Maisha Yangu, Nia Yangu: Historia ya Rais Mkapa, maisha ya dhiki na jinsi Bibi yake alivyouawa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ต.ค. 2024
- Kama yalivyo maisha ya kila binadamu, safari ya Rais Mstaafu wa awamu ya 3 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefikia mwisho usiku wa kumkia Ijumaa ya July 24. Kifo chake kilitangazwa live kwenye TV na Rais Dkt John Pombe Magufuli ambaye uso wake ulionesha dhahiri huzuni kubwa aliyokuwa nayo.
November mwaka 2019, Mhe. Mkapa alizindua kitabu cha historia yake kiitwacho My Life, My Purpose. Kwenye uzinduzi huo. Prof. Rwekaza Mukandala, alisimulia kwa ufupi kile kilichoandikwa kwenye kitabu hicho.
Kwa kutumia alichokiandika Prof. Mukandala, ifahamu historia yake
Tutamkumbuka kwa mengi. Makala nzuri sana "Sky Walker"
𝐒𝐚𝐟𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐤𝐚
Mungu amlaze pema peponi nenda baba nasi twaja katika siku ninazokeshaga Leo ndo nimepata habari mbaya na ndo yakulalia najaribu kuangalia jinsi vyombo vya habari vitakavyo zizima @sns mmekuwa wa pili kuiweka after Millard kweli mnachapa kazi God bless u #SNS
NDANDA high Alumna. Nikiwa kama Mwana Ndanda Nimesikitishwa sana Na kifo cha Mwana Ndanda Mwenzetu His Excellence Benjamin W Mkapa . Mungu Ampumzishe mahala panapostahili 🙏🙏
😭😭😭
So Inspired Na Raisi Wangu Mkapa Acha Tujitume Baba Ahsnte Kwa Yote Uliofanya,Mwendo Umemaliza Rest In Internal Peace Legends 🙏
Yahani kiufupi katutendea mengi amazing tunakuombea kwamwenyezimungu apuguziwe azabu zakaburi amina
INNALLILLAHI Wainna ilaihi rajeuun tuwe pole watanzania pamoja na familia yake kwa ujumla. 🤲
Pole watanzanie na familia yake🇧🇮
Mungu amlaze mahala pema peponi, bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe,AMEN
Pole sisi watanzania , Mungu amtangulie naayatizamr mema yake baba mkapa amee
Asante nimefurahi kujua historia ya mhe Ben Mkapa NwenyenziMungu amlaze mahala pema peponi Ameen tutamkumbuka daima
Mungu mpumuzishe kwa hamani mzee mkapa amina
Poleni sana ndugu zangu wa Tanzania wote kwa ujumla pamoja na familia nzima Mwenyezi Mungu awatie Nguvu na kuwapa faraja katika kipindi hiki kigumu may her soul rest in peace
Makala nzuri sana, sky walker uko vizuri sana kaka! Najaribu kupiga picha ya tofauti ya wewe na hivi vi so called presenters vya sasa hivi, ambavyo kila wanacho hoji wana lazimisha kihusiane na UDAKU
Simulizi nzuri sana Brother Sky, ahsante sana 🙏 #RIPMkapa
Tutamkumbuka kwa mengi sana,yeye katangulia tu lakini nasi tunafuatia😥..Makala nzuri brother Sky alway's nakukubali👍
Inalilah wainailah rajiun Mungu amlaze pahala pema
22:15 ...... Taking me back in 2007 huko kwetu Kenya 😭😭😭
Pumzika kwa amani Mheshimiwa, mbele yake nyuma yetu 🙏🙏
Mungu amrehemu mbele yake nyuma yetu. Amen
RIP Pres. Mkapa. Good job Sky
imeniuma sana basi tu namshukuru Mungu kwa kila jambo I.R.P OUR lovely fomer president.
Mungu amuwekewe pema peponi mzee mkapa watanzania wote watoto wababa mmoja tuungane pamoja.😭🙏🏾✊🏾✌🏾
Pumzika kwa amani, Mwenyezi Mungu akupokee kwa aman🙏
Mungu atupe mwisho mwema Yarab 😭😭😭
Amin yarrabi 🤲
AMEEN
Raha ya milele umpe ehee Bwana mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Amani 🙏🙏💔💔💔😭
Innalillah wainna ilaih raj'iun pumzika kwa aman historia nzuri sana mwil wote umesisimka dah
So sad condolences to the people of Tanzania,may God give you people peace at this hard tym,may his soul rest in peace
Mungu ailaze roho mahar pema pepon amen tutakukumbuka daima
Simulizi nzuri
Oooh nmeumia sn😢😢
Innal lillah waina illah rajiun poleni Tanzania 🇹🇿
Mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani. Amina. RIP
Amina 🤲🤲🤲
Amin
Amina
AMEEN
Aise😭
Pole Pole sana sana DR Magufuli 🙏🏽😭 May he soul Rest In Peace 😭😭🇹🇿
Raha yamilele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Aman . Amina 🙏
Tutakukumbuka daima tangulia baba safari yetu ni moja tangulia kamanda
Mungu amlaze mahala.pema
Inalila inalila rajiun pole sana ndungu zote mungu amuake pema penye wema peponi inshallah
Ewe mola waviumbe,mpe kauli thabiti Rais wetu baba yetu,Ameeni🙏🏾
Excellent content🔥
Innaillah wainna lilah rajiu'n
From 🇧🇮 Saudia pole ni wa tanzania
🙏🙏🇹🇿🇹🇿
Mbele yako nyuma yetu baba😢😢 tutakukumbuka daima
Mungu awape subra sana
😓😭😭😭😢😢😢innalillah wainna rajioun
So said
Big yes
Sky wizzy gentry wizzy!! much respect, you have good voice brother
Daaah inauma sana asee,Ila ndo hatuna Jinsi ,mwndo ameumaliza imani ameilinda
Pole kwa watanzania wote.....R.I.P Mr.President🕯🕯
Thanks sky...this is great...rip retired presda
Mungu amlaze mahala pema peponi🙏
Dah story nzuri
Inauma sana😭😭😭
Linaloho mbaya sana hili limalehemu
Innalillah wainnaillahi rajiun 😭
Nimelia mimi 😭😭💔🕊️🖤
Rest in peace! Mbele yake nyuma yetu!!
Rest in peace papa 😥
Rest easy Mzee wetu Mkapa.🙏
Kweli rais magufuli apo alikuwa na huzuni mkubwa sana pole sana mjomba magu rest in peace mkapa kila nafsi itaonja Umauti 😢😢😢🙏🙏🙏🙏
Allaah akulaze mahal pem pepon bd tunakupend nabad tutakukumbuka
Ooh ni masikitiko sana RIP
My condolences to tanzania n the family. May God gve them peace in this hard tym.#254
Vizuri
Gud job my brther @Skytz
Mungu akuweke unapo sitahili milele
Huyu jmaaa mwanaharakati Sana 😥
Dah r.i.p mkapa
Tanguria kwa amani laisi wetu mpendwa
be blessed bro kwa kazi nzuri
rest in peace 😭😭😭😭
🙏🙏
Innalilah wainna ilah rajiuun
Oh my God
Innalillah wa Innalillah wa Rajun poleni sana😭😭
R I p😭😭😭😭😭😭
R.I.P Mkapa
Apumzike kwa amani 😭😭😭
Yaan akishakufa utasikia masifa kibao akiwa hai mmmmmh
Msiba wa kitaifa watanzania tumeumia sana Pole tanzania pole South tz nguzo yetu tegemeo imedondoka pande za kusin alikua anamaliza migogoro yte kusin .leo itakuaje cc ni wa taabu
Pumzika kwa amani hakika tumejifunza mengi kupitia history yako😭
rest easy babu mpaka mzee wetu,,
Kafa baba kiukweli ss Wa Masasi tutapat shida mno maaana watu wa Lupasi yeye ndo kainua
Innah lilah wahnailah rajoun
Hichi kitabu nitakununua ishaallh kaongea ukweli wote kuhusu life ya tanzania ilivyokua mafisadi walikua wengi sana now naiyona Tanzania mpya yenyekupendeza mbeleni.
Mungu amulaze mahala pema peponi
hakika kifo siyo kitu kirahisi kupokeya Rais paka ninapo mutizama natoka na mashozi. pole sana watazania
Rip daddy 😢😢😢😢🙏🙏
😭😭😭
R.I.P
Inna lillah wainna illah rajiun 😢
mwenye copy ya hicho kitabu My life, My purpose...naomba anitumie plz
Kazi ya mungu haina makosa
makala imejitosheleza lkn wazee we2 wapemba uliwaonea sana kwa kuambrisha kupigwa na kuuwawa mpk leo nyumba zimefungwa kufuli km makumbusho kweli ulitumika na kuwatumia watu km makala yako inavyosomwa na ilivyoandikwa
Kweli umeliona eee
Na akiwachukia waislam pia
Mungu tu ndo anajua wengine tunabuni tu na kukisia
REST IN ETERNAL PEACE OUR FORMER PRESIDENT #WILLIUMMKAPA
Nenda salama marehemu
Rest in peace
Kimwili hatuko nawe kiroho utabaki kuwa nasi ,, pumzika kwa amani rais wetu wa awamu ya 3..R.I.P BENJAMIN W.MKAPA
Mh kwer dunia tuna pita, Mung naomba ni saidie niyashinde ya dunia.
R.I .P🙏
Pumzika Kwa Amani Mheshimiwa Mkapa