UBARIKIWE MNO MCHUNGAJI . WEWE UKO JUU ZAIDI. INJILI ZA KUBEMBELEZA WASHIRIKA WASIHAME NDIO ZINAZOENDELEA SASA. KWA MAKANISA MENGI. MUNGU AKUTUNZE. HUBIRI BABA WATU WAMJUE YESU.
Huo moto ambao Mungu kaweka ndani yako na aendelee kuuchochea kwa Jina la Yesu.. Tunamtaka yule Yesu wa jana Leo na hata milele, Mungu akubariki sana mchungaji
Kusuka nywere ni unyonga, mapambo ni unyonga, mapambo ya maua yaliyo tengenezwa na watu ni sanamu waumini achana na hayo nikuabudu miungu. Mchungaji fundisha waumini waachane na uovu huwo.
Na mm naitwa PHABIAN MATHEW nipo mwanza nilikuwa nasumbuliwa na jini mahaba kwa muda wa miaka kumi, leo wakati nimelala mchana nikaota baba mchungaji ananiambia niwe mkwel nimenunua bando nimeingia online nikakutana na Ibada ya kugeuzwa na nilikuwa nasumbuliwa na kichomi naendelee vizuri
Uamsho hauwezi kupatikana wakati Kanisa limejaa masanamu na vishuka utafikiri ni vile vyumba waisilamu vya majini au utafikiri ni vyumba vya sitarehe ya kidunia. Mchungaji ambia kanisa liachane nahayo.Ezkl 8:9-10
Pia nimebarikiwa sana mtumishi mungu aendelee kukutumia mungu atusaidie sana pia mchungaji nisaidie kuna kitu sijapenda sisi tuliookoka tunabaguana wengine wanajiona ndio wameokoka wengine hawajaokoka yaani dhehebu lingine ndiye watakatifu dhebulao ndio zuri nazungumzia watu tuliookoka kwa madhebu tofautitofauti tuliojazwa roho mtakatifu ubatizo wa maji mengi nisaidie mbona tunabaguana?
Kama imani ni moja juu ya kristo tunaamini juu ya roho mtakatifu na ubatizo mmoja anayejisifu haijui bibilia matatizo ya kanisa kma kanisa hayawezi chafua dhehebu zima
Barikiwa Sana Pastor Magembe mmebakia wachache wazee wetu, ambao kanisa linaweza kujivunia
AMINA SANA YESU KRISTO AKUTUMIE ZAIDI KUHUBIRI INJILI SAHIHI.
Amen Baba natamani nikuone kbs wewe ni mwarimu wangu
Asante mchungaji Moses magembe unatufundisha haswa neno lamungu naamini umefuata nyayo zawatangulizi wako Moses kulola Zacharia kakobe
Kwa kweli nikisikiliza sauti yako baba Imani yangu kwa Yesu inaongezeka maradufu
Bwana Yesu akutunze
Mungu naomba unisaidie
Mungu amekuweka kwa ajili ya "nyakati: hizi! Niko Arusha' napenda j :jumbe' zako! Mungu akulinde baba!
Amen, MUNGU athurumiye sana
Mungu akupe maisha marefu mchungaji , unatuhubiria injiri yenye nguvu za Mungu kwel kwel,
Asante mch kwa ujumbe mzuri,kweli miyoko yetu igeuke
Amina baba
Aminaa san
Habari za Yesu zinaleta rah amani na utulivu moyoni.a
Hakika
AMINA
UBARIKIWE MNO MCHUNGAJI . WEWE UKO JUU ZAIDI. INJILI ZA KUBEMBELEZA WASHIRIKA WASIHAME NDIO ZINAZOENDELEA SASA. KWA MAKANISA MENGI. MUNGU AKUTUNZE. HUBIRI BABA WATU WAMJUE YESU.
Niache nikupende mzee wangu, nichonge kwa neno la Mungu mi ni kijana nataka nitumike vyema
Huo moto ambao Mungu kaweka ndani yako na aendelee kuuchochea kwa Jina la Yesu.. Tunamtaka yule Yesu wa jana Leo na hata milele, Mungu akubariki sana mchungaji
YESU NISAIDIE NIWE CHOMBO KIPYA. UNITUMIE KATIKA HAKI NA UTAKATIFU...
Mungu nisaidie nimalize safar salama 😭😭😭
Amena nimepokeya uponyaji ktk jina la yesu kristo 🙏🙏🔥🔥🔥
Eliud Nafasi
Asante mchungaji kwa mafundisho yako mana na yame nisaidia Sana,,,
Amna mtumish nmejfunza ktu lzm nikubal kugeuzwa
Kusuka nywere ni unyonga, mapambo ni unyonga, mapambo ya maua yaliyo tengenezwa na watu ni sanamu waumini achana na hayo nikuabudu miungu. Mchungaji fundisha waumini waachane na uovu huwo.
Ubalikiwe sana Mungu amekusaza wewe kwa kazi maaalumu
Na mm naitwa PHABIAN MATHEW nipo mwanza nilikuwa nasumbuliwa na jini mahaba kwa muda wa miaka kumi, leo wakati nimelala mchana nikaota baba mchungaji ananiambia niwe mkwel nimenunua bando nimeingia online nikakutana na Ibada ya kugeuzwa na nilikuwa nasumbuliwa na kichomi naendelee vizuri
Umeshafunguliwa tyr
Namuogopa Mungu aseh 😭😭😭
Ujumbe mzuri Sana. Mungu akubariki Sana...!
Ubarikiwe, Mch, Mungu aendeleye kukutumia, tuendeleye kufaidia, utukufu umurudie Mungu 🙌🙌
Amina
Mungu akubariki sema ukweli baba tubadilike
Asante sana baba kwa neno ila tufanyeje ?kanisani tukisalimiana watu hawaitiki kwaajili ya chuki
Amina sana, nimebarikiwa sana kutoka hapa Zanzibar
Mchungaji kazia na hiri nalo nimuhimu zaidi sana. Nalo ni hili, mapambo yakusuka nywere na kupamba kanisa kwa vitambaa na maua hayo ni miungu.
aah!!! kanisa lisipandwe?
Amen,ubarikiwe baba
Nakupenda sana, Mungu akubariki na kukupa afya njema mchungaji
Amen mtumishi nimekuelewa 🙏🙏
Amina baba hiyo ndiyoo Injili kamili
Uamsho hauwezi kupatikana wakati Kanisa limejaa masanamu na vishuka utafikiri ni vile vyumba waisilamu vya majini au utafikiri ni vyumba vya sitarehe ya kidunia. Mchungaji ambia kanisa liachane nahayo.Ezkl 8:9-10
Hiyo yenyewe God bless you pastor
Barikiwa sana mtumishi
Hii nzuri. Mh...inatakiwa sana hii.
Mungu akubariki
Thanks my beloved pastor for Good work
Yes, nimepokea 🔥🔥🔥😭😭😭
😭😭😭😭 Turehem Baba
Acha kua kibao😭
God bless u for this powerful message
MUNGU naomba utugeuze.
Amen
Sema usiogope mtumishi wa mungu akutie nguvu ni kweli hali mbaya
Sema tupone
Pia nimebarikiwa sana mtumishi mungu aendelee kukutumia mungu atusaidie sana pia mchungaji nisaidie kuna kitu sijapenda sisi tuliookoka tunabaguana wengine wanajiona ndio wameokoka wengine hawajaokoka yaani dhehebu lingine ndiye watakatifu dhebulao ndio zuri nazungumzia watu tuliookoka kwa madhebu tofautitofauti tuliojazwa roho mtakatifu ubatizo wa maji mengi nisaidie mbona tunabaguana?
Kama imani ni moja juu ya kristo tunaamini juu ya roho mtakatifu na ubatizo mmoja anayejisifu haijui bibilia matatizo ya kanisa kma kanisa hayawezi chafua dhehebu zima
Sema Baba tupone
BBBzbJz
Mijitu imejaa ktk majumba ya maombez 🤣🤣🤣
Mungu akupe maisha marefu mchungaji , unatuhubiria injiri yenye nguvu za Mungu kwel kwel,
Amen
Amina
Amina
Amina
Amina