ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
ALIKIBA KWENYE BABY SHOWER YA MARIOO NA PAULAH
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 เม.ย. 2024
- President wa CROWN MEDIA na Mwanamuziki wa Bongo Fleva Alikiba alivyowasili kwenye usiku wa Baby Shower ya Marioo na Paulah Kajala wanaotarajiwa kupata Mtoto wa Kike.
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
King himself 🤴 everybody was happy to the king and more respect 🤴🔥🔥🙌
Nampenda King kiba....hana ubaguzi❤❤❤
Nampenda alli hana maringo naahaachi kusalimia watu ❤
Ufalime wa crown media 👑 hapa ni nyumbani
Hii Ndo maana halisi ya kuwa mfalme wasanii wote walio kuwepo wakaammka kwenda kumsalimia HANA BAYA hongera Sana hiyo ndo picha halisi tunayo taka kuiona nchini Tanzania #beblessed
Kumbe ukiwa na Radio 📻..mtu unaeshimika kiasi hiki..Ahsante kiba 😂
❤❤ king ana upendo sana MashaAllah Allah amlinde🙏
Raha ya alikiba ndo hii na baya na mtu kwak kicheko tu sio wengine wakishajiona wako juu bas wasanii wadogo wanahadhi ya kumbato safi sana King 👑 mbinguni kuna kiti chako
Chakwako kipo na wazaz wako maana unamsujudu m2 hata hana gaida kwako
Kbx
Sema wew ❤ maan c wngin htuaminik
Jamani mbona kila mtu anatamani ashikane na Alikiba ❤
Ali Kiba,you are smart....very quiet... intelligent.God bless you.from Lusaka.
Ali is so down to earth
King kiba, napenda sana ulivyo mambo ya kusuka, kuweka vipini hakuna safi sana hiyo big up to you Ali kiba 👊👌👍🇹🇿🇹🇿
Uyu kaka mungu amuweke kbx ❤❤
Mstarabu sana wewe Ali kiba, NI MTU WA MAMA SANA WEWE, ALI KIBA 💐💐👌👌
Mashallah alikiba Kila mtu anataka ampe hi hii n good heshim umepewa nmependa
Wabongo Kwa Kuiga wanapeana Mikono Kizungu.
Kingkiba❤❤❤
😂😂😂king kiba ila babaake na levo bhana
Hongera sana kiba🎉
Haringi anajua Kuna kesho
❤big love Alikiba
Kiba hongera sana
Alikiba anavaa kama mwanaume siyo wengine siyo wengine wametobowa masikiyo na puwa mpaka uwezi kujuwa wanawake au wanaume
King kiba ni mtu poa hana makubwa🤝
Sikuzote.
Crown media 🎉
Very humble guy🎉
My king kiba 💯
Woow very respective man. Yan anashow love kwa kila mtu. Hugs from me Broh. u nailed❤
Ndagukunda Alikiba❤
King 👑 n mmoja tu❤
Angekua mwingine asingepita kusalimia wote ivyo ❤❤❤❤
Nani kamuona dulvani kamkumbatia king
Wasanii wengi wanaunafiki mwingi😢
Boss kama bos❤❤
Nimefurahi Kama nmeona kuku wasikukuu
Alicia wew kak pic sana umewapa Hai Watu mpk rahaaa❤
Hana baya msanii wangu ❤
Nimependa king alivopass by kutoa hi kwa wasanii
King kiba 👑👑👑
Upendo raha sana
Kiba❤🎉
Respectfully to presider
Namependa kweli nimtu wawatu
Huna baya king✌️
Yaan mi nimependa kwakwel hata huyo dulvan kasema hamjui alikiba lakn kamsalimia ali nimtu pisi kwakwel
Jamani mashabiki wenu mnatunyima raha njoeni hewani basi na wapenda sn
Kingkiba
Raha ya alikiba no tattoo no kusuka appreciating you bro❤
❤❤❤❤❤❤
Crown hapa n nyumban
Baba Levo kingkiba
Safi sana hajikwezi,ana Imani kubwa ya MUNGU,mengine yamekaa kishetani
Baba levo kwa ali kiba t😮😊
Spelling ya baby is wrong , correct it
Baba levo nmafki sana anajua kug'ata na kupuliza 😅😅😅😅😅😅
Nilikua natafuta coment kama hiii nikajua nimeona peke angu😂😂😂😂
Mchicha mwiba dullvan anaona aibu mwnyw alisema hamjuh kiba
king kiba ❤❤❤❤ huna baya kaka nakupenda bure
King Kiba 👌
Crown vamos 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Sasa mbona Ali ajaongea jamani
🎉
King 👑 kiba
King❤❤❤❤❤
❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤
Nice
❤❤❤❤❤❤❤
💞💞💞
Huyu ni rais sio.mkurugenzi hao muwambie tena ili wapate akili
😂😂😂😂nimecheka aki ongeza sauti hawajasikia
Uhakika
Ohoo
Hapa ni nyumbani tuu
King 👑
Kesho 2tapata habari nyengine kuhusu Ali k. Kukumbatiana na baba levo. Mana njua wabongo wamepata content tyr.
Nimependa
✍️✍️
🤴 🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu jamaa anapendwa sana
Ali MTU WA watu❤️❤️
Thats ma king
Kiba ni kipenzi ca watu wote
Babay
Nimependa Chino wameerewana na malioo
jaman uyu ni raisi sio mkurugenzi tafadhali
Kweli King👑 paka wasani wana shimama.. na ule wa👃
King kiba ❤❤❤❤❤❤
Hii ndoheshma unapokuta watu salimia wot bila kujal we ninan wao ninan
Hakika
@@talibthetruth8709 😘
wanyamwezi wamepoa
Kwel alikiba ni king 🤴 alipoingia tu kila mtu anatak kumusalimia
Broo huna baya all the best
Yeeebabah 😇 😇 😇 😇 😇
Tupo visuri
Kiba ❤❤❤
Jaman Duluvani alisema hamfamu alikiba, mbona kamkumbatia?
Kwa aliyezingatia apo atagundua kuna ka attention flan hv ka tofaut wasanii wamekuwa nako wakat wanampa salam kiba🤣🤣🤣
Yeah I see too
Ali kiba ni king❤🎉
Uyu baba levoo mmmh
Alikiba mtyu na heshima zake mjini
Kipenzi cha watu
Bado sana
Mtu poa san
Mfalme
Kiba