Mungu tazama wanao wachezaji wanavo wapenda wakingoma kesho kasimame nao waweze kuwafurahisha baba. Wapambane kama Kuna madawa kaya vujevuje Yanga iweze kupata matokeo yetu
Amazing what a warm welcome huu upendo umoja mshikamano ambao unaleta amani ya moyo na kwa jamii sijawahi kuhushudia katika siku za hivi karibuni big up uongozi wachezaji bench la ufundi na wanna kigoma kweli mmetisha
Natokea mkoa wa songwe niawatakie wote wachezaji wangu daima mbele nyuma mwiko tuko pamoja na viongozi wetu tuwape sapoti yetu tutashinda jumapili mungu mkubwa,wachezaji mtupe furaha muamke salama siku hiyo.
Wameacha kazi zao kwa kuja kuwapokea wapambnj wetu,mmbarikiwe saaaana,wachezaji mna deni kubwa kwa wana kigomaa,mkapambne na Mungu azidi kuwa nanyi,mtufurahishe mashabiki.
Duu hatar yan furaha imenizidi had machoz jaman mbona yanga hii imekuwa tishio kubwa kwa tz jaman naipenda sana yanga najivunia kuwa mshabiki wa yangu mm I love you Young Africa
IKIPENDEZA UONGOZI NA WATENDAJI WOOTE WANACHAMA NA MASHABIKI JEZI ZA MSIMU UJAO ZIKAZINDULIWE APO IWE KAMA ZAWADI KWA WANACHAMA NA MASHABIKI WAKIGOMA WANA LOVE SANAAAAA💚💚💚💚
Hiyo ni Maan Harisi Ya Timu Kubwa Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii🖐️🖐️🖐️🖐️💚💚💚
Nimefurahiii Mpaka machozi jaman Yanga ni chanzo cha Aman,upendo,Furaha2 ❤❤❤❤❤
Ndo maana ya timu kubwa na timu ya wananchi, baraka zote zipo juu ya Yanga❤❤
Nikweli
Kigoma mmetuwakilisha vzr Wananchi hamna baya.❤❤❤❤❤❤
Wachezaji mmeona sasa deni lipo kwenu nijuu yenu kesho inshaallah kuwafurahisha wanakigoma ❤❤❤❤❤
We waache watuletee ufala tukutane mwisho wa msimu kwenye kukata majina
Mimi ningekuwa Mashujaa nisingepeleka timu kesho wallah😀😀😀
Acha wakakamilishe ratiba bhana.alafu usiwatishe wanetu haooo😂.
😂😂😂😂🔥🔥🔥
SS tuna watu jamani, yanga Raha sana.
Mashujaa huwa wanasumbua sana yanga.
Kwann😂😂
Du! mmejua kuitika wananchi❤
MUNGU ni mwema kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
wanakigoma mmetisha sana
Mimi ndio ningekuwa naamua sehem ya kupokelea kombe ningechagua kigoma aisee mmetisha sana aisee mikoa mingine tuige kwenu juu ya hili
Kweli bora kombe lipelekwe kigoma wanasapoti sana hawa watu wamejitoa sana kwa yanga Hongera san kigoma. Yanga Bingwa
Hongereni Kwa kujitokeza kuilaki team yenu Daima mbele Nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉🎉
Mashabiki was yanga kigoma mmeonyesha upendo wa kweli kwa team yenu 💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌻🌻💐🌼
Subhanallah Utukufu niwako Allah kwaneema hii Tuzidishie naeema yako Inshaallah
In Shaa Allah amiin thumma amiin Yarabbil A'alamiin Yarahman Rahim
Wachezaj nahisi kuna funzo mnapata kupitia umati huu
Sisi mashabiki tunapenda sana timu zetu fanyeni kaz yetu vzr tunawaomba mkizingua tunawakataa
Mungu awape furaha mpka kesho tupate ushindi mnono
Duh hii ni noma sana we're dar es salaam young Africa. Hii ni nzito big up kigoma mmetisha ile mbayaaaaaaa
😭😭😭😭😭dah🙌🙌🙌am speechless wallah DAIMA MBELE NYUMA MWIKO we are young Africans 💚💛💚💛💪
The club above all.Yanga forever 💚💛💚💛
It so fantastic, so amazing, for the younger Africa fancy, daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
Big club in Africa. Daima mbele nyuma mwiko👍
Kigoma wametisha manayake ushindi niwetu hakikisha munafagilia mpaka basi💋💋💋nawapenda💛💚💛💚💛💚💪💪💪
Big up sana Wana Yanga wa Kigoma, mmeiheshimisha timu na kuwapa morali wachezaji
ahsante wana kigoma kwa kuisapoti timu yenu
Sura za watu kigoma zinaonesha upendo wa dhati hongereni 🎉🎉🎉🎉🎉
Kigoma mojaaa🔥🔥🔥 mmetisha sanaaa Wananchiiiiiii🎉❤
Mungu tazama wanao wachezaji wanavo wapenda wakingoma kesho kasimame nao waweze kuwafurahisha baba. Wapambane kama Kuna madawa kaya vujevuje Yanga iweze kupata matokeo yetu
Kigoma nimekubal sana wanangu mmetisha ile mbaya yan 💛💚
Haki nimekumbuka mapokezi ya daimond kigoma hakika kigoma wanatisha hongereni mna umoja mna mapenzi ya dhati kwa mnaowapenda.🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kwa hiki waliokifanyan wanakigoma ningeomba uongozi mechi yetu ya kukabidhiwa kombe tuipeleke kigoma
Hii ndo maana halisi ya timu kubwa ❤❤❤❤❤❤❤ yang naipenda sana
Mlatishijeee ni hatariii.......kg nivichuyaaaa kigoma ninyi ni kweleeeeeeeee❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ kigoma yewe gaye
Amazing what a warm welcome huu upendo umoja mshikamano ambao unaleta amani ya moyo na kwa jamii sijawahi kuhushudia katika siku za hivi karibuni big up uongozi wachezaji bench la ufundi na wanna kigoma kweli mmetisha
Natokea mkoa wa songwe niawatakie wote wachezaji wangu daima mbele nyuma mwiko tuko pamoja na viongozi wetu tuwape sapoti yetu tutashinda jumapili mungu mkubwa,wachezaji mtupe furaha muamke salama siku hiyo.
Very nice wallahi❤❤❤❤
Wameacha kazi zao kwa kuja kuwapokea wapambnj wetu,mmbarikiwe saaaana,wachezaji mna deni kubwa kwa wana kigomaa,mkapambne na Mungu azidi kuwa nanyi,mtufurahishe mashabiki.
Daah that is awesome! KILA LA KHERI team
True Love 💖😭😭 kweri mpila wa miguu yanahisia Kali ukiachan na mapenzi
Love yanga
😂😂😂😂 yaaaan hapa nouma zote ni team zang ila watu wangu mmetisha san
Kigoma mmetshaaaaaaaa hongereniiiiiii
Kigomaaaaaaaa❤❤❤❤
Duu hatar yan furaha imenizidi had machoz jaman mbona yanga hii imekuwa tishio kubwa kwa tz jaman naipenda sana yanga najivunia kuwa mshabiki wa yangu mm I love you Young Africa
Mmetisha mwaaaa
Hongereni kigoma kwa mapokez mazur
Daaah hii imeweza knoma
Noma sana💪🙏💯
Mimi ni mkazi WA Dar ila nashauri paredi la UBINGWA lipigwe Kigoma
Ndio maana makola alivyo fika kigoma alizomewa masiki kumbe kigomaaa young Africans ⚽🏆🏆⚽💛💚👋
Mara hii Kombe lipelekwe kigoma kushangiriwa. Maana wamejitoa kweli watu wa kigoma. Hongereni sana. Yanga oyeee. Yanga bingwa
Kigoma mmetisha🎉
Daima mbele nyuma no
Hakika mafanikio ni jambo jema siku zote. Hongereni sana Wanayanga
Aisee Wana kigoma shikamoni
IKIPENDEZA UONGOZI NA WATENDAJI WOOTE WANACHAMA NA MASHABIKI JEZI ZA MSIMU UJAO ZIKAZINDULIWE APO IWE KAMA ZAWADI KWA WANACHAMA NA MASHABIKI WAKIGOMA WANA LOVE SANAAAAA💚💚💚💚
Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Maana halisi ya Timu ya wananchiii💚💚💚💚💚
Hat wapnzan waniwekee mzgo wa hela kias chcht nitaipokea kimwili Ila kiroho siwez kunibandua kwny yanga yang I love you you YANGA
Wananchiiiiiiiii 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️ big up kgm.
Kigoma 🙌🙌💛💚
Kigoma yote Yanga, Wanannnnchiiiiiii
Jamani kwel kigoma mwisho wa reli mmetisha safi sana
Kigoma nimewainulia mikono. Mko juu sana.
Yaan nimejikuta nafurahi adi chozi limenitoka,Mungu tupe ushindi siku ya leo
Allaah Akbar
Aaaaaah aisee, nimekubali kigoma hii imeendaaa
Nomaaaa
Naomba mwakani mechi mbili zipelekwe kigoma.
Wananchiiiiiiiiii
Upendo wa hali ya juu wananchiiiiiiiii wa kigoma mmetuwakilisha vema✅✅🔰🟢💚💚🙏🙏
Young Africans for life
Hiyo ni Maan Harisi Ya Timu Kubwa Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii🖐️🖐️🖐️🖐️💚💚💚
Huu msafara kudadadadadek🔥🔥🔥🔥🔥
Kigoma ni nchi nyingine aiseee
Rifa wa kesho umeona na wasaidizi wako kaeni sawa acheni ujinga wa kuchezesha kichkchk mspendelee mtu ..watu wanaumia na tmu zao hawalali
Kigoma leka tutigite 😍😍😍
Yanga raha mpaka karaha kwa majirani mpaka 2030
Safi sana wana kigoma yanga taifa kubwa sana
Nimefulah san jmn yanga oyeee
Timu ya wananchi tukutane lake Tanganyika saa kumi 🎉🎉
Much love 💕💕
Ila yanga
Mashujaa kazi wanayo
Kigoma chukueni Maya yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Da mmetisha sana
Shikamooo yanga yangu
Daaah!!!
Wa Tz wanapenda mpira kazi kwenu yanga kesho
Yaani kweli kabisa hilo ni deni kwenu wachezaji ole wenu muwaangushe mashabiki. Wamejitoa sana
The Team of Citizen,, Wananchi mmetisha sana
Kugoma mmetusha
Waha shikamoo!! Mmetishaa
This is Yanga💛💚
noma sana aisee full shangwe
Mambo kama haya ndio yanayo msumbua mayele 😂😂😂
😂😂😂
Dah kigoma mmetisha kinomanoma
Naomba mikoa mingine muwaige kama kigoma mm nawapongeza mpaka naria m/mungu atakuripeni
Mashaallah
Watasema nako tumetoa pesa kweli kigoma mmetisha
True love🎉
tukiachana na maslahi ya pesa! wachezaji wa yanga huwa ni ngumu kuwatoaa!!! Yanga
Hyo yanga
Kigomaaàaaaaaaàa mmetisha
Inshajesus kesho ushindi
makolo wamekubali yanga mfalme wa nchi hii