MH.ALBERT CHALAMILA AMPONGEZA MWAMPOSA KWA HUDUMA ANAYOFANYA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Mh. Albert Chalamila ameudhuria kongamano kubwa katika ibada ya Jumapili iliyoongozwa na Mtume Boniface Mwamposa na kuwashauri watu wote kuacha matendo maovu katika kusaidia serikali kufanya maendeleo.
#Mh.AlbertChalamila #mwamposalive #ariseandshinetanzania
Mungu naomba utufungulie milango ya baraka katika familia yangu kwa jina LA yesu
Huyu mtumishi wa Mungu alichosema ni kweli, na mama Rais aombe kuishinda roho ya kishetani na viongozi walio mzunguuka. Kwa jina la Yesu Christ✝️ 🙏
Karibu sana Mwanza kiongozi mwenye maono ya kujitambua. Kweli tunahitaji viongozi kama wewe.
Amina mwamposa mungu azd kukulinda tunakupenda sana
Buldoza asifiwe🥴
Napokea miujiza kwa jina la yesu
Chalamila.... Chalamila....Duh....Kazi ipo kwa Kijana huyu....
Amina muheshimiwa mkuu wa mkoa wa mbeya kututembelea viwanja vya Tanganyika pekeaz
Chalamilaa yupo dar sasa
Sina hofu, na amini nitapona kwa Jina la Yesu Kristu. Na kosa nauli ya Kuja huko ila kwa Imani yangu nitapona. Unisaidiye kimaombi nipona na kidney, sukari na roho. Amen.
Namba zake tunazipataj
Raisi wa baadaye huyoooo!!!!
Hii. Topic. Ni. Nzuri🎉😂❤
Asante mungu
WAPUMBAVU KICHWANI HAMNAZO MNAOPENDA MTELEMKO KUOMBA HAMTAKI
Mungu akubariki mtumishi uwe na Maisha marefu uzidi kutufundisha juu ya uwepo wa mungu katika Maisha yetu.amen.
CHUMA IMEHAMIA JIJI LA MWANZA MH CHARAMILA KAINYOOSHE MWANZA💪
Kazi inaendelea chalamila yuko kwa mwamposya hongera sana
Safi Chalamila sema ukweli
Amin
Eti kweli Tanzania Corona iko wapi??
Umeongea kwel kabisa Chalamila.
Tanzania hawajitambui kama wana watoto kesho ndiyo maana wanaiba tuu
Viongoz wa bingo ni noma sa kanisani na huyo sjuh mlinz yupo mgongon watu inabid tuwe Advanced kwenye Ulinzi
Huyo hajui kama Raisi anakufa hahaha Chalamila vituko
ACHA bangi
Umeongea vizuri Ila umesahau kusema tuwaombee ikiwa ulishasema kua umebadiliaha kauli kua tusiwaombee Ila tuombe kwa pamoja..iweje Sasa unasema tuwaombeee?
Ni jambo jema sana kwa Mkuu wa mkoa pia kwa Rais wetu Mama Samia Mungu awabariki sana
Bwana YESU asifiwe
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam chalamila Mungu azidi kukuinua viwango vya juu zaidi
Hahaha Mbarikiwe
j aime arise and Chine
Huyo arudi kwenye mazabao ya mungu atubu maana huku mwanza alikuwa anawaambia watu wawashawishi walokole wanywe pombe
Ni zao la wana IRINGA huyu, Mungu ni mwema sana
Umeona eee watanzania tu wanafiki mnomno tuliona wakati wa msiba wa JPM
Amen
Hey
Huyu kiongonzi no comedy sana
Hongera chalamila.hofu ni ya shetani.tumeomba mungu amejibu.tuamini.tumepona.mm samia ana ana hofu.na hofu hiyo imetoka Kenya.Kenya mungu wamemuweka no. 2.watanzania Uzi uleule wa j.p.m
👏👏👏👏👏👏👏👏Amen
Ameni
Kweli magu huyooooo!!!!
Mwenyezi Mungu akubarik
Amen
Past somoir
Duuu
Samweli somoire
Aisee
👍👍👍
Amen
Ninamkubali mkuu wa mkoa wa mmbeya hakika anatembea na mungu ubarikiwe
Ameni umezungumza vizr baba
Amen
Huyu mkuu wa .mkoa ni koboka,na mpenda sana.
AMEEEEEEEEEEEEEEEEE🤲✅
Ameen
Umeongea sana charamila