Nadhani hata Serikali ilifanyie kazi hili. Mtu kama huyu ni hatari sana kwa maisha na maendeleo ya watu.. Msijaku anaishi kwa kuombaomba kwa wakubwa hakuna anachofanya. Kipanya amepambana tukimuona kukuza Brand yake na anaheshimika sana. Hii haikubaliki anatakiwa achukuliwe hatua ili ajifunze na wengine pia wajifunze waache upbavu kama huu.
Mim nakuelewa baba angu...unajuwa watu wengi hawajal kuhusu hisia za watu kabisa ...yani wanapenda kuwaumiza watu hisia zako bila kujali..pole kaka masoud ..ila itaonyesha upo siriaz na maisha yako na hadhi yako itaonyesha hupendi masihala na watu wakuheshimu..kwel usipende kuwaprovok na kuwadharirisha watu bila sababu kisa tu nikiki...ila pole kaka angu masoud mimi nakupenda sana kaka angu masoud since kipndi cha marehem amina chifupa...mim nimemuelewa na nakuelewa sana kaka masoud na pole ..ila bado tunaiman na wewe na tunakupenda kila la heri kwakujipambania haki yako
Hii itakuwa FUNDISHO kwa Wenye Tabia hizi za kujipaisha kwa kupitia watu wengine na kuwadhalilisha.... NITAOMBA SHERIA ICHUE MKONDO WAKE HII MITANDAO IMEKUWA INATUMIKA KUCHAFUANA
yaan angeongea upuuzi wote ila kusema "biashara haramu" ,,"anaharibu watoto wa watu" hapana afilisiwe tu lile ghorofa,,,,mwijaku ana maneno machafu sana kama sio msomi yaan baba levo yupo smart kuliko mwijaku
Atwambie Biashara haramu ni zipi na aje na Evidence la sivyo alipe hiyo B5 make kuropoka kwake kumezidi, na Masoud asimuhurumie hata kidogo akaze ili kijana apate adabu
Ila nikwer huwez kumchafua mtu kwa kujinufaisha wewe mwenyewe..apo nikwel kabisa maneno aliyosema mwija hakufanya haki na hesma..nikwel inatakiwa akanushe ayo maneno azawaiz sheria ifuate mkondo wake...kama ukiwa marekan iyo nikesi mbaya sana na unaweza ukalipwa pesa nyingi sana kwa kumchafua mtu...ths is like buring on media..
Juzi mjinga anachafua kwa kuwa anatamba na pesa feki hii mbaya saaaana kuliko hiyo mwanzo mondi mtukubwa zaidi duniani tena anaaambatanisha na picha.. Stupid guy ever
Mim nimekuelewa sana baba wakili ...polen kwa mnayopitia na mliyopitia...naona itakuwa funzo na watu kuwasema watu ovyo ...kiukwel upo sahihi baba angu na tumekuelewa na poleni kwa izo changamoto..na iyo itakuwa funzo kwa watanzania wengine ambao wanapenda kuwaboling watu na kuwashusha wenzao alimladi tu kuwa kujipandisha yeye...ila baba wakili nimekuelewa na nimejifunza sana kutoka kwako...yani nimejifunza sana na nimekuelewa na nakuelewa sana kwamba kiukwel lazima umie kihisia kuhusu difemation ...kiukwel itakuwa funzo
HUYO MWIJAKU UTAKOMA, MARA ANAVAA KITAULO ALAFU ANAFOKA FOKA !! KWENDA DUBAI UNATANGAZA, NEDA SERENGETI WIKI NDIYO NITAKUONA MTU WA MAANA MWIJAKU, HUKO DUBAI KUNA NINI CHA MAANA?? USHAMBA TUU!! ALAFU PIA ANA.MTUKANA SANA DOTTO MAGARI , MWIJAKU ANA MUIGA MANGE KIMAMBI .
Uchawa sio kazi una mwisho wake haya sasa kayakanyaga kwa mazoea ya domo lake kamachoo malinaza na kipanya ndio tukuone elimu yk na uchawa vina kusaidia nn ume rahaniwa mwijaku pumbavu maliza kwa mzee wa katuni🙏🤳
Shenzi kabisaaaa huyu mwijaku kwakweli amekua akimvaa kila mtu inakera mnoo hii tabia yake Jmn apewe fundisho tu kwakweli maana hua hajali hisia za watu kabisa ye ni lopolopo tu 😢📌📌📌
Yani Safi Sana kabisa wanaonaga diamond anawapuwuziya ingekuwa anawashikiliya Hao wote wanamchafuwaga kila siku kwenye mitandaoni wengi angepata adabu shenzi ao peleka mahakamani uyo alipe izo pesa na wangine wahoneye apoo
Kma adi taasisi sina terminate mikataba basi hii ishu ipo seriously aisee kuna mtu atapoteza na kuna mwingine gonna win 🏅ila mdomo unaponza kichwa😂😂😂😂😂
Mwijaku ataenda kulialia Kwa viongozi na baadhi wakubwa mwishowake watawaita wote wataka chini watayamaliza! sema mwamba abadilike tena kama jinsi anavyo mdhihaki mondi! anamoyo wapekee aisee
Hii ni laana kutoka kwa MUNGU , maana mtu ukisha hijji akaenda hijja MAKKA ukirudi unatakiwa uwe mwema tofauti na hapo unakuwa unamfanyia MUNGU masiharà wenzio wanatamani kwenda MAKKA ww unabahatika kufika alafu unarudi unaendelea kuteta watu, SASA hii ni BAKORA kutoka kwa MUNGU na sio hili tu Kuna mengi yanakuja kama hajafanyà toba ya kweli amekwisha, anasoma aya za mwenyezi MUNGU na Hadith za mtume (s.a.w) sio kiimani hasa ila kwa maslahi yake inakuwa anamstizai MUNGU na kinacho fata ni laana na asipo omba toba mapema angoje kufirisika ña kufedheheka.
wanao comment wengi ni roho mbaya sababu sijaona comment inayo seme msameeni katereza kama binadam maana kuchafua tu sio maneno kwa mtu hata Hao wengine wanao fanya ujinga mitandaoni kuva uchi matendo yajabu mitandaoni kudhalilisha Jami nchi wananchi na family mbali mbali mbona ao awajachukuliwa sheria haki iwe sawa kwa binadam wote ili kila mmoja ajifunze jinsi gani ya kutumia mitandao
Ukiona hivyo wat wamemchoka na tabia yake man si mar moja au2 hat kidini haitakiw hat km jambo ni kweli analo unatakiwa umnasih aache na sio kumtangaza .
Hakuna aliyesalama ,ukishatumika na chama mwisho wa siku ni aibu tu,hata hivyo msitutoe kwenye reli na issue ya BASHE WAZIRI WA KILIMO ,,"WIZI"na kulidanganya BUNGE LA WANANCHI😢😢
Masoud Tunatakufahm tangu tupo wadogo ,heshima yako ameichafua sana katika jamii usikubali nenda mahakamani kwa hili,hata alete viongozi gani waje kukuomba msamaha lakini heshima yako haiwezi kufanyika zaidi ya kwenda mahakamani
Nimekumbuka shule mambo ya deformation sheria inakuwajibisha na fain hua unalipa kulingana na ukubw wa jina na nyazifa mbali mbali za uliemchafua na anaamua mwenyew aek dau gan pole mijaku umeyakanyagaaa babu
Sawa amekosea na Ana hitaji kuadhibiwa sababu domo lake kama brush ya choo limemponza😂😂😂lkn hapo kwenye billioni 5 sio kweli...yaani ajiuze yy na familia na kaghorofa kake kenye kisima juu hafiki hata billion 1😢
Aisee ningekuwa mimi masoud mwijaku nisingempata hata onyo la kuomba radhi dairekti nampeleka mahakan maana sio kwa kumchafua taaruma yake kihvyoo yaan Mzee masoud usimwachie bure huyo kijana Mwijaku kama anatafuta kiki mfanye hata siku nyingine afanye kiki zake kwa kujielewa ila mnyooshee kweli kweli huyo kijana aache kiki zake
Kisheria usipo mpa onyo naukaenda mahakanani basi hata ukishinda gharama zakuendesha hiyo kesi hauta rudishiwa na uliemshtaki kwani hukumpa "demand notes" so nilazima ili kesi ikiisha udai gharama zako zakuendesha hiyo kesi
Mwijaku umemtukana sana diamond kajikalia kimya sasa umeyakanyaga.
YN HUYO wamkomalie akomeshwe😢
😂😂😂😂😂😂Alipe
Mna roho mbaya sana kwani yeye daimond ingekuwa ni kweli angekuwa anachukua ktk kazi zake
Safi sn aliwafanyia kina NANDI SASA ZAMU YAKE 👍👍👍👍
LEGEND KIPANYA NI A GREAT GUY,,, LEVO ZAKE NI KUBWA SANA KWA MPUMBAVU NA CHAWA MWIJAKU
Safi sana peleka ndani mpumbavu huyo keshazoea sana
Mwijaku kayatimba mwaka huu
Nadhani hata Serikali ilifanyie kazi hili. Mtu kama huyu ni hatari sana kwa maisha na maendeleo ya watu.. Msijaku anaishi kwa kuombaomba kwa wakubwa hakuna anachofanya. Kipanya amepambana tukimuona kukuza Brand yake na anaheshimika sana. Hii haikubaliki anatakiwa achukuliwe hatua ili ajifunze na wengine pia wajifunze waache upbavu kama huu.
Mim nakuelewa baba angu...unajuwa watu wengi hawajal kuhusu hisia za watu kabisa ...yani wanapenda kuwaumiza watu hisia zako bila kujali..pole kaka masoud ..ila itaonyesha upo siriaz na maisha yako na hadhi yako itaonyesha hupendi masihala na watu wakuheshimu..kwel usipende kuwaprovok na kuwadharirisha watu bila sababu kisa tu nikiki...ila pole kaka angu masoud mimi nakupenda sana kaka angu masoud since kipndi cha marehem amina chifupa...mim nimemuelewa na nakuelewa sana kaka masoud na pole ..ila bado tunaiman na wewe na tunakupenda kila la heri kwakujipambania haki yako
Ikawe fundisho kwa mwijaku pengine atajifunza kila mtu anamsema vby kama alivyomuonea diamond
Wakili fanya kazi yako. Mi nimekuelewa vzr sana. Sheria ifwate mkondo wake. Amezowea sana kudhalilisha watu. Jingazzzzz
Sasa ameyakanyaga bola apelekwe mahakamani 💪💪💪
Malipo ni Dunian Akhera ni Hesabu. Umemtukana sana Diamond
Bora mumkomeshe maana amezidi kutukana watu
Hii itakuwa FUNDISHO kwa Wenye Tabia hizi za kujipaisha kwa kupitia watu wengine na kuwadhalilisha.... NITAOMBA SHERIA ICHUE MKONDO WAKE HII MITANDAO IMEKUWA INATUMIKA KUCHAFUANA
Hapo hakuna uswahili,lazima awajibishwe.
yaan angeongea upuuzi wote ila kusema "biashara haramu" ,,"anaharibu watoto wa watu" hapana afilisiwe tu lile ghorofa,,,,mwijaku ana maneno machafu sana kama sio msomi yaan baba levo yupo smart kuliko mwijaku
Aloooo huyu mwanasheria mkali snaa na kwa hili anataka kufanya fundisho kwa kwel
😅 Lawyer ni denja,,,!
@@Mwamba67😂😂
Na. Ajawai kushindwa kesi mahakamani, yuko vizuri kinoma. Mwijaku kz anayo ss.
Mwijaku amezidi kwa kweri kuzalilisha watu wengi sana.
Safi sana wazee ifike muda mijitu mijingajinga ipunguzwe mjini
Safi Sana maana amezidi sana
Alidhani kila mmoja ni mpumbavu km yeye kuna watu wapo seriously na maisha yao lazma atawajibishwa na hii iwe fundisho kwa waropokaji wote pumbav
Atwambie Biashara haramu ni zipi na aje na Evidence la sivyo alipe hiyo B5 make kuropoka kwake kumezidi, na Masoud asimuhurumie hata kidogo akaze ili kijana apate adabu
Ila nikwer huwez kumchafua mtu kwa kujinufaisha wewe mwenyewe..apo nikwel kabisa maneno aliyosema mwija hakufanya haki na hesma..nikwel inatakiwa akanushe ayo maneno azawaiz sheria ifuate mkondo wake...kama ukiwa marekan iyo nikesi mbaya sana na unaweza ukalipwa pesa nyingi sana kwa kumchafua mtu...ths is like buring on media..
APA ndo utajua kuwa DIAMOND PLATNUMZ nimtupowa sana
Juzi mjinga anachafua kwa kuwa anatamba na pesa feki hii mbaya saaaana kuliko hiyo mwanzo mondi mtukubwa zaidi duniani tena anaaambatanisha na picha.. Stupid guy ever
Mim nimekuelewa sana baba wakili ...polen kwa mnayopitia na mliyopitia...naona itakuwa funzo na watu kuwasema watu ovyo ...kiukwel upo sahihi baba angu na tumekuelewa na poleni kwa izo changamoto..na iyo itakuwa funzo kwa watanzania wengine ambao wanapenda kuwaboling watu na kuwashusha wenzao alimladi tu kuwa kujipandisha yeye...ila baba wakili nimekuelewa na nimejifunza sana kutoka kwako...yani nimejifunza sana na nimekuelewa na nakuelewa sana kwamba kiukwel lazima umie kihisia kuhusu difemation ...kiukwel itakuwa funzo
Alizidi
Alimdhalilisha mdada wa watu wakiwa wapenzi na kuziuza picha za uchi akimfanya sasa mungu anamuonyesha jinsi ya kuishi
HUYO MWIJAKU UTAKOMA, MARA ANAVAA KITAULO ALAFU ANAFOKA FOKA !! KWENDA DUBAI UNATANGAZA, NEDA SERENGETI WIKI NDIYO NITAKUONA MTU WA MAANA MWIJAKU, HUKO DUBAI KUNA NINI CHA MAANA?? USHAMBA TUU!! ALAFU PIA ANA.MTUKANA SANA DOTTO MAGARI , MWIJAKU ANA MUIGA MANGE KIMAMBI .
Nasubilia press conference ya Doto Magari
Weee na pia ya Baba levo.....maana Baba levo humruka mwijaku akipata shida😂😂😂
@@BarbaraPatience-qt9cc 🤣🤣
Tayari ishatiki😂😂
Sanaa ya Kipanya inasaidia sana jamii ,hao ndio wandishi kama masoud ndio tunawataka ..Uropokaji wake mwijaku umemponza
Uchawa sio kazi una mwisho wake haya sasa kayakanyaga kwa mazoea ya domo lake kamachoo malinaza na kipanya ndio tukuone elimu yk na uchawa vina kusaidia nn ume rahaniwa mwijaku pumbavu maliza kwa mzee wa katuni🙏🤳
Msitukane jmn funz hili siwafundish tena
SAFI sana! Way to go, KP!
Shenzi kabisaaaa huyu mwijaku kwakweli amekua akimvaa kila mtu inakera mnoo hii tabia yake Jmn apewe fundisho tu kwakweli maana hua hajali hisia za watu kabisa ye ni lopolopo tu 😢📌📌📌
Safi kabisa
Safi sana 💪🏾💪🏾💪🏾
Tatizo anaona media zinatumika kwa kutangaza ulimbukeni huyu bwana. Anaona trending kuwa dili mjini.
Yani Safi Sana kabisa wanaonaga diamond anawapuwuziya ingekuwa anawashikiliya Hao wote wanamchafuwaga kila siku kwenye mitandaoni wengi angepata adabu shenzi ao peleka mahakamani uyo alipe izo pesa na wangine wahoneye apoo
Hela azitoe wapi vitauzwa vyote alivyonavyo haitofikia hiyo fidia atakua amekwisha kimaisha
Taifa limejaa waropokaji na wasema hovyo, huyu anahitaji athabu itakayokua mfano kwa wengine.
Ukiona wa nyumbani kwako anamtusi jirani usifurahie kesho atakutusi na wewe ndio hii sasa😂😂
True
Kma adi taasisi sina terminate mikataba basi hii ishu ipo seriously aisee kuna mtu atapoteza na kuna mwingine gonna win 🏅ila mdomo unaponza kichwa😂😂😂😂😂
Mwijaku ataenda kulialia Kwa viongozi na baadhi wakubwa mwishowake watawaita wote wataka chini watayamaliza! sema mwamba abadilike tena kama jinsi anavyo mdhihaki mondi! anamoyo wapekee aisee
Kiukweli Mwijaku amezid,,
Kuomba radhi haitoshi,,kumsingizia Masud anauza madawa ya kulevya cyo sawa,,
Hii ni laana kutoka kwa MUNGU , maana mtu ukisha hijji akaenda hijja MAKKA ukirudi unatakiwa uwe mwema tofauti na hapo unakuwa unamfanyia MUNGU masiharà wenzio wanatamani kwenda MAKKA ww unabahatika kufika alafu unarudi unaendelea kuteta watu, SASA hii ni BAKORA kutoka kwa MUNGU na sio hili tu Kuna mengi yanakuja kama hajafanyà toba ya kweli amekwisha, anasoma aya za mwenyezi MUNGU na Hadith za mtume (s.a.w) sio kiimani hasa ila kwa maslahi yake inakuwa anamstizai MUNGU na kinacho fata ni laana na asipo omba toba mapema angoje kufirisika ña kufedheheka.
wanao comment wengi ni roho mbaya sababu sijaona comment inayo seme msameeni katereza kama binadam maana kuchafua tu sio maneno kwa mtu hata Hao wengine wanao fanya ujinga mitandaoni kuva uchi matendo yajabu mitandaoni kudhalilisha Jami nchi wananchi na family mbali mbali mbona ao awajachukuliwa sheria haki iwe sawa kwa binadam wote ili kila mmoja ajifunze jinsi gani ya kutumia mitandao
Ukiona hivyo wat wamemchoka na tabia yake man si mar moja au2 hat kidini haitakiw hat km jambo ni kweli analo unatakiwa umnasih aache na sio kumtangaza .
Hapana sio katereza!! Mwijaku apewe tuu adhabu amezidi kuropoka
Ninaunga mkono bwana Kipanya kumchukulia hatua Mwijaku
KUROPOKA KUMEZIDI MITANDAONI ...
Pumbav !!!😊
Kulopoka lopoka sio vizuri
Safi 😅😅😅😅
DIAMOND WAPELEKE PIMBI NA JUMA NAMSOMA ILI NAO WAJIFUNZE KUROPOKA NI KOSA HAPA TANZANIA.
Huyu Mwijaku atakuwa amejikangaga sana
Kwanza naona kama mnachelewa uyo mbwa
😂😂😂 mbona marekani hawana uluma hapa bongo mwijaku apingwe jera tu
Ni kweli hata mm nilipata hofu juu ya masoud
Advance ya 1.3b ipo tayari ,asije kujitetea kuwa Hana uwezo.
Usi msamehe mwijaku amezidi dharau huyo mbwa
Hakuna aliyesalama ,ukishatumika na chama mwisho wa siku ni aibu tu,hata hivyo msitutoe kwenye reli na issue ya BASHE WAZIRI WA KILIMO ,,"WIZI"na kulidanganya BUNGE LA WANANCHI😢😢
Mwijaku muda wa kuliwa na nyapara umefika😂😂😂😂
Anadhani huyu ni diamond? Sasa na alipe😂😂😂
Asantee amnyooshee halijafunzwa hilo limwijaku km kubwa jinga hivi
Mimi niliwahi kutaka kumunya siku moja kama mtu wa MUNGU akaniarau kazi kwake
Wakili sio kwa vitisho hivyo hapa kazi ipo
Oya hii iko serious sana, kimkakati
MINAONA HII FUNDISHO KAZIDI YANI MINAJUA UKIENDA MAKA UKIRUDI UNAKUWA UMEBADILIKA LAKINI SIO MWIJAKU MI MTAZAMO WANGU BORA ALIPE ILI AKOME
Anyway mdomo ukizidi kichwa ni mbaya kwa yoyote.
Na atauza Hilo ghorofa,ikithibitika ni kweli.
Da changamoto kote kote
Masoud Tunatakufahm tangu tupo wadogo ,heshima yako ameichafua sana katika jamii usikubali nenda mahakamani kwa hili,hata alete viongozi gani waje kukuomba msamaha lakini heshima yako haiwezi kufanyika zaidi ya kwenda mahakamani
Mshtaki usimwachie kazoeya kusema umbea mwanamme mzma ,iwe funzo kwake na wenzake
👍👊✌️.
Iwe fundisho kwa vijana wale wasiotaka kufanya kazi za jasho halafu wamejikita kwenye uchawa na kuuza kashfa za watu kwenye mitandao
Masoud kpanya alinichora namfungulia mashtaka😂😂😂😂😂😂😂
Alipe tu pesa kdg sana hiyo kwa mtuhumiwa. kumi ndio ingemtingisha lkn tano ndogo sana kwake
Hana ela bhan😂😂😂
Nimekumbuka shule mambo ya deformation sheria inakuwajibisha na fain hua unalipa kulingana na ukubw wa jina na nyazifa mbali mbali za uliemchafua na anaamua mwenyew aek dau gan pole mijaku umeyakanyagaaa babu
Defamation Sio deformation
@@LeeLian95 typing error my furend
Dah hiii itakuwa😢😢😢😢😢😮
Mwijaku ni kenge sana ajisifia amesoma na hajitambui hata kidogo 😏😏😏
Ameyatimba aaaaaa ameyatimba
Huyu wakili ni mtata asee Mwijaku ameyatimba mamae ndo utaacha misifa ya kipumbavu😂😂😂
Kayakanyaga mwijaku
Gorofa sasa kwagher 😢😢😢
Kamtukana sana babuu wa kitaa
Mwijaku hunarudishwa Sasa kijijini kuvuna b 5 hipokweli
gorofa litauzwa round hii😂😂😂
Peleka ndani
Sio ndani tu Chooni
Mwijaku ni mkoja kati ya chawa wa Raisi wa sasa aka Mama na tunapoelekea anakua na kujikuta yuko juu ya kila kitu nchini
Sawa amekosea na Ana hitaji kuadhibiwa sababu domo lake kama brush ya choo limemponza😂😂😂lkn hapo kwenye billioni 5 sio kweli...yaani ajiuze yy na familia na kaghorofa kake kenye kisima juu hafiki hata billion 1😢
Mwikaju huwa ana mdomo sana,
Mawakili wa mchongo hawa ww unaijua billion 5 kila siku kuna kesi huko zinawashindwa
Membe alitaka shilingi ngapi toka kwa musiba?
Amezindi sana mndomo awekwe ndani tu
Hee!hapo hachomoi analeta promo kwa wajanja.
Teach him a lesson.
Hapa lazima alipe pesa nying ameyatimba kwa kwel maan hata yey kweny interview amesema akiguswa brand yake hawez kukuaameheee
DUH BINAADAM TUMEJAWA NA HUSDA NIN HIKI KUMUOMBEA MABAYA 😢ILI FAMILIA YAKE ITESEKE?SEMA TUMUOMBEE ILI ASIRUDIE KOSA
Kwani alitumwa kuropoka??? Sio Mara ya kwanza kutukana watu,kazoea huyo, yeye haoni hasara alizomletea mwenzake
Na yeye huko kuomba omba km mtt wa mitaani ni kazi halali 😮😮😮😮😮 au hajioni
Bilion 5.!? Si atauuza mpaka ukoo wake wote sana sana ikawe fundisho
Alisha sema anafedha za kutosha
Gorofa sasa ni lamasudi 😅
B or M 😢 mwijaku kazidi mdomoo tobaaa
Kaka asamehewe kwa kipi anatukana sana watuuu acha akome arimpeka nanda amripe wewe unataka asamehewe kazi atajifunza kutukana watu
Sukuma ndani😢
Hakuna lolote acha kutishia watu mwambie kipanya akae kw kutulia
Hii inaitwa ukatiri ndani ya utaratibu 😂
Huyu mwjaku ana akili kwel
Aisee ningekuwa mimi masoud mwijaku nisingempata hata onyo la kuomba radhi dairekti nampeleka mahakan maana sio kwa kumchafua taaruma yake kihvyoo yaan Mzee masoud usimwachie bure huyo kijana Mwijaku kama anatafuta kiki mfanye hata siku nyingine afanye kiki zake kwa kujielewa ila mnyooshee kweli kweli huyo kijana aache kiki zake
Kisheria usipo mpa onyo naukaenda mahakanani basi hata ukishinda gharama zakuendesha hiyo kesi hauta rudishiwa na uliemshtaki kwani hukumpa "demand notes" so nilazima ili kesi ikiisha udai gharama zako zakuendesha hiyo kesi