SUMU YA PENZI | Full Movie
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 มิ.ย. 2024
- SUMU YA PENZI | Full Movie
Ni filamu inayomuelezea binti Susu ambaye anashindwa kuitetea ndoa yake na kuiacha idondoke kwenye mikono ya mwanamke mwingine.
Casting: Adam Leo, Adam Mwasa, Zainab Jamal and Kado Actor
Follow us on instagram @adamleotz
#film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #sumuyapenzi - ตลก
adam umeeka rikodi kwa kutoa muvi mpya kila baada ya wiki mbili sidhani kama kuna msani anaeza kutoa muvi mpya kila baada ya wiki mbili akika ww ni kiboko ya wasanii wote Bongo muvi
Shukrani endelea ku enjoy
Tena za muda mrefu ongera kaka
Hakuna hata kumalizia kwao shida
Uko vzr kaka movie zko zinamafunzo kweli nkupenda bure chukua maua yko🎉🎉🎉🎉🎉
Asantee
Adam uko vizuri kaka ,mwanamke huyo hakufai kaka ,hana future kabixa naomba uachane nae
Sawaa
mwanamke mwenyewe anaitwa susu ,ni km masusu ya kuku tu 😂😂😂 @AdamLeoStudios
Ila wanawake tutafika tumechoka hoiiii good job Adam tupo tunainjoy na kujifunzà kupitia Kazi zako Mungu azidi kukubaliki
Shukrani
Naunga mkono hoja
Movies za kibongo bado zinachangamoto nyingi sana
Dakika tano zote anaonyeshwa Adam na mke wake tu
Haya
Wewe nawe hebu wape moyo kidogo, nchi yetu Ina changamoto sana hasa kwenye tasnia ya filamu ila yote kwa yote wanajitahid.
Mashaallah kazi nzur Adam mung azidi kukupa afya njema uzidi kutupa mafunzo ❤❤ila umefanana beby wangu balaa 😊😊 penda san mov zako
Asante
Duuuh Adam Léo unaweza kweri nakupenda sana kazi yako ata Mimi nankutamani sana ila sina jinsi kwasababu nimeolewa EP 2 kkkkk
Hahahah jamani Mungu akujaalie kheri kwenye ndoa yako
Ebwana adam unajua san hongera pili namm nataka kuigiza kaka kama kuna uwezekano nipee namm nafasi kaka
Kazi nzuri sana yaani nimejifunza, nikiolewa siez kua mwanamke mjinga na kuondoka kwa mume wangu kwa sababu tuu ya changamoto ndogondogo, kumbe ndoa inahita uvumilivu, nawapenda nyote 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Wewe dada ni muelewa sana
Acha kabisa
Nomaa
Kuna chakujifunza mungu atusaidie ❤
Kabisa kabisaa
Hongera kaka mm nkukubali nataza Sasa nikiwa Kenya ❤❤❤❤❤❤
Asante
Yaani huyu mwanamke hana akili kabisa😢badala a 4:49 support mume wake anafikiria kitanda duh😏💔Adam enda mbele na plan zako❤🎉🎉🎉🎉
Kabisa kabisa
Daaaah jamani Adam nimekupenda bure Adam nakupenda❤❤❤ kula chuma icho naitwa Asha from Arusha
Shukranii
Nakupenda saan Adam ❤❤na fulaha hiia movie zako mungu akutie nguuvu 🎉🎉❤
Amen Recho♥️
Napenda sana move zako adam❤❤❤🎉🎉🎉
Shukrani sana
Kazi nzuri sanaaa, napenda movie zenu Adamu ❤️❤️🙏
Asante
Watatu leo😊😊😊 Kaz mwaaaah 🎉🎉🎉🎉 kongole Adam
Shukrani sana
😂😂Ila kk Adam unapenda sana kula makande😂😂😂kila movies nime Pika makande
Adi amenifanya nigoole nijue ni chakula gani😂😂😂kumbe githeri mahindi na maharage waah🙄🙄
Hahaha jamani
Makande 😂
Mwanangu unajuaa . Unampendaa apendekii bora upige chini . Ila kwenye misimamo upo vzurii mno pigapu . Sana nimeinjoii
Shukrani kaka
@@AdamLeoStudios usijalii kaka nipo bega kwa bega . Unafanya kazi nzuri mno kijuml unaweza 💪💪🤝
Funzo zuri sana hilii...............hongera Adam 😊
Asante
Filam zko ni nzurii sana cjawah kupitwaa
Adam pambana ununuwe kiwanja cako kuishi kwako raha uyo mwanamuke lofa sana mwanamuke anapiganiya kupata kitanda tu nanyumba yenyewe ya kulipa codi 🤔😏❤🇧🇮🇧🇮
Kabisa kabisa
Adamu uko vizuri movie zako ndefu san tunapenda san alfu kuna mafundisho ❤❤❤❤🎉
Asante
Interview imegeuka mama kijacho,pambeee susu kayakanyaga mwenyew
Mno
Movie za uyu jamaa huwa nazifatilia sana zinafundisha sana.big up brooh kazi yako nzuri.
Asante
Napenda movie zako adam
Asante
Kaka Adamu uko vizur huyo mwanamke hakufai
Kabisa
Adam tupo pamoja 💪
Shukrani
Bolingo ezalaka pasi vieux na nga Adamu. Film oyo eza elengi. Big up kaka !
Thanks
Move nzur masha allah ya funza
Asante sana
Kweli kaka Adam unafunza vitu sahihi❤❤❤❤ nmependa sana kaka Adam
Shukrani
Kwaiyo Adam Watuambie Uyo Bint Interview Ndio Nae Kapita 💯
Ahaha
😀😀😀😀😀
Honger san kak adam kwakaz nzur
Shukrani
Mwana wanakubania tu award's ila wewe unastahili mzeiya 🤝
Shukrani sana
Present ❤
Super!
Kenya Watching
Enjoy
Adamu nimekupenda san kaka angu fukuza shenzi uyo mjinga asie jielewa😂😂😂
Kabisaa
good movie
Thanks
Mwanamke kama huyo hana faida yyte Kw MAISHA....Yani mwanamke mbinafsi Hana ata aibu.... mdomo uko wazi kma Chura...watu design kama hio hawana faida yyte Kwa hili taifa 😢
Aisee
Napenda misimamo ya Adam❤🎉
Asante🙏
Leo nimewahi u😮 ❤❤❤🎉
🙏🙏♥️
Hongera ❤🎉🎉KaAdam movie zako zina elimisha Sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana
Susu mtu akiamua kutafuta mwenza wake kumaanisha ametafuta msaidizi..akikwama umsaidie na umpe moyo..na sio kumuumiza kwa ubinafsi wako.eenh maisha magumu haya usitegemee kz ya mume..laxima mume kz mke kz ili msaidiane majukumu.haya sisi tuko waarabuni twaosha vyombo vya waarabu.
Ni kweli kabisa kabisa
Simu yangu imegandia kiganjani niki tazama movie🎬 zako hapa Jijini Nairobi
Mie Mkenya. Ewe ❤
Shukrani
Hongera sana Adam,,kazi nzuri sana❤❤❤❤❤
Asante
Wakwaza mimi nipen lak zangu ❤❤❤❤
Enjoy
hahaha kuwa na wanawake wa tatu wa akili kama huyu dd aisée utafa masikini kabisa 😅
Umeona eh
Wahenga walisema bora ukosee kujenga kuliko kukosea kuoa😂😂❤🙌🙌
Yaani acha kabisa
Ni kweli ila kitanda kitafutwe pia
amina
Unaijua bei ya tofali lakini?😂
@@BennyMartine10 😂😂😂😂🙌
Jamaa anapenda kupika makande
Mnooo
Mapema ndy best🎉❤
Endelea ku enjoy
Big up sana adam unajua sana pindi ninapoangalia kazi zako najifunza vitu vingi sanaaa kwenye maisha mungu aendeelee kukuwezesha ufanikiwe
Amen
Uyu dada nae kumlazimisha mwenzie akae na kidada na ndoa yake bado changa si akae nae mwenyewe
Umeona eh
Kazi nzuri sana broo Adam napenda sana movie zako ❤❤❤
Shukrani sana
Hehehe hatk boda anataka TV jmn😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha acha kabisa
Asant adam movie zako nzuri na zinafundisha
Asante
Adamu una kipaji kikubwa mnoo😊ufike mbali aisee movie zoote zimekaa poa❤nipe namba nikupe hata ya juice kidogo😂
0652393960 whatsapp 🙏🙏
I like your video
Thanks
😂😂😂 heee mwanamke anawaza tv na kitanda badala ya awaze maendeleo anayofanya Mumewe jamani
Yaani ovyo kabisa
Sitaki kabisa kukaa na vidada kwangu
Umeona eh
Ama kweli ukikosea kuoa, unaenda kufeli maisha ❌❌❌
Ni kweli kabisa
Kuna somo kubwa sana umu
Shukrani sana kaka
Mwanamke mapepe yaani shida ya ndani Kila cku matangazo Adam amechukua chombo na katoto atapata muda c mrefu!!! Wanawake tulieni ndoa ni kuvumiliana!!😅😅
Umeona eh😂😂
Uyo dadake susu sio mtu mzuri kwa mdogoake ndio maana kakitegesha kidogo chake kingine shenzi kabisaa
Hahaha umeona eh
Nipo jamani, nawapenda sana adam studios
Shukrani sana
Natamani ningepata mwanaume kama Adamu mwanaume jasiri hongera❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Asante jamanii
Mbona nimemmic sabra yuwapi mbona simuoni kwenye movie😊
Utamuonaa
Nice one❤❤❤
Thanks 🔥
❤❤❤kuinjoy ahsee MUNGU akuwekeee saana bro
Ameen
kazi mnzuri mashaailah
🤝🤝
Nzuri sana
Asante sana
Mafunzo mazuri ❤❤safi sana Adam ❤❤❤❤
Asante sana
Yani unapenda sema sana ndugu zangu wa moro au kakngu adamu na ww wa moro au nimepata funzo zuri sana
Hahaha nawakubali wa moro wote
Kazi nzuri adamu
Asante sana
Big up brother adamuuuhhh
Thanks
Huyu mwanamke hakufai kabisa muone na midomo yake anaipanua bila woga hana haya
Jamanii
Mimi napenda tu ukizungumzia kupika makandee jamani🙌itakuwa unayapenda sana😂😂
Mnooo
biger up my brother kaz nzur tuko pamoj 🤝
Shukrani
nzuri sana 🎉
Asante sana
Adam mungu azidi kukubaliki buloo 🎊🎉🎉🎊🎊🎊🇿🇲
Amen
Good job Adam🎉🎉
Asante
Uyo susu linaoboa alina ata aibu 😂😂😂😂😂chefuu imebid nicoment bila kumaliza kuangalia mana linatia aibu kwa kweli,
Jamanii
Hii ni filamu tu ndugu yangu, yabebe mafunzo tu na ujumbe ila usiwawekee uhalisia wa filamu kuwa ndo maisha yao binafsi.
Nenda adamu
Naenda
Adam ukitaka kuect na mwanamke uwe una ecti na Hidaya yule anajua kushika uskan vizur
Sawa
Good Jobs ❤❤❤
Thanks
Kazi nzuri 🔥 ila uyo mwanamke hayupo tayar kufanya maendelezo ya kimaisha naww
Umeona eh
❤❤❤ from Zambia
Thanks
🎉🎉🎉❤❤❤ Kali sana kutoka Lusaka zambia
Shukrani sana sana
Pole kwa mwenza wako hana hata akili
Yaani
Adam umenifurahisha.kumchukuwa.uyo.shemela
😂😂😂jamani
Adam huyo Mtoto akizaliwa kaupendo kanahama kwa mtoto hapo sasa niite Nike niwe make mdogo niendeleze upendo na amani kama huto mind 😂
Karibu🤣
Adam tupe part 3 ya ile films ya Aibu yangu mbona haitoki tena
Itatoka tu
❤❤❤❤❤
🥰🥰😍😍
adam una shida gani na WARUGURU , sio mala ya kwanza hii, kwenye LAANA pia umewasimanga sana.....nataka majibu yangu leo hii kama ili ADAM....
Nawapendaaa😂😂😂nikipata binti wa morogoro naoa😂🥰🥰
❤❤
We Adam nikikuon Morogoro moja kwa moja police😂😂😂
Ila we mwanamke duu hatar
Hahahah nakuja Morogoro na nataka nikuonee
Nice job adam
Thanks a lot
Good job Adam
Thanks
❤❤❤🎉
❤️❤️
Kazi zuri ila bora ange pata mwanmke mwengine siyo mdogo wa shoga ake
Jamani etio eh
🔥🔥🔥
🙏🙏🫶
Love yu guys❤❤❤from 🇰🇪
Thanks
@@AdamLeoStudios 💞💞💞
Nawakubali kaka
Asante