MAOMBI YA WAJAWAZITO by Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- MAOMBI YA WAJAWAZITO by Innocent Morris
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
TH-cam Link:
/ holyspiritconnect
Nashukuru sana maombi haya nmejifngua salama nilmaliza kusikiliza tu nikaenda leba nmejifngua salama mtoto wa kiume Asante sana Mchungaji kwa kuleta maombi haya Mungu akubaliki
Ameen ameeen. Mungu ni mwema sana sana. Haleluya 👏 👏 👏 👏
Hongera sana sana
Nmebarikiwa sana kwa maombi mtumishi wa Mungu.
Maombi haya yakawe ushuhuda kwa mke wangu mpendwa aliye labor.
Mwenyezi Mungu na amtendee wepesi aweze kutoka salama yeye na mtoto mtarajiwa.
Ninaomba na kushukuru kwa jina la Yesu... AMEN
Ameen ameeen ameeen
Mungu akubariki sana nina imani Mungu atatenda kwa ajiri yang tumbo lang halitakuwa wazi tena🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Ameen
Najikabidhi kwako eeh yesu wng ..uwe Nami adi mwisho ameen
Asante Sana kaka Innocent kwa Maombi haya, Nilikuwa nikisali kila siku kipindi cha ujauzito wangu naye Mungu mwaminifu akanijaalia kupata uchungu wiki moja kabla ya due date na wakati ilidhaniwa sitapata uchungu hadi nifanyiwe induction..Mungu ni mwaminifu sana sana na nimejifungua salama kwa njia ya kawaida mtoto wa kiume Sifa na utukufu ni kwake YESU KRISTO👏🏼👏🏼🙏🙏🙏
Nimepoteza mtoto wa kwanza mwaka 2019 kwa tatizo la pressure na protein kwenye mkojo.... sasa nina ujauzito mwingine wa wiki 23 lakini pia nimegundulika nina protein kwenye mkojo...lakini pia nina maumivu makali sana upande wa moyo, natamani sana nijifungue salama mtoto huyu, naomba kupitia maombi yako Mungu akanifute machozi haya niliyonayo... aniondolee maradhi yote yanayonikumba kila ninapobeba ujauzito... namuomba Mungu kupitia maombi yako nimalize hii safari salama kwa mafanikio na ushindi mkubwa! Amen🙏🏽
Ameen ameeen. Mungu akubariki sana sana
Unitangulie Yesu 🙏 ehh Mungu wangu najikabidhi kwako Amen 🙏
Nashukuru sana baba yangu kwa maombi haya ulio ya weka kwa njia ya mtandao nimeyaweka nikiwa leba nimejifunguwa salama
Ee Mungu nione na mimi, nijifungue salama nakataa roho za operation kwenye mwili wangu , Amen 🙏
Bwana Yesu asifiwe ninakila sababu ya kumshukuru MUNGU na kushuhudia Kwa maombi haya nimejifungua salama
Amen iwe baraka kwangu mimba ikue nijifungue salma MUNGU aniweke mbali na mauti
Naamin kwa jina la yesu mwanangu atakuwa salama kwa uwezo wa Mungu Baba na Mwana Na Roho mtakatifu Amen 🙏🙏🙏
Amina mtumishi wa mung kwa jina la yesu kristo ninaamini mimba yangu itakua salam ninaweka ulinzi wako damu yako takatifu ikamkinge na hatar zote
Kwa jina la Yesu Kristo. Maombi haya yakawe ushuhuda kwa Binti yangu Caroline, aliyeko labour ward akisubiri kujifungua. Amina
Nimepokea kujifungua salama kwa jina la yesu
Huwa nafatilia sana maombi yako nashukur sanaa kwa maomb yako usituache sisi wanawakee wajawazito ameen🙏🙏🙏🙏
Pokea nguvu mke wangu Mage ujifungue salama katika jina la yesu Amen 🙏
Ameen ameeen
Naamini nimepokea baraka katika uzao wangu kwajinalayesu christu aminaaaaaa.
Asante sana mchungaji Mwenyezi Mungu akubaliki Nina mimba ya miezi saba nanusu Mwenyezi Mungu akanibariki mtoto wa kiume Amen🙏🙏🙏
Asante mwenyezi mungu anifungulie njia zangu mwanangu akuekatika njia salama bila shida mungu nione
Asantee sana mtumishi wa mungu nimefatilia maombi yako nimeona mkono wa bwana yaan nimejifungua salam kabisa bila shida yoyote
Ameen
Ntajifungua salam na mtoto wangu atakuwa salam kila mtu alie sema siku ya mm kujifungua ntakufa mm na mtoto wangu kwa jina la yesu kristo ntajifungua salam mm na mtoto wangu
Napokea kujifungua Kwa uchungu wa kiebrania Kwa jina la yesu,
Kwakijina la yesu cristo maombi haya yawe kwa mke akiwa ward akisubiri kuzaa yawe yake in Jesus name amen
Asante pastor kwa maombi ,niko na ujauzito wa miezi mitano ninaomba mtoto Wangu nijifungue vizuri,nitaomba na pia nitafwatilia haya maombi hadi dakika ya mwisho nifurahi kushika mwanangu mikononi mwangu.
Nina iman katika yeye anitiaye nguvu
Ameen
Maombi haya yakawe ushuhuda LEO kwa mdogo WANGU aliyepo leba wodi anayesubiri kujifungua.
MUNGU wa mbinguni pekee akamsimamie. AMEN
Ameen ameeen
Ndo mara ya kwanza nimesikia maombi yenye mpangilio yalibeba isia Kwa jina la Yesu yewe uponyaji Kwa sisi wajawazito Dunia nzima Kwa jina la yesu
Nmepokea maombi ya kujifungua salama na mtoto kuwa salama amen
Nashukuru haya maombi yalinisaidia sana🙏
Ubarikiwe xana docta mungu akupe maixha marefuuuu nilivoxikia maombi yako najikuta moyo umetakasikaa
Amen 🙏 mtumishi wamngu kwamaombi yako naiman mngu atanisaidia mda wangu wakujifungua ntajifungua salama kabisa na mtoto wangu atatoka akiwamzima waafya nzur kabisa katika jina la yesu alie haii
Amina nami naamini kwanguvu ya Rohomtakatifu nitajifungua salama, barikiwa Mtumishi wa MUNGU.
Naamini katika jina la yesu Kristo ntatoka salama na mtoto wangu atatoka salama kwa jina la yesu Kristo 🙏🙏
Ameen ameeen
Mungu wa mbinguni akupe haja ya moyo wako katika jina la Yesu Kristo
Tunakuombea
Amen baba ubarikiwe unapatikana wap
Napokea mimi na mwanangu nanitajifungua salama katika jina la yesu amina
Mungu akubariki san Mchungaji wew ni yule umeagizwa na Mungu kusema n watu wake kwani tangu juz nahangaik mguu unaniuma sana nashindwa hata kunyanyua kitu kwa bahati nzuri naingia youtube nkutana na maombi haya naamni ni kwa neema ya Mungu na kwa mapenz yake mimi nipone na naamni kupitia maombi haya hii hali inakwenda kuacha kwa damu ya yesu.
Lakini na mimi piah napenda nitamke baraka juu yako mtumishi wa Mungu, Mungu akakubariki wew na familia yako akabariki kazi ya mikono yako na akaongeze pale ulipopungukiwa na uchumi wako ukakue kwa damu ya YESU Amina.
Ameen ameeen ameeen. Napokea kwa jina la Yesu Kristo, tena kwa unyenyekevu mkubwa. Mungu akubariki pia
@@holyspiritconnect Amen Amen 🙏🙏
Mungu napokea kijifungua salama kwa jina la Yesu
Amina mtumishi wa mungu namuombea mwanangu uzima na nikapate kujifungua salama kwa siku chache hizi zilizobakia 🙏🏾
Thanks mchungaj nimeomb n wew nimesikia faraj ndani moy wangu n nin mimb chang bado endelea kutuombea n tutaomb pmj n wew🙏
Nakataa magonjwa ya kuridhi kwa mtto wangu mtoto wangu atakuwa sawsaw na nitajifungua salam katika jina la yesu kirsto
Namshukuru Mungu nilisimamia maombi haya nikatoka salama mimi na mwanangu 🙏
Nimepokea nguvu mimi pamoja na mwanangu aliyeko tumboni naamin kila kitu kitaenda vzuri,asante Mchungaji
Mungu nisaidieee nikajifunguee salama kama wamama wakiebraniaa
Asante sana MTUMISHI mungu akubariki damu ya YESU imuzunguke mwanangu ktk jina la YESU kirsto ninaamini nguvu ya roho mtakatifu inatumika saa hii
Aimen napokea nikajifungue salama ktk jina la yesu
mungu ni mwema maombi yalinisahidia sana namshukuru sana mungu nipo na binti yangu
Asante sana mtsungaji mungu aku bariki piya
Kwajina la yesu aniokoe Mimi niendapo reba nijifungue salama
Napokea nguvu ya roho mtakatifu nikajifungue salama na mwanangu awe baraka kwa jina la yesu
Asantee Mchungaji , Nina mimba ya miez minne naamini nitajifungua salama na mwanangu atatoka mzima akiwa Hana shida yoyote
Ninamimba ya wk mmoja naomba mungu wangu ukae na mm kpndi chote na unilinde wakat wa kujifungua nijifungue salam mm na mtot wangu
Napokea kwa jina la yesu kristo nijifungue salama
On behalf of my dota who dropped from school because of pregnant, natarajia this December' or Jan. Nasimama kwa ajili yake katika Jina LA Yesu Kristo. Atajifungua kwa Amani.
Kuna wengi wameacha shule kwaajili ya ujauzito. Lakini sio mwisho, akijifungua anaweza kuendelea na shule bila shida. Tunamuombea Mungu ajifungue salama na kama ni umri mdogo asipate complications za kujifungua. Tunakuombea na wewe nguvu za kumtunza atakapojifungua.
Nakaribia kijifungua naomba mungu nijifungue salaam amin nirud nyumbn na mwanangu dam mung anisimamie
Naomba Mungu nijifungue salama na mwanangu awe salama
Amen Mungu naomba nijifungue salama🙏🙏🙏🙏
Asante mchungaji naomba uniombee nina mimba nimepitiliza siku zakujifungua mbili
Asante sana mchungaji nilipitiza siku za kujifungua lakini nikakufatilia ndani ya wk 1 nilisikiliza maombi yako kwa Imani mwenyezi mungu akanisaidia nimejifungua sala kwa njia ya kawaida mtoto wa kike kiukweli mungu akubariki sana
Ongela mama tuombei na cc tujifunguwe salama
Mungu a shukuriwe na bwana wetu yesu kristu .Pasta nina ujauzito naomba uniombee .nijifungue salama
Ninaamini Kwa maombi haya nitajifungua salama Kwa jina la Yesu na Kwa damu ya Yesu kristo wa Nazareth
naomba mimba yangu isitoke Kwa jina layesu roho zote zashetani nanguvu zagiza naziaribu kwa damu yayesu
Amen😊😊😊
Npo leba naomba maombi yko nijifungue salama
Mungu yu pamoja nawe utajifungua salama katika jina la Yesu Kristo
Amiiina mchungaji nimefarijika saana baada ya kusikiliza maombi haya
Napokea kwa jina la yesu nijifungue salama
Eee Mungu mwenyezi nisimamie baba nimalize mwendo salama
Asante sana mtumishi wa mungu kwa maombi mungu akubariki saana 🙏
napokea kwa jina la yesu
Amina mungu anisaidie nijifungue salama
8:26
Mungu anisaidie kwa kipind hki cha ujauzito
Asante pasta tuombeye kbisa Ninaoga mimba zotezinatokaga sinamtoto ninamtoto tumboni myezi 3 natak nione mkono wamungu namimi nizale kawangine
Nimeumwa uchungu na kupoa ni wiki sasa naamini mwpanangu atageuka,njia zitafunguka na nyonga pia nitaumwa uchungu na nitajifungua salama Amen 🙏
Naomb mungu anisaidie nijifungue salama mwez uu
Amina Mungu anisaidie nijifungue salama
Wawooo ninamimba ya wik 30 cjawai kukutana na maombi kama aya pokea uzma mwanangu yesu nisalidie nijifunguwe salama bila tatizo lote, mungu akubalik sana mama mungu mtumishi wamungu
Ameen mungu anijalie nijifungue salama bila uchung wa adhabu mung mlinde mwanang kwa damu yk
Ameen
Amen, Mungu akubariki Pastor kwa maombi
Eee mungu wangu na amin kwa jina la yesu nitazaha salama amen amen amen amen amen
Mchungaji naomba maombi presha yangu iwe sawa na nijifungue salama
Namuungamanisha mke wangu usiku huu akiwa Labour katika JINA LA YESU KRISTU NJIA IFUNGUKE NAKATAA URITHI WOTE WA MAGONJWA YOTE
Amina mungu anisaidie nijifungue salama
Na iwe heri kwangu Mtumishi wa Mungu, Kutoka 23:26
Hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba, wala aliye tasa, katika nchi yako; na hesabu ya siku zako nitaitimiza.
Naomba nipate miba yesu
Namuombea mwanangu yaliyo mwema ee mwenyezi mungu msimamie, muwekee mkono wako aweze kuwa salama🙏
Amina siku ikifika nikajifungue salama mwanangu
Mtumishi ubarikiwe nimejifungua salama utukufu Kwa Mungu
Wooow! Haleluya 👏 👏 👏 👏 👏
Hongera sana sana. Mungu awafunike kwa damu ya Yesu Kristo
Nina ujauzito wa miezi mitatu kasoro lakini nimeambiwa mimba inatishia kuharibika, naomba mungu anisaidie tatizo ili lipotee na niwe mzima na mimba yangu ikue na nijifungue salama. Ameen🙏
Nimepokea mtoto wangu utaishi hutokufa
Amen Amen Asante Yesu
Eeeee mungu wangu baba nina imani mimi na mtoto aliye tumboni mwangu tutakuwa wazima
Asante mchungaji nimepokea maombi yako
Natamka mema katika jina LA Yesu Kristo. Amen Amen. Naamini katika Jina LA Yesu Kristo. Junzi amekua Clinic akawa na shida ya upungufu wa damu. But now I trust in God ako sawa kabisa namushukuru Mungu kwa yote.
Ubalikiwe mtumishi wamungu mm nilikua Naomba naww naninaujauzito wamiezi 8 nanusu gafla nimepata kichefu chefu nakuanza kutapika naimani kunauponyaji nimepokea kupitia maombi Yako mwenyezi akubaliki sana n'a Pia mm nimwenyeji waburundi naitaji kuendelea kusaidiwa naww kwamaombi
Amen 🙏 nasimama kwa ajili yangu na sister yangu baba tubariki bless the fruit of our womb in Jesus name🙏
Ameni Mungu anitendee nijifungue salama
Ameen
Mungu akupe haja ya moyo wako katika jina la Yesu Kristo
Amen
Baraka katika maisha yangu. Namutakia mema katika Jina LA Yesu Kristo. Amin Amin Amin. Barikiwa zaidi Mtumishi wa Mungu aliye hai.
Asante san mcungaji
Nina omba bwana yesu Abariki mke Wang swaumu mbwana Aman watoto mapacha wawili wakiume
Amen kwajina la yesu kristo nitajifungua salama🙏🙏
Namshukuru Mungu kwa kuniongoza kuipata sala hii
Amina nakataa roho ya kuharibika mimba
Naomba Mungu nijifungue salama
Damu ya yesu inifunike iliniweze kujifungua salama