Pt1_"Yesu Aliniambia Anarudi hivi karibuni" USHUHUDA WA MUIMBAJI LIDYA MICHAEL:Ujumbe kwa waimbaji
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
God BLESS this channel nlikuw nkijua ntaenda mbinguni ila navozid kuskiza kwa kweli nlikuw NA shida hasa kujiremba 😢
Kumbe kujiremba ni shida
Hayo tumefunuliwa sana tu ,Wengine tumeshasalenda kwa YESU dunia kwa keri hunipati tena Nasema tena Hunipati tena Neema niliyopata kwa YESU yanitosha
Naungana na wewe. Nimeonyeshwa pia na nikasurrender upya kwa YESU. Tuombeane sana sana sana
Hongera mtumishi..songa mbele... Mie Ni mchungaji. Nimeufurahia ushuhudawako, uvumilivu wako..ukiwa Arusha tutafutane.. Wanawake Ni jeshi kubwa
Kweli ni ushuhhda wa kuje nga.Mungu atusaidie
Asante Lyidia kwa ushuhuda nimetiwa nguvu.Mungu awabariki sana promover Tv kwa kazi njema mnayofanya,Bwana atusaidie tumtii na kulishika neno lake kama ni maonyo Bwana anatuletea kupitia watumishi wake ni juu yetu kuyafanyia kazi na Mungu atusaidie.
Am in saudi arabia boss wangu alinipokonya simu toka nkanyage kwake its 1 yr and 4 months ila nkipewa simu mara moja kwa wiki promover hutumwa NA Mungu kunifungua.
Mungu atusaidie tuishi kama amependavyo na kufanya mapenzi yake...ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Sawa sawa dada wote alituambia mengi najinsi yakuomba
Kwa Yesu raha Jamani asikwambie mtu...Mimi pia Kuna watu walinifungia kwa maombi eti mimi ni pepo la beezbuli nimevamia ofisi ya mchungaji..kisa tu naingia kuombewa Mara kwa Mara
Amen
Yesu mwenyewe hakuwahi kuingia kanisani kumamayo
Mungu akubariki sana dada
Waimbaji wengi wa injili walishapotea kitambo aki saii wanamuimbia shetani hawamthamini tena MUNGU 😢😢😢😢😢
Yanii kwakwer
Tusome nenn Yesu Kristo alisema siku ya kuja kwake anayejua wala Malaika mbinguni isipokuwa Mungu Baba peke Yake ndio maana alitwambia kesheni katika kuomba wala hatujui Sana wala wakati
@@stellahmichael789amesema anakuja did she mention the day or year? Haya ni maonyo tu chunga usije ukawa kama tajiri mna atakuuliza Mungu je hukumuona huyo dada kwenye youtube?
Yesuuuu, ushuuda huu unafanana na wangu jamani, nilikuwa napigwa vita kanisni
Hata Mimi nlishapigwa vita mpaka na kiongoz lakin niliondoka hapo kanisani na Mungu alinipa kwingine
Amen napokea
May God forgive us our sins and remember us in his kingdom
Amen 😢
YESU anasema tuombe sana barikiwa mama
Mjumbe wa agano Duniani, amefundishwa na Mungu mwenyewe, imeandikwa na wote watakuwa wamefundishwa na MUNGU.
Wewe unamjua YESU au unaba Aisha watu. YESU KRISTO ameisharudi. Kama hujui.
Acha kudanganya watu jiufunze kwa mjumbe wa agano.
Jamani Mungu wetu anatutafuta kwa kila namna nikwasababu ana huruma nasisi.Tumgeukie natutubu naye ataturehemu.Amina
Watu warohoni mara nyingi huwa hatuekeweki huwa wanaona tuko kinyume na wao ,ila tunakakiwa kuwa majasiri tu tusiogope
Sure kama mm rafiki zangu hawanielewi mana salam hata za kawaida nashindwa kutype everyone ni bwana Yesu asifiwe and no one replies to me
Hallelujah! Kanisa inafaa liwe tayari kwa kurudi kwake Yesu Kristo.
Unalo andiko yesu alikuwa mkristo aw yesu aliwahi kuingia kanisani
Amen naamini BWANA
Amen mungu tuhurumiya nautusamehe
Njaa mbaya Sana
God blessing you promover tv amina
Amina barikiwa mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda wenye mafunzo
Amen 🙏
Nakutaman sana Bwana Yesu
YESU nizaidie niishi katika mapenzi yako
Yaani naumia hadi mchungaji anauliza lini ?sasa mataifa utawafundisha nini,Yesu anataka tuache dhambi, heshimuni jumbe za Yesu, enyi wachungaji wajulisheni hao waumin na waimbaji waache kujipamba ili waingie mbinguni, shetani amewavuta waimbaji mfano wanaimba wamevaa suruali, wengine wanatetea kuvaa suruali na mapambo hakika dada Mungu akufunue zaidi wafunguke
Amen mungu asidi kutufunulia
Mwenyezi Mungu atusamehe sana viongozi wa makanisa😭tutubu sana ,kila tunachokifanya kiwe kizuri au kibaya Bwana Yesu Kristo anatuona na anatujua.😢
Muombe Mungu ishallah utafanikiwa usimuombe yesu ni mtume tu tena kwa wana wa Israel
Hallelujah 🙏 AMEN SANAAAA
Mungu atusamehe maan hatuna utii mbele zake
MUNGU AKUTUNZE. USITETEREKE SONGA MBELE.
Mungu utusaidie ili siku ya unyakuo na sisi tuje tuone ufalme wako.
Dada muongo sana wewe yaani unangea upuuzi
Amina .Yesu utakarudi unikumbuke kwenye ufalme wako.
Ubarikiwe na Bwana, na sisi pia atubariki
Mungu akutie nguvu mutumishi wa Mungu.
Tunaomba YESU atusaidie kwaugumu wa mioyo yetu
Mama umetokea na mungu kwani ww mtume
Amina na uje ee bwana yesu🙏🙏🙏😭😭😭
JINSI YESU ANAVYOTUPENDA JAMANI HAMWONI???!!! HAMSIKIII ?TUNABEMBELEZWA NA MUNGU JAMANI TUTAJIBU NINI😭😭😭😭😭😭😭
Wewe wajidangaya mwenyewe yesu hakuhusu hata kidogo maana hajatumwa kwako
@@alzawahirabdallah2299 wewe amin unachoamin hapa umekuja kutafuta nn kama umuamin Bwana Yesu?
@@redempthatheobard4143 nimekuja kumtetea yesu muislamu mwenzetu kuuliza si ujinga km hujui uliza utajibiwa
@@redempthatheobard4143 unalo andiko yesu katumwa kwa kwako aw unalo andiko yesu alikuwa mkristo na alikuwa zehebu gani
MUNGU nisamee Eeeh mungu unipe moyo wakukutumikia❤🤲🤲
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu kwa kuongea kweli ya Kristo
Ubarikiwe sana kwa huo ujumbe
Kweli
Ubarikiwe sana mama angu
asante sana kwa ukumbusho huu
Ila kwa kweli nyakati hizi hebu aminini TU haya mnayo yasikia yenye kweli ya kristo maana ni yenye kweli na haki. Shuhuda no zaidi hats ya unabii.
Good bless you
Yesu kasharudi yuko tongareni kenya
Ubalikiweee
Hallelujah!!
Aminaa
Ubalikiwe uposahiii
Ameeni.
Ni MJUMBE WA AGANO pekee ndiye aliyepewa ufunuo wa ufalme wa mbinguni hapa Duniani,wengine wote ni waongo. Soma Isaya 41.1-4. Malaki3.1-6.
Mungu akubariki sana, Bwana aendelee kukutumia.
❤
Ubarikiwe sana dada kwa ushuhuda wako mzuri,lakini samahani kuna siri sijaielewa,nimewaona watu wengi ambao wanapelekwa kuonyeshwa jinsia ya kike,kwanini wakirudi nilazima wanafunga vitambaa vichwani mwao?
Yesu anakataza kujisuka ku blowdry nywele kupaka dye dawa NA kujipamba kwa ujumla thats why hata mi sai i have a headrap on my head
Kuvaa kitambaa kufunika kichwa ni ishara ya unyenyekevu kwa Mungu.
Jiulizeni mbona watumishi wote wakike wa mungu hawajirembi,ndio maana wote wanapinga kujiremba sio dhambi,basi jueni use of makeup it's a sin nanivyombo vya shetani
Yes hatufai kusuka kupaka makeup kuvaa vipuli wala nn just be natural the way God created you bila neema ya kuskiza promover ningeishia kuzimu i can interpret dreams am a pastor i speak to God but nlikuw najiremba yani snapchat NA simu kama ndio vilikuw abudio kwangu
Jesus is coming very soon
Hili kanisa linapatikana wapi hapa Kenya natamani sana kuokoka
Lol its a youtube channel not a church
Nawapigia fire 😂
Siku zote watumishi wa MUNGU wakweli hubezwa
Dini za ushuhuda wa uongo tumekuchokeni
Hujalazimshwa kusikiliza na kumaliza MB zako hutaki pita mbali subiri Siku utakapokutana na Yesu akitoa hukumu.Lakini nakushauri ni heri uokoke.
Kuokoka dunia , hebu nitajie kanisa yesu aliwahi kusali acheni kudanganywa
Nimeupenda Audax hajavaa Pete ya ndoa Bora na nyie mnaamini kinachoshuhudiwa
Kuvaa Pete sio dhambi ewe kipofu,wA Roho,hujasoma habali za Mwana mpotevu
@@bonifasiemanueli21 Pete ya ndoa imeandikwa wapi kwenye biblia
Mungu akubariki kwa kuwa muuazi ,Wala usikae kimya kwa sababu ya wanadamu kwa sababu hawawezi shidana na Mungu.
Ameen
Acha uongo hakuna yesu mchawi ni kanisaa mnalzimishwa mumkiri kilazima
The bible says ukiamini kwa moyo wako kuwa Mungu alimfufua yesu utaokoka sa sikubaliani n ww if you are forced unaangamia kwa kukosa maarifa read your bble
Maadamu umesikia tu itajulikana ama kweli au uongo
Mwenye kusikia asikie ujumbe umefka
Hivi karibuni lini tuambie embu tuwe makini na shuhuda zetu
Duh hiyo kola umevaa hujui YESU anarudi?
Wewe si ni mchungaji kabisa kweli hujui maana ya hilo fumbo la imani ama makusudi tu hutaki wengine nao washuhudie!Mungu akusamehe
@@Neemakilimba sio kwamba sijui nimeuliza swali karibuni lini kama alipewa na muda siku tarehe ndiyo nimejaribu kuuliza wewe umeelewaje, mtu wa Mungu, maana kuna mtu alisema ga meambiwa tarehe Yesu atarudi, tunajuwa kuwa Yesu atarudi mara ya pili kuchukuwa kanisa lake
@@jaridajeusi292 acha kutafakari kirahisi sms yangu wewe mtu wa Mungu, alafu unataka nitubu nini kuweni waelewa wa kile nimeuliza Swali rafiki
@@pastormalitiushuhuda9965 Kwa sababu yeye hajasema tarehe @pastor nafikiri hakusahu kusema inamaana hakuambiwa,hizi ni shuhuda kila mtu anachukua au kuacha sawa na vile Roho mtakatifu atakavyomshauri, huyo alietaja tar pia huenda ujumbe ulikua wa mtu flani,maana kuna mtu alisikiliza shuhuda zozote kati ya hizi halafu alishaondoka duniani lakini kama alitengeneza na MUNGU,si alisaidika? Tumtafute BWANA maadamu anapatikana,YESU KRISTO anarudi
Amen
Amen
Amen