Ayubu 22;21 - Nataka nikujue sana, ili ndipoo hayo mema yatakapo nijiaa.... Kutoka 33; 18-19, neno WEMA WA MUNGU (Amekuonyesha Utukufu -Ukali, Mngao n. K) wake, ukimjua sana Mungu ndipo atajitokeza kwangu) - Umwema umwema kwangu ohhh - All my life u have been faithful, so so good, everybreath..... I will sing for the goodness of You God. Matendo 17;28 Mungu ndio Mwema, ajitambulushe kwangu. Amen. Ahsante sana Mtumishi. Mungu akubariki.
Watching live from Mombasa,, mtumishi wa mungu ubarikiwe imagine nilikua nakidonda kwa moyo ju yale ninayoyapitia ata baada ya kuomba mzigo unazidi kua mzito,,lakin kumbe nilikua nimeeka shda zangu mbele Bila uwepo wa mungu,,today is my first time to watch na kidonda ya moyo kimepona,,tunakukaribisha mombasa wakati ule ulikua Nairobi kwa Sarah k ulituletea habari kua imekamilika,,watu wa mombasa pia tunakukaribisha utuletee injili
Mungu akubariki sana Pastor Ipyana I’m so happy for what the Lord is doing through you I learn a lot Mungu akuweke miaka mingi na ubakie kutembea nae baya lisikupate
Nairobi twakupenda hata kama kiswahili kinatupiga chenga .Roho mtakatifu amekua msaada tunakufata. Worship is my weakness.More grace to you man of God.
pasiiii Nakupenda saaana im learning so much ...may God keep you always for the sake of my Generation ....mungu akujalie nikuone na kina DUnsin Oyekan mnafunza the same concepts in regards to worship.......asante sana love from KE
Zaburi 47;7 Luka 19;41-42 Hosea 4;6 Yohana 17;3 Waegeso 1;13 2 Paulo 1;3 - Nakupa utukufu na heshimaa wewe ni Mungu.... Mwanzo 1;28 - Nataka nikujui Yesu na nizidi kukufahamu..... Kutoka 32; 10-11 Kutoka 3; 7-9 - Wewe ni Mungu mtatua..... - Hosana ndiwe Mungu wangu hosana.... - Wakupewa sifa na Utukufu na heshima ni i Wewe, mwenye nguvu na uweza ni Wewe Bwana..... UAMSHO WA KURUDISHWA KTK NAFASI YANGU -EDEN. Waefeso 1;18
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Dr.Ipyana, aendelee kukuinua kwa utukufu wake.
Wow mafunuo mafunuo Dr -- You are quite deep! Keep it up ! May God lift your ministry to another level for His Glory👏
Bwana akusaidie sana Dr wewe ni baraka kwa generation hii
Ayubu 22;21
- Nataka nikujue sana, ili ndipoo hayo mema yatakapo nijiaa....
Kutoka 33; 18-19, neno WEMA WA MUNGU (Amekuonyesha Utukufu -Ukali, Mngao n. K) wake, ukimjua sana Mungu ndipo atajitokeza kwangu)
- Umwema umwema kwangu ohhh
- All my life u have been faithful, so so good, everybreath..... I will sing for the goodness of You God.
Matendo 17;28
Mungu ndio Mwema, ajitambulushe kwangu. Amen.
Ahsante sana Mtumishi. Mungu akubariki.
Watching live from Mombasa,, mtumishi wa mungu ubarikiwe imagine nilikua nakidonda kwa moyo ju yale ninayoyapitia ata baada ya kuomba mzigo unazidi kua mzito,,lakin kumbe nilikua nimeeka shda zangu mbele Bila uwepo wa mungu,,today is my first time to watch na kidonda ya moyo kimepona,,tunakukaribisha mombasa wakati ule ulikua Nairobi kwa Sarah k ulituletea habari kua imekamilika,,watu wa mombasa pia tunakukaribisha utuletee injili
Mungu akubariki sana Pastor Ipyana
I’m so happy for what the Lord is doing through you
I learn a lot
Mungu akuweke miaka mingi na ubakie kutembea nae baya lisikupate
Nairobi twakupenda hata kama kiswahili kinatupiga chenga .Roho mtakatifu amekua msaada tunakufata.
Worship is my weakness.More grace to you man of God.
pasiiii Nakupenda saaana im learning so much ...may God keep you always for the sake of my Generation ....mungu akujalie nikuone na kina DUnsin Oyekan mnafunza the same concepts in regards to worship.......asante sana love from KE
Mungu akubariki sana mtumishi dr ipyana
Sikuwahi kujua kama huwa unapreach pia l thank God to bless you this much
Love you doc,keep it up!May the lord keep and uphold you in Jesus name I pray!
Zaburi 47;7
Luka 19;41-42
Hosea 4;6
Yohana 17;3
Waegeso 1;13
2 Paulo 1;3
- Nakupa utukufu na heshimaa wewe ni Mungu....
Mwanzo 1;28
- Nataka nikujui Yesu na nizidi kukufahamu.....
Kutoka 32; 10-11
Kutoka 3; 7-9
- Wewe ni Mungu mtatua.....
- Hosana ndiwe Mungu wangu hosana....
- Wakupewa sifa na Utukufu na heshima ni i Wewe, mwenye nguvu na uweza ni Wewe Bwana.....
UAMSHO WA KURUDISHWA KTK NAFASI YANGU -EDEN.
Waefeso 1;18
Screenshoting this one ,thanks!
Glory to God
Praise God watu wa mungu tunaomba mtuombee huku kwetu kenya
Hakika Dr ninabarikiwa na unavyofundisha Mungu akubariki sana
Mungu azidi kukuinua.
Be blessed Dr ipyana, Niko najifunza mengi sana kwakoo kaka,
God's grace upon you Dr
May God increase you more anointing amen 🙏
MUNGU akubariki na akukuze sana katk generation hii
Amen amen nabarikiwa sana utumishi wako Dr
Utukufu Mkuu kwa Bwana. Yesu
More grace each day daktari🎉
I am blessed @ Dr.Ipyana
This is deep and profound...
Ameen ..To God be the Glory
Asante 🙏wewe ni mwalimu haswaa 🙏
Zaburi 47;7- Maana Mungu ndiye mfalme wa dunia yote , Imbeni kwa akili.
Wow that's good for God ❤❤❤❤❤❤❤❤
I'm blessed Dr.Ipyana
More grace dr
Hallelujah
Amen
Mugu akutunze.
Ameeeeeeen❤❤❤❤❤❤❤❤
Ameen
....kumjua huyu aliye juu...aliye tupenda mwanzo...nisaidie niwe wa kusemezana nawewe....
🎉🎉🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪🔥🔥
Hallelujah