Mngetuandalia series ya mwezi Ramadhan ingekuwa bora. Vipindi vyenu vina mafunzo makubwa katika jamii na vina lenga uhalisia wa maisha, haiachi nyuma wanawake,watoto,wanandoa ,wajane vinaenda sawia na maadili ya jamii. ALLAH awape nguvu na awalipe kwa kila faida tunazozipata katika tamthilia zenu. Ila ni maoni tu iwapo iitakuwa kuna mahali nimekosea kwa kuwasilisha maoni yangu ningeomba samahni.shukran
MASHA'ALLAH imenyooka kbsa na ndo hali halisi ilivyo kwenye madrasa zetu ALLAH atufanyie wepesi tuweze kutekeleza majukumu yetu dhidi ya MAUSTADH & MAUSTADHA WETU INSHA'ALLAH
Kongole washiriki wote na pongezi Kaka bujra Kwa kujizatiti kushika mikono vijana wenzako kukuza vipaji vyao,na Amini IPo siku utakua mtu tajika katika hii tasinia.
Hivi ndivo wanavo semaga majumbani wala siutani,mtoto anaambiwa na mzazi wake nitakupeleka madrassa ukacheze na watoto wenzio lkn shuleni anaambiwa ntakupeleka ukasome,kiukweli walimu wa madrassa wanakazi ngumu sana ila jaza yao ipo kwa Allah mana wanadamu lao lawama tuu...!!!!ahsante kaka bujra kwa hii hekma ulo itumia...japo kwa kuigiza nina imani ujumbe umewafikia ila inasikitisha sna mch❤❤❤❤ wanangu wa nyumbani..!!!!
Mashallah good educated movie parents should be serious and focus on our islamic religion and lets be appreciate anything small that we get from our husbands
Shabiki wenu mpya huyu..Kwandza nampeana shukran za dhati kwenu walai Allah awaongoze sababu nimeguswa sana n kuvutiwa na na hii filam yenu pili kisahili chetu aky kinaweza n vipaji vinaonekan kikubwa bidii na kupongezan n kusapotian si kuvunjan moyo...Ukweli Tunaweza🎉
Mashaallah mashaallah ❤️❤yani mimi ni mtanzania ila nawapenda sana wakenya wallahi ten natamani siku moja nifike ata kwa uchache tu yan dhaa nawapenda jmn ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mimi huwa sio mtu wa kucoment sana ila kwa hii filamu fupi nilioiona acha tu niseme manshaallah!kusema ukweli nimeipenda, Mungu awafikishe mbali na kazi zenu nzuri.
Ni kweli hiyo ndio Hali ya jamii yetu ya Leo kuhusu wazazi kuto kuyapa umuhimu madrassa. Allaah atuongoze . Ila nawa nasihi wa Ustaadhi wasikate tamaa Allaah anawaona na Wala hato waacha kamwe. Subra Subra Subra
Kwale county Yani Kenya yote tuungane hapa tusapoti vipaji
Nzuri sana❤❤❤❤❤❤
Mashaallah kutoka Kenya movie inamafunzo mazuri Sana.❤❤
Mngetuandalia series ya mwezi Ramadhan ingekuwa bora. Vipindi vyenu vina mafunzo makubwa katika jamii na vina lenga uhalisia wa maisha, haiachi nyuma wanawake,watoto,wanandoa ,wajane vinaenda sawia na maadili ya jamii. ALLAH awape nguvu na awalipe kwa kila faida tunazozipata katika tamthilia zenu. Ila ni maoni tu iwapo iitakuwa kuna mahali nimekosea kwa kuwasilisha maoni yangu ningeomba samahni.shukran
Naongezea km itawezekana kwakuwa watizamaji n watu tofauti tofauti mueke english subtitles
Sijawai ona movie hapa kenya ikanisisimua kama hii 😢 mwanamke mwema anaweza Jenga maisha yako kwa misingi ya dini
Mashallah movie Iko na mafunzo bora❤❤
MASHA'ALLAH imenyooka kbsa na ndo hali halisi ilivyo kwenye madrasa zetu ALLAH atufanyie wepesi tuweze kutekeleza majukumu yetu dhidi ya MAUSTADH & MAUSTADHA WETU INSHA'ALLAH
Masha Allah.... Bro Bujra this is wonderful, we really don't value Religious teachers, revolution for change must be done
Bujra watupa mafunzo masha Allah kweli twadharau madrasa
Mashaallah this is awesome......walimu wa madrassa wanatoa masomo kwa ziada ila wananyanyaska big up brother bujra❤
mashaAllah sio makosa wala dhambi kuolewa mke WA pili ni Imani na pia wazazi wetu watuunge kwenye FURAHA za watoto wetu
Hizi ndio movie twafaa kuona sasa....very real
Ukweli mtupu
Hii story wallah imeninyongesha sana maustadha wanadharaulika sana😊
Finally nimeingoja kwa Hamu😫😫..Bujraa keep it up.. my people Sophie Farida ,Beka🔥🔥🔥🔥 Wezaa kma kawaida
Kongole washiriki wote na pongezi Kaka bujra Kwa kujizatiti kushika mikono vijana wenzako kukuza vipaji vyao,na Amini IPo siku utakua mtu tajika katika hii tasinia.
Masha Allah tabarakallah nimefurah kwakweli🎉🎉🎉 najikuta tu 😢😢
Hivi ndivo wanavo semaga majumbani wala siutani,mtoto anaambiwa na mzazi wake nitakupeleka madrassa ukacheze na watoto wenzio lkn shuleni anaambiwa ntakupeleka ukasome,kiukweli walimu wa madrassa wanakazi ngumu sana ila jaza yao ipo kwa Allah mana wanadamu lao lawama tuu...!!!!ahsante kaka bujra kwa hii hekma ulo itumia...japo kwa kuigiza nina imani ujumbe umewafikia ila inasikitisha sna mch❤❤❤❤ wanangu wa nyumbani..!!!!
Ina huzunisha kwa kwel
Mashallah umeupiga mwingi Bujra Mungu akutangulie🤲JIMBO MEDIA TO THE WORLD ❤🎉
Mashaallah movie imenipa hisia mtoto wa kiume machozi yatoka waaah 😢 hongera sanah wallah ❤🎉🎉
MashaaAllah mashaaAllah tabaarakRahmaan ❤❤❤❤❤❤
Allah akuzdshien kipaji zaid amiin amiin
Maashaallah kazi nzuri bro ila mwambie huyo bibi ya mzee juma beka akaze buti bado hajawa makini hayko serious.
watching from qatar amaizing story mashallah❤
Zidisheni nguvu ndungu zangu 🎉🎉🎉
Mashallah good educated movie parents should be serious and focus on our islamic religion and lets be appreciate anything small that we get from our husbands
Kusema kweli mumeiva hii movie iko matawi yajuu sana nivito kidogo sana beka ajitahidi lafdhi ya kiswahili na vitu vyengine
Kumbe mke wapili huwa na nyota 😢na kufunguwa nuru ya maisha nimejuwa leo
Sometimes it's depend
Yategemea sio wote wanafungua nuru
Wengi wao balaa ila ukitanguliza Allah baraka huzileta
Shabiki wenu mpya huyu..Kwandza nampeana shukran za dhati kwenu walai Allah awaongoze sababu nimeguswa sana n kuvutiwa na na hii filam yenu pili kisahili chetu aky kinaweza n vipaji vinaonekan kikubwa bidii na kupongezan n kusapotian si kuvunjan moyo...Ukweli Tunaweza🎉
Mashaallah mashaallah ❤️❤yani mimi ni mtanzania ila nawapenda sana wakenya wallahi ten natamani siku moja nifike ata kwa uchache tu yan dhaa nawapenda jmn ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wakaribishwa karibu sana ❤❤❤❤
@@aishamwachi7854 mashaallah shukran san ❤️❤️❤️❤️ nitafika tu inshallah 🙏❤️❤️
@@aishamwachi7854 shukran kipenzi cha Allah ipo siku tu
Twakupenda pia❤
Twakupenda pia❤
Story nzry mashaallah jamani commenters na maviewers tuongezeni wake😅😅🙌🙌🙌
MashaAllah mashaAllah Mr sticker Muendelezoo jamani❤❤big up
Buyra uko juu twangalia tukiwa saudia kazi poa broo
Big up team Jimbo TV hii movement iendele ivi ivi na Kenya itajivunia waigizaji wazuri ambao ni nyinyi 🙏🙏🙏
Sayajaala Allah Baada Usri -Yusrah Mashallah nice move bro bujra (My moral of this story is ( wakati mgumu haudumu end you???❤
Kenya is heading somewhere In Sha Allah..congratulations 🎉🎉🎉
MASHA ALLAH HUU NI FILM MZUR SANA WA KUJIFUNZA
Mm natamani sana kuolewa mke wapili ilashida ni babangu hataki kabisa
Babako si muislam kwani hajui ka dini yetu yaruhusu??
Mashallah Allah atuongoze Kwa darsa kubwa kama hili tuwe wenye kutekeleza mafudisho Aya ❤❤❤TAKBIR 🙏🏾
Mashaallah Mashaallah fupi lakini inamafundisho
Masha Allah tabaraq Allah mungu awazidishie mufike mbali bujra unaweza na unaweza Tena na tena
Mashallah kaka na kazi nzuri ya kutufundisha
MashaAllah kazi nzuri Jimbo media tunategea muendelezo
Mashallah tabaraka Allah 🥰 🥰 Allah bless you my brother
Maa Shaa Allah Tabaraka Allah❤❤❤nmejifunza mengi katka maisha💯
Mashaallah Mola awazidishie in Sha Allah mfike mbali🤲🏽
Bujra kazi nzuri sana nimependa sana Allah akutie nguvu kwa kila subra barka kwa kila kazi ❤❤❤❤❤❤
Mimi huwa sio mtu wa kucoment sana ila kwa hii filamu fupi nilioiona acha tu niseme manshaallah!kusema ukweli nimeipenda, Mungu awafikishe mbali na kazi zenu nzuri.
Kazi nzur Sana mashaallah Allah awabrk
MASHA ALLAH MASHA ALLAH MASHA ALLAH kaz nzur xna❤❤❤❤
Ma sha Allah nimependa Allah awazidishie ufahamu ktk kz zenu in sha Allah
Mashaallah kazi safi sana bujra
BUJRA AMAZING SANA KWA KAZI NZURI YENYE MAFUNZO❤
Mashaallh mashaallh ❤Mungu awajalie zaidi nyote mulioshiriki
Nipo hapa wa kwanza naisubiri 😅😅
Mashallah nzur sana beka na wengine
Masha Allah, kazi nzuri yenye na mafundisho katika jamii yetu ya kislamu
Hii n kwel walimu w madras wanadharauliwa sana
Uwe kajala Kala naaadabu Alimu Anapesa ndphoo😅😅😅😅
Mafunzo na ni asili ya ust wa sas wanavyoishi umenigusaa sana bujra km namuona ust wngu
Mashallah 🎉🎉...nmejifunza mengi mno...Mungu awajaalie Mema InshaAllah 🎉🎉❤
Masha Allah .ungu awazidishie vipaji vyenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashallah tabarakallah wote mlo shiriki ALLAH awajaze kher insha'Allah ❤❤ good job ❤
Barakallahu, a wonderful piece of religious insight.
Bwana Bujira Mlungu azidi kukuphani maarifa na hekima
Kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤❤❤
Mashaallah nzuri sana yenye mafunzo ❤❤❤
Mashallah kazi nzuri sana
Labda tu niseme hio combination sio mbaya #kazi nzuri.HONGERA
Mashallah good job wallahi Ina mafunzo mazuri
Beka jamani 😂kaah ila Alhamdhulillah bro movie nzur Masha Allah ❤
Beka haishi vituko😂😂😂😂
kazi nzurii sanaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪
Kaz nzur kak kwakwel allah akuzidishie juu ya swal hil lakutupa mafunz lkn madikodiko yuwaa
Mashallh kazi nzuri 🙏🙏🙏🎉🎉🎉
mashaAllah 🥰 natamani ingekuwa yaendelea 😢ni nzuri sana
Content nzuri Masha Allah yenye mafunzo.. nimeipenda sana Allah awabariki nyote mlioigiza na aibariki kazi ya mikono yenu. Amiin 🤲
Beka hapo kwa mikutano ulikuwa wataka kuweka kidigo😂😂😂mikutano ya diiiii ila ukarekebisha haraka😂😂😂😂
Mashaallah Kaz nzuri san nawapenda kuwafuatila ❤❤
Keep it up....Iko smart wallah...Mungu awajaze fikra yakufanya Kaz nzuri
Mashaallah kazi safi sana mungu azidi kuwafungulia🙏🙏
Congratulations Bujra👍✌️😄😁 movie iko🔥🔥😘
Jmn mwanikumbusha mbali uswailini na hao dadazetu vile machizi kazi kweli
MashaAllah..nimeipenda❤❤
Nimeisubiri hatimae imefika good job bro
Good work jimbo media,,mmetoa elmu katika filamu hii,,alafu bujra unashabaha yani wake wote wawili ni wajawazito😊
Mashaallah Tabarakallah 😘 😘 good job🎉
MashaAllah, this is the best thing I have ever seen kwa film industry ya kwale county ❤
Pongezi Sanaa Kaka and your team, I Love this Sana kuna improvement kubwa sana na movies mbali mbali! Best of luck
Hongereni kazi nzuri Sana ❤❤❤❤❤❤❤
Mashllah story tamu sana n yenye mafunzo mazur pongezi kwenu nyote mliyoiandaa Kwa kweli imeweza ,big up bro Bujra
Mashallah its a good movie yenye kuelimisha dini yetu yakiislamu
Mashallah kazi nzury ❤wangapi wakewe za wadundana humu ni mfano wa kuigwa kabisa❤❤
Team❤🎉
Kazi nzur Allah awape nguvu In Sha Allah,n kwel walimu wa madrssa wanaachwa nyuma
Duuh bujra we kiboko wote wana mimba 😂😂😂😂😂❤
Neema alokuja nazo mathna hizo !
Masha Allah Movie Nzuri sana 👍🏾👍🏾👍🏾
Buja kazu nakubadhi kikoi nibeiga apodukani😊
Kazi nzuri sana madogo wangu tuzidi kuzidi In Sha Allah....Mwenyezi Mungu Atufungulie zaidi Aameen
Mashallah 🎉🎉 kazi nzuri
Bujra Allah akuzidishie walai, kazi nzuri sana
Masha'Allah, kazi nzuri sana na yenye manufaa ktk jamii❤
Mashallah ustadhi, naja pia mm,nisome
Wakaribishws❤❤❤
This is very exciting wallahyi.. mashallah
Ni kweli hiyo ndio Hali ya jamii yetu ya Leo kuhusu wazazi kuto kuyapa umuhimu madrassa. Allaah atuongoze .
Ila nawa nasihi wa Ustaadhi wasikate tamaa Allaah anawaona na Wala hato waacha kamwe. Subra Subra Subra
Nice Script. Keep going guys. Nice to see Sophy Ron elevating each day
Mashallah Mashallah Mugu akuzidishie