Huyu JAMA ana mpangilio mzuri WA hii story yani kama zabron Alafu atoe namba za waganga wake ili na wengine wanotaka kupata mafanikio kwa wazee wa ngende
Yani hivi mtu lazima alipie kipindi akitaka kukisikiliza je na wale hawezi kukipia kwao kimenuka?wangine hawezi kabisa mapato yao madogo divistar mbona hivi?
@@jobmuchiri7514 sio roho ya uchoyo wanalipwa na TH-cam pia imagine wote wakifanya kama yeye than na wale hawezi kulipia?it's greed imemwingia he is not needy we can help elsewhere where genuine help is needed
Kwa sasa Bank zinafatilia kila hatua kuhusu hati ya kuweka dhamana kwanza wanafatilia kama haujakopea kokote pia wanahakiki kama nyumba haijauzwa ..na zaidi wanawasilia na bank zingine kuhusu kama una mkopo na kama si msumbufu kurejesha.kumbe walikua wapingwa zamani ndo maana siku hizi masharti kibaoooo.😅
Huwa inatokea nyumba haiuziki .kila mteja anaishia kuiangalia Ila pesa pesa hatoi .mm mjomba angu alitangaza kuuza nyumba miaka 3 ,na baadae sana aliuza Bei ya hasara sana tofaut n nyumbayenyewe .baadae Sana alionekana alikuwa na pesa za mashetan .mashetan wake walikuwa hawataki nyumba iuzwe
Yaani akili ulizonazo ni noumaa ungezitumia kwa njia nzuri ungekua mbali sanaaa. Unajiongeza fastaaa na una bahati ya kutoboa maisha, tatizo dhulma ndo ilikua mchawi wako. Hela ya haramu huwezi fanyia kitu cha maana na ukifanyia kitu cha maana hicho kitu hakidumu wala pesa haidumu. Mzee baba ungekua BILLIONAIRE sasa hivi.
Kumaninooo benki zilikoma na jamaa alikukomea shwaaaiiin😂😂😂😂😂🎉🎉🎉 we jamaa shapu Sanaa kudadekii🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa akili nyingi kama mchwa
Kwakweri anajiongeza mnoo
Huyu jamaa ni sharp Sana kushinda wembe😅😅😅😅
Kabisa looh
@@shantellemwanakombo3703 kabsaaa
🤣🤣 nani kasikia wapumbavu hao 😅
Hiki kweli kichwa daah hatariii hafanyi kitu Kwa hasara #mzeewakujiongeza
Jamaa amekuletea roho mbaya mpaka roho imeniuma na Mimi kama vile nyumba yangu yaani!!...😢😢
Yule jamaa alienunua nyumba ulimfanyia poa sana kwenda kukopea nyumba yako ,dawa ya jeuri kiburi
Unachelewesha sana jamani
Rafiki wengne sio wakuamini sana
Jamaa alikuwa mjanja balaa hata kumshinda huyo rafiki yake alomkoni🤣🤣🤣
kwelii mana dingi alinunua nyumba ..uxku tukaxikiaa kixhindoo asubuhii tukakuta bonge la shimoo kweny pembee....mpak leoo xjuii walifukuaa ninii😭😭😭😭
Hii story nikama ile ya mzee wa Bakora jamani, umaskini utatuigiza vabaya ee mungu tusaidie🙏
🤣🤣🤣dawa ya marafiki fake ndio hio unajifanya mjuaji unapatikaka hongera Sana Laito
Tupo nawewe kk
Mm Leo namilioni Tatu na nusuu alafuu kisimaa kinanyokaaa👑
Mali ya shetani lazima irudi kwa shetani yaani hainaga short cut. Yaani babu amewaingilia hao wateja woote kimazingira. Duh shetani mmbaya
Big up davista story bam bam
Huyu JAMA ana mpangilio mzuri WA hii story yani kama zabron
Alafu atoe namba za waganga wake ili na wengine wanotaka kupata mafanikio kwa wazee wa ngende
🤣🤣🤣sema we ndo unaomba namba za waganga cha kuzuga dogo 😀
Usinichekeshe ukenda nichukue na mie😂😂😂😂😂
Aweke tuuuu itakua vzr
@@judiehance1736 aah mm nini mganga hatari wala sina shida
@@judiehance1736 kabisa yeye ndo anataka basi tu ameamua kuiomba kijanja
Wa Kwanza mm naomba like niwakilishe nchi
Nchi yako imekutuma like 😅😅😅😅
@@gmdecoration6044 🤣🤣🤣
@@lydiaedwin3998 mbona ujatoa like 😅😅😅😅😅
@@gmdecoration6044 usijali ndo naanza
Shetani akiamua kukulostisha kaah
Watanzania muna mambo ya ajabu sana
Wanaaaa ee ya vocha nimeipenda ,, nani yupo tayari hapa tuungane tupige hyo dili,, ila mi nakuwa costumer care
Mm
ebu nicheck
Play store sijapata
Byashetani bina garama
Twende Kazi Mr....
Wooop
Mali ya majini inaenda vile ziliguja kumbukeni simlizi ya mwenye bakora ya kimkakati pia nyumba aliuza hasara
Anaeleza vizuri bira papara
Yani hivi mtu lazima alipie kipindi akitaka kukisikiliza je na wale hawezi kukipia kwao kimenuka?wangine hawezi kabisa mapato yao madogo divistar mbona hivi?
Aysee layton hatakag hasara kabisa piga nikupige
Daah jamaa noma sana
Loooh! Mtafya jambazi la kimataifa!!!
Jambzi sugu
Davista mm nauliza tukiwa na app yako ina maana ndo tunahamia uko na uku you tube utakuwa aupoo au??
Mwendelezo maana tutaisahau jitahidi naomba
Together Mr everything 💪
Divistar mbona hivi una pata za TH-cam na sasa una taka za watazamaji sio haki
Ni haki tumsaidie kwa sababu analeta content nzuri sana.usiwe na roho ya uchoyo
@@jobmuchiri7514 sio roho ya uchoyo wanalipwa na TH-cam pia imagine wote wakifanya kama yeye than na wale hawezi kulipia?it's greed imemwingia he is not needy we can help elsewhere where genuine help is needed
Ok i understand
Niko hapa
Kwa sasa Bank zinafatilia kila hatua kuhusu hati ya kuweka dhamana kwanza wanafatilia kama haujakopea kokote pia wanahakiki kama nyumba haijauzwa ..na zaidi wanawasilia na bank zingine kuhusu kama una mkopo na kama si msumbufu kurejesha.kumbe walikua wapingwa zamani ndo maana siku hizi masharti kibaoooo.😅
Asante🇰🇪
Akili nyingi sana
Jamaniiiii kaka huyuu😀😀😀
More fire
Jamaa ana akiri sana huyu
JAMAA MTAMAA HUYU
Duh kikulacho ki nguoni mwako
Hasa lile joka liliishia wapi yani mecheka balaaa eti lokua kiongozi wakazi akawa nyuma ww ndio ukawa kiongozi
kalssam ivi kawthar yupo wapi ?
Yupo mbona anasikiliza ilaha comment
Pamoja sana
Hahahaaaa jamaaa mjanja
Hii Leo nimeiwahi ikiwa na sekunde 32
Hapo kwenye kuuza nyumba muuuh .
Huwa inatokea nyumba haiuziki .kila mteja anaishia kuiangalia Ila pesa pesa hatoi .mm mjomba angu alitangaza kuuza nyumba miaka 3 ,na baadae sana aliuza Bei ya hasara sana tofaut n nyumbayenyewe .baadae Sana alionekana alikuwa na pesa za mashetan .mashetan wake walikuwa hawataki nyumba iuzwe
Daaa mtafya hatari
Tuko pamoja
💥
Jamaa ni hatari
Lo I been having free swahilli. Okay hoping is not more than a $1 a day 🙈 being honest
Yaani akili ulizonazo ni noumaa ungezitumia kwa njia nzuri ungekua mbali sanaaa. Unajiongeza fastaaa na una bahati ya kutoboa maisha, tatizo dhulma ndo ilikua mchawi wako.
Hela ya haramu huwezi fanyia kitu cha maana na ukifanyia kitu cha maana hicho kitu hakidumu wala pesa haidumu.
Mzee baba ungekua BILLIONAIRE sasa hivi.
Tuma link
Umejaaliwa akili za utaftaji sana.
sana
Sada hizo.voucher zinakuwa zinafsnya kazi au?
Iyo application mbona hatuyioni?
Njooni wadau....kumekucha tena
@@justinabalige2738 karibu Sana....jamaa kazenguliwa
@@ramadhangona9085 Nyiyo nmefka wngu 🤝🤝
@@ayshamahariq6665 karibu sana..umepotea wanipa wasiwasi wangu
@@ramadhangona9085Npo wngu huwa naingia kaz uxku ndiyo maana🤝🤝 ulipewe kad ya harus ya kakaetu davistar?
@@ayshamahariq6665 Bado lakini ku support lazima.
Lazima harusi inoge....sisi hatuchagui hatubagui
Kwa kweli shetani sio mtani wa binadamu.
Hujambo wngu💞💞💞💞
@@ayshamahariq6665 sijambo wng 😋😘♥️😘
@@ayshamahariq6665 za macku?
@@Fm-MornStar2014 Alhamdulillah wngu🤗🤗💞💞
@@Fm-MornStar2014 😘😘😘❤❤
Kumenoga
je hapo kwa kisima nani kaweka nyoka
Alimuweka yeye mwenyw
@@fahadjinni5845 jamani
Tupoooooo
tupooo
Kwa hewaq