Apo kuna mchezo wa ajabu makonda ameambiwa alipe bilioni moja nukta mbili kwa kontena 20 maana yake kila kontena moja milioni 60 na kwenye mnada kontena moja limefika milioni kumi na tano na akuna alienunua, ngoja tuone iyo minada miwili iliyobaki kama mambo yatakwenda kamamlivyopanga
Loooooooooh ama kweli ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni sasa mnavyouza uza hiyo kodi si italudi kununua fanicha za walimu ktk office zao mpya zinazojengwa? Kwa nini hivyo vifaa visielekezwe moja kwa moja ktk hizo office za walimu zinazojengwa? Au KA ma hizo samani zikipelekwa moja kwa moja mashuleni makonda atapata sifa saaaaana eeewww.
Kama waliweza kugawa samaki bule .je kwa nn na hivi wasingegawa kwenye mashule bule ili shule zinufaike .maana kama ofsi za walimu kweli tunashuhudia zinajengwa kwa hapa dar .si wangegawa bule hizo Mali kwenye mashule.
inawezakan iyo Ila samaki wale walikuwa ni mali ya selikali cz walivuliwa kwenye bahari yetu Ila Ayo makontena ni ya nwatu binafsi walio shindwa kulipia Kodi so yanauzwa kuchukua Kodi yao unayo Baki ni Kwa ajili ya wenywe
Hivi na zile fenicha za shule zinauzwa pia? Kama hivyo ndivyo,Hii ni nchi itakuwa ya ajabu kwakweli, vifaa kwaa jli ya shule ili wanafunzi wapate elimu bora viuzwe!!!alafu be ya njugu tu!!! Du bado tutakuwa na safari ndefu sanaa katika Elimu, Yaani serikali ishindwe kuyasimamia makontena hayo na kuhakikisha yanagawiwa kwa walengwa kama muagizaji alivyotoa maelezo mahali yanapostahili kupelekwa!!? Siamini hili.
@@awadhikanyawana2526 mtasema mengi katika sakata hili mkijificha katika kichaka cha kodi kwa kuwa Mh. Rais kasema kumbe wengi wenu mna MIHEMKO ya KISIASA na CHUKI zenu BINAFSI kwa Mh. Makonda ...
Mlimvunjia sana Heshima mh Makonda
Muuzieni Dr. Shika msisumbue watu... Makontena yenyewe hamna kitu...
ahahahahaaaaaa nacheka kinafiki kama petro baada ya kugundua joka kawika mara ya tatu
Apo kuna mchezo wa ajabu makonda ameambiwa alipe bilioni moja nukta mbili kwa kontena 20 maana yake kila kontena moja milioni 60 na kwenye mnada kontena moja limefika milioni kumi na tano na akuna alienunua, ngoja tuone iyo minada miwili iliyobaki kama mambo yatakwenda kamamlivyopanga
Wewe unauhakika gani ni makontena ya Makonda
"MAZINGAOMBWE" Bilioni 1.2÷ makontena 20= 60,000,000/= sasa hiyo Bilioni 1.2 itafika saa ngapi ikiwa Kontena moja lauzwa sh. Milioni 15?
Loooooooooh ama kweli ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni sasa mnavyouza uza hiyo kodi si italudi kununua fanicha za walimu ktk office zao mpya zinazojengwa? Kwa nini hivyo vifaa visielekezwe moja kwa moja ktk hizo office za walimu zinazojengwa? Au KA ma hizo samani zikipelekwa moja kwa moja mashuleni makonda atapata sifa saaaaana eeewww.
Kama waliweza kugawa samaki bule .je kwa nn na hivi wasingegawa kwenye mashule bule ili shule zinufaike .maana kama ofsi za walimu kweli tunashuhudia zinajengwa kwa hapa dar .si wangegawa bule hizo Mali kwenye mashule.
Daniel Samwel bandari na tra zina sheria kanuni na taratibu zake
Hapo sawa
inawezakan iyo Ila samaki wale walikuwa ni mali ya selikali cz walivuliwa kwenye bahari yetu Ila Ayo makontena ni ya nwatu binafsi walio shindwa kulipia Kodi so yanauzwa kuchukua Kodi yao unayo Baki ni Kwa ajili ya wenywe
Kweli daaaaah
Dk shika Leo yuko WAP hapo
Kama makonda amegoma kujiuzulu!? Kwa nini asitumbuliwe!?
jamani haka kamchezo ka kuigiza ni katamm hahahaha
nimekupenda madame unajibu vizuri na kisomi zaidi....
Hivi na zile fenicha za shule zinauzwa pia? Kama hivyo ndivyo,Hii ni nchi itakuwa ya ajabu kwakweli, vifaa kwaa jli ya shule ili wanafunzi wapate elimu bora viuzwe!!!alafu be ya njugu tu!!! Du bado tutakuwa na safari ndefu sanaa katika Elimu, Yaani serikali ishindwe kuyasimamia makontena hayo na kuhakikisha yanagawiwa kwa walengwa kama muagizaji alivyotoa maelezo mahali yanapostahili kupelekwa!!? Siamini hili.
Achen kutuzaga,,funika kombe mwanaharam apite,,,,,,,,,,hahahahahahahaaaaa,wap Dr.Shika????
duu my country tz
Uswailini kuna vituko😂😂😂😂🙏
Haswaa
Nchi inaliwa hii kweupe mwenyezi mungu tunaomba kiongozi bora
Amani Mwakyusa ,hayupo ktk Dunia hii
Ndo kwamaana Dr shika ajatikea hapo coz anajua ni siasa tu
duh!!! pole TANZANIA
Hizo contena cyo ka zimekosa wateja. mi nieamini walahi makonda anaogopwa haaaaaa watu wameogopa pyu pyu cy mchzoooo nani ataki roho yake
pole nchi yangu
Dr hakuwepo?
Dr shika Leo alikua wapi tajir wetu
Makonda alitaka agawe kwa walimu wake.c mgawe kwa shule za Dar km alivyoahidi.kuliko kupiga mnada
Dr shika simuoni hapo
hii ishu ya kukamata makontena kwa wale wenye akili atajiongeza kama ni kweli au sio kweli
mia 9 itapendeza Leo hayupo jaman
MUNGU HAYO MAKONTENAR YASIPATE WATEJA. YARUDI KWA WANAFUNZI NA WALIMU.
haaaaaa
Amen
Kweli kabisa
Ameen
Ili nitela ingekuwa dada wa usa amekalia kibadachake vizuri pichakamili tungeenda kulipata huko kwenye kibanda
Wap dr Shika?
Malipo niduniani,siulijifanya Dar niyakwako nanimtoto wa Magu? Heeeedd
mmmmmmmh yetu macho
Kama kweli Raisi ni mtenda haki amtumbue na huyu sasa
Amtumbue kwa kosa lipi ...
Daniel Chijanja kwan ww hujui kwamba lengo lilikua kuibia uma kukwepa kodi ni kosa kubwa halina tofauti na ufisadi
@@awadhikanyawana2526 mtasema mengi katika sakata hili mkijificha katika kichaka cha kodi kwa kuwa Mh. Rais kasema kumbe wengi wenu mna MIHEMKO ya KISIASA na CHUKI zenu BINAFSI kwa Mh. Makonda ...
Daniel Chijanja hakuna mhemko apo mzee baba ashukuru tu yy ni msukuma angekua mwingne angetumbuliwa asubuhi tuu
@@awadhikanyawana2526 umeshinda kiongozi ... simamia msimamo wako
mmmmmmm Napita tu.
Dokta shika furusa hiyo uko wp
Samaki tulipewa bure na kwann ivyo vitu musihawe tena bure
sasa nmeamin 2mepata mkomboz atakae 2fkisha nch ya ahad
Wapi Dr. Shika?
Hiyo ni siasa tu
Ujingaaaaaaa !!Unapiga mnada vifaaa vya elimu afu elimu ni bure.Siasa uchwara .
Mugapablo Masinde furniture za kwenye garden ni vifaa vya shule?? acha kukurupuka
Mugapablo Masinde ,watajijua Na zambi zaozakula nyama zawatu,wamezurika
Hata kama hujaenda shule. Matrekta Dar yanahusiano gani na walimu! Dar hatulimi hatuna mashamba.
Adam Mwaki sijaona trekta hapo
ivi vifaa vya kilimo vina kodi
Wana wanywe bia
MP pm
mia 9 itapendeza
Hapo 900 itapendeza
yetu macho. TANU oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
tutaona mengi mweka kuu
Shukuru Mligo580 ,Nabado yatawarudi tyuu
Mnatuzuga tu. Atayachukua mchana kweupee
Rahima ,wenye akiri tumeelewa.