Kutazama sehemu ya kwanza bonyeza link hii th-cam.com/video/GmbDSucwFnA/w-d-xo.html Kutazama mahojiano yake katika kipindi cha wito wangu bonyeza th-cam.com/video/MJAHS79zhk8/w-d-xo.html
Tunaangamia kwa kukosa maarifaa ya kumjua yesuu ,, lakini mimi nashuhuda ya kwamba mimi nilikuwa mkatoliki lakin dada angu alifariki kimazingaombwe kichawii akazikwa tarehe 9 mwezi wa 9, mwaka jana ,, kiukweli nilikataa tamaa na Mungu Yesu baada ya hapo nakumbuka nilisema Mungu anapendelea na pia nilikuwa na ugonjwa wa ajabu sana baada ya hapo nikabahatika kuongozwa na roho wa Mungu nikabahatika kusikia ushuhuda kupitia channel hii Babu Shido kutoka Singida aliyekuwa anapinga walokole na wengineo na yule mzee wa burundi na mch Katekela baada ya hapo nikasema nataka kuokoka kutoka kwenye ukatoliki kwenda kwa walokole ambao binafsi nilikuwa siwapendi nilipotangaza kuokoka majaribu yalikuja mengi siwezi andika yote lakini nashukuruu nilipona ugonjwa ambao sikutalajia kama ningepona,, nilikuwa nachanjwa chale usiku ikabakia story,,, nashuhudia haya nikisema kuokoka huwa ni neema na pia naomba mniombee pia niwe viwango vingine kanisa nimeokekea FPCT,, kwaiyo nashukuruu promover kwa kuwa kama ,,na imani huja kwa kusikia napia naomba namba ya huyu mtumishii
Kutazama sehemu ya kwanza bonyeza link hii th-cam.com/video/GmbDSucwFnA/w-d-xo.html
Kutazama mahojiano yake katika kipindi cha wito wangu bonyeza th-cam.com/video/MJAHS79zhk8/w-d-xo.html
Ameni mungu akubaliki baba
Hallelujah Hallelujah Nimebarikiwa Sana Na Ushuhuda Huu MUNGU awabariki Promover Tv..
Tunaangamia kwa kukosa maarifaa ya kumjua yesuu ,, lakini mimi nashuhuda ya kwamba mimi nilikuwa mkatoliki lakin dada angu alifariki kimazingaombwe kichawii akazikwa tarehe 9 mwezi wa 9, mwaka jana ,, kiukweli nilikataa tamaa na Mungu Yesu baada ya hapo nakumbuka nilisema Mungu anapendelea na pia nilikuwa na ugonjwa wa ajabu sana baada ya hapo nikabahatika kuongozwa na roho wa Mungu nikabahatika kusikia ushuhuda kupitia channel hii Babu Shido kutoka Singida aliyekuwa anapinga walokole na wengineo na yule mzee wa burundi na mch Katekela baada ya hapo nikasema nataka kuokoka kutoka kwenye ukatoliki kwenda kwa walokole ambao binafsi nilikuwa siwapendi nilipotangaza kuokoka majaribu yalikuja mengi siwezi andika yote lakini nashukuruu nilipona ugonjwa ambao sikutalajia kama ningepona,, nilikuwa nachanjwa chale usiku ikabakia story,,, nashuhudia haya nikisema kuokoka huwa ni neema na pia naomba mniombee pia niwe viwango vingine kanisa nimeokekea FPCT,, kwaiyo nashukuruu promover kwa kuwa kama ,,na imani huja kwa kusikia napia naomba namba ya huyu mtumishii
Hakika Yesu ni Bwana na anayo mamlaka juu ya mamlaka zote.
Amina sanaa ashukuliwe MUNGU atupae kushinda kwa BWANA WETU YESU KRISTO!!!!
Mungu nimwema kila wakati..Mungu azidi kukulinda ww na familia yako mtumishi.
Amen.Hakika Yesu wetu ni Mkuu❤
Jmn njoo mtumishi wa mungu na dodoma
Amen amen
Amen🎉🎉🎉
Amina Mungu akulinde mtumishi wa Mungu
Ameeeeeeeeeen
Amen ubarikiwe sanaa mtumishi wa Mungu
Kumtumikia shetani ni mateso na aibu
Ameni mungu akubaliki baba