bab seif kumbuka hao unaowahoji ni mabaharia na wanaongea kwa hisia kwa yale waliopitia neno( unaona bwana ) kwao wao ni kawaida kulingana na jinsi anavyosimulia fatilia inteview za mabaharia wengine neno hilo hilo limetumiwa zaid ya mara zote so usimkatishe kauli mwache atumie tu.umeona bwana 😀😀
Bab sefu unazinguwa kaka hiyo sio kauli ya kihuni kaka
Safi hizi story za ukweli sio zakutunga zinafundisha sana
NIMEFATILIA INTERVIEW MBAKA MWISHO DAAAA POLE SANA MZEE WANGU KINGO
SHUKRAN BABU SEFU MABAARIA TUNAIJUA HII KITU MBOGA SABA AMUWEZ ELEWA HATA KIDOGO
Mtangazaji kuna shida gani hapo unamtoa kwenye mood
Npo apa first nipe like zangu🤸🤸🤸🤸
Daaah wallh nimtihan 😢😢
Babu unazingua bwana mwache baharia aongee mbona neno bwana halina shida acha miyeyusho utamtoa msimliaje mchezoni
Kwel kabsa ila babu seff hana taluma ya kumuhoji mtu yy anajua kumkatisha tu halafu babu seff unakua mkal
bab seif kumbuka hao unaowahoji ni mabaharia na wanaongea kwa hisia kwa yale waliopitia neno( unaona bwana ) kwao wao ni kawaida kulingana na jinsi anavyosimulia fatilia inteview za mabaharia wengine neno hilo hilo limetumiwa zaid ya mara zote so usimkatishe kauli mwache atumie tu.umeona bwana 😀😀
Alafu hilo neno halina shida yoyote … muaache mtu aongeee
Huez bdlsha lafudh y mtu ambayo anaitumia maisha yake yote we skizia iishe utapatia watu wakat mgumu n lbda wamezoea mabaharia lugha zao ndo hizo
Kibangubangu ni lugha ya kireno inaitwa Portuguese ambayo inaongelewa Mozambique Unaona bwana 😂
Asante kwa kufafanua maana mombasa kenya bangubangu ni mtu mvivu
😂😂😂😂 babu bwana😂😂😂
Kibangubangu ndio lugha gan
Unaona bwana. 😂😂😂
Uszngue babu ndio spirity zetu
Unaona bwana
Unamkatisha bhn
Kwel kabsa babu seff anazngua anamkatisha