Kwenye issue ya coding kikubwa sana RAM atleast iwe 8GB na kuendelea inategemea na unadevelop nini kama vitu vinahitaji graphics kama games nk hapo RAM inatakiwa iwe 16GB nakuendelea, issue nyingine ni display resolution atleast 1080, na processor pia Core i5 kuanzia 2Ghz inatosha coding
Asante kwa elimu ya video production
Karibu sana boss
Upo sahihi sana Brother🎉🎉🎉
pamoja sana bro
Shukraani Kwa Elimu hii.
Pamoja sana boss
Sawa mkuu🎉🎉
Pamoja mkuu
Umemaliza kila kitu kaka
Pamoja sana mtaalamu
Dah mwenye anataka S24ultra nauza ninunue camera
Hahahaa😀 nunua camera boss
bro unatumia camera gani kujirecord hapo maana umekaa kwenye posittion nzur sana
SONY A7C kaka
Je computer kwa ajili ya coding inatakiwakuwa je!?
Kwenye issue ya coding kikubwa sana RAM atleast iwe 8GB na kuendelea inategemea na unadevelop nini kama vitu vinahitaji graphics kama games nk hapo RAM inatakiwa iwe 16GB nakuendelea, issue nyingine ni display resolution atleast 1080, na processor pia Core i5 kuanzia 2Ghz inatosha coding
Hiyo camera inaweza kupiga picha peke yake bila hyo lens?
Hapana boss