LISSA MWALA daaah wewe unajuwa kutuchanganya kiukweli yaani raha sio kama raha utupazo sio za dunia hii ila nizakipekee mnoo ukigekia upande wako wako wakushoto anko jay anatulewesha siutani life without simulizi is not complete surely i salute you all you always put a new smile on our lips and a newface look day by day even our bosses wonder coz job never delay when working and listening you guys big up all house of simulizi mix
Nawaoooo😂😂😂 mnasema leo simulizi mnatupa raha juu ya raha sio ,,,warabu Eee mm bado naumwa na kichwa 😂😂,nimemaliza kibao kipya sasa tunamalizia katrina ,,,LISSA MWALA NA ANKO JAY SHUKRAN ZA DHATI KUTOKA KWETU WASIKILIZAJI ❤❤
@@RahelIbrahim-id2likabisa yani mimi nashangaa wanawake wa humu ndani ya simulizi nikama hawana akili hasa ndani ya simulizi za Lisa mwalla ndo usiseme😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmmmnh,hiz sumuliz vijana wa rika la balehe jaman si watakuwa mafirauni?dunia iko mbali,,,,sijui huyo msimulizi anavyosimulia anakuwa kwenye hali gani,nataman angejibu
Yani wanajua uzunzi haifai lkn bado wanang'ang'ani mke kuoa ni mmoja milele , ni dhahiri hii sheria ipo dhaifu sana tena imewekwa na binaadamu. Sheria ya muumba alietuwekea waja wake ni wanaume ruhsa kuoa mpaka 4. Na itabaki kuwa strong hata km inapingwa. Kwa sababu yeye Mungu Allah ndio alietuumba anahua udhaifu wetu.
Simulizi nzr sna nimeipenda couple ya katrina na Braiton ila katrina Ana mapnz ya dhta lkn hna maamuz kma mwnmke hna msimamo ❤❤❤
Tamaaa utashindwaje kuwa na maamuz ya kudhibiti mwanaume 1?kwa uhalisia maisha hayo si usodoma na gomora ?
Cat umezingua Sanaa lakin pia maisha ni kalata frea nae yamemkuta makubwa mungu atusaidie
Asente Sana ANKO JAY nashukuru hi tamu Sana upendo wa mungu si wa mtu na Haki paka Hina time ya true love is God
Asante Lissa mwala kwa simuliz nzuri xaan😘asantee pia anko j wetu msimuliaji wetu pendwa mweny manifesto Yako sauti yak nzuri inatufanya tunainjoy Zaid🥰🔥🔥🙏🙏
Story nzuri mpaka stamani iishe jamani 🤗🤗♥️♥️♥️
LISSA MWALA daaah wewe unajuwa kutuchanganya kiukweli yaani raha sio kama raha utupazo sio za dunia hii ila nizakipekee mnoo ukigekia upande wako wako wakushoto anko jay anatulewesha siutani life without simulizi is not complete surely i salute you all you always put a new smile on our lips and a newface look day by day even our bosses wonder coz job never delay when working and listening you guys big up all house of simulizi mix
❤❤❤❤❤😂 thanks dada
Ghaiiii kwan unasauti ngapiiiiiiii kiukweli nmependa hii story be blessed 🙌
Hii 🔥 ❤❤❤❤
Anko Asante San ila mmejua kutuwek roho juujuu jmn ila big up sanaaaa guys
Anko j asante sana unatusimulia vizuri sana Na hitaji t-shirt
Thanks smix for good story God bless you
Hata mie anko Jay naona Richard mwongo ati anataka mwanamke badala ya mungu. Kisha wapo wapi hawa wanaume wakulea mimba ya dume lingine. Nikonect
Hivi anko jay unampenzi 😘😘😘😘😘😘😋😋maana mie mtoto wa kikenya taàbni kwa sauti yako 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️😍😍😍😍😍
Weeewe😂😂😂
Waaoow Shukrani simulizi mix kwa mwendelezo
Amaaa kweli hii top ya simulizi huchoki kuirudia hongera zako Anko
Lisa
Anko jay umetisha simulizi nzuri sana ❤️❤️❤️❤️❤️
Kwa kwel braiton na katalina big up nimeipenda hii simuliz kwa kwel utam utamuni
Kama ww ulivyo Grace utamu
Nawaoooo😂😂😂 mnasema leo simulizi mnatupa raha juu ya raha sio ,,,warabu Eee mm bado naumwa na kichwa 😂😂,nimemaliza kibao kipya sasa tunamalizia katrina ,,,LISSA MWALA NA ANKO JAY SHUKRAN ZA DHATI KUTOKA KWETU WASIKILIZAJI ❤❤
Hahah
Madame lissa mwalla Mungu akupe afya bora Mr. Anko j Mungu abariki kazi yako navutiwa sana na sauti yako saana simuliz zako nazipenda sana
Uuuuwii mbn simulz nzur san jap kuwa sijawahi kufany mapenz mmmh kka j sister Lissa 💖💚💋💋nawapenda san
Mmh uongo
Tunao kimbilika kwenye comment tujuane jmn👋👋❤️❤️❤️.Kwa like
😅
😅😅😅😂😂Dah! hii simulizi Katrina and braiton kweli utamu utamuni napitaa miee 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🤣🤣
Mm
@@fjggoxfh9502 wewe Nini Tena 😄
@fjggoxfh952 mbona waguna
Much love ankoj nimeenjoy xn ❤❤❤
Katrina hongera sana hata ss wasikilizaji tumefurahi tulimpenda bryo
❤❤❤❤ una tupeleka vizuri kaka
Ila ukipata dada kama Irene umepata ni dada Anakitu na Atafika mbali 😂😂😂😂 mdogo wake akikosea anamsema anakuwa nae bega kwa bega 😂😂😂
Katrina mweee nakugawa bure Umetushindaaa drama mwisho mwanzo. Thks Anko Jay tunapata mafunzo sana!!!!
Waoooo very nice story very good
Asante kwa simulizi nzuri. It was a great story to learn from and even to tell
Jamani kumbee nimechelewa lakini sio mbaya nimewahi asante LISSA MWALLA 🥰🥰🥰kipenzi
Nimependa sanaa hii simuliz,,wewe ni moto ankoj.
Yn Katrina wewe na Bryton, na Richi wote ni Mitambo 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ila anko j 🤣🤣umenishinda tabia
Aloo we nakupenda ww na iyo familiako hahahahahah😀😀😀
Waoooo
😂😂😂😂😂. PART 2 IS FIRE🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉ANKO JAY
🎉🎉🎉❤ ❤ Nawapenda
Waoooo mnanifuhisha jama anko j love you
Anko Jay asante kwa simulizi nzuri
Ankojay iyo saut jman 😂😂 inanivutia 😂😂
Saaaana jaman
Weuwee anco j tunakojoa huku tuko mbali Bebe zetu asanteeeee 😂
Tamu sana ❤❤❤ namafunzo mazuri
Mh ii ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Lissa mwala🔥🔥anko j uko juu✌️✌️
Stori ni nzuri mno
Uwiyy my another favorite ❤
Wallahi simuliz tamu sana da wew Katrin huna msimamo da
Tabia ya kuendekeza mwili
@@RahelIbrahim-id2likabisa yani mimi nashangaa wanawake wa humu ndani ya simulizi nikama hawana akili hasa ndani ya simulizi za Lisa mwalla ndo usiseme😂😂😂😂😂😂😂😂
,🤣🤣 mimba ya boya linasubiri d n a🤣🤣🤣
Asante sana Lisa Mwalla na Anko jay you never disappoint
Daaaah najiona mtulivu sababu cna tabia za wanawake wa simuliz 😀😀
Hahah hongera Mrembo😊
Kabisa dear maana niwachafu sanaa yaani wengi wanawaza kutiwa tuu ni uchafu mtupu loooh
@@Catherinemichael1995 ni shida ila tatizo wengi wakisikiliza hisia zinawafanya wawe hivyo!
@@mporipori99anastahili hongera kweli
@@Catherinemichael1995kabisa,tabia nyeusi tiiii
Tulisubiri Sana hii part 2 mwaaaah 💃💃💃
😢
Namba one today 😘
Katrina nakugawa bure simulizi nzur Sana 💓
Heiwaaa Shukran sana Anko J na mwandishi wetu Lissa Mwalla🥰🥰🥰
Katrina ulizid Bana khaaa
Mmmmnh,hiz sumuliz vijana wa rika la balehe jaman si watakuwa mafirauni?dunia iko mbali,,,,sijui huyo msimulizi anavyosimulia anakuwa kwenye hali gani,nataman angejibu
Bado 🔥🔥🔥 mkaliiii mnooo
🔥🔥🔥
Yani wanajua uzunzi haifai lkn bado wanang'ang'ani mke kuoa ni mmoja milele , ni dhahiri hii sheria ipo dhaifu sana tena imewekwa na binaadamu.
Sheria ya muumba alietuwekea waja wake ni wanaume ruhsa kuoa mpaka 4.
Na itabaki kuwa strong hata km inapingwa.
Kwa sababu yeye Mungu Allah ndio alietuumba anahua udhaifu wetu.
Asante Sana Lissa Na ako Jay Kwa sauti yko nzur
Anko j napenda sana sauti yako 🥰🥰
Shida. Moja uyo dada akatai mbolo😂😂😂
Ila anko J Maulana kakujalia sauti jaman,na jinsi unvyoitumia kwa sauti za wahusika tofauti tofauti mie hoooooii kwa burudani
Afadhal huyo flavian alvyojpunguza😂😂😂😂
Angeonja mauti huku anajiona
Waooo nice story
Ila wanawake sisi, eti toa kikoti icho a one tako🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaaan nimejikuta na skip na kumchukua katrina yaaan 😢😢😢😢😢😢
😂😂😂 anko jey siyo kwasifa hizo jmn
Jamani anko J umejua kunichekesha kwenye hili part2🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah nimefurahi sana
Nilisubiria kwa hamu sana hii simulizi hakika ni tamu san
Awii! hii ni tamu yangu ❤❤❤
Nilimiss Sana😍😍😍😍
U malaya sana ket
Hii simulizi kiboko yaani moto🔥🔥🔥🔥
Ankojay umejaaliwa sauti na kipaji chakuongea we noma😂
Asante Sana Kwa Similizi Bora Lakini Katrina Anamuanga Mambo Ghafula Ana Uvimulivu 😊
Jamniii hi simulizii ni tamu
Balaa
Katrina nawe haueleweki tulia na mwanaume mmoja, Katrina unaboo sasa
Tatizo Katrina anapenda kutiana
Yani unaona eheee
Daaaaah nimeipenda kinoma story hii natamani kusoma story ingine kali kupita hii cjui ipi maana mgeni pande hizi
Doctor mayla,chizi fresh na zingine utakuwa unachagua taratibu
Kuna boss wangu
Ni wangu
Muuza chips
Muuza kuku
Housgirl
Bweege wewe umesababisha mwenzako amekufa
🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂😂jamani eti natikisa tako 😊
Na limetikisika kama lako Queen😋🥰
Nipe bc nilishike
Research most of beautiful ladies hawananga misimamo na pia hawananga akili wa kufikiria ona sasa Katrina coz Richies death inauma
Shukran Lissa Mwalla kwakweri we nimutunzi mahiri katrna huna bahati pore sana 😭😭😭😭😭😭😭😭
Hii simulizi nimeiludia kusikiliza maan huku mwisho imenifanya nicheke kuingia na mlango😂😂😂
Katrina nae Malaya Yan jivan kumsaundisha kidgo tu amekubali mbwa kwel uyu
Ila brahi kanichekesh sana et chagua tufe kwenye gar au tukajilipua na mabomu nyumbani
🤣🤣🤣
Nzuri sana asante
Dah hii simulizi hainish ham❤
Ktk simulizi niliyoisubiria kwa ham bas ni hii wallah
My favourite story of all the time am here kuirudia tena
Huu Anko Jey yuko vizuri
duu we Katrina Malaya wewe Yani
Thank you uncle J nilingoja kwa hamu
Yani nimekua naisubili kwahamu
Asante🙏🙏🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Mama. Weee
Watu hawapoi hawaboiii🤣🤣🤣💃
Catherine umepambana dah siamini
Leo ankojay umeamua2. mfululizo
Yan. Uyo dada ni malaya😂 atal
Nimejua kukesha mm jamani kha