HUU NDIO WAJIBU WA FUNDI AU MKANDARASI WA UMEME MWENYE LESENI KULINGANA NA SHERIA YA EWURA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Kulingana na sheria hii ya mwaka 2022 fundi umeme yeyote au mkandarasi ni wajibu wake kupima, kukagua na kurekodi mifumo mizima ya umeme kwa mteja wake kulingana na tangazo la serikali linalosimamiwa na mwalaka ya udhibiti wa nishati na maji EWURA.
0713946570
Habar kiongozi
@@MirajiMfinanga-u1c salama
Niunge what sapp