Aziz ni kweli alikuwa dodoma na diarra walialikwa na Antony Mavunde kwenye mech ya hisani tena akatupia attrck 2 na mipira yote 2 kamzawadia mheshimiwa
Mzee Said shida mliitengeneza wenyewe, mlipoanza kutangaza mnajiunga na fei kuomba afunge magori mengi. Na sasa mngekuwa ninyi na magori mengi mngeshika nafasi ya pili.
Saido akitoka Simba wewe Mzeh utakusa kiki unamuongeleya Saido sababu ni mcezaji mkubwa subiri iko siko Saido.atakuliza tumuaciye Mungu ndo mgawaji wa riski Saido unaomba apewe thanks kuliko wacezaji wote lakini umesahau kama top score ntangu anze kucezeya Simba
Msimu wa pili mfululizo yeye ndo top scorer wa makolo .... Raha ya saidoo 10 + kwa Kila msimu .. Tena ni kiungo mshambualiji mwenye uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi .... Pass za mwisho - pass goal
mwambie mzee said asikope pesa ya kuku ntamtumia mimi siku saidoo anapewa THANK YOU
Mimi ni mtu wa yanga napenda nimtumie gift 🎁 Mzee Saidi
Saidoo tayr bado jobe ili mzee saidi aanze kunenepa😅😅😅
Najua mzee said kuanza Sasa utakuwa na furaha sana❤❤❤❤
Huyu Mzee Uwaga Ananitowa Stress Kwa Kwelii❤🎉😂😂
Saido naye kapewa THANK YOU
Chagamba mtafutie mzee Saidi matangazo anajuwa sana kutufursisha
Aziz ni kweli alikuwa dodoma na diarra walialikwa na Antony Mavunde kwenye mech ya hisani tena akatupia attrck 2 na mipira yote 2 kamzawadia mheshimiwa
Ilikuwa lini hiyo
@@Carolina-sm5zt juz tu ni siku tatu zimepita
Yeah ni kweli kabisa JOHN BOKO anastahiri kuagwa na kwa heshima
Chagamba huyu mzee inabd umzingatie anatufanya ni moja kati ya watu wanaokupa content na moja ya watu wanaofanya tukufatilie😊🎉🎉🎉
Kweli kbsa😂😂😂😂
Ni kweli kabsa, tuko wengi sana, amshikilie sana mzee saidi mwingine ni miraji, media nyingine wakimpandia dau tu ni hatar😅
Kweli kabisa
Kweli kabisa me leo sikuwa na mpango wakunua bando nliposikia mzee said kajojiwa nimenunua chap😅
Me naomba kujua, hiv mzee said huwa anapata chochote akihojiwa au mamagwemamagweee 😅
saido ashaagwa jamn Mzee wetu
kama umechoka kuongea funga kipindi tuondoke😂😂mzee said lawuuuu kaongeza mkataba costo😂
Oya chagamba naomba nitumie namba ya mzee said napenda sana kumsikia huyu mzee
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ xana mzeeehe said nakukubali
Kaka Chagamba nakufananisha sana ivi sekondari umesomea Mkoa wa Tabora au maana machoni sio mgeni
Saido Tayari akapewa thank you ,Tunakula wapi kuku mzee Saidi
Mzee said kama umechoka kuongea nawew funga kipind tuondooke😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🤩🤩🤩🤩
Ambaye ameambiwa atakuwepo sana ni pa omar jobe ngunguz anasema kuvunja mkataba wake ni vigum
Simba nguvu moja
Mzee saidi anaita hamisa mobeto 😂😂😂😂
Number ya huyu mzee naomba nimtumie hela ya kuku
Hafu Mzee kama komedi iv mana uongeaji wake mpaka ucheke
Haya ni mahojiano bora sana kwakweli
Mzee said heshima yako!! Nahakikisha namaliza kaz zngu zote ndo naanza kumuanglia Mzee said
😂😂 mzee said nimechoka kuomba no yako kwa chagamba
Chagamba anatukosea sana
Jina sasa shughuli dah mzee side bwana eti anamkono mrefu😅😅😅
Haya saidoo tayari kesho nenda kwa mzee said
Mzee said chonde asije kufungiwa
Ile siku mzee saidi atakuwamba makofi chagamba utajua haujui 😅😅
Chagamba bhana 😂😂 yaaani unapenda sana kumchanganya mzee side 😅😅😅
Pape ndaw Mr hirizo
Saidoo kasepa mzee saidy mnyamwezi mwenzangu
mzee Saidi hta nami naumwaaaaaa😅😅😅
😅 maguguja
Mzee said mbona mkunde mlimtupa yanga wakamkota na sasa boko
TUNASUBIRI YA SAIDO 😅😅😅
"THANK YOU SAIDOO" Tunao msubiri mzee Said tujuane hapa!
Jamani tumchangie Mzee said apate hata gari la kutembelea ....huyu Huwa ananitoa stress
Hawatupi namba
Pole mzee said nikwel aupo vzul
Mzee saidi bana Jin aziz k😅😅
Saudade de vovó Saídi.
Naomba jaman Mzee Said peke yake ndio ahojiwa masuala ya mpira wetu😂😂😂
Mzee side kama side mnyamwez
Huyu mzee saa ingine khaa😂
Huyu mzee na saidoo dah!
Mzee kumbuka yule ni saidi ni somo wako
Mzee Said shida mliitengeneza wenyewe, mlipoanza kutangaza mnajiunga na fei kuomba afunge magori mengi. Na sasa mngekuwa ninyi na magori mengi mngeshika nafasi ya pili.
Mee said upo vizur
Mzee said umenichekesha
Huyu mzee aongezewe hela
CHAGAMBA MWAMBIE MZEE SAID KUWA SAIDO TEALI HUKU😂😂😂😂😂😂😂
Dah!
SUBUUUUTU....😅😂😂
Mzee Said shikamoo 🙏🙏🙏🙏😂😂😂😂
Mzeee Said ni mbeaaa😂😂😂😂🙌🙌
Magori siyo muhaya ni mkurya.
Yan mzee hapo kwa sakho mwenyew huwaga nakumbuka sana
Chagamba uyumzee anatutoa anatufariji manenoyake usimuaache
Nikionaga interview za huyu Mzee huwa na enjoy sana😂😂
Chagamba huyu Mzee usimuache tunamfuatilia sana Mzee said anaweza huyumzee anawanyosha
mzee said huyo kijana anakuliwaza tu chama tayali wanaume wamembeba amia na wewe yanga timu ya wanaume
Chagamba tupe namba ya mzee said bhana! Mzee saidi anatakiwa kuhojiwa akiwa na suti
Subutuu kinyamwezi kbsa ahaha
Ayaaaaaaa.......goli.......🤣🤣
Oya chagamba tuletee huyo mzee said saidoo uko tayali shuliyake ishaisha teal
Mzee said hongera uyanenayo swadakta allah akulinde akupe afya njema na umri mrefu lakini saido teyari kwisha habari yake kuku wetu vipi ss😂😂😂
😂😂😂
Mzee Said dua lako limesikika
Mzeee saidi
😂😂😂 kudokolana dokolona kwenye masimu yenu 😂😂😂
we radio mbao. ongea yote ila Freddy muache kabisa. uta TU gharim.
Masikini had huruma unamtetea fred!!!😂😂😂😂😂
Tunombe kashinda kuitaja😂😂😂😂😂
Mtangazaji wewe na mzee said tu
Changamba utakuja kumuua mzee said kwa presha
Nguvu moja😂😂😂
Mwambie mzee said keshaondoka ukoooo
Mimi Yanga, Yanga Daima ila nampenda sn huyu mzee Said pls Chagamba naomba number zake nimtumie zawadi yangu anifurahisha sn sn kwa kweli😂😂😂
Na mie nitumieni ya chagamba
Saidoo kulee
Naomba namba ya Mzee saidi nimtumie ela ya kula kuku
Hahahaha
moyo tulia mjini Kuna vya watu
Mzee saidi jamaniii tunakupenda tuu 😂nainjoi sana nikimuona mzee saidi kama unainjoi kama LIKE 10 😂😂😂
😅HUYO anaitwa PAPE NDAU
😂😂 mzee wa power bank
Mwamnyeto siyo mchezaji mkatae simba
Chagamba nitumie namba ya mzee said nataka nimtumie hela ya skukuu
😅
Maneno ni moshi 😂😂😂😂
Saido akitoka Simba wewe Mzeh utakusa kiki unamuongeleya Saido sababu ni mcezaji mkubwa subiri iko siko Saido.atakuliza tumuaciye Mungu ndo mgawaji wa riski Saido unaomba apewe thanks kuliko wacezaji wote lakini umesahau kama top score ntangu anze kucezeya Simba
Msimu wa pili mfululizo yeye ndo top scorer wa makolo .... Raha ya saidoo 10 + kwa Kila msimu .. Tena ni kiungo mshambualiji mwenye uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi .... Pass za mwisho - pass goal
andika kiswahili bhana wengine hatujui kilugha
Hajui kiswahili ndugu na sadoo
Wewe na maiki maiki na wewe
😂😂😂😂😂😂 haaaaa
😂😂
Boko apewe nafasi ya mangungu
Hahahhaahaa
Hiviiii Gambaaa mzee saida😂😂 unakumbukaa alikuwa ana😂😂 mupongezaa Jobe 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
Sema baba angu, nyie viongozi wa Simba mpeni Boko Heshima yake ya kumuaga rasmi kama mchezaji Bora wa Simba au Kwa kuwa ni mzawaaa
Chagamba naomba namba yako
0782100162
@@Finestonlinembona ya mzee said hutoi chagamba 😂😂
@@trice_yanga siruhusiwi kuweka namba ya mtu ninaemuhoji kwenye Umma ni ruhusa ya mwenye namba mwenyewe😂
Naomba kupatiwa namba ya mzee Saidi nina zawadi yake napendaga anavyochambua na kuongea kwake tafadhali. NAITWA ADAM. K.
Mpeni namba jamani
Chukua hiyo number hapo mpigie CHAGAMBA moja kwa moja atakupa namba yake kirahisi tu , tumkumbuke mzee Said .
Chagamba hili ombi tunampa kila siku hatekelezi