Waimbaji wameutendea haki. Nota Zina mpangilio msafi sana na maudhui yanagusa the emerging and the trending issues in the current world. Major thematic areas in the modern world especially youths is depression. This song speaks volumes to them, kabla wanafunzi wangu niwafunze watauskiza. Mbuya ughucha mura weito❤
My friend Mwita ,huu wimbo uko na ujumbe mzuri,ai sing it and yet enjoy the rythm .Mungu azidi kukukuzaa na kukupa maidea kibao.You my Hun Director,Agripinus Mungu azidi bariki kazi za mikono .. Hongereni probstudios choir ,fabuluous work
Amos nikajuaga ww wa kishua kumbe siyo😂😂.. May God bless you Mwita ba waimbaji wote I can't stop listening to this master peace. Umekuja wakati muafaka
Wow! Huu wimbo aiseee mzuri yaan uko 🔥🔥🔥
Bonge moja la ngoma, mwenye kufanikisha mawasiliano na mtunzi anisaidie ninashida na copy
Kali sana mnatufariji 🎉🎉🎉🎉
Amina...Hizi ndizo nyimbo sasa.....Nyimbo za Ukombozi na Ushindi... Isaack unakujaaa...njoo kaka...Mungu akuongoze daima....Pro studio🎉🎉🎉🎉
Asante saaana mkuuuuuu. Jitume utafanikiwa😅😅😅
You are a blessing.. thanks
Radio Maria Ksm
Ndo yeye,mwita mtumishi.
I wish to praise Lord as mwita do.
Awesome. Much respect from Kenya 🇰🇪. Awesome song
Wimbo mzuri sana umenibariki haswaa 🙏🙏 sijaandikiwa kushindwa nimeandikiwa kushinda muhimu nijitume nitafanikiwa
Wooooooh
Wow,what a nice song...being blessed
Waoooh 🔥🔥🔥
❤❤❤
Such a nice song, tujifunze kijituma na Mungu atatusaidia. Be blessed
🎉🎉🔥 🔥
Lazima wanafunzi wangu wasikilize wimbo huu,wajitume kabisa. Ahsante
Saaaaafi saaaaana
Nabarikiwa mnooo. Hongereni sana kwa nyimbo na tone nzuri. Ukatoliki baba lao, mzuri mtamu sana
Hiii sasa 🔥🔥🔥🔥❤️❤️💒kazi njema wainjilishaji mbalikiwe sana 🙏
Great song - hongera sana
My good people always following you. God bless you for the good work you are doing
Ur most welcome.. And be blessed
Amina amina
Hongereni
Waimbaji wameutendea haki. Nota Zina mpangilio msafi sana na maudhui yanagusa the emerging and the trending issues in the current world. Major thematic areas in the modern world especially youths is depression. This song speaks volumes to them, kabla wanafunzi wangu niwafunze watauskiza.
Mbuya ughucha mura weito❤
Fantastic song
hongereni sana Kwa utume, Mungu awabariki, Bado tunatazama kazi hii
Song of the year
Amina❤❤🙏🙏
Kazi safi❤
Kaz nzuri barikiwa sana
Ni hatari 🔥🔥🙌 Composer Maestro Mwita 😊🙌..The Director 😊🙌...Ila Pro Studio 🔥🔥😍
Yaaaaniiii hahahaha
Mziki una funzo kwa kweli ....isak mwita wauchukua mkondo mpya katika utunzi ....heko kaka
Fireeeee❤❤❤❤❤❤congrats waimbaji,mtunzi,na pro studios huna kazi mbaya big up😊😊
Asanteee
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🙏🏻🙏🏻
My friend Mwita ,huu wimbo uko na ujumbe mzuri,ai sing it and yet enjoy the rythm .Mungu azidi kukukuzaa na kukupa maidea kibao.You my Hun Director,Agripinus Mungu azidi bariki kazi za mikono .. Hongereni probstudios choir ,fabuluous work
Asante saaana ubarikiweee
Nawaombea Kwa Mungu ili muendelee kutunga nyimbo nzuri Kama huu, kwa huu wimbo hakika, mmeimba, Bonge la wimbo, Wimbo wa mwaka❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amina
Good performance mwita
Fantastic @Mwita and the crew
Very beautiful encouraging song....sote ni washindi tukijutuma
A great song muita and the team . Keep going. God bless your talents
A nice song
Nice work 🎉🎉🎉🎉🎉
The song is so lit💥good work mtunzi na waimbaji❤
Wee jitume💪Mzee mwenye Halali Yake🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌷🌺👌
Nashukuru mkuu Mungu ni mwema
The best ❤
Hongera kwa kazi mzuri. #Jitume 2024
I am addicted to this song.Someone help me😂
Daaah Mungu akuinue zaidi na zaidi yaani ni Baraka tu
Amina
🎉 🎉🎉🎉🎉 chukua Maua yako Kabisa
Wimbo wa Ushindi, unatia Nguvu ya kusonga mbele. UTUKUFU kwa MUNGU na pongezi nyingi kwa mtunzi na waimbaji wote bila kusahau watu wa vyombo
Tunashukuru sana na ubarikiwe
Kazi yangu bola bola
Inspirational song💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji huu 🙏
Hongereni sana wimbo bora sana maudhui sana
Shukrani saana
Huu ni utunzi bora kwa karne,waimbaji wameutendea haki wimbo huu pasina kusahau watayarishaji wake … mibaraka iwe juu yenu wote mlioshiriki
Shukrani sana ndugu. Ubarikiwe sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯
😭😭❤🙏🙏
❤
Ndiyooo 🎉🎉🎉
Jamaaani huu ndio wimbo Sasa Isaack umekuwa wapi hizi siku zote 😢Asanteee I feeeel strengthened to keep going💪💪💪💪💪
Keep going
@@mutongoreprostudios asante
Kumbe you are also a follower.......tuendelee kubarikiwa kupitia kwa hizi nyimbo tamu
@@isaacmakau9450 sanaaaa
I like this
Nice
Thanks
powerful music🥰🥰
Amazing sana
Good song bro ❤️❤️❤️
Waooh the good song🌹❤️
Very Beautiful Song
❤❤❤❤
Amazing 🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwita oyeeee
Pamoja sana
@@mwitaisack95823:08 ❤
Great 👍 👌 👍
Stay connected
Wow, ❤
Amos nikajuaga ww wa kishua kumbe siyo😂😂.. May God bless you Mwita ba waimbaji wote I can't stop listening to this master peace. Umekuja wakati muafaka
Sante Leo upogo
Thank you so much Leonida
Can't stop listening to the song 🎉🎉
Nilikua naisubir Kwa hamu kubwa sana
Enjoy music mtamu
Kaka upo vizuri sana ..hongera sana..Mbona muziki wake Kaka hujauweka bado Swahili Muziki @@mwitaisack9582
Hakika huu wimbo umenibariki@bro natamani nipate copy please
Naomba copy hii please
Check whatsapp 0744558606
Mtunzi umetunga wimbo mzuri sana wa hamasa, waimbaji wameutendea haki sana.umekuwa ni moja ya nyimbo zangu Bora kabisa.
Zidi kubarikiwa
Nice
Thanks