PEUPE TALK SHOW: MAKOSA YA R.G. NGALA NA CHOKWE MWAKA 1961.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
  • #mombasa #kenya #africa #europe #us #news #history #trending

ความคิดเห็น • 20

  • @amirhemed2483
    @amirhemed2483 ปีที่แล้ว +2

    Shukran kwakutuelimisha

  • @simoncrompton2951
    @simoncrompton2951 ปีที่แล้ว +2

    Asante Kwa alime mzee

  • @Dr.zaidi4
    @Dr.zaidi4 10 วันที่ผ่านมา

    Kibri na uongo wa waarabu,
    Maji ya shingo

  • @mohamedlalimahazi9932
    @mohamedlalimahazi9932 ปีที่แล้ว +2

    Twailimika kila siku zaidi asantaen sana

  • @KhadijaHadhee
    @KhadijaHadhee หลายเดือนก่อน

    Nasikiza ipindi hadija hadee 33:55

  • @KhadijaHadhee
    @KhadijaHadhee หลายเดือนก่อน

    Qnapongza kpindi hadija hadee

  • @KhadijaHadhee
    @KhadijaHadhee หลายเดือนก่อน

    Nasikiza ipindi hadija hadee 33:55 37:59

  • @mbarakomar225
    @mbarakomar225 ปีที่แล้ว +1

    Wagiriama au mijikenda walzalwa na mzee myeye au walifanyakuja.

    • @coolbz133
      @coolbz133 18 วันที่ผ่านมา

      Hapo sasa maana sielewi walikuja ama walizaliwa na myeye alafu episode nyengine amesema kuwa wagiriama wamepakaka na wakauma wachonyi na warabai kwa hio hao wengine kama wachoni warabai wakauma sio wakuja niwenyeji

  • @naimaabdallah4002
    @naimaabdallah4002 6 หลายเดือนก่อน

    Kwanini hukututafsiria kwa Kiswahili siote wanajua kizungu hatukufaidi chochote

  • @johnkizito1713
    @johnkizito1713 10 หลายเดือนก่อน +1

    Uongo mtupu mnafundisha watu,

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  10 หลายเดือนก่อน

      Iwapo Mwenyezi Mungu amekujaaliya wewe kuujuwa ukweli, basi si utufundishe na sisi ambao wewe waamini sisi waongo?! Au vipi!?

  • @barghashbinsaid9414
    @barghashbinsaid9414 2 ปีที่แล้ว

    A alaikom nauliza kabila la wasegeju Leo hii liko wapi

    • @stambuliwash.abdillahinass8123
      @stambuliwash.abdillahinass8123  2 ปีที่แล้ว

      Kwanza, samahani kwa kuchelewa kukujibu suali lako. Pili, wengi miongoni mwa jamii ya Wasegeju waliingiliana zaidi na watu wa jamii zilizokuwa zikiishi kwenye sehemu za kusini mwa Pwani ya Kenya. Kwa hivyo, lazima wawe washachanganya damu na kuendelea kuishi kwenye ufuo huu- pande zote mbili, yaani, kusini mwa Kenya (Kwale) na hata kaskazini mwa Tanzania (yaani, Tanga hadi kwenye mpaka wa Kenya/Tanzania.

  • @darkdarker4596
    @darkdarker4596 ปีที่แล้ว

    The mjikenda were from the congo and mozambigue

  • @lenniefei6710
    @lenniefei6710 ปีที่แล้ว

    JAMANINI ISTAMBULI.....Nukuu za magazeti haziwezi kua ushahidi wa jambo lolote ulimwengu mzima!!! Nani asiejua wanahabari wanatia chumvi,hamasa,misisimko na uwongo katika makala zao ili kufanikisha biashara zao ama kuchukua mrengo fulani wa kisiasa ?!

  • @KhadijaHadhee
    @KhadijaHadhee หลายเดือนก่อน

    Nasikiza ipindi hadija hadee 33:55 37:59