Huyu baba levo hafai hata kidogo asipojiangalia na yeye Mungu kamjalia watoto wakike wengi kuliko mwanaume. Baba levo ni chawa wa maafande mnabishana na chawa yani anautafuta uchawa mpaka ktk jambo lililogusa wananchi wote kweli. Hafai hata kidogo
Ujanja ukizidi mbele kiza. Baba levo anatafuta kk mpk kwenye issue seriously kama hizi akidhani kapewa seen ya kuingiza hapa. Hebu ajiangalie na ajitathimini upya hapo siyo mahara pa kuuzia sura
Kwani huyu baba levo ana elimu kiasi gani! Mbona jambo hili ni jepesi sana, polisi wanaficha ukweli kwa interest zao, wanalindana. Ni rahisi sana kumpata huyo afande anayedaiwa kuwatuma wabakaji. Sidhani kama huyu baba levo anajua hata maana ya neno afande
Haya hizo ndizo aina ya hoja zinazompa umaarufu Baba Levo😮😮Baba Levo hafai kusikilizwa katika jamii inayojitambua na kujiheshimu maana ni Mtu mzima hovyo😮😮😮
Hv baba levo huyo angekuwa binty yako na alisema afande nisamee leo wale vijana tena wengne ni askari cyo na wanamwambia amuombe msamaa boss wao leo waseme hawajatumwa ww utaridhika na hilo?
Alfu wasafi media mnapaswa muwe serious mada kama hii ipo serious sana alfu mnamuweka mtu ambaye ajitumbui kazi yake kupiga Kelele Baba levo uhuu sasa ni ujinga yaan mada ipo very serious mtu anatetea upuuzi like serious uyo baba levo angekuwa mwanamke angefanyiwa ivyo na awo jamaa alfu wana habari wangekuwa wanaongea kama anavyo ongea yeye ivyo simple tu kama anavyotetea upumbavu sijui ange jisikiaje sometime unavyo kuja kuongea issues kama hizi kaa na ujifikilie kama Ndio wewe limekukuta ilo jambo sio unakuja kupiga kelele na kubishana na Hoja unazo toa zisizo kuwa na maana
Baba levo yupo sawa lkn osca na Adela mna mihemko.kwa mfano hao vijana wakasema afande tulio mkusudia alikua kati Yao?kwasababu ukiwa hunacheo chochote myenye cheo hata Cha cpl atakua afande wako.tuvute subratuliache jeshi la polisi lufanye uchunguzi wa kina ili akipatikana muhusika awe wakweli sio wa kumsingizia
Acha kubishiana...tafta chanzo cha kufanyika kwa hilo tukio na hapo ndo mtamjua ni afande yupi. Waliofanya tukio wanamjua afande aliyewatuma...pia yule RPC Mallya anamfahamu pia. Hapo ni kulinda logo ya jeshi tu😢😢😢
Huyo baba Levo hajielewi na kama ana uzao alaaniwe na kizazi Chao wote. Anajifanya anakuja kumbe hajui lolote. HEBU ajiondoe kwenye huomjadala. Wabaki watu Wenye akili timam tuu.
Wasafi Media, ndo media pekee ya kipumbavu ambayo inakomalia vitu kama hvyo,kuna vitu vingi saana vya maendeleo hapa nchin vinafanyika ambavyo mnatakiwa kutangaza ili wananchi wajue, hamuwez kuwa kila muda mnaongelea huozo tu, hyo kazi waachie vyombo husika
wasafi fm sijui hawana watu wa vipindi maana siwaelewi kabisa kama huyu baba levo sijui wamemtoa wapi maana kwenye mpila hanaongea usenge kila siku bado hajalizika kesi ya huyu dada nae hanaongea usenge sasa sijui kwanini wanamuweka kwenye vipind inamana hawana mtu mwengine had wamuweke yeye
Babalevo kabla hajafungwa kule kigoma alikua na Akili nzur ila baada ya kufungwa hana tena akili maana amebaha sana anaogopa maana anahisi anaweza kurudishwa ndani.
Baba levo kumbuka hao ni majeshi sio raia kumbuka wanakuwa na mafunzo ya kutunza siri wanaweza hata kukubali kufa hawatoi siri cha msingi hapo kuna kulindana
Baba levo unawtoto wakike likikukuta ndio akili zitakukaa sawa utajua kuongea haki sahv ongea pumba huna machungu pia huenda unamaombi ya kuajiriwa police
Pia inawezekana hakuna cha Afande. Jamaani watu wangapi wamekamatwa na sare na silaha za Majeshi yetu wakifanya uhalifu. Muhimbili Dr bandia na sare. Tusiliingine sanaaaa jeshi la POLISI ktk upelelezi, hapo tayari kuna Raia kwa ujuwajiujuwaji hata huko Mahakamani watayaingilia. Sasa hivi kisheria kesi ipo Mahakamani mjadala huku ufungwe tusubiri maamuzi ya Mahakama kwa sasa
Huyu babalevo mnamlazimisha tu kuwa mtangazaji au mwanahabari huyu nimwanamziki jamani yeye hajui kabisa habari huyu wasafi mnabebabeba tu watu kwenye rediyo yenu
Me kwanza nashangaa huyu baba levo katokea wapi na kujifanya na yeye anachangia hii mada sahivi,mbona na mwenzie mwijaku na uchawa wao wa kupiga kelele hili jambo walikuwa wapo kimya me nilitegemea na hili suala wangelishikia bango kweli kweli haki ya huyu binti ipatikane km wanavopigaga kelele zao na hii wangepiga kelele hivyohivyo
Kila anowatetea wale washenzi basi mungu yupo na wananchi wapo wenye hasira Kali pia mkumbuke MNA WATOTO WENU KWAVILE HAUKUWA ULE UBAKAJI WAMTOTO WAKE MTU ANAONA KAM JAMBO DOGO SANA LILE ILA MUKUMBUKE WATOTO WENU HAZARANI KUSHINDA LA YULE BINTI AKA NYI MNA HURUMA GANI KWENYE USHENZI NA ULAWITI
Mbona kazi ndogo kwa polisi si wataichunguza cm ya msichana na wataona mawasiliano yake na mume wa Afande halafu watampata Afande naona mnazunguka sana
Mbona vitu vingine ni rahisi sana binti aseme alimfata nani kutoka yombo kwenda dodoma aliyefatwa ana mke alafu watu wachunguze huyo mke anafanya kazi gani wakikuta ni afande wamalizane nae sasa unataka kusema kwakuwa vijana wamekataa ndo kesi iishie hapo kwakuwa wamekataa baba levo wewe ulifungwa kwa ubishi usikute kesi yako ungeshinda ila kwakuwa ulileta uhanangwa kwenye maswala ya kisheria ukanyoa.
Oscar salute zako ...
Kinga yako sio ya nchi hii
Huyu baba levo hafai hata kidogo asipojiangalia na yeye Mungu kamjalia watoto wakike wengi kuliko mwanaume. Baba levo ni chawa wa maafande mnabishana na chawa yani anautafuta uchawa mpaka ktk jambo lililogusa wananchi wote kweli. Hafai hata kidogo
Ujanja ukizidi mbele kiza.
Baba levo anatafuta kk mpk kwenye issue seriously kama hizi akidhani kapewa seen ya kuingiza hapa. Hebu ajiangalie na ajitathimini upya hapo siyo mahara pa kuuzia sura
Baba levo kuma tuu anajifanya kuitetea ukuma sana acheni ukuma bobu awa wasenge wote wakamatwe
Nawe huwezi kuchangia bila matukano?
Acha matusi
Matusi ya nini sasa ndugu
Baba levo leo umezingua sana unabisha bila mpangilio kama upo kijiweni vile..Oscar Oscar una point sana hongera kwako
Osca ongera zako uko vzuri
Kwani huyu baba levo ana elimu kiasi gani! Mbona jambo hili ni jepesi sana, polisi wanaficha ukweli kwa interest zao, wanalindana. Ni rahisi sana kumpata huyo afande anayedaiwa kuwatuma wabakaji. Sidhani kama huyu baba levo anajua hata maana ya neno afande
Baba Levo una ubishi wa ukoo, kumbuka Polisi wanamhifadhi mhanga, huyu ndiye wapelelezi wanaweza kumtumia kubaini afande ambaye wabakaji walimtaka akamwombe msamaha.
Oscar your very true... Wewe baba levo acha utani kwavitu seriously
Na wasi wasi na IQ ya baba levo wallah
😢😢😢😢😢maguli wetu yuko wapi angetatua hili tazo
Baba levo upo sahihi sana 🤝🤝
Oscar Oscar nishakwelewa kwenye kesi ina muhusu afande na anakuja afande anasema yule binti ni kama anajiuza. Nishakwelewa sanaaaaaa❤
Ww baba Leo swala hili talent Yako kaa kimiya unakera unatetea upuuzi unajiabisha jambo liko wazi kama serkali itatenda haki
Baba levo ongea taratibu unawatoto wa kike,sijui unajaribu kutetea nini?? Haya mambo hayataki uchawa ,uliona wapi moto wa petrol ukazimwa na petrol
Binti ndioo mwenye kesi anamjua afande uyooo ndio kila kituuu bintii anafunga afandee
Facts
Binti ndio Kila kitu, kwisha habari
Baba levo respect sana
Leo ndo nimeliona pua la baba levo lilivyokubwa..😂
Umenifanya sana aisee😂😂😂😂
😂😂 mimi nawaambiaga hili jamaa hua ni lisenge
Baba levo hujui kazi ya police nenda kacheze kamali
Narudia..baba levo hajasoma ila ana akiri..iyo ni akiri kubwa san kielew..baba levo anaelewaa
Msichana atakuwa anamjua huyo Afande aliyeambiwa amwombe msamaha...so ni mwanzo mzuri wa kumjua huyo afande
Ilitokea akitishiwa na watu wasiojulikana atakubali kusema kitu mahakamani kweli jasa akifikiria what she went through ?
Baba Levo msenge sana ww unanitia hasira
Hahah😂 baba levo hauna kitu kichwan kaka ...Iyo kaz hapo studio cjui umeipataj aise
Jaman
Baba levo ua ni mtu wa akiri san hawa wengine sioni elimu hapo...baba levo anasema point
Baba levo ameharbu hali ya hewa ghafla.Mungu msaidie huyu baba ajitambue. Amejisahau sn. Amrudie Mungu.
Babalevo upeo wako mdogosana kumbe dah!!... Oscar una upeo mkubwa sana kaka Big up sana!
Hilo li babalevo ni takataka. Mhanga kafichwa ili kumlinda polisi. Huyo afande ndio anasababisha.
Baba levol unaharibu kipindi na unawazuia wenye nondo kuongea
Baba levo ndo unasababisha darasa lasaba waonekane hawana akili
Aliambiwa amuombe afande msamaha atasema ni afande gani itakua tu anamjua si atasema
Haya hizo ndizo aina ya hoja zinazompa umaarufu Baba Levo😮😮Baba Levo hafai kusikilizwa katika jamii inayojitambua na kujiheshimu maana ni Mtu mzima hovyo😮😮😮
Babalevo Leo Umezingua sana aiseee
Uyu baba levu chizi kua kubwa kama tanuli ngoja wamfanyie ivyo levo
Apo kuna kulindana iyo kesi iko wazi ila mkubwa hajambi
Hv baba levo huyo angekuwa binty yako na alisema afande nisamee leo wale vijana tena wengne ni askari cyo na wanamwambia amuombe msamaa boss wao leo waseme hawajatumwa ww utaridhika na hilo?
Na pia ata binty anamjua afande nani alimuomba msamaha 😢😢so msituchoshe na akili zenu za kujazwa kila cku😏😏😭😭🙌🙌
jamani tunaomba haowatu tuwaonyeshe tuwabake wote na alie watuma
Oscar nakukubali sana. Mapua anyamaze
Mlalamikaji si yupo?..uyo binti kama yupo hai anamjua uyo afande sio lazima awo washenzi waseme uyo binti anamjua uyo afande
Alfu wasafi media mnapaswa muwe serious mada kama hii ipo serious sana alfu mnamuweka mtu ambaye ajitumbui kazi yake kupiga Kelele Baba levo uhuu sasa ni ujinga yaan mada ipo very serious mtu anatetea upuuzi like serious uyo baba levo angekuwa mwanamke angefanyiwa ivyo na awo jamaa alfu wana habari wangekuwa wanaongea kama anavyo ongea yeye ivyo simple tu kama anavyotetea upumbavu sijui ange jisikiaje sometime unavyo kuja kuongea issues kama hizi kaa na ujifikilie kama Ndio wewe limekukuta ilo jambo sio unakuja kupiga kelele na kubishana na Hoja unazo toa zisizo kuwa na maana
Yani. Munguwangu
Kwa heshima ya WASAFI MEDIA,baba Levo angezimiwa MIC. Ana entertain vitu ambavyo siyo vya utani wala kutaka kiki.
Ila mm ningeshauri binti aliye fanyiwa kitendo hicho anazifaham sura yeye Ana weza kumaliza ili jambo
Bba levo kuma we unatetea nn hapo kila kitu kipo wazi mtu akiba tu anasakwa mbaka uvunguni hapo wanamrinda uyo hafande
Uyo mama levo kumamamake kweli kweli ajui kuzungumza kabisa uyu hanisi
Hiii kesi Mungu aingilie kati tuuu haki ipatkane
Wasijemkamata king of Moro afande king sele..wala hausiki
Baba levo yupo sawa lkn osca na Adela mna mihemko.kwa mfano hao vijana wakasema afande tulio mkusudia alikua kati Yao?kwasababu ukiwa hunacheo chochote myenye cheo hata Cha cpl atakua afande wako.tuvute subratuliache jeshi la polisi lufanye uchunguzi wa kina ili akipatikana muhusika awe wakweli sio wa kumsingizia
Acha kubishiana...tafta chanzo cha kufanyika kwa hilo tukio na hapo ndo mtamjua ni afande yupi. Waliofanya tukio wanamjua afande aliyewatuma...pia yule RPC Mallya anamfahamu pia. Hapo ni kulinda logo ya jeshi tu😢😢😢
Baba Levo kichwa hamna kabisa Police ni Taaluma kubwa na hakuna ugumu wowote wa kumpata Afande INGEKUA ..... ILA BASI
Wewe Baba levo umezaa watoto wakike hujuwi nini kitawatokea ‘ huyo bint anawazazi wake unadhani sasa hivi wanamaumivu gani’
Kumbe baba levo ndio mpuuzi hivi? Nilikua nampenda😢
Baba levo si chawa ngoja siku yamkute si anawatoto wa kike uyu
Baba levo daaah umetia haibu
Huyo baba Levo hajielewi na kama ana uzao alaaniwe na kizazi Chao wote. Anajifanya anakuja kumbe hajui lolote. HEBU ajiondoe kwenye huomjadala. Wabaki watu Wenye akili timam tuu.
Wasafi Media, ndo media pekee ya kipumbavu ambayo inakomalia vitu kama hvyo,kuna vitu vingi saana vya maendeleo hapa nchin vinafanyika ambavyo mnatakiwa kutangaza ili wananchi wajue, hamuwez kuwa kila muda mnaongelea huozo tu, hyo kazi waachie vyombo husika
Oscar nilikuwa nakuchukia lkn nimegundua nilikuwa nakosea sana
Kuanzia leo nakupenda sana
Huyu baba vore msenge tuu,angekuwa mwanae asingeongea upumbavu
wasafi fm sijui hawana watu wa vipindi maana siwaelewi kabisa kama huyu baba levo sijui wamemtoa wapi maana kwenye mpila hanaongea usenge kila siku bado hajalizika kesi ya huyu dada nae hanaongea usenge sasa sijui kwanini wanamuweka kwenye vipind inamana hawana mtu mwengine had wamuweke yeye
Babalevo shauri yako ucje ukajichanganya
Baba levo akili hana leo nmethibitisha
Mafundisho kibao kwenye sokomoko hili. Jamii nzima ina la kujifunza. Wote wake kwa waume. Yafaa tumrudie mungu.
Kweli ukubwa wa pua sio wingi...
Baba levo acha kelele maan sijaona point yako
Babalevo kabla hajafungwa kule kigoma alikua na Akili nzur ila baada ya kufungwa hana tena akili maana amebaha sana anaogopa maana anahisi anaweza kurudishwa ndani.
Baba levo kumbuka hao ni majeshi sio raia kumbuka wanakuwa na mafunzo ya kutunza siri wanaweza hata kukubali kufa hawatoi siri cha msingi hapo kuna kulindana
Ukute afande mwenyewe "Afande Sele"!😅
Baba Levo hapo Umezinguaa
Babalevo Zerooo kabisaa dah!!
Baba levo naomba namba ya da leti mimi farida
Ila huyu Baba Levo uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana swain xn huyu
Baba levo, nna wasi wasi na uwezo wake wa kufikiri😢
Iakini kama binti yupo kunashida gani ya ushahidi?
Baba levo huna akili kwani huyu bint SI anajua alikua anatembea na mme wa nani? Huna akili acha kutetea uovu
Kashalambiswa baba levo
Kwann huyo hint asimtaje Mume wa huyo afande kisha baada ya Hapo Ndo waanzie sasa
HUYU BABA LEVO MNAONAJE WANANCHI TU ORGANISE TUMCHANGIE AKAPUNGUZE HILO PUA UTURUKI MANA KAMA LINAMZIDI AKILI
Linavuta ela kila akihema😂😂
Baba levo unawtoto wakike likikukuta ndio akili zitakukaa sawa utajua kuongea haki sahv ongea pumba huna machungu pia huenda unamaombi ya kuajiriwa police
Pia inawezekana hakuna cha Afande.
Jamaani watu wangapi wamekamatwa na sare na silaha za Majeshi yetu wakifanya uhalifu.
Muhimbili Dr bandia na sare.
Tusiliingine sanaaaa jeshi la POLISI ktk upelelezi, hapo tayari kuna Raia kwa ujuwajiujuwaji hata huko Mahakamani watayaingilia.
Sasa hivi kisheria kesi ipo Mahakamani mjadala huku ufungwe tusubiri maamuzi ya Mahakama kwa sasa
Yeye ndiyo anajiuza huyo.
Baba levo acha ujinga wee
osca mshauli baba levo aache kutetea uwovu kitu kinajieleza tu kp wazi alafu anaanza kutafta visababu vya kz gn
Huyu babalevo mnamlazimisha tu kuwa mtangazaji au mwanahabari huyu nimwanamziki jamani yeye hajui kabisa habari huyu wasafi mnabebabeba tu watu kwenye rediyo yenu
Uyo baba levo me simuelewi
Miwani tu,kichwani hamna ki2
Huyo baba levo hata msingemuita hapo hana point hata moja
Huenda polisi mwenyewe niyule Mama Alie sema huyu anajiuza
Yaaan baba levo sijui kasomea wap uandish wa habari maaana ni mbishi balaaaa
Me kwanza nashangaa huyu baba levo katokea wapi na kujifanya na yeye anachangia hii mada sahivi,mbona na mwenzie mwijaku na uchawa wao wa kupiga kelele hili jambo walikuwa wapo kimya me nilitegemea na hili suala wangelishikia bango kweli kweli haki ya huyu binti ipatikane km wanavopigaga kelele zao na hii wangepiga kelele hivyohivyo
Baba levo anajichanganya hajui hata anachoongea
Kila anowatetea wale washenzi basi mungu yupo na wananchi wapo wenye hasira Kali pia mkumbuke MNA WATOTO WENU KWAVILE HAUKUWA ULE UBAKAJI WAMTOTO WAKE MTU ANAONA KAM JAMBO DOGO SANA LILE ILA MUKUMBUKE WATOTO WENU HAZARANI KUSHINDA LA YULE BINTI AKA NYI MNA HURUMA GANI KWENYE USHENZI NA ULAWITI
Mbona kazi ndogo kwa polisi si wataichunguza cm ya msichana na wataona mawasiliano yake na mume wa Afande halafu watampata Afande naona mnazunguka sana
Unaleta uchawa kwenye vitu vinavyoumiza mioyo ya Jamie ingekua alofanyiwa vitendo hivyo ni mama ako sijui kama ungeongea ivyo unavyo ongea
Yai vinzaaa...acha atetee ujinga....
Akipatikana huyo Mwanaume itafahamika mkewe ni nani
Huyu baba levo ni hopeless sijui hata hata familia yake anaiendesha vipi
FROM DUBAI BABA LEVO NI MSANII ANAFANYA NINI HAPO.🤔
Mbona vitu vingine ni rahisi sana binti aseme alimfata nani kutoka yombo kwenda dodoma aliyefatwa ana mke alafu watu wachunguze huyo mke anafanya kazi gani wakikuta ni afande wamalizane nae sasa unataka kusema kwakuwa vijana wamekataa ndo kesi iishie hapo kwakuwa wamekataa baba levo wewe ulifungwa kwa ubishi usikute kesi yako ungeshinda ila kwakuwa ulileta uhanangwa kwenye maswala ya kisheria ukanyoa.
Uyu babalevo ni mwananchi kweli au ndio Ubaya Ubwelaaah😂😂😂
Baba levo unasapoti uharifu afande hawezi kumuchunguza afande warakumkamata afande razimawamfiche afande
Hawawenzi kumtaja boss waooo😊
Watamtaja Tu ivi kukaa ndan laha
Baba levo ni afaiiii
Baba leve police wanataka kupoteza ushahidi kijana alofanyiwa anamjuwa afande na wale vijana wakibinywa watasema