Hii simulizi ni nzuri sn ina mafunzo ndani yake pia ina chekesha sn jmn 😅😅😅😅Asante sn simulizi mix na D'oen 🎉🎉🎉😊na muandishi pia kazi nzuri sn jmn Mubarikiwe sn jmn 😊😊🎉🎉
Yani hapo kwakusengenya mtu halafu pap ametokea hii mbayaa isikupate iishie humu ndani yani rechoo kazi hana haha walimuua baba babu lkn bibi mjukuu vitukuu vyamtume hawafii leo wala kesho..sasa huyu mama brenda fake ilikuaje akatelekeza mtoto wake halafu anakuja kulea mwingine nimali mlifuataa😂😂wakati mwenye mali kumbukumbu imerudii kaxi mnayoo mali bila jasho nikama maji yanapanda mlima mana haiwezekani
Asante sana D'oen kwa simulizi hii tamu kweli kweli 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Waaa SRR kafanya mambo huku ❤❤❤❤
❤❤❤
Jina tu ❤❤❤❤
Smix tunayo na tunatamba nayo. 🥰😍Mwaaaaaaah
Hata Wewe.😂😂😂 mbona hukuniita😊
Yan nimekutafuta kipnz sijakuona kwanz leo nilijua hamn simuliz wang 😁weng tumestukia saa nane nimeingia online ndio naon hv vitu
@@MYME-u5d Ata Mimi nilikuwa nachungulia chungulia mpka nikakata tamaa 😂😂mara nikaona kitu hichoooo
Leo Smix wametuweka haswaa
Leo nimewahi🙏😃😃😃😃💃💃💃💃
Asant sana D'Oen nilikuwa nagukumbuka🎉🎉🎉🎉 kitukipya mukuyeeeeeeeeeeee piga kererereeeeeeeekwa Oen wetu💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽🔥🔥inaonekana nikaza mimiwakwanza🎧🎧🎧🪑💐💐💚💚💚
Ooooh asante 🙏🔥jaman ila mnajua kututesa akii😂😂
Wakwanzaa jmn mbn sipati like za kutosha wadau
Be cool
Tupo pamoja sana
Twende kazi
😂😂😂😂😂😂😂😂 nahic Brenda anawafanyia makusundii anahakilii zake vzr 2
Vzur il ajue nan n nan
Hii simulizi ni nzuri sn ina mafunzo ndani yake pia ina chekesha sn jmn 😅😅😅😅Asante sn simulizi mix na D'oen 🎉🎉🎉😊na muandishi pia kazi nzuri sn jmn Mubarikiwe sn jmn 😊😊🎉🎉
Watu wanakesha hapa😂😂😂😂
Pambeeh 🎉🎉
Sanaaa😂😂
Ila anko fredy ni jasusi wa kimya kmya anajifnya mjinga kmbe htr 🤣🤣🤣🤣🤣
Heee afadhali Bi Salma R amekuja kutuchekesha 😂😂😂ofwiiii mana tulikuwa twapambana na vita tuuu thanks simulizi mix 🫡
❤❤🎉
Duuuh vibay jaman 😂😂😂dah kumbe huku kunasimulizi hata hamkunishtua😢😢😢
❤❤❤❤🎉
Hey d oen sauti jma ya umiza mtima wangu
Ila apa n full vaib aky n ntku ❤❤😂😂
Brenda ni mgonjwa ama anamchezo😂😂😂😂
@@Aishwaraimasiennah michezo hiyo 😂😂😂 ngoja tutajua tu
@@AnnaMelikion 😅😅😅
Yani hapo kwakusengenya mtu halafu pap ametokea hii mbayaa isikupate iishie humu ndani yani rechoo kazi hana haha walimuua baba babu lkn bibi mjukuu vitukuu vyamtume hawafii leo wala kesho..sasa huyu mama brenda fake ilikuaje akatelekeza mtoto wake halafu anakuja kulea mwingine nimali mlifuataa😂😂wakati mwenye mali kumbukumbu imerudii kaxi mnayoo mali bila jasho nikama maji yanapanda mlima mana haiwezekani
Gaidi wa moyo tena jmn kafanyaje?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jaman simuliz ya inoncent killer iko yap
Huyu brenda atanyoosha watu kweli kweli yani mlimuulia babayake mkafikiria hana kumbukumbu huyu mpelelezi arudi chuo awachiewengine kesi
Mlevi tena daah😢
JAMANI MUENDELEZO
Salma 😂😂😂😂 unajua kutukosha unakawia lakini ukija mbavu lazima ziumee 😂😂😂😂
Yani hii ni kuvunja mbavu mwanzo mwisho 😂😂😂maana huyu salima hajawahii kutuacha salma kabsa 😂😂😂
Ila huyu breda anaigiza kuwa hana kumbukumbu