ความคิดเห็น •

  • @ELIEZERNDARO
    @ELIEZERNDARO 9 หลายเดือนก่อน +1

    Respect sana kaka Ernest Makulilo naamini One day yes Nitafika USA achana na Wasio na Malengo ya kufika huko!

  • @emmaculatewambua-ou9nu
    @emmaculatewambua-ou9nu 10 หลายเดือนก่อน +5

    Achana na kamati ya roho chafu kaka nakukubali sana coz hauna roho chafu respect brother from Kenya

  • @roslynseries
    @roslynseries 10 หลายเดือนก่อน +4

    This is why I only listen to the positive videos, yes its hard everywhere but learning from those who have made it.
    Asante kwa kuongea kwa uwazi 👏👏

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wallahi Mheshimiwa Ernest Makulilo habari yako kwa kweli uyo mwenye yuko anasema hajui

  • @mohamedithabiti4476
    @mohamedithabiti4476 10 หลายเดือนก่อน +3

    Watu wanaroho mbaya sanaa bongo ...u.s.a tunapambana mpaka tuingie huku na nimeomba green lotery this year I'm just waiting majibu yatoke

  • @hamissiali4121
    @hamissiali4121 10 หลายเดือนก่อน +1

    My brother uko vizuri sana nakukubali we ni mwalimu mzuri sana

  • @PatriciaNabende
    @PatriciaNabende 10 หลายเดือนก่อน

    I love how EBM is passionate about America and encouraging people to pursue the American dream. Keep doing what you do because you've brought many of us to light. Because of you my American dream started this year and am very optimistic nitafika America pamoja na familia yangu

  • @tatually1366
    @tatually1366 10 หลายเดือนก่อน

    Kaka pole Sana kwa shida watu sio jielewa maisha nipo pote na mamuzi mtu sikuchoahie kwa hakili pole Kama

  • @brunonestory9881
    @brunonestory9881 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mzee majibu yamekamilika ila Nina swali je nikiwango gani cha Elimu kinafaa kwa mtu kutembelea USA

  • @vedastusmdapo3837
    @vedastusmdapo3837 10 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa kutoatazamo chanya,pia pole naona usoni haupo Kama nilivokuzoea kukuona

  • @allyshomari7417
    @allyshomari7417 9 หลายเดือนก่อน

    Nondo!! The way you do!!....!!!

  • @tuyisengegad4283
    @tuyisengegad4283 10 หลายเดือนก่อน +1

    How are you doing brother you speak true ukweli

  • @IbrahimMwadini-hz7ib
    @IbrahimMwadini-hz7ib 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli kk edm hasa Tanzania wamezoweya kukatisha watu tamaaa

  • @WilsonJohn-or6rl
    @WilsonJohn-or6rl 10 หลายเดือนก่อน +2

    Baba mbona povu sana mkuu

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 10 หลายเดือนก่อน

    Safi maerezo mazuri sana kaka Ebm

  • @tatually1366
    @tatually1366 10 หลายเดือนก่อน

    Nikweli 🎉

  • @matevamusa2212
    @matevamusa2212 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa kumuona tu ebm face to face na kupata advice kwake ,,,, ninaamini one day in America,,,,,,

  • @MussaHamisi-x4t
    @MussaHamisi-x4t 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulipe kwa dalasa

  • @AltonFelix-vy5be
    @AltonFelix-vy5be 4 หลายเดือนก่อน

    Brò mm sijali maisha magumu natka kuuliza vp kuja marekan mpka ujue kingereza au hyo tu

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 10 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 10 หลายเดือนก่อน

    Kweli pro

  • @rahelpaul3079
    @rahelpaul3079 10 หลายเดือนก่อน +4

    Waafrica wana low capacity of thinking,pia hawapendi watu wengine wafanikiwe.

    • @celinamachundoInspires
      @celinamachundoInspires 10 หลายเดือนก่อน +1

      True ❤

    • @MagrethCharles-ne2ts
      @MagrethCharles-ne2ts 10 หลายเดือนก่อน +1

      Well said, chuki mbaya mnoo wanachukianaa ughaibuni too much jelous for each other !

  • @hailehim1
    @hailehim1 10 หลายเดือนก่อน +2

    Prof tema nondo kamati ya roho mbaya hawafai hawa

  • @musicthrowbackworld
    @musicthrowbackworld 10 หลายเดือนก่อน

    Kwl kabisa wabongo atupendani

  • @thebmcblackmiccatcher3949
    @thebmcblackmiccatcher3949 10 หลายเดือนก่อน +1

    BRAZA EBM HUTAKIWI KUWAJIBU WAPUUZI. MAJITU MAJINGA JINGA NI MENGI MNO, USIYAJIBU. MIMI NAKUTANA NA MABICHWA KAMA HAYO. KUWAJIBU WANAKUCHOSHA.

  • @Ally-n2o
    @Ally-n2o 9 หลายเดือนก่อน

    Mm sielew chochote Yan mpaka nije kuishi uko mwaka nimecheza girikad naomba Allah anisimamie nishinde awa mm hawanikatishi Tama

  • @dainesdiana583
    @dainesdiana583 9 หลายเดือนก่อน

    Mm natamani sana kuja marekan lakn sina muelekeo ila paspot ninayo sina visa wala nn naomba msahada wako

  • @KisatambweAblaham
    @KisatambweAblaham 10 หลายเดือนก่อน

    Uyo nzo professor na mukubali from burundi

  • @salvatorybakilana2378
    @salvatorybakilana2378 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna rafiki yangu mmoja nilimwambia aombe dv lotery , akakataa kwasababu anasema marekan kuna homeless anaogopa kuwa homeless mean while jmaa hana issue yoyote bongo😂😂😂

    • @joycemhana2018
      @joycemhana2018 10 หลายเดือนก่อน +1

      Pole yake

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 8 หลายเดือนก่อน +1

      kazoea kula kula nyumbani na mvivu kufanya kazi

  • @fabricemusore670
    @fabricemusore670 10 หลายเดือนก่อน

    Ndio kaka nikupambana maisha uyo jamaa ayiko sawa,from Burundi 🇧🇮 niko nafatilliya video zako.

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 10 หลายเดือนก่อน

    Your right but ughaibuni sio ya kila mtu, kama mtu ameshinda bati nasibu na ataki kuja mwacheni musimlazimishe, opportunities zipo na challenges zipo pia kuishi nje need to have psychological stable not about education and legal papers only.

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 10 หลายเดือนก่อน +1

    Connection mwaya wewe ulikua na Connection

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 10 หลายเดือนก่อน +2

    Maisha ni mtu mwenyewe, maisha yakiwa magumu Tanzania huwezi fananisha na ugumu wa maisha ugaibuni bhana. Ukienda ugaibuni utakavyojipanga kimaisha kutaamua maisha yako yataendeleaje. Ukienda bila malengo utakosa muekekeo.

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka EBM Kwanza Hongera kwa kutupa martial mazuri na Adimu sana kama hayoo Na huyo kijana ambaye ameikataa Green Card Amepewa Supu Hatari kweli kweli Muachee Abaki Kuuza KARANGA anataka amewe nini Sasa

  • @salumusobo4009
    @salumusobo4009 10 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo anayoongea ivyo ni mshamba uyo kaka uyo maisha yashampiga na ndio maana anawatia ujinga na wengine asikuongopee mtu, I tell you fact maisha ya nje sio sawa na maisha ya Tz

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 8 หลายเดือนก่อน

      nyie ndo wale ndio mzeee kimubwa kupambana hata bongo ukiwa msenge msenge unakua maskini kokote utaftaji unatakiwa kujarbu sio mbaya ni uthubutu shida ya serikali yetu ishawap inferiority wabongo wengi sana aya uwe boda boda ukatwe mguu

  • @NassoroHamadi-q6h
    @NassoroHamadi-q6h 6 หลายเดือนก่อน

    faza waambie ukweli mana wamezoea kutukatisha tamaa Hao wenye roho zakorosho

  • @RehemaMichael-fz8qs
    @RehemaMichael-fz8qs 10 หลายเดือนก่อน

    Unatufanya tuwe nanguvu ubarikiwe sana makulilo

  • @MansourYusuphu
    @MansourYusuphu 2 หลายเดือนก่อน

    Kaka unasema ukweli hadi natokwa na machozi mtu yupo huko ukimwambia jambo nakwambia ooo huku maisha magumu ukimwambia arudi anakutukana

  • @godfreykipanga9468
    @godfreykipanga9468 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wavivu hao

  • @Marwa.T.Bonaventura.
    @Marwa.T.Bonaventura. 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wape vidonge vyao mkuuuu😂🤭🤣🤣😇🤣🤣

  • @ndikumanajafari1914
    @ndikumanajafari1914 5 หลายเดือนก่อน

    Awo ni watowo wa mama

  • @huthhuthlih5858
    @huthhuthlih5858 10 หลายเดือนก่อน

    Brov unawajua adi kina Angel nyigu 😝😝😝😝😝😝😝

  • @emmanuelayoub1319
    @emmanuelayoub1319 10 หลายเดือนก่อน

    Wabongo Wana vituko sana kwenye kukatisha watu tamaa tu hawajambo kibaya ni kuwa mhamiaji haramu ila Kama ww ni una enda Kwa program maalum utatesekaje bana shida ya watu ni wagumu kuelewa

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน

    Wew unasemaga ukweli

  • @NIMFASHADieudonne-cy1fx
    @NIMFASHADieudonne-cy1fx 10 หลายเดือนก่อน +2

    Wambie sione sababu ya mtu kutofulahiya kuona mwenzake Anafanikisha,popote maisha nimagumu huezi kupata bila kutafuta

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 10 หลายเดือนก่อน +4

    Maisha magumu ni mtu mwenyewe anavyoyapeleka au anavyotaka mtu mwenyewe aishi kutokana na plain yake ya maisha yake...

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 10 หลายเดือนก่อน

    Mimi nimechelewa kujua wallah

  • @alijumamohamed
    @alijumamohamed 10 หลายเดือนก่อน +2

    Am watching nikiwa Bahrain..Watu kama hao kina Petter ndio wale wanga ambao wakisikia mtu amesafiri kwenda nje ya Tanzania kutoka ndani ya familia ya ndio wanaowaroga

    • @iamdonvevo
      @iamdonvevo 10 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅

    • @alijumamohamed
      @alijumamohamed 10 หลายเดือนก่อน

      @@iamdonvevo Eeh kwasababu tayari jashajionyesha roho mbaya mapema,sasa unazani atakuwaje si ndo walewale wachawi wa kuroga wenzao kwenye mafanikio

    • @iamdonvevo
      @iamdonvevo 10 หลายเดือนก่อน

      @@alijumamohamed ni kwel kabisa kaka

    • @celinamachundoInspires
      @celinamachundoInspires 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @MagrethCharles-ne2ts
      @MagrethCharles-ne2ts 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @johnmfuko4426
    @johnmfuko4426 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kamati ya Roho mbaya inateseka sana

  • @joycemhana2018
    @joycemhana2018 10 หลายเดือนก่อน

    Hata yawe magumuje lazima niende Marekani

  • @josiahjosiah-MPs
    @josiahjosiah-MPs 10 หลายเดือนก่อน

    Fact tupu

  • @upendomahenge3802
    @upendomahenge3802 9 หลายเดือนก่อน

    hao wanaosema maisha ya ugaibuni ni magumu ni wale wasiopenda kujituma ambao hata ukiwakuta dar hawana issue za maana. kila sehemu maisha ni magumu ni mtu mwenyewe jinsi gani unaweza kupambananayo

  • @DramaDive-8
    @DramaDive-8 10 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂😂 watu waoga sana wanaambukiza na wengine

  • @claudeniyondiko5460
    @claudeniyondiko5460 10 หลายเดือนก่อน +1

    EBM shukurani ila kamati za roho mbaya zisimame kwani siote tunakua tunaitaji kusonga mbere kbsa sizani kuna mtu apendi kusongambere

  • @jackmalipo4774
    @jackmalipo4774 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 10 หลายเดือนก่อน

    Bro hao watu mi nishawawekaga pembeni unakuta jitu liko Germany, Denmark, Netherlands, Canada, UK, USA etc halafu linakwambia eti usiende uko maisha ni magumu wakat huo yeye Wala hataki kurudi, sas jitu kama Hilo unaliweka kwenye kundi gan.? Yaan Kuna mijituu Ina roho mbaya Hadi inakera

  • @masaifinancialagent5089
    @masaifinancialagent5089 10 หลายเดือนก่อน

    Unachosema ni fact sana kaka

  • @mkingageorge2641
    @mkingageorge2641 10 หลายเดือนก่อน

    Mkuu hzo ni kamat za kishikirika maana ushirikina xio kuwanga usiku tuu

  • @Msafirimakini
    @Msafirimakini 10 หลายเดือนก่อน

    Alafu Hakuna mkenya kwenye ubarozi wa marekani nchi Tanzania anaetoa visa bali watu wanamfananisha Yule mdada anaefanya finger kuwa ndie anawanyima visa mabarozi wote ni wazungu na wako wawili wakike na wa kiume

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona unafoka😂

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 10 หลายเดือนก่อน

      Watanzania bila kuwafokea hawaelewi?😅😅😅

  • @FloraKida-j9f
    @FloraKida-j9f 4 หลายเดือนก่อน

    Jamani tunatafuta hizo nafasi hatuzipati wengine wanaleta nyodo du huyo alisema hivyo hajielewi

  • @VicentJohn-tg9yp
    @VicentJohn-tg9yp 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huna baya EBM

  • @OmariDunia-kk9sh
    @OmariDunia-kk9sh 10 หลายเดือนก่อน

    Naitaji mtoto wako

  • @vivamtahoya9609
    @vivamtahoya9609 10 หลายเดือนก่อน

    Nna umri wa MIAKA 63 isyo na maradhi ninaruhusiwa kuja us?

  • @AlexisCongera-so4mi
    @AlexisCongera-so4mi 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wambie hao ambao hawaelewi muache akae hukohuko

  • @johnmfuko4426
    @johnmfuko4426 10 หลายเดือนก่อน

    Never backdown mpaka kieleweke

  • @peteremmanuel1188
    @peteremmanuel1188 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna jamaa niliwaji mshirikisha ntaka niombee dv lottery, akanbi crush mbaya, Sahiv anafanya harakati za kwenda Korea

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 8 หลายเดือนก่อน

      wengi tuna tabia mtu atoboe aje kutambie wenzie bongo ni upumbavu sana sie watu weusi wq east africa

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaiyi Dunia panawatu hawataki wengine wasonge mbele

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 10 หลายเดือนก่อน

    All most 50 milion anazipoteza hivi hivi Kukataa Green Card Daa huyo kijana Ajiaangaliye Tena na Tena Sasa

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 10 หลายเดือนก่อน

    Mfano tu Dar,ukitoka mkoani na kuja Dar bila think what you will do to survive,you failed

  • @benjaminfaustin4234
    @benjaminfaustin4234 9 หลายเดือนก่อน

    Kamaha hawataki si waache tuu ss tunapambana tukifanakia hamuna kuchelea ata kidogo

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli mtupu huo EBM 😂😂😂😂
    Tutafia humu humu. Hata bongo wanaingizwa chupa na mwanamke.

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba ufungue na office dubai watu wanatapeliwa sana apa

  • @frankkigodi8549
    @frankkigodi8549 10 หลายเดือนก่อน +1

    Brother na Mimi nimeomba green card mwaka huu nikipata naomba msaada wako katika kutafuta host

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 10 หลายเดือนก่อน

      sio rahisi hivyo

    • @esterpeter8295
      @esterpeter8295 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@kwisa4899kwa nin sio rahisi?

    • @frankkigodi8549
      @frankkigodi8549 10 หลายเดือนก่อน

      Everything is possible if you determine.

  • @PaulMatz-fi1zl
    @PaulMatz-fi1zl 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi nisaidie kuhusu issue ya racism huko hiyo inanitia hofu

  • @mwl.michaelsainethmlowe2641
    @mwl.michaelsainethmlowe2641 10 หลายเดือนก่อน

    Common sense!

  • @AthumanMwangi
    @AthumanMwangi 2 หลายเดือนก่อน

    naweza kuapply green card Niko musoma mara

  • @PROPHETLWITIKO-rr4gc
    @PROPHETLWITIKO-rr4gc 10 หลายเดือนก่อน

    Maisha nivile MUNGU alivyo panga mtu afanikiwe mtu anaweza KUFANIKIWA mahali popote ambapo MUNGU amepanga afanikiwe kikubwa juhudi na bidii

  • @ntendindaaasab7405
    @ntendindaaasab7405 10 หลายเดือนก่อน

    Usiwaamshe waache walale

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 10 หลายเดือนก่อน

    Maisha popote kila mtu ana mbinu zake za utafutaji, kinachotakiwa kupambana popote pale, iwe Bongo au viwanja vingine

  • @AlexMesha
    @AlexMesha 10 หลายเดือนก่อน

    Kaka Ebm wambie ukweli ata Tanzania kuna maisha magum ninacho kiamini ata kazi ya kupiga box inalipa inategemeana unapran gani

  • @devidjav3583
    @devidjav3583 10 หลายเดือนก่อน

    Ata Mario alisema dar kugumu kweli lakini Kila siku watu wanakuja tu😂😂😂 pambana popote utafanikiwa tu

  • @NdayisabaKarim
    @NdayisabaKarim 10 หลายเดือนก่อน

    Tutakuja tu MUNGU yupo

  • @YahyaSaid-nv1ri
    @YahyaSaid-nv1ri 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hao watu wenye roho mbaya ndio wako hivyo hlf hawana akili

  • @Oqata_wellness_solution_stz
    @Oqata_wellness_solution_stz 6 หลายเดือนก่อน

    Muha kachafukwa, anatema nondo tu

  • @Suleshi-r4n
    @Suleshi-r4n 10 หลายเดือนก่อน

    Maisha popote

  • @jackmalipo4774
    @jackmalipo4774 10 หลายเดือนก่อน

    Uyo ni chizi

  • @GabrielAmlima-le8wj
    @GabrielAmlima-le8wj 10 หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaa ni mpumavu tena masikini wa akili na maisha mwache afie bongo na biashara yake ya mkaa bwege huyo

  • @YasminaMkali
    @YasminaMkali 10 หลายเดือนก่อน

    Afadhali umewaambia ukweli Kaka. Kuna jitu limoja lilirudi Tanzania. Lika anza kuwaambia watu kuwa Maisha ya Marekani ni magumu. 😅😅😅.....nimelishangaa limerudi Marekani kwenye maisha magumu 😂😂😂

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 10 หลายเดือนก่อน +1

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @KaribuKwetu-ex2kd
    @KaribuKwetu-ex2kd 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka unaongea kama unamfokea mtu.. kumbe unamhamasishaaa.. au ndio kuongea kimarekan hvyo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 8 หลายเดือนก่อน

      uyo si muha

  • @OmaryKaniki-hs5mz
    @OmaryKaniki-hs5mz 10 หลายเดือนก่อน +1

    Waambie hao wapumbavu

  • @Tatoo-b1c
    @Tatoo-b1c 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂 athanasius na watu wajinga

  • @netflixfreepremiumaccount534
    @netflixfreepremiumaccount534 10 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅😅wapi petter wa mateso