#MadeinTanzania
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- Shabaha ya #MadeinTanzania siku zote imekua ni kumulika Bidhaa zinazozalishwa kwenye Ardhi mama ya Tanzania #JamhuriYaWapambanaji huku tukiamini kwamba tutachochea watanzania wengi kuamini kwenye Bidhaa za nyumbani, ili kuwaunga mkono wapambanaji wa nyumbani.
Katika video hii #MadeinTanzania tumewaunga mkono wapambanaji wanaotengeneza vifungashio kwa ajili ya bidhaa zinazotumika majumbani Kama unga, mchele na sukari.
Usikose kufuatilia Made in Tz Show katika Clouds TV
Kila Jumatano saa 2:30 Usiku:
Kila Jumapili saa 9:30 Alasiri (Marudio)
SUBSCRIBE CHANNEL HII KUPATA INFOS ZAIDI!!!
Hizi ndio Channel za kuangalia. Made in Tanzania big up. Endeleeni kuonyesha maendeleo na vitu vya nyumbani.🙏
Hongera Serikali kwa kuweka Sheria ya Mitandao. Tunataka mambo kama hayo ndio yaonyeshwe kwenye mitandao sio masuala ya umbea tu na mambo yasiyo na ushahidi wala viashirio vya watu kupata maarifa na uelewa. Naonba Sheria ya mitandao iruhusu Mamlaka kutoa leseni kwa Warusha taarifa zenye kuelimisha tu kama hizi na sio mambo yasiyo na tija.
Safi sana kaka kwa habari mzuri.umenifungua macho nilikuwa sijui.kazi mzuri 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🏻.
Big up Tanzania ya viwanda
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
Safi mzee made in #TANZANIA
Mr Sam sasali
Hongereni sana jamani mna tufarigi sana kumbe Tz tuna weza, Mungu a inuliwe.
Hakika nimeipenda hii channel big up sana waandaaji mko vizur
Hizi ndo Channel za kuangalia....VIVA TZ YA VIWANDA!!!....WACHA WAISOME NAMBA....
safi sana ajira kwa wingi huko
Safi sana
Very nice content, Keep it up #Consistency. This channel is gonna be big in the next 4 months
Hii chanel muhimu sana Tanzania Hoyéééé
Kidumu chama tawala 😊 👍 👍 ccm ndio Habar ya mjin
Inapendeza sana kwa msaada wa mungu atatuinua zaidi. Hii ndio faraja yetu watanzania abarikiwe mwenye ndoto hizi
Ama kweli Tanzania ya viwanda inawezekana tujali vya kwetu kwanza katika matumizi yetu ya kila siku.
Najihisi furaha kuona jambo hili Tz,hakika tuijenge na Tz itajengwa na waTz hakika tunaweza.
Ukiongelea Tanzania 🇹🇿 😊 👌, usihache kusema Kidumu chama tawala 😊 👍 👍 👍 ccm ndio Habar ya mjin
Safi sana, kiivyo nchi lazima ikue
Kazi nzur sana
Ongera mtangazaji. Unajua kazi yako
kaka unapiga kazi nzurii sanaa endelea hivo hivo
Haya ndio mambo yanayotakiwa kuoneshwa sio umbea na udaku
Kweli kabisa Nugu yaangu
Sure.
Mambo mazuli
Hawana uniform maalumu za kazi. Du, kweli somo limeenda shule.
This magufuli has raised Tanzanian alot
MAGUFULI oyeeeeeeeee. Akimaliza 5 tumuongezee atuvushe kutoka kwenye umasikini
Hongerni sana
Kweli serikali ya viwanda, magufuli tena 2020, Kidumu chama tawala 😊 👍 👍 ccm ndio Habar ya mjin
Tanzania mungu awape nini asantee mungu kwa Tanzania yetu ya viwanda
Naweza kupata contact zao?
Inapendeza sana kuona tunapiga hatuwa za kueleweka
Kazi nzur
Yean kw practical ilivo simple adi raha.....sas kisanga wakikfndish theory watawkca calculation ngumu balaa utakuj amin
Siyo kila kitu made in chein sahani chein kijiko chein kila kitu chein sim chein corona chein yaani yate chein Tanzania tuanze kujitegemea mungu ilinde inch yangu
Ndio hivi ni vitu vizuri Lakini ndugu mtangazaji unapokuwa kiwandani punguza mapepe,
Kibaha mail mija mtaa wa loliondo kiwanda hiki ndo kilipo
Shkrn kw information ndg
mimi nakionaga maeneo ya Mlandizi kuelekea Ruvu kama sikosei
@@saloomidd1084 hapana kile kipo tofauti sana .
Ndiyo cha mtoto wa SSB?
0688593642 nitafute mkubwa
Kiwanda hiki taali tumetambua kipo kibaha mawasiliano vipi kama mteja anahitaji mzigo?
Yani naona mengi kupitia channel hii
Me naitwa kessy mgunda kutoka kagera wilaya ya ngara Mimi ni director manager and chairman wa Kemgunda industry tunazalisha pombe mbali mbali
kutoka kwenye ndizi saaivi tunajenga kiwanda kikubwa Cha kuzalisha ninaomba siku ya uzinduzi uwepo na mzee magufuli
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗😍😍😍😍👌👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌 watching kutokea 🇺🇸🇺🇸
Sammmmmmm!! Made in Tanzania.
Utakuta mtu ni Mtz halafu hataki kusikia haya.
Wapo wengi sana
Uraiani huku
Sam Sasali uwe unavaa safety gears, siku utakuja kupigwa mzinga kwenye kipara hicho.
Kama wwe ni operator na umepiga kazi Global Packag miaka ya 2017 Tujuwane hapa by Amir Robert mugunya
Belo debe 6 oda shingapi
Naomba mawasiliano tuje kuchukuwa bizaaa
hizo nyembe zinawekwaje ktk mashine.?
Hopeful Watanzania wengi tumiliki viwanda n sio ngozi nyeupe tu
Kazi ni Kazi
Mbona hamko safety usalama kazini hamjazingatia
Du nilikua sijaona iki kipindi bab kubwa yaani Magu angetawala miaka 20 nnchi ingekua kama Japan
Endeleeni kutuwezesha 🈸🈵 Tanzania
Waliojenga ndo hongera maana waga wanasauliwa
Ukiangalia hopper inafanana na kinu cha asili kwa hopper maana yake kinu, kazi ya kinu ni pamoja na kuingiza vitu si kusaga tu
Mambo flesh Kaka niliona unatangaza Sana viwanda vya Tanzania ongereni sana
Mi nilitegemea haya Maelezo atatoa mtu mweupe kumbeeee
Sawa lakini uliza wafanyakazi sasa wanalipwa kiasi gani? Ndio utacheka!
Nazipataje
Kiufupi tu
Ni extrusion
Bag making
Na wanamaliza na printing.
😳
Mbona hamjaweka mawasiliano yenu Sasa?
Zege please 🙏🏻
uji yachomwa kwenye oven duh
Kweli bando langu linaenda kihalali kipindi nimekipenda bureew
Kiafya ikoje maana nmeskia Chemical tena alaf no Protectors
MC WEWEEE NIMEKUKUMBUKA NIMEKUONA HARUSI TATU IVI. UNABISHA??
Nabisha haaaaaaaa
Kipindi poa sana
Tupe mambooo
Mawasiliano
Mwandishi wa Habari, nakuomba uangalie mwekezaji ni nani, rauwaterial zinatoka wapi na wafanyakazi wanapata mshahara kiasi gani.Wahandishi wa habari kutoka Amerika walikwenda Ethiopa kiwanda cha viatu.Walikuta mfanya kazi hapati mshahara unaotosha kiatu kimoja.Ndivyo wachina walivyo.Wao wanakula chakula kizuri kweye kanteen yao, waafrika wanakula chapati na maharagwe.Kazi haina kupumzika ni utumwa.Wakilalamika wanafukuzwa. Tushikamane.
Wazaidie watanzania wenzetu ili pesa ibaki nchinikwetu
Nahitaji bando arobain vip nita pata?
Hii chaneri nimeielewa navyopenda mambo ya kutumia akili yani Ufundi najisikia raha kuangaria na kuskia
Je ile mifuko kupekia sabuni inapatikana
Najiuliza hivi viwanda mbona vilikuwa havionekani
Magu huyo
Debe 6 shingapi
Mifuko kutoka nje ya nchi iko meshore
Kwa sasa
Eee kumbe wachina wametuwezwsha
Uhuru came and see this
Nahitaji mifuko vipi inawezekana bandu bei gani
Utacheka ukiamiwa malipo ya wafanya kazi,utaambiwa 120000 au 150000 kwa mwezi
.
Huyu ndo ng'ombe mwenye uzito zaidi Nane nane 2020
Bofya hapa kuona
th-cam.com/video/0ydQ29hb27U/w-d-xo.html
Debe 6 shingapi