Laiti ungepewa nafasi ya kuuwa basi wadigo ungewatanguliza mwanzo sio? Itabidi umuandikie Allah abarua asiumbe tena wadigo mubaki nyie peke yenu duniani na akhera
Kwasababu content yangu inatukuza mama wa Kiswahili ambae ni muanzilishi wa Uswahili. Buibui ni stara, na stara hutoka kwa mama mzazi ikiendelezwa kwa vijana. Buibui la zamani musilivushe thamani ambapo nimetubeba sio wote katika maisha yetu, buibui la zamani ni ishara ya mama wa zamani ambae kwa dunia ya leo hatumuoni, hatumthamini na tumeitupilia mbali kitambulisha chale USwahili. Natumai umeielewa content yangu kwa sasa! ❤️
@@jkizondoswahilibites434 nimekuelewa sana kutokea nilipoangalia hii video Kwa mara ya kwanza nlikua nakutania tuu dadangu JKizondo ki ukweli nafurahi sana kuangalia video zko na hilo baibui limenikumbusha marehemu nyanyangu Mungu amrehemu!
Keep up the good work
Hahaha ha hahaha
Hilo buibui tu..Mashallah!🤩
Twataka Taarab Walmart🙃🥰
Dada hakuna kitu napenda zaidi kwako ukiachilia mbali misosi ambayo ndio first,then unaongea kiswanglish safi sana,basi napenda mno
Ahahhahaah....😂😂😂😂@I open i take one.....Uwiiiii
Umekumbuka kongowea😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅nakubali
Masha Allah umedamshi na hilo shikamoo bibi da jamila ila punguza ugumu wa kidigoo 😂😂
Laiti ungepewa nafasi ya kuuwa basi wadigo ungewatanguliza mwanzo sio? Itabidi umuandikie Allah abarua asiumbe tena wadigo mubaki nyie peke yenu duniani na akhera
😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
🙈🙉😂😂😂😂🤣🤣🤣
Yaani eti lundoo😂😂😂
🤣🤣🤣
mbona umevaa baibui la kizamani na wee nkijana😃😂😂
Kwasababu content yangu inatukuza mama wa Kiswahili ambae ni muanzilishi wa Uswahili. Buibui ni stara, na stara hutoka kwa mama mzazi ikiendelezwa kwa vijana. Buibui la zamani musilivushe thamani ambapo nimetubeba sio wote katika maisha yetu, buibui la zamani ni ishara ya mama wa zamani ambae kwa dunia ya leo hatumuoni, hatumthamini na tumeitupilia mbali kitambulisha chale USwahili. Natumai umeielewa content yangu kwa sasa! ❤️
@@jkizondoswahilibites434 nimekuelewa sana kutokea nilipoangalia hii video Kwa mara ya kwanza nlikua nakutania tuu dadangu JKizondo ki ukweli nafurahi sana kuangalia video zko na hilo baibui limenikumbusha marehemu nyanyangu Mungu amrehemu!
Ushazoea magenge
Yaani eti lundoo😂😂😂