#MadeinTanzania

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
  • Shabaha ya #MadeinTanzania siku zote imekua ni kumulika Bidhaa zinazozalishwa kwenye Ardhi mama ya Tanzania #JamhuriYaWapambanaji huku tukiamini kwamba tutachochea watanzania wengi kuamini kwenye Bidhaa za nyumbani, ili kuwaunga mkono wapambanaji wa nyumbani.
    Katika video hii #MadeinTanzania tumewaunga mkono wapambanaji wanaotengeneza vifungashio kwa ajili ya bidhaa zinazotumika majumbani Kama unga, mchele na sukari.
    Usikose kufuatilia Made in Tz Show katika Clouds TV
    Kila Jumatano saa 2:30 Usiku:
    Kila Jumapili saa 9:30 Alasiri (Marudio)
    SUBSCRIBE CHANNEL HII KUPATA INFOS ZAIDI!!!

ความคิดเห็น • 94

  • @thabitalwiy1
    @thabitalwiy1 4 ปีที่แล้ว +33

    Hizi ndio Channel za kuangalia. Made in Tanzania big up. Endeleeni kuonyesha maendeleo na vitu vya nyumbani.🙏

  • @juliusmzengaboma9892
    @juliusmzengaboma9892 4 ปีที่แล้ว +11

    Hongera Serikali kwa kuweka Sheria ya Mitandao. Tunataka mambo kama hayo ndio yaonyeshwe kwenye mitandao sio masuala ya umbea tu na mambo yasiyo na ushahidi wala viashirio vya watu kupata maarifa na uelewa. Naonba Sheria ya mitandao iruhusu Mamlaka kutoa leseni kwa Warusha taarifa zenye kuelimisha tu kama hizi na sio mambo yasiyo na tija.

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana kaka kwa habari mzuri.umenifungua macho nilikuwa sijui.kazi mzuri 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍🏻.

  • @zamukahemele1505
    @zamukahemele1505 4 ปีที่แล้ว +21

    Big up Tanzania ya viwanda

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar4908 4 ปีที่แล้ว +23

    Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1

  • @mohamedkikale7241
    @mohamedkikale7241 4 ปีที่แล้ว +13

    Safi mzee made in #TANZANIA
    Mr Sam sasali

  • @damianakivamba5835
    @damianakivamba5835 4 ปีที่แล้ว +6

    Hongereni sana jamani mna tufarigi sana kumbe Tz tuna weza, Mungu a inuliwe.

  • @Kivuruge255
    @Kivuruge255 4 ปีที่แล้ว +6

    Hakika nimeipenda hii channel big up sana waandaaji mko vizur

  • @goodluckulimboka8398
    @goodluckulimboka8398 4 ปีที่แล้ว +5

    Hizi ndo Channel za kuangalia....VIVA TZ YA VIWANDA!!!....WACHA WAISOME NAMBA....

  • @peterkailembo4101
    @peterkailembo4101 4 ปีที่แล้ว +10

    safi sana ajira kwa wingi huko

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 4 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana

  • @michaelmallya5622
    @michaelmallya5622 4 ปีที่แล้ว +3

    Very nice content, Keep it up #Consistency. This channel is gonna be big in the next 4 months

  • @BYAUNDA
    @BYAUNDA 4 ปีที่แล้ว +22

    Hii chanel muhimu sana Tanzania Hoyéééé

    • @justice607
      @justice607 4 ปีที่แล้ว

      Kidumu chama tawala 😊 👍 👍 ccm ndio Habar ya mjin

  • @clementkingazi7489
    @clementkingazi7489 4 ปีที่แล้ว

    Inapendeza sana kwa msaada wa mungu atatuinua zaidi. Hii ndio faraja yetu watanzania abarikiwe mwenye ndoto hizi

  • @dismasswai5838
    @dismasswai5838 4 ปีที่แล้ว +9

    Ama kweli Tanzania ya viwanda inawezekana tujali vya kwetu kwanza katika matumizi yetu ya kila siku.

  • @allyyussuf3683
    @allyyussuf3683 4 ปีที่แล้ว +10

    Najihisi furaha kuona jambo hili Tz,hakika tuijenge na Tz itajengwa na waTz hakika tunaweza.

  • @justice607
    @justice607 4 ปีที่แล้ว +2

    Ukiongelea Tanzania 🇹🇿 😊 👌, usihache kusema Kidumu chama tawala 😊 👍 👍 👍 ccm ndio Habar ya mjin

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 4 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana, kiivyo nchi lazima ikue

  • @alexngasa5319
    @alexngasa5319 4 ปีที่แล้ว +3

    Kazi nzur sana

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 4 ปีที่แล้ว +3

    Ongera mtangazaji. Unajua kazi yako

  • @danielmoshi101
    @danielmoshi101 4 ปีที่แล้ว +2

    kaka unapiga kazi nzurii sanaa endelea hivo hivo

  • @africayetutv329
    @africayetutv329 4 ปีที่แล้ว +16

    Haya ndio mambo yanayotakiwa kuoneshwa sio umbea na udaku

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 4 ปีที่แล้ว +2

    Hawana uniform maalumu za kazi. Du, kweli somo limeenda shule.

  • @hadikastro5154
    @hadikastro5154 4 ปีที่แล้ว +1

    This magufuli has raised Tanzanian alot

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 3 ปีที่แล้ว +1

    MAGUFULI oyeeeeeeeee. Akimaliza 5 tumuongezee atuvushe kutoka kwenye umasikini

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 4 ปีที่แล้ว

    Hongerni sana

  • @justice607
    @justice607 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli serikali ya viwanda, magufuli tena 2020, Kidumu chama tawala 😊 👍 👍 ccm ndio Habar ya mjin

  • @elizabethejohn8127
    @elizabethejohn8127 4 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania mungu awape nini asantee mungu kwa Tanzania yetu ya viwanda

  • @boazingilangwa1977
    @boazingilangwa1977 3 ปีที่แล้ว

    Naweza kupata contact zao?

  • @chafuadetime2840
    @chafuadetime2840 4 ปีที่แล้ว +1

    Inapendeza sana kuona tunapiga hatuwa za kueleweka

  • @mussayahya9676
    @mussayahya9676 4 ปีที่แล้ว

    Kazi nzur

  • @crystalrhymesofficial3379
    @crystalrhymesofficial3379 4 ปีที่แล้ว

    Yean kw practical ilivo simple adi raha.....sas kisanga wakikfndish theory watawkca calculation ngumu balaa utakuj amin

  • @elizabethejohn8127
    @elizabethejohn8127 4 ปีที่แล้ว

    Siyo kila kitu made in chein sahani chein kijiko chein kila kitu chein sim chein corona chein yaani yate chein Tanzania tuanze kujitegemea mungu ilinde inch yangu

  • @jamesmethuselafredrick6064
    @jamesmethuselafredrick6064 4 ปีที่แล้ว +1

    Ndio hivi ni vitu vizuri Lakini ndugu mtangazaji unapokuwa kiwandani punguza mapepe,

  • @godblessjrtz.8652
    @godblessjrtz.8652 4 ปีที่แล้ว +12

    Kibaha mail mija mtaa wa loliondo kiwanda hiki ndo kilipo

    • @kingkiya6640
      @kingkiya6640 4 ปีที่แล้ว

      Shkrn kw information ndg

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 4 ปีที่แล้ว

      mimi nakionaga maeneo ya Mlandizi kuelekea Ruvu kama sikosei

    • @godblessjrtz.8652
      @godblessjrtz.8652 4 ปีที่แล้ว

      @@saloomidd1084 hapana kile kipo tofauti sana .

    • @ulimbombonaulindi5088
      @ulimbombonaulindi5088 4 ปีที่แล้ว

      Ndiyo cha mtoto wa SSB?

    • @nicksanmkwama6512
      @nicksanmkwama6512 4 ปีที่แล้ว

      0688593642 nitafute mkubwa

  • @simonjoel6633
    @simonjoel6633 ปีที่แล้ว

    Kiwanda hiki taali tumetambua kipo kibaha mawasiliano vipi kama mteja anahitaji mzigo?

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 4 ปีที่แล้ว

    Yani naona mengi kupitia channel hii

  • @kessymgunda1145
    @kessymgunda1145 4 ปีที่แล้ว

    Me naitwa kessy mgunda kutoka kagera wilaya ya ngara Mimi ni director manager and chairman wa Kemgunda industry tunazalisha pombe mbali mbali
    kutoka kwenye ndizi saaivi tunajenga kiwanda kikubwa Cha kuzalisha ninaomba siku ya uzinduzi uwepo na mzee magufuli

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 ปีที่แล้ว +1

    🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗😍😍😍😍👌👏👏👏🙌🙌🙌🙌🙌 watching kutokea 🇺🇸🇺🇸

  • @solomonmpuluma282
    @solomonmpuluma282 4 ปีที่แล้ว

    Sammmmmmm!! Made in Tanzania.

  • @saimonmanyerezi7169
    @saimonmanyerezi7169 4 ปีที่แล้ว +10

    Utakuta mtu ni Mtz halafu hataki kusikia haya.

  • @mathiasmwingira6951
    @mathiasmwingira6951 4 ปีที่แล้ว +1

    Sam Sasali uwe unavaa safety gears, siku utakuja kupigwa mzinga kwenye kipara hicho.

  • @kigwemamaroo5951
    @kigwemamaroo5951 4 ปีที่แล้ว +1

    Kama wwe ni operator na umepiga kazi Global Packag miaka ya 2017 Tujuwane hapa by Amir Robert mugunya

  • @yasokampemba4391
    @yasokampemba4391 4 ปีที่แล้ว +4

    Naomba mawasiliano tuje kuchukuwa bizaaa

  • @richardlaurent3152
    @richardlaurent3152 4 ปีที่แล้ว +1

    hizo nyembe zinawekwaje ktk mashine.?

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 4 ปีที่แล้ว

    Hopeful Watanzania wengi tumiliki viwanda n sio ngozi nyeupe tu

  • @deboradaniel7929
    @deboradaniel7929 4 ปีที่แล้ว +1

    Kazi ni Kazi

    • @josiasjosias3949
      @josiasjosias3949 4 ปีที่แล้ว

      Mbona hamko safety usalama kazini hamjazingatia

  • @mangulymanguly162
    @mangulymanguly162 3 ปีที่แล้ว

    Du nilikua sijaona iki kipindi bab kubwa yaani Magu angetawala miaka 20 nnchi ingekua kama Japan

  • @janemduwile1520
    @janemduwile1520 4 ปีที่แล้ว

    Endeleeni kutuwezesha 🈸🈵 Tanzania

  • @geofreyburchard432
    @geofreyburchard432 4 ปีที่แล้ว

    Waliojenga ndo hongera maana waga wanasauliwa

  • @georgemwidima3851
    @georgemwidima3851 4 ปีที่แล้ว +1

    Ukiangalia hopper inafanana na kinu cha asili kwa hopper maana yake kinu, kazi ya kinu ni pamoja na kuingiza vitu si kusaga tu

  • @kessymgunda1145
    @kessymgunda1145 4 ปีที่แล้ว

    Mambo flesh Kaka niliona unatangaza Sana viwanda vya Tanzania ongereni sana

  • @allysalim3534
    @allysalim3534 4 ปีที่แล้ว +2

    Mi nilitegemea haya Maelezo atatoa mtu mweupe kumbeeee

  • @busineamani4377
    @busineamani4377 4 ปีที่แล้ว

    Sawa lakini uliza wafanyakazi sasa wanalipwa kiasi gani? Ndio utacheka!

  • @DottoMorris
    @DottoMorris 2 หลายเดือนก่อน

    Nazipataje

  • @real_a0794
    @real_a0794 3 ปีที่แล้ว

    Kiufupi tu
    Ni extrusion
    Bag making
    Na wanamaliza na printing.

  • @andrewpastory4019
    @andrewpastory4019 4 ปีที่แล้ว

    😳

  • @p.s.acompanylimited9470
    @p.s.acompanylimited9470 3 ปีที่แล้ว

    Mbona hamjaweka mawasiliano yenu Sasa?

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 4 ปีที่แล้ว

    Zege please 🙏🏻

  • @ЦхемуилеНицк
    @ЦхемуилеНицк 3 ปีที่แล้ว

    uji yachomwa kwenye oven duh

  • @irenegomanga8654
    @irenegomanga8654 4 ปีที่แล้ว

    Kweli bando langu linaenda kihalali kipindi nimekipenda bureew

  • @elishadamas4984
    @elishadamas4984 4 ปีที่แล้ว

    Kiafya ikoje maana nmeskia Chemical tena alaf no Protectors

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 4 ปีที่แล้ว +3

    MC WEWEEE NIMEKUKUMBUKA NIMEKUONA HARUSI TATU IVI. UNABISHA??

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 4 ปีที่แล้ว +1

    Kipindi poa sana

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 4 ปีที่แล้ว

    Tupe mambooo

  • @shollodegeorge9056
    @shollodegeorge9056 4 ปีที่แล้ว

    Mawasiliano

  • @esthernsami7732
    @esthernsami7732 4 ปีที่แล้ว

    Mwandishi wa Habari, nakuomba uangalie mwekezaji ni nani, rauwaterial zinatoka wapi na wafanyakazi wanapata mshahara kiasi gani.Wahandishi wa habari kutoka Amerika walikwenda Ethiopa kiwanda cha viatu.Walikuta mfanya kazi hapati mshahara unaotosha kiatu kimoja.Ndivyo wachina walivyo.Wao wanakula chakula kizuri kweye kanteen yao, waafrika wanakula chapati na maharagwe.Kazi haina kupumzika ni utumwa.Wakilalamika wanafukuzwa. Tushikamane.
    Wazaidie watanzania wenzetu ili pesa ibaki nchinikwetu

  • @nikokawogo3047
    @nikokawogo3047 3 ปีที่แล้ว

    Nahitaji bando arobain vip nita pata?

  • @benedictodaniel323
    @benedictodaniel323 4 ปีที่แล้ว

    Hii chaneri nimeielewa navyopenda mambo ya kutumia akili yani Ufundi najisikia raha kuangaria na kuskia

  • @yasokampemba4391
    @yasokampemba4391 4 ปีที่แล้ว

    Je ile mifuko kupekia sabuni inapatikana

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 4 ปีที่แล้ว

    Najiuliza hivi viwanda mbona vilikuwa havionekani

  • @musajulias8424
    @musajulias8424 ปีที่แล้ว

    Debe 6 shingapi

  • @glorymetta8881
    @glorymetta8881 4 ปีที่แล้ว

    Mifuko kutoka nje ya nchi iko meshore
    Kwa sasa

  • @janemduwile1520
    @janemduwile1520 4 ปีที่แล้ว

    Eee kumbe wachina wametuwezwsha

  • @hadikastro5154
    @hadikastro5154 4 ปีที่แล้ว

    Uhuru came and see this

    • @nikokawogo3047
      @nikokawogo3047 3 ปีที่แล้ว

      Nahitaji mifuko vipi inawezekana bandu bei gani

  • @asterianyemberoman8110
    @asterianyemberoman8110 4 ปีที่แล้ว

    Utacheka ukiamiwa malipo ya wafanya kazi,utaambiwa 120000 au 150000 kwa mwezi

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 ปีที่แล้ว

    .

  • @kisokatvonline3704
    @kisokatvonline3704 4 ปีที่แล้ว

    Huyu ndo ng'ombe mwenye uzito zaidi Nane nane 2020
    Bofya hapa kuona
    th-cam.com/video/0ydQ29hb27U/w-d-xo.html

  • @musajulias8424
    @musajulias8424 ปีที่แล้ว

    Debe 6 shingapi