katika kufanya testing ya earth hio taaa inatakiwa iwake muda gani na nikichukua Earth wire nikaikata ya kutoka kwenye maini nikaipa moto na nikafunga holder hapo nilipo kata yaa ya chini na ya juuu kwenye nyumba yenye umeme hio ni sawa ili nijue kama iko sawa tchaa
Mkuu unawezaje kuweka esi rod kwenye nyumba ilio jengwa juu ya mwamba , yan eneo hilo halina halizi
Mwalim nataka nataka nijifunze
Mwalim nataka nijifuze
Mwalim kaz nzuri sana
Nashukuru Sana mwalimu Kwa mafunzo mazurii Leo nimejifuz jinsi ya kujua earth nzuri na mbovi
Safi sana
Ahsante teachr
Nakukubalisana teacher
Niunge na Mimi mwari fundi kwa wasap
Sana mkuu
Asante Mwalimu
Uko poa sana teacher
Je nisahihi kuweka waya tupu wa earth bila chuma ya shaba kuifukia ardhini?
katika kufanya testing ya earth hio taaa inatakiwa iwake muda gani na nikichukua Earth wire nikaikata ya kutoka kwenye maini nikaipa moto na nikafunga holder hapo nilipo kata yaa ya chini na ya juuu kwenye nyumba yenye umeme hio ni sawa ili nijue kama iko sawa tchaa
asante muwalim
Earth rod sikuizi zipo nyengine sio za kopa na azinasi kwenye smaku
Tunaomba kufundishwa kuchora ramani baada ya wayaringi
Asanteeeeee
Asante
Niunge mwalim watsap
Kipindi ni kinzuri xana
Kaka unapatikana wap
Niko Dar es salaam
Kuna nyumba earthing yake inatoka moshi kwanini
Kwasababu Earth rod yake itakua feki yani hapo itakuwa imeshika kutu na aifanyi kazi vizuri ndugu
Asante Mwalimu