Nani aliona njagi siku ya kwaza mpaka hapo Alpo kusema kweli Mungu hubadilisha .njagi pia mm nazidi kumuombea Mungu mwenye wezo azidi kukuongoza na roho mtakatifu azidi kukutia nguvu
Blood of jesus,,,,,, kama jangi anaenza kuwa amebadilika wacha mungu aitwe mungu najua ndolo akiona hii pia fred wakutane wapeane mkono wa amani ju mungu anaweza.
Senior wakati mtu anapo kukutamkia ubarikiwe , tayari umebarikiwa , pia baraka zako ziko tele kwa kazi unayo fanya ya kusaidia watu , na kugeuza watu , ona vile Njagi ame badilika na kuvaa vizuri ana kuwa mtu mzuri❤❤❤❤❤
Njangi kweli Mungu ni mwema wachawi wanaharibu watu wazuri ambao ni musahada kwa community Thank you Jesus 🙏 weeeeeeeeeeeeeeeeee Kweli Mungu ni waajabu 🙏
Kweli mungu ni mku, nikikumbuka njiagi mambo yenye alikua akifanya mpaka sikua nataka ku watch wakati amefika kwa studio ya dave, nilikua namuhukumu nikitaka mungu amtoe duniani mbele ya watu wengine, but mungu alimbadirisha Asante mungu.
Senior Dave, no one knows if Njagi has real transformed please don't trust him 100%, may be he is trying to get you closer to him for his interest. May God protect you SD kazi yako ni nzuri Sana
Baba kafue should report lost documents as soon as possible to be on the safe side.
Wow God is good if this is Mr njagi there is nothing our God can not do 👏👏👏
Huyu njagi simuoni poa. Aliskia shamba ya millions akajileta😢😢😢. May God guide senior Dave 🙏
Hapo sasa
Anajua kuna pesa hapo
Mungu huu bandilisha
Na sasa nani alimleta aki,, I don't trust him
Njagi is a reformed person an NIS expert atasaidia senior dave
Dave Kama njagi amebadilika kweli mungu yuko
Nani aliona njagi siku ya kwaza mpaka hapo Alpo kusema kweli Mungu hubadilisha .njagi pia mm nazidi kumuombea Mungu mwenye wezo azidi kukuongoza na roho mtakatifu azidi kukutia nguvu
Sijawai fuatilia vizuri, story yake
Mimi sikuwai fikiria ata change aki na ile drama alikua nayo Mungu ni mwema
@@Wfidelis indeed our God is good. Njagi look amazing. Much blessings to you all
@@Wfideliswe njagi alikua kitu ingine baya sana😅 mungu ni mwema
Amen🙏🙏🙏🙏God loves the world so that he geve his only son to wash our since maze
Nashagaa watu wakikataa wokofu Jesus is around the corner 😢😢
Kitu nilichogundua SD Mungu humtumia kila mtu mbaya alifika hapo anabadilika kuwa mtu mzuri
Wambuu ata Dante wote saa hii wanahumbiri injiri
Njagi uko smart sana.mungu aendelee kukubariki
Justice to mama kafue😢😢mungu wa meshack ,shedrec and abdinogo haki simama na mama kafue🙏🙏🙌🙌
aaaaiiiiiii mimi njagi sijui kama nitakuja kumuamini nikiona njagi naona gaindi mbaya sana 🤗😂😂
Huyu n yule njagi alikuwa anauza watoto?Kweli mungu n mwema
@@EverlyneMwanthi-i6w ndio ni yeye
Na kujificha chini ya kitanda
The last shall be the first...to God be the glory 🎉🎉
Dave baba Steve pia.anafaa ambiwe ahame mpaka ukweli ijulikane
Anafaa kuwa ndani na huyo sub Chief
Kama kinyambizi aliokoka, way not njagi😅😅😅, God's time always the best🙏🙏🙏
Kinyambizi alikoka😳😳😳😳😳😳😳😳🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Blood of jesus,,,,,, kama jangi anaenza kuwa amebadilika wacha mungu aitwe mungu najua ndolo akiona hii pia fred wakutane wapeane mkono wa amani ju mungu anaweza.
Baba Kafue a report stollen documents ASAP.
Kwani amekuwa dcl for real😂😂😂 l don't regret selling my land to buy data in senior dave umbea😂😂😂😂
😂😂😂 selling land to buy data wonders shall never end
😂😂😂😂😂@@SaumuwereWere
😂😂😂😂😂hii ni maajabu
𝐃𝐚𝐭𝐚 𝐳𝐢𝐤𝐢𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐮𝐬𝐨𝐧𝐠𝐞𝐳𝐞 𝐭𝐞𝐧𝐚 𝐥𝐚𝐧𝐝 𝐟𝐨𝐫 𝐦𝐨𝐫𝐞 𝐛𝐮𝐧𝐝𝐥𝐞𝐬😂😂😂😂
😂😂😂😂@@SaumuwereWere
Mungu atafanya njia pasipo na njia😊😊
If you put God first everything will be smooth
Justice for mama kafue aki 😢
Njagi we are happy to see you transformed
Hey guys sijui ni Mimi sioni huyu njagi vizuri nikama simwamini hapa Dave hapana chunga sana
Kazi kwake bora asiwe na siri fiche 😂😂😂😂
Mungu hubadilishs watu,kama ni njagi amekua akikunywa damu za watu,wacha mungu aitwe mungu
Njagi "Njagi 🎉🎉🎉🎉congrats 👏 and you look awesome and smart
Njagi God bless you.kuna Mungu anaye badilisha watu
Mungu wangu wajua kila kitu pingania mama kafue please 🙏
Wah 😮 huyu ni Njagi, kweli Mungu hubadilisha watu, bwana asifiwe🙏🙏
😂😂😂😂😂 Jesus Christ what a beautiful thing like this. Glory be to God🙏🙏. Mr njagî you're the winner ❤❤🔥🔥🔥👌👌💯
Njagi saidia apo sasa tumeanza kukupenda🎉🎉
Congratulation senior Kwak kasi mzuri unyofanya❤🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉njagi niwewe kwelo haki Mungu yupo
Hii umbea siwezi kosa ata kama Niko mgonjwa TH-cam lazima niingie nijue mbivu n mbichi am here waiting 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Okay let him join his hand God will give the correct way to follow
Sd please 🙏 please be careful cyo kila mtu ni officer,
Nauza simu nipate bundle za ku watch hii story hadi penye itahishia
Senior wakati mtu anapo kukutamkia ubarikiwe , tayari umebarikiwa , pia baraka zako ziko tele kwa kazi unayo fanya ya kusaidia watu , na kugeuza watu , ona vile Njagi ame badilika na kuvaa vizuri ana kuwa mtu mzuri❤❤❤❤❤
Cant wait for the 'Rose Muhando is here' title
Huyu njagi mbona simwami wallahi
Am so happy for Jangi
God you are so great who changed jangi
Be careful dave
Senior Dave now congratulations good job mungu awaogose dam ya yesu iwasigire murudi na usindi Kwa jina la yesu Amen🌅🌅🌅
Njagi asante kwa ku acknowledge where you are from and what happened and where you are going 👏👏👏
Mungu Mbele kieleweke mama kafue apate haki yake
Dave sanitize simu ya njagi
Ndio
King David asante kwa kazi yako ila tu nakuomba usiwe unatamka mambo mengine kwa camera ...like umesema unaona njagi ana bunduki.
Na senior mbona hujaweka fred kwa hii maneno.ujue hawa watu wote ni wageni kwako so chunga sana pliiiz
Asikiagi Bora content
Amen njagi hivo ndio mungu uchange tu MTU hivo Jesus never fail
senior Dave ukosawa huyu ninja mr njagi siniyule wakuoa msichana wake kwani aliokoka NGAI MWATHANI umbea itanimaliza nafuatilia kama 🚶♀️🚶♀️ibanda😂😂😂
Aliokoka look the vedio
Toa sadaka kwa ibada😅😅😅
Njagi tunakuaminia hii job for the first time
Justice for mama kafue
😊😊😊😊wapi makofi ya Mr. Njagi❤❤❤
Sasa Njagi weka bag chini am happy to see you ukiwa new Njagi be blessed 🙌 kwa Mungu kuna Amani
Bag haiwekwi chini çoz ina kifaa Cha kazi😅
Dave chunga saana njagi simuoni vizuri
Aiiii njagi, aiii hako kabag, aiii hayo mavazi, aiiii vile anakuja tumikono, njagi njagi njagi, ok let's wait
Mko sure njagi hayuko mission 😅😅😢😢
Our able senior Dave na kupenda tu Bure because of your wisdom. Be blessed
Na dave ambiwe asiambie mahabusu location yenye wako
Njangi kweli Mungu ni mwema wachawi wanaharibu watu wazuri ambao ni musahada kwa community Thank you Jesus 🙏 weeeeeeeeeeeeeeeeee Kweli Mungu ni waajabu 🙏
Yaani huyu ni njagi kweli Mungu anaweza badilisha mtu 😂😂😂😂😂
Davie acha maneno mingi
Si vzr mambo ya serekali kutaka content
Eeeh mr dave wewe una roho ya kipekee god bless you you good guy go on help people men thats great
Hata sisi tunashkr kukuona umebadilika mung nimwema njangi nauendelee kua hivo
Glory be to God, Mungu bariki hi team senior Dave
Thank you lord kama huyu ni njagi Amen
Udaku umekua more 🔥🔥🔥
Huyu babakafue hajauza shamba hata kama ni wazimu unaweza uza 5m hapo mahali na hizo nyumba zote
Mungu watu hanaweza kwakila jambo
Huyu njagi hata kama,,,,aiii siwezi mtrust aki
Mungu hubadilisha mtu anakua mzuri,kwa Mungu things are possible
If Saul alibalika why not njagi
Njagi ako na bunduki as who?
@@werelawrence4686 ako nayo?kwani alirudi job cz niliacha akisema asamehewe arudi kazi haikua kupeda kwake
Huyu kumtrust whuee ni ngumu
Kweli mungu ni mku, nikikumbuka njiagi mambo yenye alikua akifanya mpaka sikua nataka ku watch wakati amefika kwa studio ya dave, nilikua namuhukumu nikitaka mungu amtoe duniani mbele ya watu wengine, but mungu alimbadirisha Asante mungu.
LET ME GIVE THIS A BENEFIT OF DOUBT
SD mimi nimejifunza mambo mengi sana kwako..ya kwanza kusamehe na kusahao
Iyo title ilichukuliwa na hao wasichana time yenye walikuwa wanaonyesha Baba kafue mapenzi akanjisahau justice for mama kafue
Wakati wakafue akipnga harusi na loise
True😂😂😂😂 ile tym alikua anakaa na towel 😂😂😂😂
Good job toto letu tunakupenda sana
Njagi mmmh hata simwamin😮
Nilikuwa nime miss Njagi Sana na zile vituko zake za comedian 😂😂😂😂😂lakini asikuwe amekuja mission Dave uchunge Sana
Njagi pia yy si anapenda rose coco sana labda angalie kando akue kama DCI Fred.
Ni DCI
Huyu njagi simuamini😮😮😮
Heri nikose breakfast ni nunue MB lakini umbea ya baba kafue isinipite hii chai ni moto kweli kweli😂🤣😅
😂😂😂😂
@EstherOpechu-Hill 😂😂😅😅🤣
😂😂😂😂 Kabisa yani sichezi mbali na simu sahi
😂😂😂😂
😅😅
Cjui nikwanini cwezi amini Njagi .
Glory be to God for changing njagi
Justice foe mama kafue jamani anangaikq bure
Glory to God to seeing njagi alive😂😂
Bona huyu njagi aseme atasaidia ,bona simuoni vizuri ,..
Hapa hatuonangi watu vizuri ata shosho mary hatujumuona km ako na kichwa mzuri ni tusubiri tu matokeo
@@eunicesemere5555watu wajifunze kunyamanza na kusikiza na wasi judge
Mungu ni mukuu ngai kumbe mutu umbalika njagi okoka kambisa
Dave trust njagi at your own risk
Dave good job may God reward you
Njagi is working in the ministry of National Intelligence Service.
Nakumbuka vile njagi alikuwa analia ak 😂 ak kuna mungu
Njagiii,mungu ingilia kati
Njagi is a change person may God bless him abundantly
Glory b to God siamini ni Jagi aka Jagi master,,,aki ni wewe jagi ? Waa
Sd huyo baba steve yafaa ambiwe ahame paka mambo yawe sawa ,
Huu mwezi huishe ka umefikisha 300 subscribers💃
Mr njagi vaa nguo za kukutosha kababaa
Hukuskia alismamishwa kazi so hakuna napesa😂😂
Aii njagi simu trust nikama ako na mission... dave be careful
Senior Dave, no one knows if Njagi has real transformed please don't trust him 100%, may be he is trying to get you closer to him for his interest. May God protect you SD kazi yako ni nzuri Sana
May The Lord be with you all thru' this mission...Amen 🙏🏽
Thanx Njagi n b Blessed 🕊
Kwani njagi alibadirika😂😂😂😂😂 wooiiyee
Alirudi job.
Njagi really,......sawa tu
Wacha niongeze sigari mwingine,chief😂😂😂😂