Bila Maombi ya Mtume Mwamposa, Barnaba Asingeimba Tena.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 130

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi mwenyewe na mshukulu sana mungu, pia nashukulu sana hiii madhabahuu ya inuka uwangeze, Mimi mwenyewe nishudaa niko tabola, natwa elizabetty naependa kuwambia watu madhabahuu haya ni ya kwelii, mimi ndugu yenu nilikuwa sifuliiii na sio kama nilikuwa sitafuti, Mimi Sinaa ata mapumziko, kila siku Mimi na kazi lakini juu yaa biaashaala zangu nauza lakini chaajabu ata ela yakula nilikuwa Sina miye nafamilia yangu, nawala ela yangu ilikuwa aindi mbelee, lakini Toka nilujuwe madhabahuu hyaa namshukulu mungu sana ntena, sana nimekuwa na ela Toka kuzaliwa sijawahii kuzishikaa,, na huu mwaka naamini autoisha nitakuwa na miliki nyumba yangu, namshukulu mungu. Sana

  • @frolamkolwi2337
    @frolamkolwi2337 3 ปีที่แล้ว +2

    naamini kwa jina la yesu wanaosema vibaya nakukatisha tamaa wenzao washindwe kwa jina la yesu komaa na imani ako usimfuate binadamu mwenzio mungu ndie anae jua matatizo yako mungu muweza mpe nguvu mwamposa aishi miaka mia mia

  • @tadeidaudi8033
    @tadeidaudi8033 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sanakwamatendo makuu kwa udumaii mungu akuridemtume

  • @eatlawe
    @eatlawe 4 ปีที่แล้ว +3

    Bila Yesu Barnaba asingekwepo hai au bila Yesu asingeimba. Siyo maombi ila kusudi la Mungu juu wa watu wake. Sisi ni watumishi tusio na faida isipokuwa tunafanya yale tunayoagizwa na Bwana! Give glory to God!

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 ปีที่แล้ว

      Na nywele hizo Neno gani linaruhusu ??

    • @godfreysudi7264
      @godfreysudi7264 2 ปีที่แล้ว

      @@trophywilson7211 mpo kimwili sana

  • @mariaevarest347
    @mariaevarest347 4 ปีที่แล้ว +7

    Mungu azidi kukuinua baba yangu Mtume Mwamposa

  • @OmarKhamis-d3x
    @OmarKhamis-d3x 16 วันที่ผ่านมา

    Nashkr san kwakuweza kuelewa hilo nime amin

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yesu kwa kuwatendea watu wenye uhitaji unapowadhuru wengine naomba na mm unikumbuke🙏

  • @aminaabdu5548
    @aminaabdu5548 3 ปีที่แล้ว +2

    Aiseee kwa hyo anamuombea azid kufanikiwa kuimba nymbo sizizomtukuza Mungu...kwann asimuombee aache kuimba nyimbo hzo na kumtumikia Mungu???!! Mungu tuokoe na watumishi waongo

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 3 ปีที่แล้ว

      Aache kuimba anapojipatia riziki akawe shoga?

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 ปีที่แล้ว

      Akale wapi alafu mbona Suleiman aliziimba hizi nyimbo

    • @sirilimallya3773
      @sirilimallya3773 2 ปีที่แล้ว

      Nikipawachake

    • @sirilimallya3773
      @sirilimallya3773 2 ปีที่แล้ว

      Kwaiyo aachekuimba akauze nyanya au

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 4 หลายเดือนก่อน

    Nimefurahi kumuona Barnaba Mungu azidi kuku bariki uko sehemu sahihi

  • @estermachea3373
    @estermachea3373 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina MUNGU azidi kukuinua mwamposa love you

  • @judithsulle8366
    @judithsulle8366 4 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru mungu kwa nguvu nilizotoka nazo Moshi za kukanyaga mafuta zimempatia nafuu mdogo wangu na Mimi kupona miguu ilikuwa inauma naomba umuombee Mdogo wangu Rashid umuombee kwa uwezo wa roho mtakatifu maana ameshindwa kujaaa Dar naomba umuombee sana

  • @verinamagandi8390
    @verinamagandi8390 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimefurahi sana mungu yu mwema kwa kila amuaminiye, asante mungu

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn ปีที่แล้ว

    Yesu aangaliii wewe ni Nani akikuita lazima uwende love u Jesus

  • @josephinanyinondi4249
    @josephinanyinondi4249 2 ปีที่แล้ว

    Mtume nisaidie mimi na family yangu vifungo vya uchumi afya mizimu kukataliwa,mateso uchungu kucheleweshwa nisaidie kuhani wa Bwana YESU

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 3 ปีที่แล้ว

    TANZANIAA TUMEKOMBOLEWA SASA TANZANIA INAONGOZA DUNIANI KWA WATUMISHI WAKUBWA WA MUNGU ..HALLEYUYAA MUNGU MLINDE MWAMPOSA ..HALLELUYAAAA

  • @veronicasteven7116
    @veronicasteven7116 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamanii amkeni muda Umeishia tutubu dhambi YESU anarudi kunyakua kanisaa haya mambo ya miujiza ni ziada tu lakini kilicho muhimu nikuacha dhambi maana YESU yuko karibu yaliyotabiriwa yote yametimia jamani duniani tunapita tusidhani kama tumefika hapana wakati wote YESU ananyakua kanisa na amesema atakuja kama mwizi. Wakati tunawaza kujengwa majumba ya kifahari, kua waimbaji wa kimataifa na kufanya mambo makubwa ya maendeleo YESU anasema nakuja kuwachukua walio wangu. Simaanishi tusifanye maendeleo hapana tufanye tu lkn tukiwa yuko tayari kwa lolote

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 ปีที่แล้ว

      Acha kuhukumu usije ukahukumiwa

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 ปีที่แล้ว

      Acha kuhukumu usije ukahukumiwa

    • @veronicasteven7116
      @veronicasteven7116 3 ปีที่แล้ว

      @@adimmpole9439 Sijamhukumu mtu hapa nimejaribu kuwakumbusha tu

    • @veronicasteven7116
      @veronicasteven7116 3 ปีที่แล้ว

      @@adimmpole9439 Naona umefuatilia Sana coment zangu ila hujazielewa lkn iko siku utazielewa

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 4 หลายเดือนก่อน

    Aliyonitendea Yesu kupitia mazibau hii nimengi nashukuru tuu japo ni nje ya nchi nimengi jamanii shetani hana uruma

  • @reyjohnson624
    @reyjohnson624 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU naomba ukamguse na mme wangu Yacobo Lazalo anitumie Sms ya kurud kwangu kuanzia sasa AMINA

  • @theopistamkembela5089
    @theopistamkembela5089 3 ปีที่แล้ว +3

    Jamani mwaposa juuu sana tunakupenda sana

  • @nasraothumaniameen6092
    @nasraothumaniameen6092 4 ปีที่แล้ว +3

    Asante yesu jaman love is good

  • @NeemaGwasma
    @NeemaGwasma 9 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤ kaka Barnaba umenifurahisha ❤❤❤❤❤

  • @SaidaSaida-ub4ez
    @SaidaSaida-ub4ez 6 หลายเดือนก่อน

    Thanks you Jesus llove you lord ❤❤❤❤,🇴🇲🇴🇲🙏🏻💪🏻

    • @SizaKarimu
      @SizaKarimu 5 หลายเดือนก่อน +1

      Umempendeza mugu amen

  • @agripinaligelele9367
    @agripinaligelele9367 4 ปีที่แล้ว +3

    Amen Mungu ni mwema

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo7090 2 ปีที่แล้ว

    Amina, jina la bwana libalikiwe

  • @SizaKarimu
    @SizaKarimu 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba niponywe magonjwa mimi na familia yangu na pia nipate ela nying mwez huu

  • @augustinofifi
    @augustinofifi 3 ปีที่แล้ว

    nyinyi wandishi mnmuharibia mchungjii.. sio asingekuwa mwamposa asingekuwa yesuu

  • @agnessanatory7577
    @agnessanatory7577 2 ปีที่แล้ว

    Naomba iweze kukomboa biashara yangu na familia yangu

  • @veronicasteven7116
    @veronicasteven7116 3 ปีที่แล้ว +1

    YESU alisema tubuni maana ufalme wa mbinguni umekaribia.
    Inasikitisha kuona kwamba watu hawanampango wa kutubu dhambi nakuishi maisha matakatifu kwaajili ya kujiandaa na ujio wa YESU ila wanawaza kupokea miujiza na kuishia maisha mazuri hapa duniani. It's so sad 😰😢😓

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 ปีที่แล้ว

      Una uhakika huwa hawatubu zambi umewahi kwenda

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 ปีที่แล้ว

      Nyie ndo wale mpo makanisan na vifungu na magojwa yanawasumbua sema 2 wivu unKusumbua mkirsto gani wew usieyefurah mkirsto mwenzio akiponywa hio ni roho mbaya wew Dada

    • @veronicasteven7116
      @veronicasteven7116 3 ปีที่แล้ว +1

      Alietubu dhambi huacha dhambi. Alietubu dhambi hawezi kuzitumikia kazi za shetani na kuimba nyimbo zisizomsifu Mungu ni kazi za shetani na Barnabas baada ya maombi na kuombewa nataka na mwamposa kafanya album ya nyimbo 14 kwaiyo kapona ili aendelee kumtukuza shetani. Swali kwako, ndio Mungu anataka hivyo?

    • @veronicasteven7116
      @veronicasteven7116 3 ปีที่แล้ว +1

      Kuponywa sio shida ila shida unaponywa ili iweje? Na niheri nife na magonjwa lakini roho yangu iwe salama maana ndio kilicho muhimu. Sio kwamba sikutaka Barnabas aponywe hapana ila angepona kwanza rohoni kisha akapona mwilini lkn cha ajabu kaponywa mwili ila rohoni bado mgonjwa. Hicho tu kwangu ndicho kinaniumiza

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 3 ปีที่แล้ว

    Acheni Mungu aitwe Mungu na atabaki kuwa Mungu. Na mimi nilikuwa na moyo mgumu lakini kuanzia sasa naanza kuamini.

  • @christinakomba3524
    @christinakomba3524 4 ปีที่แล้ว +1

    Hata iweje Mungu yeye huponyatu hasa ukiamini barikiwa Sana.

    • @floramosha4639
      @floramosha4639 3 ปีที่แล้ว

      Kaka mungu azid kukuinua namungu ambariki mtume azid kukuinua juu zaidi na Zaid amen

  • @happynesssam3740
    @happynesssam3740 4 ปีที่แล้ว +3

    Ohhh...kwel mungu anatenda ...jmn wasani wengin wafike kwenye maombi wanapitia mengi

  • @babydriver6497
    @babydriver6497 3 ปีที่แล้ว

    Mungu huzidi kututofautisha

  • @catherinekashenge3704
    @catherinekashenge3704 4 ปีที่แล้ว +4

    Nilikuwepo kwa ibada iyo. Muumba anatenda

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius ปีที่แล้ว

    Aaaah wap et bila mwamposa, ila ni sawa kwakua ndo mmekua mkmtukuza

  • @jasminehamisi6010
    @jasminehamisi6010 ปีที่แล้ว

    Glory glory

  • @reyjohnson624
    @reyjohnson624 2 ปีที่แล้ว

    Naamin namm nimepona kabs HIV nakuanzia xaxa narud kwangu kwa jina la YESU KRISTO AMINA

  • @neemaokuli1676
    @neemaokuli1676 4 ปีที่แล้ว +6

    Wema nae aende apate watoto jmn

  • @omanamenmct1600
    @omanamenmct1600 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante mungu kwa miujiza

  • @burtonsatshop2061
    @burtonsatshop2061 4 ปีที่แล้ว +2

    sauti ndogo saana

  • @frankjohnsonkitundujohnson7189
    @frankjohnsonkitundujohnson7189 3 ปีที่แล้ว

    Good mungu ni mwema

  • @florangido202
    @florangido202 3 ปีที่แล้ว +1

    Glory to God, Big Ameen.

  • @bestlifetz1991
    @bestlifetz1991 ปีที่แล้ว

    Glory to God

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 2 ปีที่แล้ว

    1 Timotheo 2:9 BHN
    Hali kadhalika, nawataka wanawake wawe wanyofu na wenye busara kuhusu mavazi yao; wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubw

  • @cuthbertbruno6764
    @cuthbertbruno6764 3 ปีที่แล้ว

    Wow Glory is with God alone

  • @theresiaaloyce7623
    @theresiaaloyce7623 3 ปีที่แล้ว +1

    I believe in might name of Jesus

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 3 ปีที่แล้ว

    MUNGU.AKUBALIKI MSANII YESU ANAKUPENDA SANA

  • @EliaSilwimba
    @EliaSilwimba ปีที่แล้ว

    Fanya na kwangu bwana

  • @vailetikulanga5393
    @vailetikulanga5393 3 ปีที่แล้ว

    Asante yesu

  • @aminaabdu5548
    @aminaabdu5548 3 ปีที่แล้ว +1

    Uhalalisho wa kusklza nymbo zsizo mtukuza Mungu

  • @genovevatarimo3982
    @genovevatarimo3982 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ni muweza

    • @luluezekiely3499
      @luluezekiely3499 4 ปีที่แล้ว

      Moyo wangu umefurahi sana karibu sana kakaangu kipenzi..Mungu anakuja maana nyimbo nyingi za injiri unawatungia watu so Mungu anajua mchango wako..ombi langu mm uanze kuimba injiri na ninaamini itafika tuu siku.Karibu bro karibu sana wengi tumefunguliwa

    • @floramosha4639
      @floramosha4639 3 ปีที่แล้ว

      Ee mungu nakuomba uniinue juu ya utumishi wangu nikutumikie siku zote zamaisha yangu Amen

  • @happinessmartini8567
    @happinessmartini8567 3 ปีที่แล้ว

    Mm nauliza Azamu tv hiki kipindi cha Arise &shaine kinaoshesha number gp?alafu stertime vingamuzi vya dishi avioneshi

    • @zawadimwasumbi7823
      @zawadimwasumbi7823 3 ปีที่แล้ว

      Dada kwenye azamu chaneli yake ipo chaneli elfumoja na tatu

  • @isunga1964
    @isunga1964 4 ปีที่แล้ว

    AMEN MUNGU NI MWEMA

  • @jescamwidimya3419
    @jescamwidimya3419 3 ปีที่แล้ว

    Nashukru sana mathabahu inuka uangaze

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 4 ปีที่แล้ว +1

    Ameen

  • @lucykanuti6138
    @lucykanuti6138 4 ปีที่แล้ว

    Haleluya Hakika Mungu anatnda

  • @fredtarimo4596
    @fredtarimo4596 4 ปีที่แล้ว +1

    Hallelujah

  • @asiamushi1898
    @asiamushi1898 2 ปีที่แล้ว

    Glory to god

  • @judithraymond1853
    @judithraymond1853 2 ปีที่แล้ว

    Jina lab wana libarikiwe

  • @milliamwega3069
    @milliamwega3069 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu mkubwa

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 2 ปีที่แล้ว

    huyo Mungu mwenyewe anakataa nyimbo kwani mnasoma bibilia gani nyie?
    Amo 5:23 SUV
    Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu.

  • @hapinessobeth4131
    @hapinessobeth4131 4 ปีที่แล้ว

    Mungu wa mbinguni anajua walio wake

  • @agnecjoseph6223
    @agnecjoseph6223 3 ปีที่แล้ว

    Radio ya mwanza ni ngapi ngapi

  • @iddylemu8924
    @iddylemu8924 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @lucykanuti6138
    @lucykanuti6138 4 ปีที่แล้ว +1

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @justicegoodluck4214
    @justicegoodluck4214 2 ปีที่แล้ว

    mung ni mwema

  • @MathaAdofu
    @MathaAdofu 2 ปีที่แล้ว

    AMEN

  • @mtumishiyusuph5849
    @mtumishiyusuph5849 4 ปีที่แล้ว

    Utukufu kwa yesu

  • @rechoraymond3396
    @rechoraymond3396 4 ปีที่แล้ว

    Mungu yu mwema

  • @joycepeter1994
    @joycepeter1994 4 ปีที่แล้ว

    Munguuu yupo

  • @salomemotto5899
    @salomemotto5899 4 ปีที่แล้ว

    Mungu n mwema

    • @rosekigombola7737
      @rosekigombola7737 3 ปีที่แล้ว

      Amen 🙏 MUNGU Yu Mwema Saaaana Kwetu..

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 4 ปีที่แล้ว

    Jaman hata Roho mtakatifu Hawa shuudii juu ya hayo manywelee si wahukumu daàahh

    • @apostlebenny5319
      @apostlebenny5319 3 ปีที่แล้ว

      Atasema na yye wala km SSA ameanza kumtfuta Mungu, wacha mda utaongea

    • @lavianaalbert9038
      @lavianaalbert9038 3 ปีที่แล้ว +2

      Mungu anamtaka hivo hivo alivo wewe msafi endelea kuhukum yesu mwenyewe ulisema sikutumwa kuhukum bali kutafuta kilichopotea wewe unajiweka kua hakim sasa pole sana

    • @dawhiteschola8847
      @dawhiteschola8847 3 ปีที่แล้ว

      @@lavianaalbert9038 elewa nilicho kisema 👆 syo una rukia rukia Nani kasema mm ni msafi unge koment yako 😁😁😁

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 3 ปีที่แล้ว

    Yaani huyo asaidiwe na mtume na bado asuke nywele na huku ni mwanaume??

    • @stanleyjacob6744
      @stanleyjacob6744 3 ปีที่แล้ว

      Kwani nywele ni haramu kusuka Acha ushamba dhamira ya MTU ndio Jambo la msingi sio muonekano

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 3 ปีที่แล้ว

      @@stanleyjacob6744 mwanaume mkristo Ni haramu kusuka maandiko yanakataa soma maandiko usijifariji tu

  • @restidaabeid1556
    @restidaabeid1556 4 ปีที่แล้ว

    Nimecheka kwa furaha

  • @rahmahamisi7604
    @rahmahamisi7604 4 ปีที่แล้ว

    Mnagonga nini 🤔

  • @veronicasteven7116
    @veronicasteven7116 3 ปีที่แล้ว +1

    Hivi kweli unamuombea mtu afanikiwe katika mziki anajifanya ilhali anamuimbia shetani jamani ni Mungu gani huyu basi ambae hana wivu hata chembe?
    Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu anasema msiabudu miungu mwingine ila mimi na ndiomaana Wana wa Israeli walipokua wakimuacha Mungu aliewavusha bahari ya sham walikua wakipigwa na maadui mpaka pale watakapo tubu ndio Mungu anawaokoa lkn wasipo tubu wanachukuliwa mateka Leo Mungu ambariki mtu anaetumikia miungu mwingine? Kwaiyo Mungu wa biblia ni Muongo? Tusimchezee Mungu nyakati hizi ni za mwisho tena za hatari. Watu watakua wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa kuliko Mungu, wenye kiburi n.k. Mungu atuhurumie. Tufanye miujiza, tutendewe miujiza lkn lililo kuu ni kutubu na kuacha dhambi na kumuishia YESU KRISTO.

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 ปีที่แล้ว +1

      Acha unafiki mbona Suleiman aliziimba hizo nyimbo

    • @veronicasteven7116
      @veronicasteven7116 3 ปีที่แล้ว

      @@adimmpole9439 lakini mwisho alisema yote ni ubatili mtupu na kujilisha upepo

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 ปีที่แล้ว

      @@veronicasteven7116 but lakini so aliziimba je mungu alimuhukumu?

    • @veronicasteven7116
      @veronicasteven7116 3 ปีที่แล้ว

      @@adimmpole9439 hukumu za Mungu zipo kwenye bibilia. Ukilisoma neno, neno litakujuza kipi ufanye na kipi usifanye. Na kama hajui basi yule mchungaji au nabii ndie anapaswa kumuelezea nini Mungu anasema kupitia neno lake. Neno linasema usiwe na miungu mingine ila mimi! Na hukumu ya Mungu iliyo kuu ni moja tu ambayo ni jehanam hiyo inajulikana. Na neno linasema aaminie na kubatizwa ataokoka asieamini atahukumiwa.

    • @adimmpole9439
      @adimmpole9439 3 ปีที่แล้ว

      @@veronicasteven7116 wew umejuaje kama hajaamini?

  • @justinemrope9394
    @justinemrope9394 4 ปีที่แล้ว +1

    H

  • @monicamwajombe7418
    @monicamwajombe7418 4 ปีที่แล้ว +1

    Amina Mungu anaweza yote

  • @kibasakiristoph7596
    @kibasakiristoph7596 2 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @marianyahenge9529
    @marianyahenge9529 3 ปีที่แล้ว

    Glory to God

  • @dotnathalazaro8078
    @dotnathalazaro8078 3 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @alutemdulu936
    @alutemdulu936 3 ปีที่แล้ว

    Amen