Nyie msinigombanishe na mwenyezi mungu maana gisi natamani nipate gari yakutembelea ata kawe ka dolar lfu mbili kisha nione wenzangu wakijisifu juyautajiri mpaka nalilia chumbani kisha nafuta machozi lakini naamini mungu yupo🤲🤲🤲🤲
Nyinyi wafrika munashida sana. kila wakati kujilinganisha na watu wenye mali kubwa zaidi kutoka nchi zenye uchumi kubwa kabisa duniani ambazo ndio zinawawezesha mafinikio wanazo....huwezi linganisha na nchi ndogo kama Tanzania yenye uchumi na uwezo mdogo sana sana...ni ujinga wa hali ya juu sana, upumbavu na kukosa uelewa.
Hawasemi? Hapo anafanya nini? Hiyo inaitwa branding, hiyo ni USA hivyo level zao ni tofauti na Afrika lakini show-off ni zile zile, showbiz inaenda na mambo hayo siyo uko pangu pakavu unakuna na za mimi sipendi showoff. Hata endorsements zinaenda na value yako si sauti wala mashairi.
Massai amebakia kutuekea matukio na yote yamebuma kuanzia mavazi yake mrembo wake mzungu ngoma zake yaani kila kitu chake kimebuma ataweza kutuonesha thamani ya vitu zaidi ya kujinadi ana mtonyo😂😂
@@fazilmalumalu2113 umesikia wapi rick ross ana fanya biashara ya magari!!? Ingia hata google, uone kama kuna sehemu utaona eti rick ross ana fanya biashara ya magari. HAKUNA
Kila kitu mnadhani ni freemason. Huyu jamaa ana chapa kazi halali masaa mengi kama maskini wanavyo fanya. Ukimfuatilia utaona shughuli anazo fanya ana haki ya kuwa tajiri
Huyo kwasababu mmarekan mnamsifia ila akionyesha mbongo mara mshamba ooh anajisikia ma ooh kiki diamond fanya unachoweza wabongo hawaish majungu
Big up brother
Kweli tupuuuu
Shout out to you the magic voice 👏👏
Nice
Habisa ukapemukiya kweri achaukule kidogo mama hamisa
Nyie msinigombanishe na mwenyezi mungu maana gisi natamani nipate gari yakutembelea ata kawe ka dolar lfu mbili kisha nione wenzangu wakijisifu juyautajiri mpaka nalilia chumbani kisha nafuta machozi lakini naamini mungu yupo🤲🤲🤲🤲
Duhh 🙄
Hana cadillac
Utajiri wetu uko mbinguni tujifariji...
Money talks not people
Sasa mbona hayana muonekano mzuri! Utasema niyale makopo tulikuwa tunachezea zamani kwakupikia 😰
Kwawenzetuu hayoo ndio yagharam kuxhndee yenyesur
Lakini bei yake sasa moja ina nunua mtaa wenu mzima 😂😂
Nyinyi wafrika munashida sana. kila wakati kujilinganisha na watu wenye mali kubwa zaidi kutoka nchi zenye uchumi kubwa kabisa duniani ambazo ndio zinawawezesha mafinikio wanazo....huwezi linganisha na nchi ndogo kama Tanzania yenye uchumi na uwezo mdogo sana sana...ni ujinga wa hali ya juu sana, upumbavu na kukosa uelewa.
Si ampe hapo hamisa hata kabaskel tu😂😂😂
😂😂😂😂😂🔥👏
Halafukuna watu wanalilia mimi tajiri mmeona hayo
Aya jaman tumpeleke mwali wetu rasmi 😀😀baba ndo uyo kashaonyesha mali zake 😀😀😀
"" NNA PESA,, STAKI TU KUJIONYESHA"" 😂
😂😂😂😂🔥
Hiyo Ni Tz yetu 😂😂😂
usingrkuwa unafatlia umbea kam huu 🤣🤣🤣🤣🏃♀️
😃😃
We si mtanzania ungekuwa mtzania you should post it on social media
❤❤❤❤❤
Duuuu kweli kuna watu wsmepewa
Niko na pesa tatizo naogopa kurogwa ndio maana siezi zionesha
Ss tulikosea wapi
Watu na dunia yao
Rich Forever
Dada yetu anaBahati aise. Duuu
Maisha ni yale yale tu isipokua ni tofauti wa maendeleo tu💪🤣
Baba uwakika unacho kisema mm mwenyewe nimeyaona
King kiba alipo semaa sadalaa usijinadi na kutuaminish ww ni mwamb wambaaa tunawaonaa siooo kujisifiaaa rick mwambaaaa tumekuelewa mzee
Kwani rick Ross alivo yapanga hayo magari si ndo kujinadi huko.
Usinipe buku nipe miasaba sabini mnae kula kuku hamna tofauti na mimi maana wote tutazikwa tutaenda chini
Hiii inaitwa tafuta pesaaaaaaaaaaaaaaa
Hamisa mobeto ukoapui
Halfu sadala nae anasumbua watu na mbwembwe eti yeye ni tajili aoneshe kibuli cha pesa kama huu mwamba
Sio kosa lako, akili hauna.
Umfananishe Rick Ross na diamond
Jmn niiga mbon hawasidi Afrik hata kujenga tu au kuwekeza
Tukisema hip hop inalipa tunakusudia mbele mkumbusheni Nikki mbishi
@@achawanunetv1167 ukijua mauzo ya albam zake na mixtape zake tangu anaanza utanielewa hayo mengine yasio mziki unayoyajua wew mi siyajui
Nafanya massage na scrub.
Nafata Mteja popote.karibuni
Mmmh 😋😋
Mwenye pesa ajionyeshi ila pesa inajionyesha 😳
Sasa kuyapanga hapo si ndo kujionyesha kwenyewe!!!
Unawaza nini Macame😂😂😂
Huyu nae anataka tu kumpagawisha hamisa wetu😆😆🤣🤣 Nia yake amchezee tu mfyuuu..Tajiri na mali yke sie na dadaetu Alaaa usilete ubabaifu.
😃😃😃😃
Kama umeiona IST like
👇
Uwiij amkeni amkeni amkeni amkeni amkeni in mwijaku voice
Nilicheka hii hadi basi
Mwinjaku he is something
🤣🤣
hiyo imenichekesh had bas
😂😂😂
Hamisa chunga snaaa jmn
Duh! Bongo tutafika huku kwel?
Sawa midevu ww ni Tajiri
🤣🤣🤣 so funny walah
Huu ndo unautwa utajiri sio maneno sadala bana
sasa mbona unamuwaza badala ya kumuwaza guy wako
Wakwanz leo jamn
Kabisa 🙌🙌😀😀
Haya yote kayataka diamond mshamba mmoja hivi kila msanii mwenye vitu vya thamani anavipost hadharani sasa. Ajitokeze kuomba poo 😂😂😂
😂😂😂😂
Duuuh kumbe diamond ana nguvu basi,
Kafanya mpaka wasanii wakubwa waanze ku post Mali zao👏👏👏
Sjaona Escalade hapo 🤔
Iyo utaipata kwa Diamond
🤔🤔🤔🤔 Ipo mbez Beach au umesahau
Umeona wenye magari hawasemi ila mwenye gari mbili awo tatu mishauwo kibao mpaka wanakera🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawasemi? Hapo anafanya nini? Hiyo inaitwa branding, hiyo ni USA hivyo level zao ni tofauti na Afrika lakini show-off ni zile zile, showbiz inaenda na mambo hayo siyo uko pangu pakavu unakuna na za mimi sipendi showoff.
Hata endorsements zinaenda na value yako si sauti wala mashairi.
@@unclepwechnov1381 achana naye huyo kahaba, hana akili
Hawa ndio matajili sio kina mmasai.utajili mbuzi😏
Kwahiyo ndio unalinganisha wasanii wa wamarekani na watanzania unafeli
Mbavu zangu dada uwiii🏋️🏋️🏋️😁😁😁
😁😁😜🤗
Kwan.matajil.wa malekan wanao.fana na wakwako tanzania wako.wangap unapo.fananish watu hawa anagalia nchi zao na uchumi wa nchi zao pumbafuu weee
Mmasai Sadala kanunua gari moja used kelele 1000 kweli' Kuna watu Wana ishi duniani na tuna sindikiza wanao ishi
Masai wetu vipo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Massai amebakia kutuekea matukio na yote yamebuma kuanzia mavazi yake mrembo wake mzungu ngoma zake yaani kila kitu chake kimebuma ataweza kutuonesha thamani ya vitu zaidi ya kujinadi ana mtonyo😂😂
Noma sana sio utajir wa 🦙🦙🦙🐐🐐
@@binmakka8693 nenda youtube, kaangalie trending 1 Hadi 5 ni Mmasai tu😂😂😂
Afu eti ni ushamba kuonyesha mali zako😬😬😬
Uyo nazani ni biashara
@@fazilmalumalu2113 kwani diamond sio biashara
@@lexq-sm6lq diamond ameanza lini biashara ya magari?
@@fazilmalumalu2113 umesikia wapi rick ross ana fanya biashara ya magari!!?
Ingia hata google, uone kama kuna sehemu utaona eti rick ross ana fanya biashara ya magari. HAKUNA
🇰🇪🇰🇪
Ni ombi langu kwamba amefanya investment kwenye biashara. Wasani tunawajua wakati wameanguka
Rick Ross anamiliki ma restaurant na makampuni mengine
@@hkmeme5437 aah... vizuri sana.
Freemasson mmmh unaweza sema hata viacha
Kila kitu mnadhani ni freemason. Huyu jamaa ana chapa kazi halali masaa mengi kama maskini wanavyo fanya. Ukimfuatilia utaona shughuli anazo fanya ana haki ya kuwa tajiri
Mawazo ya mtu maskini😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Mwambie sadala awache kujitapa na upuuzi wake wakusema yeye anahela na anatuonesha magari ya kubebea maiti
Punguza ujinga ww unaip
@@hassaniabdi2621 😁😁 team masai munahasira sana mutajiharia mwaka huu maana mumechuja sana😁😁
Ww ulio nayo niip kama sio upumbavu