza ambazo zinakuzuia kupata wateja na zinakula faida kuanzia sasa hazitakupata tena..AMEN
Min Mocky
Amina ninaomba biashara yangu ujue Kila siku kama mama alivo omba mtaji wangu ukue na kuongezeka wateja wazidi na kuzidi hawatakimbia Wala kuama wateja watu Amina Amina Amina amen imekuwa kabisa
Mungu naomba unipe wateja muda huu roh mtakatifu
Amen
Najiunganisha na maombi ya Leo juu ya Biashara yangu Amen
AMMMMMMMEEEEEEEEEEEEEEEENNNNNNN 🙏🙏🙏
Amen 🙏
Amen barikiwa
Najiungamanisha na maombi
Ameniiiiii
Ameen
Amen amen amen and amen I receive in the name of Jesus
Mam natamani utengeneze podcast
Amen 🙏🙏🙏
Amen!
AMEN AMEN AMEN,I RECEIVE IT,THANKS SERVANT OF GOD
Amen
Amen
Amen
Amen