Kukatishwa tamaa ni changamoto inayowakumba wengi ambao kimsingi Mungu anakuwa na kusudi nao na hiyo ni Kwa sababu Wana hiyo ziada ndani yao katika ulimwengu wa kiroho. I get you ☑️✔️☑️✔️☑️🙏
Ubarikiwe kwa USHUHUDA sio tu kuambiwa hujui Bali na kunyanyaswa kazini kudhulumiwa na unazibwa mdomo unaambiwa usifuatilie Haki wala kujaribu kuiulizia unaambiwa ukiendelea utafukuzwa kazi. MUNGU. aliyekuinua wewe atatuinua na sisi pia barikiwa sana mdogo wangu
Pole sana kaka mtumishi, dah! ila haya mambo ya STUDIO yamewakatisha tamaa wengi, tumepoteza waimbaji wengi kupitia NASAHA chovu za MAPRODUCER. tunamshukuru mungu kwa Upandikizo wa pando imara aliloliachilia ndani yako likimea pembeni mwa mafyekeo ya changamoto nyingi, kwa neema ya mungu tunaona umestawi hivi. MUNGU aendelee kuitunza huduma yako.
There's nothing impossible with God ,,when HE says yes no one can deny it,, God 's Grace was sufficient to you man of God,,Be blessed so much for this 🙏
Amen sana mttumishi wa Mungu ata nni kwa sasa napitia mambo mazito sana kwa uduma but nishindwa nifanye lipi kaka yangu natama skumoja tuh Mungu ataniinuwa kwaajili ya utukufu wake
Amina Ubarikiwe Sana Mtumishi Paul Clement kwa ushuhuda unaotukumbusha Ukuu wa Mungu...endelea kujinyenyekeza ndivyo unavyozidi kupandishwa Viwango🙏 🙌You're an inspiration and you're going places💯🙏🙏
My pick of the Month. God bless you, Paul Clement. Mungu aji funue kwako zaidi na zaidi. Merci beaucoup. Mungu Amefanya, Zawadi, and so on... this album is all the time ringing into my ears... you are blessed. songa mbele
Enyewe Mungu AMEFANYA 🙌🏾🙌🏾
Mara nyingi watu wanaokataliwa na wanadamu , Mungu anawainua juu sana, asante kaka nmejifunza kitu
Kweli Mungu uinua wanyonge
Studio zmenikatisha sna tamaa,ntaimba ila kwenda studio sdhani,bora niimbe kwaya daima na milele 🙏
Akijaja bure kimeacha kitu ndani yangu🙏🙏🙏🙏
Kukatishwa tamaa ni changamoto inayowakumba wengi ambao kimsingi Mungu anakuwa na kusudi nao na hiyo ni Kwa sababu Wana hiyo ziada ndani yao katika ulimwengu wa kiroho. I get you ☑️✔️☑️✔️☑️🙏
Kaka Bwana Yesu akutunze uendelee kufanya kazi ya Mungu🙏🙏 hakika hata Mimi wimbo wa amefanya Mungu umenibariki sana 🙏🙏
Ushuhuda mzuri sana, hakika Mungu pekee ndiye ajuaye mema aliyotuandalia, wanaomtumaini.
AMEN....KUBWAA....
Mungu azidi kukuinua🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️
Ubarikiwe kaka ushuhuda mzury ,nimejifunza kitu 🔥🔥
Ubarikiwe kwa USHUHUDA sio tu kuambiwa hujui Bali na kunyanyaswa kazini kudhulumiwa na unazibwa mdomo unaambiwa usifuatilie Haki wala kujaribu kuiulizia unaambiwa ukiendelea utafukuzwa kazi. MUNGU. aliyekuinua wewe atatuinua na sisi pia barikiwa sana mdogo wangu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Brother natamani sana kua kama wewe🙏
Pole sana kaka mtumishi, dah! ila haya mambo ya STUDIO yamewakatisha tamaa wengi, tumepoteza waimbaji wengi kupitia NASAHA chovu za MAPRODUCER. tunamshukuru mungu kwa Upandikizo wa pando imara aliloliachilia ndani yako likimea pembeni mwa mafyekeo ya changamoto nyingi, kwa neema ya mungu tunaona umestawi hivi. MUNGU aendelee kuitunza huduma yako.
🙌🙌🙌
Amefanya Mungu
It is such an amazing story a lesson to trust in God.
Amen
You are a great minister of the gospel.
Ww n man of God kaka nafatilia sana interview zako kaka n critical saana upo na roho saana
Pamoja na Mungu kila kitu kina wezekana zaidi kwa bidii atazidi kufanya makuu
Imewahi nikuta ata mim brother 😔
Thank youu
Amen amen ... BURUNDI we love you Sir and we love your songs 🇧🇮⚡😍
There's nothing impossible with God ,,when HE says yes no one can deny it,, God 's Grace was sufficient to you man of God,,Be blessed so much for this 🙏
Hakika ya Mungu ni makuu, Hallelujah
Jamani Paul Mungu akubariki tunakupenda Sana tunatamani Sana uinuliwe zaidi ya hapoin Jesus name amen
Amen sana mttumishi wa Mungu ata nni kwa sasa napitia mambo mazito sana kwa uduma but nishindwa nifanye lipi kaka yangu natama skumoja tuh Mungu ataniinuwa kwaajili ya utukufu wake
Dah powerful massage
Hakika mitazamo hiyo mara nyingi hujitokeza maishani kwa tunamini kuvuka ila Mungu ni mwema tunavuka, ubarikiwe brother kwa ushuhuda huu
Amen.
Am a number one fun of your Work Brother 🎉🎉🎉
Amefanya Mungu 🙌
Mungu akuzidishie neema. Wewe ni baraka
Aminaaaaaa sana hata kwangu atafanya🙏
Brouw 🙌🙌
Nitaendeleza ninayojifunza Toka kwako
Amefanya
My All time favourite Minister.. May God integrate your blessings 😊😊
Stay blessed brother Paul!
Amna kwa shuuda nzur
You are my Top Gospel Singer. Mungu akubariki sana
Amina Ubarikiwe Sana Mtumishi Paul Clement kwa ushuhuda unaotukumbusha Ukuu wa Mungu...endelea kujinyenyekeza ndivyo unavyozidi kupandishwa Viwango🙏 🙌You're an inspiration and you're going places💯🙏🙏
Hi🙏🌹🙏🙏🌹🙏
My pick of the Month. God bless you, Paul Clement. Mungu aji funue kwako zaidi na zaidi. Merci beaucoup. Mungu Amefanya, Zawadi, and so on... this album is all the time ringing into my ears... you are blessed. songa mbele
💪🙌
May God keep elevating you to new levels Minister Paul Clement. Your story is encouraging and your Songs are touching.
Part 2
Amen 🙌🙌
THANKS BROTHER
Nimebarikiwa brother
AMEN KAKA NIKUULIZE SWALI?
Ushuhuda wako umenigusa sana hata mm niliambiwa hivyo hivyo kuwa sijui kupiga drums now wananita wenyewe niwapigie drums japo sijui sana
😡😡😡😡