DR.MOHAMED: ATAPIKA NYONGO UJIO WA AHOUA SIMBA SC | HATUSUBILI MSIMU UJAO, UBINGWA UPO MSIMBAZI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136. - กีฬา
Ni kweli ni mzuri Mungu atubariki acheze afikie malengo hayo AMINA .
TUOMBE MAJINI YA UTOPOLO YASIMZULU ,SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Dr Mohamed hongera u love Simba deeply
Nakubal
Mkiwasifia sana wahuni wanaingia msituni,, utaona jmaa anakua majeruhi
Woohoo 🎉🎉 Dr moo
Tumekuzowea na mwaka jana uliwasifu kina onana kuliko hivo 😂😂😂😂
Hahaha kweli mnaweza kuwa machiz😂😂😂😂
Simba nguvu moja! Mungu awatangulie wachezaji wetu wacheze vizuri awamu hii wasituagushe jamani,
Hawa Simba jamani watawaua vyura jamani sio kwa usajili huu...
Mpaka mtangazaji amemchoka kwa uongo.
Uongoz wa simba uwe makin sana kwan uto wana wapiga misumar wachezaj wetu
Nachoona mashambiki wenzangu wa Simba ebu tuache kumsimfikia wachezaji , ni kuwatia pressure tu na ndo sisi tutawashusha kiwango Kwa haraka, ebu utupungunze meneno
Mbona unajimaliza mapema anyway si umefungiwa wewe kujihusisha mambo ya mpira
Hajafungiwa kujihusisha na Mpira ila kushiriki katika mambo ya ndan ya simba ikiwa kama vikao na mikutano ya simbimba (mambo ya ndani) ila kuiongelea au kwenda uwanjani huko anashiriki tu
Jamani simba wanasajili tz hii hakuna timu walio sajili Kama Simba sport club ni hatari Sana...
Ardhi iliomtoa pacome yao yaooo😊
Ata onana mlisema ndugu wa etoo
Yanga bingwa Mara 5 kwa huu usajili
Mnajipa moyo kweli😂😂😂
Tatizo cmba tunazidiwa kwenye tunguri basiiii hivyo
Wameanza kujisahau😂😂😂
Jamani msiongeesana mtaona aibu nyny watu wa simba
Huyu anaejiita Dr/Mchambuzi hajui lolote ktk uchambuzi ,isipokuwa ushabiki na ucommediani kama msemaji wake.😊
Wee uto mwache Dr atiririke
Unamsifia mpaka unavuka viwango
Acha wivuuu kaa kimyaaa d'octave Moo m'acheter aisément simba yakeee yanga roho mbayaaaaa
Doktar mo huyu dogo viongoz wamenda sawa Kwakwer Mo dewji apewe mauwa yake analeta vinu vya nyuqway anavishusha vtu
🙏🏽🙏🏽
Wew ndie unae jua kafungiwa ila tunakutony kua yup hur hajafungiw
Endelea kusifia
Usichokijua, ndio mata
tizo yenu
Mbona yanga usajili wao hauvumi kama cmba?????
Kwan chama ndio watu tumeondokewa na wazaz na maisha yanakwenda ijekuwa chama kuondoka cmba naende cmba ipo kabla yeye hajazaliwa naitaendelea kuwepo kazi utopolo
Mbona watu wa Yanga mna hasira huyu anaeongelewa ni mchezaji wa Simba
Huyu inaonekana nimlevi mbona maelezoyake nikama mlevi?
Nimechunguza kuanzia chama atoke chama washabki wa simba kama wamepagawa wanafulah hata lig haijaanza
CHAMA ALIIIISHI NDANI YA SIMBA MIAKA 6 ..INATOSHA ....YANGA ACHENI WIVU... SIMBA VIONGOZI WAO HAWAITAJI YANGA ILA ALI KOMWE YEYE ANAITAJA SIMBA.....OHHHH MUTALE KAMA SIBOMANI NYOKO sana