Sissi tupo wekezaji kutoka Italy, tumenunua hardi Arusha , tunenunua tumelipa ushuru yote , miaka 2 na nussu atujapata title deed , title deed ilikwepo nikubaduri jina tuu......kumbe tupo stranded miaka miwili na nussu , tumesajili TIC , wanasema kilawakati subiri......wekejazi wamekwenda Kenya, wameweza kununua ardhi na kujenga hotel mbili , sissi apo Tanzania hata transfer ajatimia.......mazingira sio mzuri kwa wekezaji , tuombe mungu Mama Samia atarekebisha , lakini kwa sisi tabiti tufunge miaka mitatu na mafanikio sufuri. Uyu mzungu anauza zanzibar , afhadali.
Hawa ni wazuri sana kwa ujenzi
Sissi tupo wekezaji kutoka Italy, tumenunua hardi Arusha , tunenunua tumelipa ushuru yote , miaka 2 na nussu atujapata title deed , title deed ilikwepo nikubaduri jina tuu......kumbe tupo stranded miaka miwili na nussu , tumesajili TIC , wanasema kilawakati subiri......wekejazi wamekwenda Kenya, wameweza kununua ardhi na kujenga hotel mbili , sissi apo Tanzania hata transfer ajatimia.......mazingira sio mzuri kwa wekezaji , tuombe mungu Mama Samia atarekebisha , lakini kwa sisi tabiti tufunge miaka mitatu na mafanikio sufuri. Uyu mzungu anauza zanzibar , afhadali.