TAZAMA AWESU AWESU & WILLY ESSOMBA ONANA WALIVYOWASILI KAMBINI MAPEMA LEO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC TH-cam Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Simba SC inawapa wa wachezaji program nzuri sana na malazi(shelters) pindi timu inapokuwa inajiandaa na Michuano ya Kimataifa pamoja na Michezo ya ndani ya Nchi..Mungu Awajalie Wachezaji Afya tusipate majeruhi..Nguvu Moja!
Nisiwe mnafki nimefurah sanaaa kumuona onana hii siku niliisubir sana Asante UBAYA UBWELA Simba nguvu mojaa❤❤❤❤❤
Atatufunga mdomo huyu😅
Kikubwa akaze aache ulaini laini
Huyu mtu bado yupo sana Simba
Onana Hana jipya anacheza mwenyewe , Hana malengo na pia hawezi kuisaidia timu inapokuwa Haina mpira Ni Bora kanouti angebaki kuliko onana
Duh jaman watu ONANA nimchezaji MZURI sana sema apunguze mambo mengi
Binafsi namkubali sn onana. ubaya ubwela na SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
Onana mungu akulindie nyota yako ufanye mazuri zaidi
onana nimchezaji mzur sana namshaur TU apunguze ubishoo wakuxheza na jukwaaa weydad wanamjua huyo nilikua naumia sana nilivyo sikia anachwa piga kaz onana kaaukijua unamashabiki wako wengi sana Tanzania usituangushe onana tunakuamini❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Karibuuuu saaaana onana,,tunakupata vema
Namkubali onana sana nampenda awesu ni mchezaji mzur sana
Like nyingi kwa AWESU AWESU fundi wa mpira
Mmmh?? Onana tena? Ubingwa mtausikia tu
@@eliashagai7920Mpambane na Mzee kagoma na sio Simba yetu Onana oyeeeee❤❤❤
@@MwajumaNgarumaoyeeee
Nimefurahi sana kuona Onana hajaachwa ....kwangu imekua kama usajili mpya.
Nimefurahi sana kumuona fundi wangu onana
Onana ana Goli 8
2-CAF champion
4-ligi kuu
1-Muungano cup
1-simba day
Tuwe wavumilivu anakitu na anajua mpira
Aweso aweso anaonek yuko happy simba nguvu moja
Nguvu mojaaaaaa
Waoooo anguka nalo karibu unyamani ubaya ubwela,,,,❤❤❤❤❤
MIMI NIMEFURAHI KUMUONA ESSOMBY ONANA TENA NYUMBANI 👏👏👏👏👏👏👏🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Hakika! ana mapungufu yake ila ni mchezaji mzuri!🥰
Mim pia
Mi pia nimefurahi kwakweli
Hakuna mchezaji,anazingua hajitumi,anaonekana.dk 5 tu uwanjani dk 85 humuoni,timu kama inakuwa pungufu...Onana alipaswa kuachwa
mwaka huu Kuna ushindani mkubwa kwa wachezaji atapambana@@ummymuya.2060
Kaz kazin kikubwa uzima2 simbaaa nguvu moja 💪💪💪
hata Onana ni super talent Yaani ni mchezaji mzuri sana kama atajituma
Kiukwel hiiki kitu ndicho nilikuwa nakisubiria kwa hamu sana insha-allah mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kwa Kibu D mkandaji ili Kosi langu la kazi likamilike SiMbA nguvu mojaaa
UBAYA UBWELA 🔥🦁🇹🇿
Karibu unyamanii
Onana namkubali sanaaa safi sana
❤❤❤❤ huyo ndo mnyama
Unyama mwingii, ubaya Ubwela tu Simba team yang ❤❤❤❤
Hatimae amekujs nilimsubiri kwa ham sana Onana❤❤❤❤❤
Safi san kwa uongoz kwa kumbakiz onanaaaaaaa
Nimefurahi kumuona onana.simba mara nyingine tuwezi kumvumilia mchezaji. Kuna wakati tunaacha wachezaji wazuri sana.
Onana is good player but problem ana remba sana hadi ananyanganywa mpira
Nguvumoja ✊✊
Simba nguvu Moja 🎉
Ila simba ni brand kubwa sana asee🫡🫡🫡
Nguvu moja 🦁💪
mnyama simbaaa
Onana anajua nnaimani kwa kikos cha sasa atakuwa wa moto sana
Awesome siku 1 tuu ameanza kunenepa tayr
Karibu sana unyamani
Nkupenda sana onana
Onana be serious ur fantastic
Onana tunajua uwezo wako ila huwa inaleta mashala ukiwa kazini tunaomba jilekebishe timakuomba
Mnafeli Sana .Kwan camera Mani kwann vijideo vinakua vifupi hivyo?
Nampenda onana
Onana jamani ❤🎉
Wa kwanzaaaa
Ubaya Ubwela 🦁🦁🦁
Onana, we don't like show game on the pitch this season.
Onana❤
Nina hakika Sana onana baada ya huu upepo kumpitia atajirekebisha na kuwa wa moto Sana msimu huu
Awesu Awesu💪
Niwakati waonana sasa kujitambua nakujua simba inaukubwa gani
Leo nimekuwa wa kwanza kukoment 😂😂😂😂
❤❤❤❤❤
All the best
Kramo wanini mtu msimumzima hajacheza sibola hata onana waidad na cost alitusaidia kwanza huyo fitines hana kiramo bado katoka majeruhi nimuda mrefu musikalili
💯💯💯💯💯💯💯💯💯
❤❤💪
Hakuna tena nafasi ya mpanzu hapo wakigeni washatimia simba bana wana kitu flani kila wakati usajili wanatuletea mpango wa mchezaji flani mwenye uwezo mkubwa halafu wanafeli tu kila mwaka na mimi kwa mpanzu nilijua tu itakuwa kama manzoki tu. Kwahiyo ukiona media yoyote saizi habari ya mpanzu usifungue kuharibu mb zako hamna kitu kinachoendelea kuhusu mpanzu sasa hizi.
BORA ANGEBAKI KRAMO SIO ONANA ... JAMAA HAJUI KUKAZA ANAJILEGEZA SANA ONANA 😢😢
Ila Mpanzu Imeshindikana😢😢😢
Yaan sisi kupata wachezaji wa garama nikaz saana labda awe Hana mkataba
Kwbisa@@PROPHETPCANTENA
🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏
Unamuacha Moses Phil🇿🇲 unabaki na Bishoooo🇨🇲
Marasta Man wetu hao
Unstoppable 🦁🦁🦁
ubaya ubwela
🎉
Nguvu moja
Sipat picha Onana wa Tanga atakua amefurahiaj
Nawapenda sana wote wananipa raha uwanjani, tiktok pia
Tunashaurituu wapunguze ubishoo tuu maana vipaji wanavyo but ubishooo sasa, wakaze kama kibudenga wawe ma fighters
Kalibu Simba kk awesu
Nimefrahi mno kumuona esomba onana
Good 👍 onana
AweAwesu fundi wampira karibu unyamani ila Onana au kwajina maarufu sombasomba uache utani ukiwa kazini tunakuomba
🙏
Awesu Awesu anaanza kula matunda ya jitihada zakee🦁🦁🦁🦁💪💪💪Ubaya Ubwela
Hamna mchezaji onana bisho sana Yan kalegea mgemuacha tu Kuma hyo anajal nywele
Hilo lionana hamna kitu sijui limebakia kwa mazuri yapj
Mashine mbili za kazi
Kwaiyo stori za usajili simba zeishia kwa awesu awesu
Pamoja
Bishoo
Mwambieni Bishoo Onana msimu huu asijaribu kuleta utoto wake kabisa
Nimefurahi kumuona onana mmemuheshimisha kapten bocco aliyeshauri
Onana alikua aende sisi hatutaki wachezaji wakujilengeza tunataka watu wa kazi
Awesu awesu a.k.a Rucho
ONANA AKAZE TAKO AACHE MAMBO YAKISENGE KAMA MSIMU ULIOPITA
Wote mafundi Onana akisaidiwa vitu vidogo anaujua mpira
Ubaya Ubwela
Waulize Widad kuusu onana
Mbona wamenuna hawaonqei😅😅😅
Nashangaa
Lameck lawi wamemkosesha raha hizi za Simba
Onana sasa aache ubishoo na uvivu awe katili na mwenye roho mbaya kwenye goli la wapinzani; vinginevyo dirisha dogo wanaweza wasimbakize!
Huyu onana lakini dah!! Basi tu
Onan umeponea chup chup unatakiwa ufanye kweli safar hii .uache ubishoo uwanjani
Onana wanin sasa
Ubaya ubwela
Washtakiwa wa mzee magoma hawawez maisha haya wanabaki kujificha kigambon kwa Gsm baadae pesa ya kambi inakatwa na rais mwakilish wa Gsm hahahahaaaa
Onana angetemwa 2 hana uwezo wowote
Naamini mpaka hapo onana amejifunza kitu.ubisho hatutaki
ila jamani tuna rasta wengi duh
Onana walisema ameuzwa kumbe sio.
Wapendwa vipi kuhusu kibu Denis aonekan kambini why?
Safai hi onana usituletee ujinga wako unacheza umelegea legea kama mlenda