Na wazungu wanetoka wapi kama mtu wa kwanza ni mwafrika na je kwanini waafrika wasizae wazungu na kwann mzungu ukizaa naye watoto wanakuwa weupe lkn mzunngu akizaa na waafrika wanakuwa weupe pia weusi sasa km walizaa watu weupe mbona sasa afrika hazuzai waarabu au wahindi km mwanzo km sisi ndio tuliowazaa
Napenda Sana historia
Is jct a normal ctory I can even wright mine if that's the way you people explain
Safi sana jastin
Hongera kaka naomba history ya Motorola please
Nkubali kaz bro!
Ayabwan twende kazi🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Hapo sasa
Na wazungu wanetoka wapi kama mtu wa kwanza ni mwafrika na je kwanini waafrika wasizae wazungu na kwann mzungu ukizaa naye watoto wanakuwa weupe lkn mzunngu akizaa na waafrika wanakuwa weupe pia weusi sasa km walizaa watu weupe mbona sasa afrika hazuzai waarabu au wahindi km mwanzo km sisi ndio tuliowazaa
Hilo nalo la kujiuliza
❤️❤️❤️❤️
iphone kiboko duh😂😂😂😂😂
Naisubiri hiyo 15,acha nianze kujichanga
Mkuu utuletee na historia ya Samsung
Na kama mtu wa kwanza anatoka afrika tena Tanzania inamana adamu na hawa ni weusi maana watanzania au tanganyika ni weusi
Mbona hiyo inajulikana dear sema wazungu hawataki wawe wa mwisho maana hata history inasema fuvu la mtu wa kale ni Tanzania ikumbukwe.
hivi aliegundua simu amefaidik kwl
Tuleteye sasa historia ya Samsung. Mana ndio sm napenda zaidi na utupe tafauti kati ya Iphone na Samsung ipi kali sana.
Kabisa mkuu
Ndo mpinzani wake huyu
Najuwa ila mpaka sasa tuna sikiaga tu Iphone ndo sim nzuri kumbe Samsung nayo ni kali.
Ata mimi uwa situmii simu yoyote zaid ya Samsung
Tuletee mtu wa kwanza kuanzisha simu ni mwafrika au mzungu
Pia nataka kujuwa ukweli je waisrael halisi ni wazungu au waafrika
Saf Sana kaka tuletee naza Cm za Infinix
Hahahahaha hatuna mda uo
Naitaji kujua kuusu story ya TV 🙏
Google 😂😂😂😂😂
😂😂
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️
Penda sana#
Na kwanini watu weupe wanatuchukia waafrika na sisi hatuwachukii km wazungu,waarabu, na wahindi na nk
Wapi walisema kama wanatuchukia kwenye hio video?
@@jaymandy8136 sio kwenye video ni ombi atoe kwasababu ya
Daaaah ila maswali yako buanaaa ,, ebu google buanaaa