Mshukiwa Collins Khalisia amedai kuwauwa watu 42

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ส.ค. 2024
  • Maafisa wa polisi wanamzuilia mshukiwa mmoja wa mauaji katika timbo la kwake eneo la Pipeline hapa Nairobi. Mshukiwa Collins Khalisia amekiri kuhusika na mauaji ya watu 42 akiwaeleza maafisa wa usalama namna alivyowauawa walengwa wake wa kike

ความคิดเห็น • 267

  • @dewanikaur19
    @dewanikaur19 หลายเดือนก่อน +34

    Government trying to cover up ....mbona kutoka kitamboa wajawai uliwa tangu tu maandamano😢😢

  • @joycenasambu2658
    @joycenasambu2658 หลายเดือนก่อน +50

    Amelipwa ngapi??

    • @aishasaidi1784
      @aishasaidi1784 หลายเดือนก่อน

      @@joycenasambu2658 kabisa 💔

  • @ZamzamGetacho
    @ZamzamGetacho หลายเดือนก่อน +38

    Hiyo ni mpango wa serikali kudaganya wanainchi

  • @RobbyMukonjero-rp5gt
    @RobbyMukonjero-rp5gt หลายเดือนก่อน +26

    It is not true,police and Ruto stop laying to us.

  • @ishaanizkeah8814
    @ishaanizkeah8814 หลายเดือนก่อน +41

    Mbona haraka hivi Kuna kitu hakiko sawa

    • @boazwambua387
      @boazwambua387 หลายเดือนก่อน +3

      Exactly

    • @FatwimaZahrau
      @FatwimaZahrau หลายเดือนก่อน +1

      Duh haraka sana

    • @sarafinawanja8549
      @sarafinawanja8549 หลายเดือนก่อน

      I feel the same SI ukweli

    • @sarafinawanja8549
      @sarafinawanja8549 หลายเดือนก่อน

      Àta venye huyu anaelezea haibambi😂😂

  • @jameskarani8182
    @jameskarani8182 หลายเดือนก่อน +14

    Trying to think out how he was good at hiding then immediately the bodies are found boom the suspect here😂😂

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 หลายเดือนก่อน +14

    Aaah mm siamini serikali ya ruto kabsa kwani alikuwa anaishi porini pekeyake hakuwana majirani ni ngumu kuamini

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 หลายเดือนก่อน +20

    Ambia ruto wakadanganye wajinga wengine sio sisi kumbavu

  • @davidwainaina1266
    @davidwainaina1266 หลายเดือนก่อน +22

    Kwanini na sense tumepangwa😂😂

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 หลายเดือนก่อน +7

    This doesn't make sense
    Mambo bado
    Ruto must Go

  • @rosemarymwangi7349
    @rosemarymwangi7349 หลายเดือนก่อน +8

    2 years and bodies have not decomposed???????waache uongo

  • @terriewanjiru1318
    @terriewanjiru1318 หลายเดือนก่อน +16

    Story za Jaba

  • @amosbett3666
    @amosbett3666 หลายเดือนก่อน +13

    😂NO ONE IS BELIEVING THE DCI HERE AND WE ARE BUSY BELIEVING THE DREAM GIRL...WATU SIO WAJINGA DREAM GIRL

    • @annyleycoyney7622
      @annyleycoyney7622 หลายเดือนก่อน +3

      Kama sio dream girl hii story haingejitokeza Sametimes hata upumbavu husaidia now we won't be fooled with fake suspects

  • @user-yq2mm5gc3c
    @user-yq2mm5gc3c หลายเดือนก่อน +15

    Huyu Collins is innocent,,,,, please stop playing with our intelligent

  • @queenlilian5139
    @queenlilian5139 หลายเดือนก่อน +2

    GenZ sio Raila my friend kabla mtudanganye tusha jua mnapanga kutudanganya sasa jidanganyeni wenyewe Ruto must go must gooooo

  • @douglasomare147
    @douglasomare147 หลายเดือนก่อน +21

    We are not fools.

    • @WillisAli
      @WillisAli หลายเดือนก่อน

      Nikama unajua sana mbona usijipeleke kotini kumtetea

    • @Samuelmusyimi-zy1ts
      @Samuelmusyimi-zy1ts หลายเดือนก่อน

      ..ww n mjinga ..haga

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 หลายเดือนก่อน +16

    Hawa watu hawajauliwa 2022 urongo

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 หลายเดือนก่อน +17

    Huu ni urongo huu ni urongo mnaamua kudanganywa na serikali hawa watu wameuliwa after maandamano yaani hizi wiki za maandamano tu baada ya watu wametulia ndomili zimeanza kufuata familia spirit zimeanza kufuata familia halafu hapo watu wanakuja kudanganywa eti ameua sijui baada ya miaka miwili urongo

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 หลายเดือนก่อน +10

    We are not fools mbona Quarry iwekwe moto kama mshukiwa yuko ndni???na hio place ni crime scene it was supposed to be protected?? By who???dci n police...sisi sio wajinga bana

  • @Travelwithfred
    @Travelwithfred หลายเดือนก่อน +6

    Kwa NYUMBA Kwani haikunuka kwa KIJIJI ??uwongoo

  • @mokayamokaya3015
    @mokayamokaya3015 หลายเดือนก่อน +22

    Kweli tuna bebwa ufala

    • @LumonyeCatherine
      @LumonyeCatherine หลายเดือนก่อน

      Sijafurahia hii maneno mbona wanadanganyia mtoto wa mtu pili hawajaonyesha akionge surely huonguo kilo ngapi hii Hawa watu waende kuzimu

  • @wanzetselsalasya6369
    @wanzetselsalasya6369 หลายเดือนก่อน +3

    STOP! using this man as a scapegoat.Huyu amelipwa kujitwika msalaba usiokuwa wake.

  • @violetnyaramba4110
    @violetnyaramba4110 หลายเดือนก่อน +8

    Just a quick question...alikua anawaua anawakata ..anawaacha wakauke ndio awatupe?all that time harufu haikua inatoka kwa io nyumba ..coz i know one starts to smell as from three days...ama alikua na formalin pia?

  • @alicewangari7147
    @alicewangari7147 หลายเดือนก่อน +3

    Nani anaweza kujiweka kwa ngori kama hii this must be a serial killer, devil agent, Lord have mercy on us

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m หลายเดือนก่อน +24

    Sijai ona ujinga kenya kama huu..
    Ruto must go

    • @LumonyeCatherine
      @LumonyeCatherine หลายเดือนก่อน +1

      Aki atoke mbona wazazi wa huyo bibi wake hawajatokea hata waseme kitu jamani

  • @zunirasalim7660
    @zunirasalim7660 หลายเดือนก่อน +6

    Sasa uchunguzi gani ya fanywa na wamepata evidence 😢😢😢auliwe n yeye

    • @osungasamsonosunga8771
      @osungasamsonosunga8771 หลายเดือนก่อน

      They are going to court tomorrow not to prosecute the killer, but to ask for more time to do investigation. Hahaaa Kenya!

  • @renmwenda8874
    @renmwenda8874 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani bado mnatuchocha....

  • @dunna1663
    @dunna1663 หลายเดือนก่อน +2

    Uwongo tu wa polisi wa Ruto!!amelipwa huyu khalisa,condolences to the families of our fallen Heroes and Heroins ❤

  • @gamemaster5933
    @gamemaster5933 หลายเดือนก่อน +3

    Ata ingekuwa mm nigekubali kweli , tunabebwa aje bana surely

  • @_.Queen_Aiisha_ross
    @_.Queen_Aiisha_ross หลายเดือนก่อน +3

    How come reporters haven’t gone to talk to he’s neighbors and look for he’s family

  • @mouriceochieng9002
    @mouriceochieng9002 หลายเดือนก่อน +8

    Uwongooo mtupu😂😂😂😂😂

  • @annyleycoyney7622
    @annyleycoyney7622 หลายเดือนก่อน +3

    Citizen Khalisi Collins is dead since last year 😅😅😅Ruto should know lack of job has made us all Kenyans to be computer scientists bila kwenda shule details zinapatika zote za lies even for Rutos lies😂😂

  • @xetrahbooboo3492
    @xetrahbooboo3492 หลายเดือนก่อน +3

    Justice 😢

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 หลายเดือนก่อน +4

    Huyo kijana apelekwee hosipitali kwanzaa b4 CID waonge wakiwa na police

  • @stephenthinguri3414
    @stephenthinguri3414 หลายเดือนก่อน +3

    'Citizen' lying out of fear is still lying... Stop this foolishness people have lost loved ones....

  • @martinkithome8540
    @martinkithome8540 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂
    These people actually think we are dumb and stupid trying to cover their tracks!

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 หลายเดือนก่อน +1

    Hii story too kutokea Kwa wale waliona Kwa ndoto Ady haapa inakaa too script but ijachorwa poa ....how comes that 2022 aliuwa Bibi Yake na ata ajawai shikwa wala kuripotiwa mahali ...kwani anaishi dunia gani yenye unauwa then uko too free styles...Aaarg shit this nonsense away.....inakaa too script flani ijaenda shule..C muite too akina Butita na Abel Mtua waandikie script...Ubaya ya kupea Njugush awaandikie script

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m หลายเดือนก่อน +4

    Huyumtu hata afya hana.
    Alishika nani akau...
    Si niumaskini Ndio wamemtoa chambo

    • @boazwambua387
      @boazwambua387 หลายเดือนก่อน +3

      @@user-wr9kt8mz1m his face says it all. He is completely innocent. Kuna deal wanafanya hapa na yeye.

  • @NancyNgugi-hd8yr
    @NancyNgugi-hd8yr หลายเดือนก่อน +3

    Rotten government.police all are sick shindweee shindweee .kabisa

  • @dukenyaberi6968
    @dukenyaberi6968 หลายเดือนก่อน +3

    Cooked stories nkt

  • @neptuneplutonium86
    @neptuneplutonium86 หลายเดือนก่อน

    Serikali ni waongo sana,hizo vitu vyote sijui simu,vitambulisho n.k...ni polisi wamemuekelea tu,wakichunguza hivyo vitambulisho watapata ni zile zilizopotezwa na watu...serikali inauj7a mchezo huo na hiyo ni mbaya sanà...poor Kenyans being played kweupe mchana,so sad😢😢😢

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 หลายเดือนก่อน +9

    Namba za simu alitoa wapi safaricom pia inahusika ID hii kitu mumewekelea tu haka kajamaa lakini serikali inahusika na mauaji ya waandamanaji kama vile tulikuwa tunaona polisi anashoot live bullets watoto waliopigwa risasi nane na yule mtoto aliyepigwa raba bullets rex masai akiuliwa kwa hivyo haka kajamaa kamekelewa lakini haya ni mauaji ya polisi wale walikuwa wamecover nyuso zao

  • @anto-yh5bs
    @anto-yh5bs หลายเดือนก่อน +4

    Kweli tunabebwa ufala 😅😅...

  • @williammutiso4340
    @williammutiso4340 หลายเดือนก่อน +1

    😂hii kunyoa ni ya polisi tu ,hapa mnapangwa tu

  • @jamescharles3730
    @jamescharles3730 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu zangu miili hiyo mbn ni ya wanawake je mnataka kuamini kuwa serikali ililenga kuwaua wanawake? Ndugu zetu wakenya tulieni na muishi kwa amani tunaumia sana tunapoona hakuna amani kenya

    • @kingkevin442
      @kingkevin442 หลายเดือนก่อน

      Hujaelewa bro hao ni watu waliuliwa wakati wa maandmano wananchi wakapata hizo mwili Sasa serikali inajaribu kuficha ukweli Kwa kudanganya ati ilikuwa kazi ya muuaji not them.

  • @suz89ken
    @suz89ken หลายเดือนก่อน +3

    Trying to prove a narrative. DCI cover-up on it's best

  • @OmondiAira
    @OmondiAira หลายเดือนก่อน +5

    Governments wamepanga uwuongo

  • @ongedoosungawanangayo3055
    @ongedoosungawanangayo3055 หลายเดือนก่อน +1

    Is it not strange that Rachel Ruto spoke on Sunday about abuse of women and the same day DCI comes up with a culprit what coincidence

  • @joeukim2173
    @joeukim2173 หลายเดือนก่อน +1

    This is likely to be true kwa nini wote ni kina mama......this isnt maandamano ..but all in all ruto must go

  • @soniinyambu512
    @soniinyambu512 หลายเดือนก่อน

    Atutaki kuchezewa msitufunge macho 😢😢mbona Rita waeni aliuliwa kasarani na mbaka Sasa hivi amjawai jua ni nanii atutaki kuchezewa 😢😢

  • @bensonmbithi5754
    @bensonmbithi5754 หลายเดือนก่อน +2

    Story zingine wacheni kupigia wakenya juu tunahisi kubebwa ufala

  • @NancyMutindi
    @NancyMutindi หลายเดือนก่อน +1

    Apa kuna uwongo mkubwa sana sasa kma alianza kuua watu 2022 kufikia sai watu 40 hao watu wote amewauwa aje akiwa pekeyake???? lazima kuna wenye alikua nao

  • @nicksmambo8047
    @nicksmambo8047 หลายเดือนก่อน

    Huyu hata kuku hawezi kuua,Ruto you must go

  • @AntinetaOwino
    @AntinetaOwino หลายเดือนก่อน

    No trick will convince us Ruto must Go

  • @dantimnjugunqnjuguna4136
    @dantimnjugunqnjuguna4136 หลายเดือนก่อน +1

    yaani mnatuona wajinga io design...cant believe yaani hii government imeona ma fala...so apparently amepatikana after bodies were discovered ??kudos DCI...now tell us who murdered the innocent youths during maandamanos since you so quick in your investigations...kumbafu nyinyi..mafi ya kuku

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 หลายเดือนก่อน +1

    Kama ninavyoona wengi wa Wakenya hawaamini serikali hata kidogo. Niliona jana vijana wakitafuta miili katika eneo la dampo bila msaada wowote wa polisi. Very strange indeed.

  • @cleo4782
    @cleo4782 หลายเดือนก่อน

    The way it usually takes DCI long to carry investigations ...howcome this one has happened so fast...everything so organised...kutucheza ufala😂😂😂😂

  • @soniinyambu512
    @soniinyambu512 หลายเดือนก่อน

    Akuna uyu ni mtu wa ugandatu ametafutwa 😢😢ndio tusijue ukweli ata izo majina wakaaji wa uko wazijui na wajawai skia izo majina

  • @Kipkemboi-vd9nf
    @Kipkemboi-vd9nf หลายเดือนก่อน

    Haiwezekani police officers ndio wali uwa hao watu DCI isitu bebe ufala

  • @markmbirithi4155
    @markmbirithi4155 หลายเดือนก่อน

    You could have shown us a video of him confessing to crimes..??

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi1588 หลายเดือนก่อน

    How does it come everything kina happen mnasema Raisi ndiye kafanya true mna dhambi kubwa mtaangamia wote.

  • @oulasyano3855
    @oulasyano3855 หลายเดือนก่อน

    Feeling fooled with 50M others😂😂💔

  • @edwinsafi7016
    @edwinsafi7016 หลายเดือนก่อน

    It's very shameful for the media and police officers to give to the nation such report

  • @raphaeloloo9641
    @raphaeloloo9641 หลายเดือนก่อน +2

    Si yy waache story za danganya toto amelipwa tayari na mushatia moto apo mufute ushaidi kware

  • @moseslaizar843
    @moseslaizar843 หลายเดือนก่อน

    hapo mimi sisemi kitu inacho shangaza kabisa sawa alianza na mke wake kwani mke wake akua na familia kabisa amutafute😢

  • @duncanmusyoki5920
    @duncanmusyoki5920 หลายเดือนก่อน +3

    Ata huyu jamaa awezi uwa kuku 😂😂

    • @brettamulei
      @brettamulei หลายเดือนก่อน

      Walai kumbe umeona😂 serekari bana

  • @joycenyakundi3605
    @joycenyakundi3605 หลายเดือนก่อน +1

    PATHOLOGICAL LIES. RUTO MUST GO

  • @orianagaiko8971
    @orianagaiko8971 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢can he talk for himself juu weeeeh ata mgondi hawajatoa maji lakini mshukiwa ameshikwa😂😂

  • @mikeyoung5847
    @mikeyoung5847 หลายเดือนก่อน +2

    Not making sense

  • @Ankaramaina95
    @Ankaramaina95 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna..huyu janguu amelipwa..Mimi sijai daganywa..hao washukiwa wanashikangwa tu baada ama..kadanganye wengine

  • @IbrahimAli-b4e
    @IbrahimAli-b4e หลายเดือนก่อน

    Government of Kenya trying to cover up,kwani huyu mtu mmoja atauwa watu almost 50 pekee yake,really? Are we kids? just come out clean

  • @bonnymatheka352
    @bonnymatheka352 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ni uongo,collo namjua hawezi ua hata kombamwiko.alafu kuna hizo chandarua zimetumika kufungia miili,collins atakuwa alizitoa wapi

  • @martoo539
    @martoo539 หลายเดือนก่อน

    Kjanaaaa😆😆😆hi serikali inadaganya kila kitu😂😂😂

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano1 หลายเดือนก่อน

    You mean nobody has ever seen him carrying the bodies from 2022 upto date? It doesn't add up😡

  • @Jane-vh1ep
    @Jane-vh1ep หลายเดือนก่อน

    Hawa wanaongea na kina nani...wana adress kina nani sasa juu haiezi kuwa ni Sisi jameni🚮

  • @user-mb3ww7wx5m
    @user-mb3ww7wx5m หลายเดือนก่อน

    Colling hapo amesain mkataba aseme yeye ndio muhusika kisha iishe hvyo
    Na afungwe miaka kadhaa akuje kutoka akakule mshahara wake au hata ataftiwe visa aende ulaya akaishi huko but sahy make mkijua jamaa alifungwa maisha yake yote

  • @kaibungarose
    @kaibungarose หลายเดือนก่อน

    We Gen Z are DCI graduate stop this stage managing

  • @paulmuasya6261
    @paulmuasya6261 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo bibi yake ana jamaa nzake?

  • @pamelaopiyo5590
    @pamelaopiyo5590 หลายเดือนก่อน

    These people ain't tired of lying?💔😏

  • @AfriKan-Nazi
    @AfriKan-Nazi หลายเดือนก่อน +5

    Mnalipa ngapi mniekelee pia @butcherofsugoi

  • @dafinesmailo1984
    @dafinesmailo1984 หลายเดือนก่อน

    Huyu amejitoa mwanga kulipwa ili akubali mambo ya uwongo sijui amelipwa ngapi🤔🤔🤔

  • @TradeIQ_Profits
    @TradeIQ_Profits หลายเดือนก่อน

    Headquarters of UNEP is NAIROBI...Maajabu

  • @steveogwenyo5615
    @steveogwenyo5615 หลายเดือนก่อน +6

    Uongo mtupu

  • @bonnymatheka352
    @bonnymatheka352 หลายเดือนก่อน

    Hapa ni kupakwa tunapakwa rangi jamaa,itabidi tumetii😂😂

  • @Middlechld_ke
    @Middlechld_ke หลายเดือนก่อน

    RUTO MUST BE PLOTTING THIS

  • @brayoist
    @brayoist หลายเดือนก่อน +2

    Pure lies

  • @lucywanja-ft2fx
    @lucywanja-ft2fx หลายเดือนก่อน +2

    Huyu amelipwa pesa ngapi

  • @halimaadan3412
    @halimaadan3412 หลายเดือนก่อน

    subhanallah huyu mnyama walai😢

  • @tpsybartender158
    @tpsybartender158 หลายเดือนก่อน

    Anyone from that area that knows this man?

  • @nancyhunja915
    @nancyhunja915 หลายเดือนก่อน

    There is God in heaven who knows all but I like the idea of Kenya having the freedom that you can take one to court if you know the truth of a crime against you. There is a lot of bitterness in this case with people claiming it is not true and all are lies. If they know the truth they should have taken the case to court to avoid being cheated. God is not happy with false witnesses so avoid too much noise and pray for God's judgement.

  • @lostboy2608
    @lostboy2608 หลายเดือนก่อน

    New mandamano is needed. Yani wanamushika one day after bodies zimepatikana? Why hajashikwa since 2022? Means some police officers wako na yeye. And i think this is not the killer. Yahi hiyo police station hapo iko na kazi gani?
    Kenyans stand up for your lives.

  • @user-mv9ql7yg5b
    @user-mv9ql7yg5b หลายเดือนก่อน

    Ruto na serikari Yako Mungu anawaona😮

  • @OmondiAira
    @OmondiAira หลายเดือนก่อน +6

    Uwuongo uwuongo

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk หลายเดือนก่อน

    Mbona hii DCI wamepata ushahidi ama suspect mapema but Shakahola massacre not yet 😅😅😅😅

  • @musangige5
    @musangige5 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwa ndoto ata kama nimeishi kupata E maths 😂 hapo apana

  • @almasiactivateprinceofpeac6737
    @almasiactivateprinceofpeac6737 หลายเดือนก่อน

    Kwanza hio tong haijavaliwa😅😅 uongo hio tutaanguka na nyingi😢

  • @MM-gh8wb
    @MM-gh8wb หลายเดือนก่อน

    How long does a body take to decompose ?. Dead body from 2022

  • @PatriciaMwinambo
    @PatriciaMwinambo หลายเดือนก่อน

    Stop misleading us, is it Khalisia or Khalusha, these are two different people

  • @juwatv1789
    @juwatv1789 หลายเดือนก่อน +2

    Kesho tunaanguka nayeye

  • @johnnderi4324
    @johnnderi4324 หลายเดือนก่อน

    Can someone start by telling us the who was present during the confession? Or is it only the dci thugs,was he forced or did he confess willingly? I am not asking this because i support that heinous act,but we need yo get to the root of it,i dont trust dci with any investigation