HASHIM IBWE APONDA USHINDI WA YANGA SC | "AHMED ALLY NI MTOA ROHO.? | ATAMBA KUWAUA SIMBA KESHO...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ก.ย. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Mimi ni mpenzi wa yanga Bali Azam atachapwa na mtaani.
Kauli yako iwe ya kheri kwa Simba
Isije ikawa kinyume
Unachezesha midomo we shoga???.....kananikeraga haka kabana pua...kaitieni buggati akikabwili
Hashimu Ibwe... Unamponda Ahamedy Ally... Wakati unamgeza kuongea mpaka kucheka kwake kweli naamini semaji la caf mwalimu wenu.
Tunachotak niushindi2 ubaya ubwela
Uweke maneno ya ziadaaaa miwani itakua mizito
Kesho tutajua ukweli upo wapi
Wasemaji jmn 😅😅😅😅
ukosaw kaka
kk huogopi
Tunashinda simba 3 bin 0 azam FC
Amiin
Mbona kama unamuiga Ahmedi Ali mbwembwe na madaha yake akisema au nyie mnaonaje hili
Kabisaaa,Hiki Kinyambizi kina feel kuwa Ahmed Ally😂😂😂
Ahmed Ally ni Sayari nyingine
Acha kuapia na Kumtaja Mungu...kwenye mampira...Utafikili Wewe ndo Unacheza..
Viazam haviaminiki
Mungu ibariki simba Yetu
Ubaya ubwela❤❤❤
wwe ashm ibwe hunaonekana kuwa huieshim simba ila kesho utaieshim
Baada ya mechi sijui kama utaongea hivi
Nimerud baad ya mechi kaone 😂😂 ,ayom naomba umtafut huyu tena aongee kama hivi.alafu usikose kumtafuta semaji ahamedi ally
Nayakumbuka maneno yako Yale kabla hujaenda kucheza na APR na ulivyopigwa ukapotea. Ukatuponda sana sana ila kilichokupata huna hamu
Simba 2 -1
Tunza maneno mdogo wangu hii Simba haitabiriki kirahisi hivyo ulitabiria Simba kutolewa tangu mechi ya Libya hatujasahau😂
Tatizo azam hawana mipango ya nnje ya uwanja kama walio nayo hawa watan wawil...
Na hata kolo nae akicheza mpira wa uwanjan angeweza kupigika vizur tuuu
Pamoja nahayo sisi watu wa ubaya ubwela ni poit tatu tu hatutaki porojo nyingi mpira no dk 90
football inamatokeo katili xnaa Ivo basi dakika 90 zieshimiwe
Kistuli kinaongea
Aka PIMBI watu wa zamani tunaelewa Pimbi kazi zake
kusema kweli binafsi nawapenda san jamaa wasemaji hawa wa vilub vitatu(utatu mtakatifu)
Wakubet wekeni mizigo Azam anakula si chini ya goli mbili
club bingwa Africa ulijigamba ibwe mkagonwa na APR
Azam ina miaka ishirini kwenye league how..???
Hunaga Baya Mdogo wetu… Ila kesho tunakulamba
mbona ulishindwa kufurukuta kimataifa nimaneno ila vitendo a a
imbwe na Mau fundi nahisi ni ndugu maan ni fully comeddy😂
we nikajinga hujui hata kuongea kaka maneno yako hayana mashiko we nishoga nini
kesho utakimbia chupi kichwan we subili na uweke akiba ya maneno
Huyu ameshajua kama kesho wanatoka patupu mana mifiko mpaka sasa imeshatuna
Ukatibiwe kifua kikuu Mana mda wore mafua unasemea sana pua we bwege
Pemba jee,ilikifanya Vibaya ukabebwa,vipi hapa?
Hiki kipare nacho yaani kinaboa utadhani kinajua mpira
Hivi AZAM nao wana timu!?😂😂😂em kwanza ninyamaze.
Wallahi leo leo azam anaenda kumuachia simba ashinde
Uliongea sana kaka wewe kimekulamba kaka
Nikweli bwana jamani huyujamaa anamuiga Ahmedi ally
Jichanganye utalambwa kama askirimu zenu
Wewe kesho utakiona cha moto
Kilicho wakuta walibia azam kinawanyemelea
2:46 simba kwan ashinde kwawachezaj gan
Kesho lazima uruhusu magor na sio Gori tu
🎉Azaa tuna mfunga kidogo5 kidogo🎉
Kijamaa kijinga kama penseli nusu
Kione kimanunu ichi kijinga kabisa
Maneno mengi matendo ziroo 😂😂😂
Ashim ibwe utashenyentwa ww ongoe 2
Kumbe Zanzibar ni Taifa
Kimataifaaaaaa😅😂😂😢😢😢😢
Una jaribu kuwa Ahmed sana
Mda upo Limited
Mdomo tu kufunga aaahhh
Huyu dogo apambane na hali yake tutampasua kama kawwida
Kawaida ipi wakati mara ya mwisho azam alikupasua😂😂
Best of luck
Hum tu
Samake😊😊😊
Tatizo we na Ally Kamwe siku mnamuiga sana Ahmed Ally,yaani Nyau hawezi kuwa SIMBA hata siku moja,mjinga we😂😂
mm ni simba ila mechi itakua kal sana simba wanafungwa
Azamu naitakia ushind wa mbili Kwa 1