Mgomo Kariakoo. Kwa nini Serikali Inahitaji Uthubutu Kufanya Mageuzi ya Kikodi | Mtazamo Wa Pili

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Leo Juni 24,2024, wafanyabiashara kariakoo walifunga maduka yao kwa sababu mbalimbali walizozitaja ikiwemo usumbufu wa kikodi na masuala mengine. Sakata hili limeishia na serikali na wafanyabiashara hao kufikia muafaka katika mambo sita.
    Fuatilia uchambuzi huu unaongalia kwa nini serikali inaweza kwenda mbali zaidi.
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

ความคิดเห็น • 19

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 3 หลายเดือนก่อน +3

    SHIDA SIO KULIPA KODI IMMAGINE NAPAMBANA USIKU NA MCHANA KUHAHIKISHA NAPIGA ATUA PAMOJA NA NCHI KUPIGA HATUA MARA UNASIKIA BILION IMEPIGWA NA HAKUNA SHERIA INAYOWASHIKILIA HAWA VIONGOZI KESI INAISHIA JUU KWA JUU, HAWA WATU WAPIGWE RISASI KAMA TUNATAKA NCHI IKAE SAWA ISHAKUWA TATIZO

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 3 หลายเดือนก่อน +3

    ..Dialogue with govt is just a waste of time. there is no political will at this time to resolve the challenges on hand.

    • @UncleBigi
      @UncleBigi 3 หลายเดือนก่อน

      So we just give up then, i’m really moved with what kenya is doing

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 3 หลายเดือนก่อน

      @@UncleBigi it is way overdue that is the path we need to take to bring real change in Tz.

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu chalamila alitudanganya ameongea na Magufuli wakati skies tiari amekufa tunamshangaa kwenye uongozi leo.. Mama India huu ujinga

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 หลายเดือนก่อน

    uchumi WA nchi utaparalyse plz government sct urgently on this

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 3 หลายเดือนก่อน

    Wachina wanauziwa mji huo. Watanzania wamewashtukia.

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 3 หลายเดือนก่อน +2

    Tusing'ate maneno; mfumo wa kodi wa serikali ni kandamizi, kuna multiple taxation

    • @UncleBigi
      @UncleBigi 3 หลายเดือนก่อน

      Tuingie barabarani 😂

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@UncleBigitangulia wewe uonyeshe mfano kuliko kupiga umbea mtandaoni

  • @bakariulimwengu8533
    @bakariulimwengu8533 3 หลายเดือนก่อน +1

    Sehemu za wazawa ni za serikalini... kwenye biashara mtu kama documents zake zimekamilika kwanini asifanye biashara

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766 3 หลายเดือนก่อน

    Miongoni mwa makala ninazozielewa zaidi

  • @eliaezekiel6766
    @eliaezekiel6766 3 หลายเดือนก่อน

    Safisana Tony

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 หลายเดือนก่อน

    mgomo unaenea nch I mzima mbona mku WA nchi uko kimya?

  • @bakariulimwengu8533
    @bakariulimwengu8533 3 หลายเดือนก่อน

    Mnataka mlete ya south africa ukiulizwa wageni wanachukua kazi zenu wakati flame zingine ziko wazi

    • @UncleBigi
      @UncleBigi 3 หลายเดือนก่อน

      Xenophobia 😂 kibongo kibongo i don’t think so

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia5566 3 หลายเดือนก่อน

    Hamakwambia TENGENEZA TATIZO KISHA TATUA TATIZO watu watakupenda sana😅tutaasahau10ten?

  • @BarakerZeonlist
    @BarakerZeonlist 3 หลายเดือนก่อน

    HAPA KAMSEMA MO DIRECT

  • @AlexMakala-s7k
    @AlexMakala-s7k 3 หลายเดือนก่อน

    Ww unatumika