Nice song, huu wimbo naupenda sana nakumbuka kipindi nikiwa primary my Aunt alikuwa mwimba kwaya, walikuwa wanashindana kuimba na huu wimbo ulikuwa kila kwaya lazima waimbe, basi alikuwa ananichukua tunaenda kwenye mashindano na tunarudi na ushindi, Get well soon my Aunt, umenikumbusha mbali sana, Tembea na Yesu upone Aunt yangu
Wimbo huu ulikuwa ukiniamsha kila Alfajiri kupitia Redio Tumaini nikiwa kidato cha nne na tano 2003-2005 Pugu Sekondari. Tangu wakati nilipousikia sijawahi kuuchoka. Mungu atubariki.
Huu wimbo ni wa Kinabii, ni wa Kimbingu, namtukuza Mungu kwaajili ya hufuma yenu Watumishi. Mungu Awawezeshe Duniani mudumu katika furaha ya Bwana na milele katika Ufalme wake... Nawapenda, Nimependa sauti na Ujumbe tangu nilipokuwa mdogo miaka 5-7 hadi leo Miaka 27 huu wimbo bado ninaupenda. Leo nmeuona machozi ya furaha yamekuja. Hakika Injili ni uweza wa Bwana Uletao wokovu, Tuingie katika njia ya Injili na tukaze Mwendo.
Wimbo mtam wa enzi na enzi...mpaka nimekuwa mtu mzima leo,nilikuwa nikiusikiliza niko mdogo ukipigwa nyumbani kwetu na wazazi wangu,MUNGU NI MWEMA hadi leo nainjoy
As we navigate towards the end of times foretold by the prophets, we shall Miss the purity of everything, including the purity of the Gospel songs, since everything is contaminated, everything.
Huu wimbo unanikumbusha mbali Sana baba yangu alicheza kwenye harusi ya dada yangu kwa furaha Sana Basi tukienda sehemu yoyote tukiusikia lzm tumkumbuke baba alivyokuwa anacheza kwa madaha na furaha kwa kushuhudia harusi ya binti yake lkn kwasasa wote hawapo duniani dah pumzika kwa amani baba yangu Sylvester Robert Mushi na dada yangu Evelyn Sylvester Mushi🙏🙏🙏
Namkumbuka marehem mke wa mwalimu wangu JANI wa Tumbi primary, mama neema, hata siku alipokwenda kufanyiwa upasuaji alituaga akiimba wimbo huu, hakuamka tena baada ya operation, kila ukiimbwa kamwe siachi kumkumbuka, bado nakupenda sana kipenzi huko uliko, maana nawe ulitupenda sana ulipokuwa duniani, Rest in peace dear
This song reminds me of my mama, Tutaonana asubuhi iliyo njema mama angu..endelea kupumzika kwa amani
Apumzike Kwa Amani.
Nice song, huu wimbo naupenda sana nakumbuka kipindi nikiwa primary my Aunt alikuwa mwimba kwaya, walikuwa wanashindana kuimba na huu wimbo ulikuwa kila kwaya lazima waimbe, basi alikuwa ananichukua tunaenda kwenye mashindano na tunarudi na ushindi, Get well soon my Aunt, umenikumbusha mbali sana, Tembea na Yesu upone Aunt yangu
Amina
Ata mm mamaangu alikua ni muimbaji wa kwaya wakiimbaga hii nyimbo nakumbuka mbli cn
Mm nilikuwa katika Safu ya waimbaji chini ya mwalimu MSUYA.. cant imagine nilikuwa ndio nimemaliza std 7... Niliimba sauti ya 4
Yes! Ulikuwa ndo wa kuingia....hatari sana
This song reminds me much about my good past life while I was at Yombo Lutheran church early in year 1997
Daaah machozi yanatoka kwa furaha kumbukumbu za zamani sanaaaaa mbarikiwe mnooooo
Wimbo wangu pendwa 🙏🙏
Can't get enough of this song. Very uplifting. God bless this choir.
This song reminds me my experience as student at AGAPE LUTHERAN JUNIOR SEMINARY. Best school for our kids and tanzanian youth generation at large. 🔥
I was coming here to comment the same 😆. Long live the memories and the learnings we got from Agape🔥
Wameomba vizuri,na kuonyesha maisha ,mengine baada ya ulimwengu huu,unaochakaa kwa haraka I ❤it
Wimbo huu ulikuwa ukiniamsha kila Alfajiri kupitia Redio Tumaini nikiwa kidato cha nne na tano 2003-2005 Pugu Sekondari. Tangu wakati nilipousikia sijawahi kuuchoka. Mungu atubariki.
Hapa mtoe version mpya tena kali kama hii big up
This song never fades up l have been listening to it for many many years it is always new:
Huu wimbo ni wa Kinabii, ni wa Kimbingu, namtukuza Mungu kwaajili ya hufuma yenu Watumishi. Mungu Awawezeshe Duniani mudumu katika furaha ya Bwana na milele katika Ufalme wake...
Nawapenda, Nimependa sauti na Ujumbe tangu nilipokuwa mdogo miaka 5-7 hadi leo Miaka 27 huu wimbo bado ninaupenda.
Leo nmeuona machozi ya furaha yamekuja. Hakika Injili ni uweza wa Bwana Uletao wokovu, Tuingie katika njia ya Injili na tukaze Mwendo.
Great memories. As I can see my Dad singing nice n happily. God bless you all.
I miss my dady tooooooo😢😢😢😢
Classic song 2021 naipenda
Well nmeutafuta sana huu wimbo ghafla tu nimeupata, nostalgia.
😂❤Barikiwa
naupenda mnooo
Kitambo sana RTD huu wimbo kila jumapili sa nane /tisa ulikuwa unapigwa na John Kamoyo
Wow ! Just WOW !! Sweet memories !
Mungu nisamehe dhambi zangu
Always loved this song, classic one with good memories. Ninatembea imara 2022
Nawapenda bure Wana wa Mungu mwema
Mmeimba vizuri sana
Wimbo mtam wa enzi na enzi...mpaka nimekuwa mtu mzima leo,nilikuwa nikiusikiliza niko mdogo ukipigwa nyumbani kwetu na wazazi wangu,MUNGU NI MWEMA hadi leo nainjoy
Kweli kila jambo lina wakati wake... Mungu ni Mwema Wakati Wote.
May the Lord God bless you so much for the good work you are doing
Kwa kweli m'barikiwe MNO. Nyimbo zenu zinabariki sana. Album zinapatikanaje....DVD
Barikiwa kwa nyimbo zenu nzuri zenye utukufu.
Jina la bwana libalikiwe milele AMINA 🙏🙏🙏
In lovely memory of my late father who passed away 15 years ago.......he used to love this song
Nice song, nakumbuka miaka nikiwa kijana,hakika kutembea na Yesu Kuna faida,
I never get enough of this peace. It was well articulated.
2022 still listening
Hongereni sana Kwaya ya KKKT - KIMARA.
I really love this song❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Tutafikia lini furaha yake bwana barikiwa wanakwaya
Ninaingia furahani mwake Bwana Haleluya Amina..
Wow ❤❤❤
blessed are those who sing the song of praise like this
Hongreeeen sana watumishi wa mungu
Hakika Mungu ashukuriwe kwa wema wake
Those days at Mwika Sec❤
Safi kabisa, Mungu awabariki Sana
Mlitisha sanaa hongeleni
Nipo hapa 2023 still nikiuskia napata tabasamu haswa
Yani huwabarikiwa sana na huu wimbo. Mbarikiwe waimbaji.
My favourite song
Nabarikiwa mno na huu wimbo
Hakika naipenda hii nyimbo
NAFURAHI SANA WAPENDWA
Gene unakumbuka wimbo wetu huu tuliimba sana.
Mungu awabaliki kwa ujumbe mzuri
Nakumbuka St.Andrews Magomeni na Magomeni Lutheran (Mviringo)❤
Mungu awabariki sana ,nimekumbuka kipindi kile
Kabisa ndugu🎉
As we navigate towards the end of times foretold by the prophets, we shall Miss the purity of everything, including the purity of the Gospel songs, since everything is contaminated, everything.
Zamani sana nikiwa primary Kila siku upendo radio walikuwa wakiupiga
Nakumbka mbali sana hizi nyimbo ni hazina
Be blessed always
Huu wimbo unanikumbusha mbali Sana baba yangu alicheza kwenye harusi ya dada yangu kwa furaha Sana Basi tukienda sehemu yoyote tukiusikia lzm tumkumbuke baba alivyokuwa anacheza kwa madaha na furaha kwa kushuhudia harusi ya binti yake lkn kwasasa wote hawapo duniani dah pumzika kwa amani baba yangu Sylvester Robert Mushi na dada yangu Evelyn Sylvester Mushi🙏🙏🙏
Pole sana dear
2024 this song🤲🤲🤲
2021 ❤
I like this song😍😍
Kwa sana namuona Brian Decon sasa kipindi icho tuna amini huyo ndio Yesu weee hunitoi kwenye rel😅😅
Mbarikiwe sana Kwaya Kuu Sauti tamu
2054 still a hit
Daaah moyo wangu umeruka ruka
Nakumbuka kurasini st Maurice
Good song
Mungu awabariki sana
Mbarikiwe sana
Vijana wa ukwata walikua wakiimba hii nyimbo mpaka vinyweleo vinasimama
Namkumbuka marehem mke wa mwalimu wangu JANI wa Tumbi primary, mama neema, hata siku alipokwenda kufanyiwa upasuaji alituaga akiimba wimbo huu, hakuamka tena baada ya operation, kila ukiimbwa kamwe siachi kumkumbuka, bado nakupenda sana kipenzi huko uliko, maana nawe ulitupenda sana ulipokuwa duniani, Rest in peace dear
❤
❤❤2023
Good
Ni wimbo uliotungwa na kuimbwa kwa akili!
Sana❤
Nyimbo yangu pendwa
Lyrics please
Zuur
mwenye audio volume 11 anisaidie
Amen
❤❤
Manyama kwani Mungu aliumbia wasabato peke yao uimbaji mbona hiyo siyo ladha ya kisabato ulitakiwa umpe Mungu utukufu siyo kuipa sabato utukufu
Umeona ee kwa kweli MUNGU anasitahili atukuzwe
Amen
🙏
lyrics za huu wimbo napata wapi???
Ziko wapi hizo sauti tamu Sasa? Warithi wapo?
wapo karibu siku uje ututembelee usharikani
Nabarikiwa sanaaaa
wameimba
Ninyi ni wasabato ila bas tu
Yaan sijuiagi mnashida gani Wasabato. Mpe Mungu utukufu
Huo ndio uimbaji halisi wa Kkkt na ndio maaana ya kwaya kuu
@@juliethkipeja4791 hakika dada Julie hio ndo maana halis ya Kwaya Kuu
P
HUU WIMBO KWA SIKU NAUSKILZA MARA 7 YAAN UNANIFNYA NAISHI KWA AMANI SNAA MLITISHA SNAA MUNGU AWABARKI SNAA AMEN KINANDA KIMETULIA KWNYE MOYO SNAA
asante nimeitafuta sanaaaa
th-cam.com/video/d-3kQOSW-NIh/w-d-xo.htmlttps://th-cam.com/video/d-3kQOSW-NIh/w-d-xo.htmlttps://th-cam.com/video/d-3kQOSW-NI/w-d-xo.html
Atari sana hii pini
Nakumbuka kurasini st Maurice
❤️