VIDEO KUTOKA URUSI: SPIKA TULIA AKUTANA na RAIS PUTIN MEZA MOJA - WAJADILI MAMBO MAZITO VITA UKRAINE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 17

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 หลายเดือนก่อน +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @mwanagwakyala3213
    @mwanagwakyala3213 3 หลายเดือนก่อน +2

    hongera kwa hilo ,umekuwa kiongoz wa mfano , mungu akuongoze katka majukumu yako ya kila siku

  • @greysondavid6445
    @greysondavid6445 3 หลายเดือนก่อน

    Congratulate dr Tulia Ackson for being transparent talking with president putin.

  • @Watema23
    @Watema23 3 หลายเดือนก่อน

    Suburi Marekani ikutilie vikwazo

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 3 หลายเดือนก่อน

    Kheri sana Doctor Trulia Rais wa Mabunge Duniani. Wasuluhishe,AMANI N I ya Msingi sana.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mdogo wangu ,nakutakia kila kheri Mwenyeai Mungu akutie nguvu na kukupa Afya katika kipindi hiki ulicho huko, Tunakuombea ukawashauri Amani ikatawale nchi zote.

  • @loserianonesmo4756
    @loserianonesmo4756 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera Sana. Mungu akuwezeshe Kwa hayo yote

  • @Hakuzwe
    @Hakuzwe 3 หลายเดือนก่อน

    Mama Dr Tulia wewe ni mwanamuke shuja...je Vous aime beacoup❤❤❤

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 3 หลายเดือนก่อน

    upo vizuri

  • @tabitabughali3207
    @tabitabughali3207 3 หลายเดือนก่อน

    Kyala akutulege Mwanangu, Bombaga ijo Mbobo ja KYALA

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 3 หลายเดือนก่อน

    HOTUBA MUAFAKA Imesheheni Hekima na Busara.Tuombe Mungu Awafanyie wepesi mpate Suluhisho zuri.

  • @tonchanthol5329
    @tonchanthol5329 3 หลายเดือนก่อน

    😮😮😮

  • @MahdouMomba
    @MahdouMomba 3 หลายเดือนก่อน +1

    FInally Urusi is going to liberate the entire continent from Europeas imperialists, kama ulienda kwa Putin naamin ni mwanzo na mwelekeo mzuri kwa nchi yetu.

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 3 หลายเดือนก่อน

    Sjapenda😂😂😂😂 ukalibu na GAIDI😂😂😂😂😂😂

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umeenda kama nani au munataka kuuza nchi sijaelewa supika kutoka kwenda kuonana na Raisi wakati bunge halijamtuma sisi watanzania sio wajinga

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 3 หลายเดือนก่อน +1

      We fala amenda kama Raisi wa mabunge duniani sikiliza kwa makini si kuruka tu kinafik huyu siyo levo yenu kabisa na huyo Sugu wenu ajipange huyu siyo levo yake

    • @innocensiapius
      @innocensiapius 3 หลายเดือนก่อน

      Tumpongeze tuu jamani
      Tusipende kuzodoa kila kitu
      Labda Putin anaweza kubadili mtazamo wake wa kupiga wenzake na nuclear zake