mwanale lee,Yani hawa watanzania wananisinya!kuna ngoroko wengine waliseme amemfanyia dharau mumewe wakati akivishwa Pete,hao nao wamekuja na jipya,niukweli wanaharibu sifa ya Tanzania
Jamani mwenye aki ya kumkagua mke mwenye mke na mwenye kumpenda ni yule mpendaji ambae ni ali kiba uyo ndio wa ubavu wake msimuukumu ametimiza amli za mungu kaeni mbali na kejeli juu ya amli za mungu anamvua nduo akiwa ndani ya ndoa
Sikuzote kizuri udhraulika na kuonekana kibaya...Na kibaya kuonekana kizuri..na sikuzote mti wenye matunda ndio upapatikiwa..mambo ni motoo iko love to kwasana 254 utajuwa ujui
Sisawa kumkaribisha na maneno ya dhanna..lkn.Mimi na muomba mkenya mwenzagu.atakalo ambiwa,lolote! awe na SUBRA ya hali ya juu! Na, MUNGU! Ata msaidia. Kwa sababu Kenya hatuna Tabia za kukosowana mitandaoni..kwake ata yaona mageni sana.bora avute SUBRA.Na anyamaze
Eunice Mishel ni baadhi tu lkn so watanzania wote ni baadhi ya malimbukeni ndo wasojielewa mwenyew kazi yke awezi kuchunguza mtu ukiona ivo waliomtolea povu mdogo wenu wameathirika kiakili tu.
sultana swaleh subhanallah wallahi wa tanzania nynyi muna chuki mbaya sana Wambeya ndipo allah amewalaani Mwajiuzatu uhasidi kiba amewakata nigereehilo hhhhhhh
sultana swaleh kwanzo kabla yote kuna pic ile yamina akiwa mara yakwanza dar kufika baada kuolewa nadhani aliweka same pozz yajicho kama hivyo nahuyo mtoto hakuwa itakuwa kamuakea nani?wakosa kazi wabongo ...pili sio jukumu lake kulea wanaharamu wamume wake hamuhusu kwamwe kulea ni ihari yake nakutowa walea niwamuzi wake hakuna moja mamake yuko kwenye ndoa hapo so awape asiwape ndio time mamazao waje kuchukua vichaliza vyoa wampe amina time ya kujinafasi namume wake ndio mwanzo ndio mbichi waitia midomoni wabongo hamukosi ila zakwapa hata mukatiwa marashi litatowa jasho tu ...wakenya hatuwezi kubali ujinga Muko nao kabisa
Eti mawifi wanasema ana jicho baya jamani mkasome dini inasema nini je uyu mtoto ali kiba alimzaa ndani ya ndoa hau nnje ya ndo kama nnje je mawifi na amli za mungu zipi zenye kufuatwa kwenye hii dunia chunga eshim amli za mungu uyu mtoto ayuko ndani ya ndoa mjue ilo
Muna shida mtoto wa wenyewe musimfanyie husda muombeeni mungu na mumshukuru mungu angekua kakayenu leo kao malaya na kupata magonjwa ingekuaje? na mkumbukeni Allah nyie wakamikifu? Mulikua mwataka afumbe macho?
Mawifi au ndugu was mume nikawaida Kafka sehemu yyte lkn alikiba ana Dada mmoja tu ambaye hashuuliki wala side binti wa mtandaoni Bali hao niwale wanaolipwa pesa kuharibu ndoa za watu ,So WiFi yangu kua mvumilivu Amina
MTU mmoja azungumze kitu then kla mtu watz watz, nan alyekua anamuhtaj cjui Ali nan, hao wenye watt wake wa4 ndo wakuona wivu sio sie hatuhusu achen kufanya kazi mtafute pesa endeleeni kudiscuss watu wasio na faida na nyie.
Ndiyo maana wanawawacha na kuoa nje ya nchi,umbeya tuu ndiyo kazi hamna kazi nyie,sisi wakenya tutaendelea kuolewa nyie bakini na umbeya wenu,i hope unawasaidia huo umbeya.kama chungu mezeni vijembe,ndio kashaolewa huyo tena officially,Amina usitatizike mamaa waaache wachambe ndiyo kazi yao hao.
Kwa kweli mmepasi kwa umbea si harusi si msiba lazima umbea utatokea yani umbea ni kama maji kwenu ukikosekana watu wataathirika.tumewachoka🙆Hamna kazi laleni kuliko kuzuazua yasonamaana.
tamia. uwowote wivu wa bongo tumezidi mke wa kiba yuko poa alikuwa akimuangalia akishangaa mtoto manen alio ongea achen ngebe angekuwa simba mngesem? kiba mlee mkeo pia na watoto manen haya kuhusu kabis ukiyafat watakuesabia wanawak uwe kam mond
Hiii Dunia imamambo kweli,,,mambo ya kijinga kabisa kumfatilia mtu ambae hana time na nyinyi,,,,yana wahusuje mambo ya watu ni uchoyo uwo na ubaya wa nafsi,,,ndo mana maaendeleo Hakuna Tanzania kwa sababu umnajulikana mnacho kipenda,,nikufatilia watu tuu
sio sahihi kumkosoa hayawahusu muachie yeye baba anajua nn afanye huwa mnasababisha ndoa za watu ziharibike kwa ushakunaku mawifi mwenyewe unakuta hapo Wa Amina jicho lake mwanamke jicho Ndugu nyooo chefuuu
Watanzania mbona ivo lakini? Aki sipendi tabia zenu ata harusi ya Kenya Amina alikua serious kama ivo ni upole wake tu huo mwamuona haongei kitu ndo mwamchokonoa bado poleni Kwa mana hatawajibu kitu kama alikiba mwenyewe vile yuko... vumilia Amina usiwajibu kabisa waache weseme mchana usiku watalala
Upuuzi mtupu youtube imekua ajira lkn naona wa tz hawajui vya kuitimia nimeisikiliza hadi mwisho aliekua hajasikiliza usipoteze muda na mb zako ukhanithi mtupu wallahi
Kaupenda mti atapenda na matunda yake. Kajua kama ana watoto na karidhia. Angeshughulishwa sana na watoto kama pochi la kiba lingekua kavu. Lakini pochi nene linatosha kote ashughulishwe na nini. Hamuoni mpaka gavana kasema Ali kaanza na wengine mfuate kakusudia wenye mapochi manene sio tu nyote. Maana hakuanza Ali kuoa kenya mbona tushaoana sana tuu. Lakini wakenya wamechanganyikiwa wanaropokwa tu utafikiri Ali kaoa kenya nzima. Chezea noti weweee
Jamani sio vzr hata kidogo kwani yy kiba ndio kachagua Na hapo kaona yy ndio kafika kwani Tanzania akuwaona. Jmn ndoa ht mwezi bado kasoro zimeshatolewa. Mimi nawaombea dua mungu awajalie na awape kizazi chema ktk ndoa yao.jamani tusipende kuanza kuweka fitna na kasoro kwani kl mmoja ana kasoro zk unaposema za mwenzako Jua na zk zinasemwa.
Hahaa jamani wa tz ni macho yake tuu mbona mnamtia unyonge mwanamke mwenzenu acheni roho zenu za korosho😠😠
watz kila mukiambiwa wambeya mwaona sifa......ivi mtoto yupo mbele kumbe anataka aangalie chini???? punguzeni umbeya loool
mwanale lee,Yani hawa watanzania wananisinya!kuna ngoroko wengine waliseme amemfanyia dharau mumewe wakati akivishwa Pete,hao nao wamekuja na jipya,niukweli wanaharibu sifa ya Tanzania
Wa Tanzania tuna nogwa sana 😏😏😏
Jamani mwenye aki ya kumkagua mke mwenye mke na mwenye kumpenda ni yule mpendaji ambae ni ali kiba uyo ndio wa ubavu wake msimuukumu ametimiza amli za mungu kaeni mbali na kejeli juu ya amli za mungu anamvua nduo akiwa ndani ya ndoa
Mimi ni mtanzania na umbea huo cna, mtoto amina katulia mashallah, na kajaaliwa jicho
Sikuzote kizuri udhraulika na kuonekana kibaya...Na kibaya kuonekana kizuri..na sikuzote mti wenye matunda ndio upapatikiwa..mambo ni motoo iko love to kwasana 254 utajuwa ujui
Abdarlahamn juma hongera sana kaka maneno yako ni sahihi kabisa Ilove my brother
Mhhhhhh-watanzania-kwaumbea-hamjambooo-atatoboa-huyo-mkenya-mwenzangu-huko-kwa-wabongo-washaanza-visababu-vidogovidogo
Kivyangumiminasema wanacukiyakuona alimpatakibampakakufikiyakumuowayeye mukenya
Nyinyi matanzania mnapenda sana umbeya ..... ......waah mbona hivyo 🤔🤔
Sisawa kumkaribisha na maneno ya dhanna..lkn.Mimi na muomba mkenya mwenzagu.atakalo ambiwa,lolote! awe na SUBRA ya hali ya juu! Na, MUNGU! Ata msaidia. Kwa sababu Kenya hatuna Tabia za kukosowana mitandaoni..kwake ata yaona mageni sana.bora avute SUBRA.Na anyamaze
Kweli kabisa mimi pia nawashangaa hawa watanzania na mambo ya mtandaoni.Wamuache mrembo wetu wasimkwazwe
Awa bongo wanavukiana mipaka in social media....waswahili sana limbukeni😂😁
Eunice Mishel ni baadhi tu lkn so watanzania wote ni baadhi ya malimbukeni ndo wasojielewa mwenyew kazi yke awezi kuchunguza mtu ukiona ivo waliomtolea povu mdogo wenu wameathirika kiakili tu.
sultana swaleh subhanallah wallahi wa tanzania nynyi muna chuki mbaya sana
Wambeya ndipo allah amewalaani
Mwajiuzatu uhasidi kiba amewakata nigereehilo hhhhhhh
sultana swaleh kwanzo kabla yote kuna pic ile yamina akiwa mara yakwanza dar kufika baada kuolewa nadhani aliweka same pozz yajicho kama hivyo nahuyo mtoto hakuwa itakuwa kamuakea nani?wakosa kazi wabongo ...pili sio jukumu lake kulea wanaharamu wamume wake hamuhusu kwamwe kulea ni ihari yake nakutowa walea niwamuzi wake hakuna moja mamake yuko kwenye ndoa hapo so awape asiwape ndio time mamazao waje kuchukua vichaliza vyoa wampe amina time ya kujinafasi namume wake ndio mwanzo ndio mbichi waitia midomoni wabongo hamukosi ila zakwapa hata mukatiwa marashi litatowa jasho tu ...wakenya hatuwezi kubali ujinga Muko nao kabisa
Amina-usijali-yatie-pamba-kwenye-sikio-ndio-mwanzo-utasikia-mengi-wamwona-zarina-amewachoka-hawa-wabongo-wamemfika-kooni-bado-kuwatapika-umbea-ndio-kazi-zao-nakuka-uchiiii
Tunawazoweyawa Tanzania kazizao nikucunguzanaga awatakagiwatotowawenzawowapate
+254 from+966fwatilieni hao Malaya wenu vunuka mboo huko mwacheni dadaetu Bado mapema haliwahusu💪👌
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂-aiiiiiiiii-makubwa
Hebu mpokeeni kwa mikono miwili na wacheni umbeya bado ni mapema sana.
Eti mawifi wanasema ana jicho baya jamani mkasome dini inasema nini je uyu mtoto ali kiba alimzaa ndani ya ndoa hau nnje ya ndo kama nnje je mawifi na amli za mungu zipi zenye kufuatwa kwenye hii dunia chunga eshim amli za mungu uyu mtoto ayuko ndani ya ndoa mjue ilo
Yes it is true
umbea utawamaliza walahi.😂😂😂lakini mwanifurahisha sana.
wabongo madem na waume wote n wambeaaa2 punguzeni mtto Amina kachaguliwa yye....
Acheni unafki Ndomaana hata shilawadu hmkupewa kadi
Aaah mumezidi nyoooni mumemfungua roho yake mkamjua alivyo!?👌 mbona mwapenda kuamsha waliolala nyinyi
Watanzania punguzeni midomo ht mwenyeez mungu hapendi choyo tu
Mombasa imetoka vizul imefika kwa wajuaj shidaaaaa,muachen bhana shemej yetu
Hamkosi jipya wanafiki nyie..ni mkenya msimfananishe na watanzania wenzenu...Alaaaaa
Wabongo tuachage uchonganishi na uchokonozi wa maisha ya wenzetu
kweli binadamu ni wanafiki kwahiyo hastahili kumuangalia huyo mtoto
mawifii nishiidaa hawanagajema hatauwabebe vip
acheni ujinga mnao post vit vyakijinga ndo kwanza dada wawatu mgeni halaf mpole
Ety ameangalia mtoto na jicho baya!!!!! dah!!! wabongo mbn mnamambo ivyo
Waliosema ubinadamu kazi hawajakosea
Hapo amina aliona duu eee Mungu eee. Huyu ni muweza kweli? Mbona kajuaji hivi kiasi kwamba sitaweza ku katesa
Nimapema Sana kumtia dowa wambea jamani hebu waacheni vazialolivaa halinashida wambea jamani nahilojina halimanishi chochote punguzeni umbea
Sahihi kabisa amemuangalia mtoto kwa jicho baya
Astaghafirullah.dhana dhambi
Kikubwa ally kashampenda mkewe Sasa wanafk kaz kwenuu
Insha Allah,,,, Itakuwa kheri.
We lofa sana bro auna kazi weye
Ndiyo maana mnatakiwa mkajisajiri mnaandika upuuzi tu
Acheni fitna zenu tabia mbaya tuu mlizonazoo
Wabongo mnapenda sana tantarira acheni midomo
Rubbish
Na umbea wenu ndio maana hamjaalikwa
uchonganish tu yana wahusu harusi c yake bro tafuta story za maendeleo discussion insta
Karibu wifi yetu,wabongo ndo tulivyo mwaya tuna midomo balaaa
Wabongo wanakagua sana wanawivu wataka kumtibua kama zari ...
Hata atizame na macho yakushoto amewakuta atulie tuliiiii
wambea wakubwa! amina hata usiyafuatishe maneno
Mbn kawaida jamn c pozi la kuangalia mxeeeeeeeeeeeeew wabongo
Jamani wacheni ushamba mlitaka aweke uwa matakoni
Wivu bana... Ndio kapendwa ma Ali nyie wengine ni kelele tu
Mtu kama.hamujui tabia yakee achaneni nae kabisaaa
acheni kufatilia maisha ya watu wajinga nyinyi
Watu hawakosi LA kusema,,,hata hajaingia kwa nyumba mshaa anza?? Haaaah
jaman acheni wivu na majungu yasio na msingi
ALLI. , AMINA CHNGENI NDA YENU AMINA ACHANANAO WAJINGA HASOWIVU UNAWASUMBUA
Kwaivo mna judge character ya mtu kwa picha moja, taken from one angle tu hahahahha wa tz mwachekesha
Achani kusakama ndoa ya watu wambea wakubwa yenu yanawashinda
Mnatatizo wabongo kwa umbea
Mmmh muna wivu wa tz vile huyo sio tz wenzenu poleni sanaaa mwenye wivu ajinyonge vumilia amina
Wewe ni ndugu wa shilawadu kwa upande wa nani 😂😂😂
Mambo mengine ni upuuzi tu hamna kazi zakufanya
team jirani ndo wenye hiyo kazi ya kukosoa
Acha roho mbaya ,Amina shikilia usiwasikilize penda sana kiba na wanae
Muna shida mtoto wa wenyewe musimfanyie husda muombeeni mungu na mumshukuru mungu angekua kakayenu leo kao malaya na kupata magonjwa ingekuaje? na mkumbukeni Allah nyie wakamikifu? Mulikua mwataka afumbe macho?
anaonekana mchoyo sana huyu demu
Hao mawifi wanakuhusu nini wewe
wacheni wivu kalibu sana wifi
Mawifi au ndugu was mume nikawaida Kafka sehemu yyte lkn alikiba ana Dada mmoja tu ambaye hashuuliki wala side binti wa mtandaoni Bali hao niwale wanaolipwa pesa kuharibu ndoa za watu ,So WiFi yangu kua mvumilivu Amina
MTU mmoja azungumze kitu then kla mtu watz watz, nan alyekua anamuhtaj cjui Ali nan, hao wenye watt wake wa4 ndo wakuona wivu sio sie hatuhusu achen kufanya kazi mtafute pesa endeleeni kudiscuss watu wasio na faida na nyie.
yani binadam siwawezi.pole Mrs kiba mama wa kambo hawanaga sudi hadi wanaingi kaburini.😢
mwapenda sema sana salala hamuwezi furahikia jambo la furaha mpaka mutie midomo yenu michafu kama choo cha mnyika
Ndiyo maana wanawawacha na kuoa nje ya nchi,umbeya tuu ndiyo kazi hamna kazi nyie,sisi wakenya tutaendelea kuolewa nyie bakini na umbeya wenu,i hope unawasaidia huo umbeya.kama chungu mezeni vijembe,ndio kashaolewa huyo tena officially,Amina usitatizike mamaa waaache wachambe ndiyo kazi yao hao.
Maskini ni no make up na hiyo kitu ameweka kwa macho nimesahau jina...but shez fine
acheni kutia DOA ndoa za watu bwana
Macho. Ayatafsiri roho. Ya. Mtu. Nackuzote mawifi awakosagi yakuongea cha msingi mwenyewe Ali kiba awe. Na msimamo wakujua familia yake nasio wao
Siyo sahihiiiiiiiiiiiiii acheni wivu
Kwa kweli mmepasi kwa umbea si harusi si msiba lazima umbea utatokea yani umbea ni kama maji kwenu ukikosekana watu wataathirika.tumewachoka🙆Hamna kazi laleni kuliko kuzuazua yasonamaana.
Khadija Oman 😂😂😂😂Yaani ni aibu wallah yote ni Choyo tu kinawasumbua
Khadija Oman
swadakta yani TZ kuna vchanel vya umbea mpaka bac hata news kwa TV hazi vumi kama umbea wao fyuuuuuu
Raila my president Raila my president HAHAHA
tamia. uwowote wivu wa bongo tumezidi mke wa kiba yuko poa alikuwa akimuangalia akishangaa mtoto manen alio ongea achen ngebe angekuwa simba mngesem? kiba mlee mkeo pia na watoto manen haya kuhusu kabis ukiyafat watakuesabia wanawak uwe kam mond
Khadija Oman 😂😂😂😂😂😂👍🏾👍🏾👍🏾
shiRawadu
Hiii Dunia imamambo kweli,,,mambo ya kijinga kabisa kumfatilia mtu ambae hana time na nyinyi,,,,yana wahusuje mambo ya watu ni uchoyo uwo na ubaya wa nafsi,,,ndo mana maaendeleo Hakuna Tanzania kwa sababu umnajulikana mnacho kipenda,,nikufatilia watu tuu
Kwa hyo aangalie chini nyie vp oeni na nyie Alikiba cyo mbeya kama nyie nyambaf
aliyataka mwenyewe so angeoa mtanzania mwenzake alie zaa nae mtoto akamsilimisha
sio sahihi kumkosoa hayawahusu muachie yeye baba anajua nn afanye huwa mnasababisha ndoa za watu ziharibike kwa ushakunaku mawifi mwenyewe unakuta hapo Wa Amina jicho lake mwanamke jicho Ndugu nyooo chefuuu
Nyie wambea tu kazi kufata life za watu angalieni yenu
Watanzania mbona ivo lakini? Aki sipendi tabia zenu ata harusi ya Kenya Amina alikua serious kama ivo ni upole wake tu huo mwamuona haongei kitu ndo mwamchokonoa bado poleni Kwa mana hatawajibu kitu kama alikiba mwenyewe vile yuko... vumilia Amina usiwajibu kabisa waache weseme mchana usiku watalala
mmh!mawif muache kumdhania mdada wa wt mucmtie ila bree👌👌👌
Yani mtandao waliletewa wa tz jamani
Huo unaitwa unafki na uchokonoaji wa maisha yawatu,dhana sinjema jamani eee
Upuuzi mtupu youtube imekua ajira lkn naona wa tz hawajui vya kuitimia nimeisikiliza hadi mwisho aliekua hajasikiliza usipoteze muda na mb zako ukhanithi mtupu wallahi
Hayaweeee yameanza mijineno
Kazi kwenu wambea watu kwa raha zao usiyo yafurahiya wewe maharusi yawahusu
Kaupenda mti atapenda na matunda yake. Kajua kama ana watoto na karidhia. Angeshughulishwa sana na watoto kama pochi la kiba lingekua kavu. Lakini pochi nene linatosha kote ashughulishwe na nini. Hamuoni mpaka gavana kasema Ali kaanza na wengine mfuate kakusudia wenye mapochi manene sio tu nyote. Maana hakuanza Ali kuoa kenya mbona tushaoana sana tuu. Lakini wakenya wamechanganyikiwa wanaropokwa tu utafikiri Ali kaoa kenya nzima. Chezea noti weweee
hivi mnajua ni bei gani hilo gauni au mnaongea tu......yan wa bongo bwana sijui kwann hambadiliki kila sku mko ivoivo
pol dada do kufika tuu habar do hiyo jipange jisi gan utaoshi nao ten akil ya ziada utumie pol kipez
Ali kiba hana mtoto mpaka saiv uyo MTT ni wanje ya ndoa
Alikiba ndiye anajua uzuri wake ndio maana akawacha wengine akamuoa yeye ndiye ataishi naye sio wambea wa mitandao
Sisaii kwani ndoa watu wawili
Jamani tanzania mtaamka lini kufata yasowahusu jamani masikini amina Pole mwaya watu washakuandama mapemaa
Jamani sio vzr hata kidogo kwani yy kiba ndio kachagua Na hapo kaona yy ndio kafika kwani Tanzania akuwaona. Jmn ndoa ht mwezi bado kasoro zimeshatolewa. Mimi nawaombea dua mungu awajalie na awape kizazi chema ktk ndoa yao.jamani tusipende kuanza kuweka fitna na kasoro kwani kl mmoja ana kasoro zk unaposema za mwenzako Jua na zk zinasemwa.
Inawezekana we ndo WiFi
Si sahihi hiyo ni maisha yao wenyewe,tuangalieni yetu jamani.
Apo harusini sio msibani
haikosi sababu jamani du
Kawaida hasidi wa mwanamke ni mwanamke mwenzie acheni unafiki kwani kawaolea nyie mmmmmxxxxuuu!!!!
Jamani muacheni amebarikiwa na Mungu
Macho mapoz
mmmmng si wabongo tuna matatzo tena sana mi sion ubaya kwa jinsi alivymtazama kila mtu na uwangaliaj wakenakuangalia si kigezo cha roho mbaya
Wabongo mnaudaku sana