Aslam aleykum kutoka kwenda fisab lilah sio kua watu nikutoka kwenda kumtangaza mungu ila nikweli kunawatu wanalitumia vibaya kwa makusudi mungu amekataza kua watu nizambi kubwa sana,ila ikitokea kunazuruma mungu ameturusu kuipambania haki nasio kwenda kua watu wasio na hatia,upo sahii kabisa.kwasababu mungu amesema dini ya kislam imekamilika na kitabu kimekamilika.
kutoka kuipigania dini sio kwa upanga tu watu wanatoka na kupiga kambi mji mwengine kuitangaza hio dini kupigania ni kuilingania na watu wanatoka fiisabililah wanakaa sehemu miezi kuilingania dini wale wanaojiripua ni tofauti na walinganiaji
Mwizi mkubwa. Umeniiba hela. Usipotubu na kuokoka, utatapika ulivyo iba. Dini ya kweli aiko kwenye dini bali ni kwa matendo ya haki na kweli katika kristo. Wewe ni mwongo sawa sawa na waislamu wenzako.
magaidi kuna watu wa kila aina tena hadi wazungu na sio waislamu wanafanya hayo ili waonekane waislamu tunawajua wazungu ndo wafadhili wakubwa wa hayo makundi
Aaaminaa
Hatunahaja ya vyombo vya habari dini imekamilika na watu wasio fahamu karibun watafahamu
Wengi wanaamini dini ya Kiislamu ni ya kigahidi kwa sababu ilipatikana kwa upanga na siyo kwa hiari.
Hujajibu vizuri Wala so swala la maandiko
Nlvo kufklia kabla ya kukusklza nikajkuta nlkua nakuwazia vbaya bure Allah akujaalie uwe na mwisho mwema
Aslam aleykum kutoka kwenda fisab lilah sio kua watu nikutoka kwenda kumtangaza mungu ila nikweli kunawatu wanalitumia vibaya kwa makusudi mungu amekataza kua watu nizambi kubwa sana,ila ikitokea kunazuruma mungu ameturusu kuipambania haki nasio kwenda kua watu wasio na hatia,upo sahii kabisa.kwasababu mungu amesema dini ya kislam imekamilika na kitabu kimekamilika.
Wongo. Ugaidi ni kitendo cha jihad. Jihad ni mapambano ya imani.
kutoka kuipigania dini sio kwa upanga tu watu wanatoka na kupiga kambi mji mwengine kuitangaza hio dini kupigania ni kuilingania na watu wanatoka fiisabililah wanakaa sehemu miezi kuilingania dini wale wanaojiripua ni tofauti na walinganiaji
Aya hii unayo isema inafanya kazi hadi dunia itakwisha na wale wanaojivisha mabomu wala hawatumii aya za qur-an katika matendo yao
ugaidi ni neno lililotengenezwa na makafiri na kulipachika katika uislamu ili kuichafua dini
Mwizi mkubwa. Umeniiba hela. Usipotubu na kuokoka, utatapika ulivyo iba. Dini ya kweli aiko kwenye dini bali ni kwa matendo ya haki na kweli katika kristo. Wewe ni mwongo sawa sawa na waislamu wenzako.
Alikuibia nini ndugu
Umuulize atakuambia mwenyewe
Propaganda.tu hiyo.ni dini ya mwenyezi.mungu
Kama ni dini ya kweri kwanini wewe uritoka uko
magaidi kuna watu wa kila aina tena hadi wazungu na sio waislamu wanafanya hayo ili waonekane waislamu tunawajua wazungu ndo wafadhili wakubwa wa hayo makundi
Masha Allah,, jamaa yetu Allah akuomgoze siku moja uje katika haki