Yani nimefurahi sana sana saaana mana ninavyoipenda hii taarabu leo nitaisikiliza mpaka nahisi simu itazima chaji wallah umenifurahisha sana nipe namba yako nikutumie vocha aisee umenifurahisha sana
YAAN NAKUMBUKA 2006 JAMAN DADA ZANGU WARIVYO KUWA WANACHEZWA SIKU YA KUTOKA WARITOKA NA NYIMBO HI DAR YAAN NIMEKUMBUKA MBARI SANA DAR ZAMANI KURIKU NA NYOMBO
Siwez kuisahau hii nyimbo sababu nilikuwa na mpenzi wangu alikataa kisa sina pesa siku ya harus yake niliudhilia hii nyimbo ilipigwa kipindi hicho walikuwa wanaita Rusha roho na kwer iyo siku roho ysngu iliruka mapenz haya yaachen kama yalivyo vizur usikie2 sasa nimetoboa nayeye yuko kijijin kwao analima magimbi 2021 tupo pamoja
Hakika kila kitu zamani bwana sasa ivi maigizo tu unaambiwa sibanii staili nacheza step zote tena ni mwanamitindo nabinjuka mitindo yote duuuuu,,,,Mwanahawa Aly Ndani ya Zanzibar stars Enzi hizo lakini
Mambo bull bull 😘👌🎶
Nyimbo konk👌👌👌
Aisee hii nyimbo ina nikumbusha mbali sana👌👌👌👌
mwaaaaaaaah😙😙
👌👌👌ndani ya baharein kwa mpango mzima
Wow ✔💯
Asante sanaa. Kama una gendaeka ya bi Khadija tusaidiane..
Wallah Mpk Raha Anasema Na mimi nikatoa kaul karib yaa Habiiib
Marjan naomba last warning na kipendacho moyo dawa zote za mwanahawa ally
Weeeeeeraaaah!!!!! Namlisha maakuli
Hapana chezea
Yani nimefurahi sana sana saaana mana ninavyoipenda hii taarabu leo nitaisikiliza mpaka nahisi simu itazima chaji wallah umenifurahisha sana nipe namba yako nikutumie vocha aisee umenifurahisha sana
Hahahaha we kiboko kabisa
Penda sana huyu mama
😘😘😘+254737307549
Hunishindi mimi jamani
@@marjansempa ahsante sana naenjoy hadi basi.
Pambeeeee
Taarab za zamani sio mchezo zimetulia sana tupe rahaaaa 👌mwanahawa sauti tu mama 💥
Boss uangusha mito si mchezo nyimbo konki
Leo tarehe 11 mwezi 9 mwaka 2021 Akhamedi master Dar salaam Tanzania 🇹🇿
to Vancouver Canada 🇨🇦 naisilikiza mwanahawa aliy
Hii nyimbo ilikuwa tamu na imedumu mpaka leo .asante kwa kutukumbuka
Mwaaaaa naupenda mpaka basi
Weuweeeee weuweeee weuweee santeeeeeeee
Nakubar shangazi 2020 oyeeeee
Umetisha mama shughuli
Wapi Mke wangu mpenz khadija mtot unaniua wew mtoto wa kinyamwez asiepajua kwao😃a k.a mnyamwez wa dar umeniwez mzanzibar mie
YAAN NAKUMBUKA 2006 JAMAN DADA ZANGU WARIVYO KUWA WANACHEZWA SIKU YA KUTOKA WARITOKA NA NYIMBO HI DAR YAAN NIMEKUMBUKA MBARI SANA DAR ZAMANI KURIKU NA NYOMBO
P
Hii nyimbo si mchezo....bado iko Moto wallahi,thanks slot.
Woooooiiiyoooooooooooooooo
Asante sana hakika......
2020 jamaniii hiiinyimboooo🔥🔥🔥🔥
Nakumbuka mtanga alipoisogelea ndoa yangu hee alinitambua leo mume karibu tujukuu nilikuwa kama nyoka kaboko
Wonderful work, bro uko vizuri
Tnx
Woyoooooo
Shughuli nzito ,si shughuli za kitoto
Nyimbo pambe 👌👌👌👌Sana I mie Leo Sina nacho fanya kwenye simu zaidi yakula buludani ii imeni kumbusha mbali sanaaa
Mochoooooo😍😍😍😘
Hatariii nakumbuka mbali sana
Happy new year
Please Weka nyimbo zote zilizokuwa kwenye hii cd
Shughuli kushughulika,
Siwez kuisahau hii nyimbo sababu nilikuwa na mpenzi wangu alikataa kisa sina pesa siku ya harus yake niliudhilia hii nyimbo ilipigwa kipindi hicho walikuwa wanaita Rusha roho na kwer iyo siku roho ysngu iliruka mapenz haya yaachen kama yalivyo vizur usikie2 sasa nimetoboa nayeye yuko kijijin kwao analima magimbi 2021 tupo pamoja
Hatari hiii
Duh hapa siwezi paondoka
2021 bado nipo, miaka kama mia ijao still nitakuwepo hapa kwa uwezo Wa mungu.
Halooooo
Mama shughuli anashughulika
Teynaaa.....
bwana sauti haimtoki huguna ndani kwa ndani, upoow???
Shughuli nzito
Strong super women ❤️👌💪
Ausio mwili wangu halali
Hakika kila kitu zamani bwana sasa ivi maigizo tu unaambiwa sibanii staili nacheza step zote tena ni mwanamitindo nabinjuka mitindo yote duuuuu,,,,Mwanahawa Aly Ndani ya Zanzibar stars Enzi hizo lakini
Yanikumbusha mbali sanaa bd kabint ndio naolewa
Niliitafuta sana hii nyimbo. Thanks @marjan sempa
Hahaa! sibanii staili nacheza stepu zote na tena ni mwanamitindo nabinjua mipigo yote upo Shost?
Shughuli zangu nzito boss ameshabaini👌s shughuli z kitoto kama zako mwafulani hahaaaa
Waaah"
Mm mama shughuli
Nice
safy sana
Jamani nmeitafuta zibeni njia sio riziki,mpaka nimechoka. Hata cjui pa kuipata
Soon...
@@marjansempa natafuta pia Manusura, Ninusuru yarabi( Mwanahawa) tafadhal nitafutie
@@collinslusweti ustubwage
@@marjansempa ustubwage plzz
Ssawa InshAllah
Pĺ
Namkumbuka Marehemu Amina chifupa alikua akiupiga kweny kipind chake cha taarabu