Ndio harmonize akiwa na maana mungu wake shatani lakini tunaingilia bila kujua alichokisema yeye anajua anachokijua yupo sahihi yani ndio maana mungu kasema watu wangu wanaangamia kukosa maarifa.
Ni ukweli Mungu ya waislamu ni mwanamke ila Yetu sisi wakristo ni Mungu mume ndio maana tunamwita Bwana wa majeshi,unakuta wanawake wanajipondoa kama mama yao jezebel so mukubali tu Mungu wenu ni mwanamke jinzi ilivyo anaitwa Mungu jua
Kumbe mashee huwa mnaskilizaga nyimbo za harmonize baada yakuwa bize namambo ya mungu caswida zimewashinda harmonize sikitoto2 hicho mnakiita bwanamdogo hapa niihivi aw mnatafuta kk
Nabii inaelekea hujui tofauti ya mtawala na Mungu Uislamu hautakufapo na hayo ya wanawake kuongoza dunia yanajulikana zamani ndio ukaambiwa ni dalili ya kiama Binadamu hana Akili ya KUJUA sifa zote za Mungu namajina yake Hakuumba dunia tu kaumba ulimwengu(universe) dunia zote sayari zote na tusivyovijuwa
Ww ninani katika Dunia hii mpaka mseme ivyo kwa mwanenu, ,muogopeni mungu jamani,, kwanini na nyinyi munamukhufuru mungu kwa maneno yenu kiivyo,.. Mohammed alikufa kwa sababu ya kosefu ili wamjuwe mungu,sasa mbona munawatishia imani waumini wake, siyo vizuri jamani tumuogopeni mungu,,..
Kubalitu kuwa wewe ni shetani wa kibinadamu huna lolote mungu siyo mwanamke wala mwanaume na dunia hiii mwenye kontrol ni yeye mungu nimekufwatilia sana nimekuona ni mbuzitu kasoro mkia baki nahuyo yessu wako
Fact ipi?, Hivi hiyo hoja ya Mungu ni mwanamke na hiyo Aya ya 24, sura ya 79 (AN-NAZIAT) , zinaendana, au kwa sababu anaongea saaana basi ndio unaona fact
Ata Yesu wetu alisema mkuu wa ulimwengu huu anakuja na hana lolote kwangu,sasa mbona munabisha 😂huyu mtumishi wa Mungu amewambia ukweli yaani amefafanua ya kutosha,mulimkataa Yesu kristo kuwa mwokozi wa ulimwengu sasa pokeeni tarifa kamili sasa
Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah yaarab tuongoze sisi waja wako ktk kheri zako na kila mmoja aishike imani yake kwasababu hatujui tuyatendayo zama za mwisho hizi
Waambie kabisa mashehd wanafiki kazi ya kuhukumu watu unazania wao wameweka sahihi na mungu ya kuwa wao wakifa wanaenda peponi, Dr sule kwanza.mganga anajificha ndani ya dini.lakini.mganga amekujaja
Aliposema kuwa kuimagine Mungu ni lizee fulani limekaa somewhere ni ukoloni ndio utajua kwamba hakuwa na maana na tafsiri unayoileta wewe ye alimaanisha huyu huyu Mungu muumba huenda ni mwanamke sio habari ya utawala unayoisema
Ukiacha fikra za udini iruhusu na akili yako ikusaidie.. mungu wa harmonic ni mwanamke ambaye anamruhusu kuvaa eleni,kuimba muziki kupost uchi na mengine mengi sasa ninyi watu wa mihemko mnamjia juu kwa hili ilihal yeye ni muimbamuzik sasa mbon mnakua amuelewek au mengine yale mnayakubari
Dhairi ya Harmonize Kwa kauli zake sio mara moja wala marambili dunia imemsikia akifafanua kwanini amemfananisha Mungu na mwanamke Nukuu "kwanini tunadhana ya kuwa Mungu anasifa ya kiume maana akipewa ktk vitabu vya dini "he" na kwanini asiwe na wasifu WA "she" yeye kajitokeza kama mwanaharakati WA kuwapigania wanawake nao wajione wenye THAMANI ndio maana akasema maneno Yale . Sasa huyu anakuja na kujenga hoja ya kuwa dunia umetawaliwa na mwanamke Hii ni nadharia na mada nyengine alitakiwa aje na mada na ijadiliwe sio kumsafrisha harmonize Kwa kosa alilofanya
Heeee !! tunatawaliwa na wanawake Mimi apo sipo utajua mwnyewe sheikh Sisi Christian tunaamini, ktk Christo hakuna mwanamke wala mwanamke ni Christo anatawala
yeye hakusema mtawala lakini kasema mungu alafu wewe shehena utakua umehogwa na huyo mwanamke mwenzio kama wewe kweli umeisoma kuruani kweli mungu hafananishwi na kitu chochote mungu atawahukumu eti mungu ni mwanamke Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah raadhimu
@@awadhkannah6587 muelewe maneno yake kwanza mwishoni kazungumzia maswala ya Imani na ndo mana akatamka Imani yake amonize kwanza na Tena ukiangalia ulimwengu wa Sasa ametawala sana shetani na ndo mana hata wanawake wanasimama madhabauni wakati vitabu vya Imani hata mahandiko ayapo kuwa mwanamke afanyee ivo.
Nyie mnao mpinga Nabii Elia iko siku mtamwelewatuu maana kwa mujibu wa maandiko huyo ndio Nabii wa kweli kwa kipindi hichi cha nyakati za mwisho ndg zetu waislam nabii Elia yuko sahihi jaribuni kufuatilia darasa zake utube utajifunza kuwa yeye ni mpatanishi wa haki kati ya waislam na wakristo kwa maana sisi ni watoto wa Ibrahim nyie mnaomtukana jueni mnapotea
Nakukubali sana, nabii elia mimi nico Moçambique
Huyu jamaa hana analolijua wala haja eleza chochote ni upumbavu tu pamoja nahuyo harmonize wake wote sawa... Washenzi wakuu.....
ungesema mtawala wa dunia ni mwanamke ungeeleweka lakini sio kusema mungu ni mwanamke
Mwenyezi Mungu atusamehe sana,matusi yanamkaribisha shetani katika njia zetu,unapomtusi mtu,unajilaani mwenyewe.acha Mwenyezi Mungu atusamehe zaidi.🙏
Ww mfuwasi wa Aliya anajifanya muislam nyuma ya pazia.
Ndio harmonize akiwa na maana mungu wake shatani lakini tunaingilia bila kujua alichokisema yeye anajua anachokijua yupo sahihi yani ndio maana mungu kasema watu wangu wanaangamia kukosa maarifa.
Nimekufutilia xana Leo ndio naona hicho kipara hakina kitu
Utawatosha wasiojua, umepigwa mhuri wa moto wa Jahanamu. Allah ndiye anajua hatima yako sijui ni ghadhabu kiasi gani alizonazo juu yako.
Nabii nakukubali sana sana sana sana sana. Majuha wengi hawakuelewi, wanatumia mihemko ya kishenzi kukutukana, ila upo vizuri sana.
Ni ukweli Mungu ya waislamu ni mwanamke ila Yetu sisi wakristo ni Mungu mume ndio maana tunamwita Bwana wa majeshi,unakuta wanawake wanajipondoa kama mama yao jezebel so mukubali tu Mungu wenu ni mwanamke jinzi ilivyo anaitwa Mungu jua
Wewe ushakufuru ndugu yetu Allah akuongoze
Aya zenyewe unavuruga vuruga tuu
Kumbe mashee huwa mnaskilizaga nyimbo za harmonize baada yakuwa bize namambo ya mungu caswida zimewashinda harmonize sikitoto2 hicho mnakiita bwanamdogo hapa niihivi aw mnatafuta kk
Nabii inaelekea hujui tofauti ya mtawala na Mungu Uislamu hautakufapo na hayo ya wanawake kuongoza dunia yanajulikana zamani ndio ukaambiwa ni dalili ya kiama Binadamu hana Akili ya KUJUA sifa zote za
Mungu namajina yake Hakuumba dunia tu kaumba ulimwengu(universe) dunia zote sayari zote na tusivyovijuwa
Hapo nakuelewa hapa kuna watu wametegwa na Hawa mashehe kama Mwanamke hafai kuongoza lakn Leo hii tunatawaliwa na wanawake
Imeeleweka kaka
Si comment chochote hapa....
Mungu asimame na watakatifu wake kipindi hiki tunapoukaribia mwisho
kwa hiyo unamaanisha Mungu ni mwanamke Sisi waislamu hatujui kwamba Mungu ni mwanamke au mwanaume
End of time is almost near.🙏
Waache kumtisha wao wapo sawa mbele za Mungu
Fact.
Ww ninani katika Dunia hii mpaka mseme ivyo kwa mwanenu, ,muogopeni mungu jamani,, kwanini na nyinyi munamukhufuru mungu kwa maneno yenu kiivyo,.. Mohammed alikufa kwa sababu ya kosefu ili wamjuwe mungu,sasa mbona munawatishia imani waumini wake, siyo vizuri jamani tumuogopeni mungu,,..
nazidi kuumia nikiona waislam 2napote yaa allah 2xamehe xixi waja wako
Laana tullahi Alyhi
Allah Akbar kumbe na wew mpumbafu mwenyezimungu yeye ndie atawahukumu
Kiboko ya Dr Dr Sulle kimya na mbwembwe zake za kichwi
KUMA LA MAMA YAKOOO
Jamaa anaongea ukweli yupo sahihi mno ni genius sana
Kubalitu kuwa wewe ni shetani wa kibinadamu huna lolote mungu siyo mwanamke wala mwanaume na dunia hiii mwenye kontrol ni yeye mungu nimekufwatilia sana nimekuona ni mbuzitu kasoro mkia baki nahuyo yessu wako
Facts
Fact ipi?, Hivi hiyo hoja ya Mungu ni mwanamke na hiyo Aya ya 24, sura ya 79 (AN-NAZIAT) , zinaendana, au kwa sababu anaongea saaana basi ndio unaona fact
@@awadhkannah6587 kama wew ni kipofu spiritually hutamwelewa kamwe.
@@Werema3760USIBISHANE NAE BWANA MENGINE YANA COMMENT HATA AYASIKILIZI
Laana Tullahi Alayhi
0:05 Allah akuwongoze.kama hakukujaliya kuwongoka basi usife bila kubona chamoto
Umempiga Dr. Sulle msumali wa 6"
Kweri kabisa AMEN
Wachache sana wenyekuelewe hiki unachokisema boss wengi walishsfungwa upeo kweli imefichwa mavhoni pao wamejawa na upofu wa kiroho
Alafu eti wajiita NABII! Pumba kabsa.
Ww ambae Co Nabii kwann unaongozwa na mwanamke?
😂😂😂😂@@fahadzubeir9346
Hili huwa ni chizi. Linajiita nabii.
Hayo ni maneno ya mpumbavu
Allah akuongoe
Ana mjua kuliko wewe. Huna Cha kumfundisha Wala kumuongoza. Wewe umekaririshwa kwa viboko ila yeye ameelewa na anamtumia ubongo wake kufanya reasoning
Ww mwenyewe ni fir- aun wa umma huu Allah akulaan
Uko sahihi kabisa Wala wasikusumbue na matusi yao aibu yao milele
❤❤❤ ukweli mchungu
Wanao msapoti huyu wote ni vichaaa😅😅😅
Laaaanakum
Kiboko ya Dr Sulle kimya na mbwembwe zake za kichawi
Ata Yesu wetu alisema mkuu wa ulimwengu huu anakuja na hana lolote kwangu,sasa mbona munabisha 😂huyu mtumishi wa Mungu amewambia ukweli yaani amefafanua ya kutosha,mulimkataa Yesu kristo kuwa mwokozi wa ulimwengu sasa pokeeni tarifa kamili sasa
Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah yaarab tuongoze sisi waja wako ktk kheri zako na kila mmoja aishike imani yake kwasababu hatujui tuyatendayo zama za mwisho hizi
Point shekhe kuinyosha tafsiri ya maneno ya Allah ila maneno ya hamonize yabakie uko kwakwe
Fact
Wewe Uislamu umekushinda ndo maana unamuunga huyo jama Aya ipi Mungu ni mwanamke
Ww ni bwege tu .Tena unajiita nabii. Allah akuangushe.
Alla uyo wa kusikiliza kila laana had mzinzi mmoja wewe unatoa laana duu
@@aziziatumanially424 Do you support his imbecile idea?
Ucnimalizie bando yangu😂😂😂😂
Waambie kabisa mashehd wanafiki kazi ya kuhukumu watu unazania wao wameweka sahihi na mungu ya kuwa wao wakifa wanaenda peponi, Dr sule kwanza.mganga anajificha ndani ya dini.lakini.mganga amekujaja
Huyu sii shekh, kachapia tu
We aliya fisadi kasome qur-an 112 ,1-4 halafu tupe uhalali wa nyimbo.
Kweli kabisa uko sahihi shekhe ❤
Usahihi wake upo wapi?
Mbona hatukuelewi mwamba au amekuli kua mungu ana fanana na kitu duyuthi mkubwa we
Aliposema kuwa kuimagine Mungu ni lizee fulani limekaa somewhere ni ukoloni ndio utajua kwamba hakuwa na maana na tafsiri unayoileta wewe ye alimaanisha huyu huyu Mungu muumba huenda ni mwanamke sio habari ya utawala unayoisema
mpuuzi mmoja
we jamaa
Mimi sikujua kama ni za kichawi
Huyo mwenyewe anajiita nabii na hajui anachokiongea kwa sababu na wewe huna elimu juu ya dini basi uliza update majibu
Yes uchaw
Akili huna,,na usiumie maneno ya mungu Kwa ushenzi wako
Ukiacha fikra za udini iruhusu na akili yako ikusaidie.. mungu wa harmonic ni mwanamke ambaye anamruhusu kuvaa eleni,kuimba muziki kupost uchi na mengine mengi sasa ninyi watu wa mihemko mnamjia juu kwa hili ilihal yeye ni muimbamuzik sasa mbon mnakua amuelewek au mengine yale mnayakubari
Can't be played 😂😂🎉
Mbona asitumie direct kuma mwanamke ndiye anayetawala ulimwengu?
Dhairi ya Harmonize Kwa kauli zake sio mara moja wala marambili dunia imemsikia akifafanua kwanini amemfananisha Mungu na mwanamke
Nukuu "kwanini tunadhana ya kuwa Mungu anasifa ya kiume maana akipewa ktk vitabu vya dini "he" na kwanini asiwe na wasifu WA "she" yeye kajitokeza kama mwanaharakati WA kuwapigania wanawake nao wajione wenye THAMANI ndio maana akasema maneno Yale . Sasa huyu anakuja na kujenga hoja ya kuwa dunia umetawaliwa na mwanamke
Hii ni nadharia na mada nyengine alitakiwa aje na mada na ijadiliwe sio kumsafrisha harmonize Kwa kosa alilofanya
Hapo kwenye uchawi Sasa.
Pourquoi tu ne parle pas De Diamond
Audhubillah
Wewe nifalah sana
makavu laivu DAWA IMEWAINGIA MUNGU wanamfanyanga kama mjomba wao
Umeadimika nabii
Kusoma kwako sana ww.sasa kumekutia uninga pumbavu
Wannyooshe mkuu ipo siku watakuelewa tu
Sema bwana Hamza ukweli unauma mtumishi wanawake wanatawala waume
Kumbe wachawi kweli dah nikimkuta muislamu peponi sikubali
Heeee !! tunatawaliwa na wanawake Mimi apo sipo utajua mwnyewe sheikh Sisi Christian tunaamini, ktk Christo hakuna mwanamke wala mwanamke ni Christo anatawala
Huyu naye ni mpumbavu
Iyo ni kali
Laiti ungejua unavyopotosha wssioelewa
Yaani nakuelewa kuliko unavyo fikiri mwamba
Halafu kwa tanzania haitatokea misikiti kuslisha mwanamke labda ajenge msikitiwake
Kwa Mujibu wa katiba hata ukiwa wake, haitatokea
Wewe itakua akili yako haipo sawa 0:47
Kwa nn atumie neno MUNGU?
Watu hawana elimu ya uungu. Miungu iko mingi
HILI MISKULE SIJUWI LINAVUTIAGA BANGI CHOONI
Nawe ni kichaa pia kama huyo HARMONIZE
Sema mungu ni mwanamke nyinyi watanzania rais wenu amekua mungu 😅😅
HUYU JAMAA NJIA YA MOTONI AMEIKOMBATIA KWELI KWELI.
Wewe Ni Shoga Kama Mashoga Wengine Huna tofauti yeyote na Mke Wake Hamonaise
Wewe ambae siyo shoga kwann unaongozwa na mwanamke?
Piga gazi mwamba
Mbwa ww
WEWE KWANZA NI DINI GANI...
Ndugu hapo hana jibu na hajibu milele yaani haeleweki nadhani ndiko anakopatia unga wake
yeye hakusema mtawala lakini kasema mungu alafu wewe shehena utakua umehogwa na huyo mwanamke mwenzio kama wewe kweli umeisoma kuruani kweli mungu hafananishwi na kitu chochote mungu atawahukumu eti mungu ni mwanamke Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah raadhimu
We hata haueleweki ushashiba kipoporo unaropoka tu
Mimi nimekuelewa kwa maelezo yako uko sahihi
Umemuelewa nini?, Kwa hoja gani?,
@@awadhkannah6587 muelewe maneno yake kwanza mwishoni kazungumzia maswala ya Imani na ndo mana akatamka Imani yake amonize kwanza na Tena ukiangalia ulimwengu wa Sasa ametawala sana shetani na ndo mana hata wanawake wanasimama madhabauni wakati vitabu vya Imani hata mahandiko ayapo kuwa mwanamke afanyee ivo.
Kumbe ww ni msenge huna akili
Kiufupi hunamvuto na unadharauriwa na kila mtu duniani na akhera
Nyie mnao mpinga Nabii Elia iko siku mtamwelewatuu maana kwa mujibu wa maandiko huyo ndio Nabii wa kweli kwa kipindi hichi cha nyakati za mwisho ndg zetu waislam nabii Elia yuko sahihi jaribuni kufuatilia darasa zake utube utajifunza kuwa yeye ni mpatanishi wa haki kati ya waislam na wakristo kwa maana sisi ni watoto wa Ibrahim nyie mnaomtukana jueni mnapotea
Dua za kichawi tu hizo!
Wala asingedhurika hata kidogo!
Yeah Allah humuangamz amtakae na humuach apotee amtakae
Mungu sio mwanamke,acheni kufuru wewe, harmonize pmj watu wenye akili MBOVU KAMA NYIE
Yuko sahijo kivipi?? Hakuna dua za kichawi, labda za kwako ndo unazijua mwenyewe
Wewe hata ukiitwa shoga sawa tuu
Dr sule mwenyewe mganga, amekuja Kenya hapa anazunguka kwenye mamidia akitapeli watu na mafuta yake ya bandia
Wewe ni shetani kama mashetani wengine tu
Wewe ni malaika kufa uende mbinguni
Yaani kusoma kwake tu ,unagundua hamna kitu
Wewe unaejua kusoma kwann unaongozwa na mwanamke?
Hauna akili ww mjinga